EPUKA MAKOSA HAYA KWENYE SAFARI YA MAISHA YAKO - JOEL NANAUKA

  Рет қаралды 20,840

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Күн бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Пікірлер: 58
@diabyboy5162
@diabyboy5162 21 күн бұрын
Ndg joel nanauka ninajambo la kifamilia linanitesa sana😢😢😢natamani ningepata mawasiliano yako ya moja kwa moja iliniweze kukushirikisha juu ya jambo hilo ili nijue uamuzi hupi nisahh kwangu kuufanya plz kama utasoma comment hii naomba nipate hata no yako ya what’sapp ili niweze kuwasiliana nawe mtumishi wangu
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 21 күн бұрын
Ingia Instagram nirahisi kupata no yake
@MrJuma-in5io
@MrJuma-in5io 20 күн бұрын
Mawazo yangu fatilia video zake nyengne kaweka namb za mawasiliano
@alexkilyenyi5763
@alexkilyenyi5763 20 күн бұрын
Nina namba yake ndugu
@diabyboy5162
@diabyboy5162 20 күн бұрын
@@MrJuma-in5io asanteh sana kaka
@victorrock6660
@victorrock6660 14 күн бұрын
​@@diabyboy5162nitumie na meme basi dah
@EMAPLUSTV
@EMAPLUSTV 21 күн бұрын
VITU VINAVYOKULA MAJIRA 1.KUAMBATANA NA WATU WASIO SAHIHI(GOOD PEOPLE BUT NOT RIGHT PEOPLE) WATU WASIO SAHIHI WANAKULA MAISHA YAKO NA SEASON ZAKO 2.KULAZIMISHA KUONEKANA KABLA YA WAKATI(PREMATURE EXPOSURE LEADS TO PREMATURE DEATH,SEASON NDIO MWAMUZI.PEOPLE CAN NOT ATTACK WHAT THEY DON'T KNOW,MOJA YA KITU HATARI NI INTERNET 3.MAKOSA YA GHARAMA KUBWA KWENYE MAISHA,MADHARA YANAYOTOKANA NA MAKOSA, 4.KURIDHIKA KUNAKULA MAJIRA YAKO . COMPETITION COMPARISON NI FACTOR 2 ZINAZOKUFANYA URIDHIKE,ISHI KAMA ULIZALIWA PEKE YAKO 5.KUFANIKIWA KWENYE VITU VISIVYO SAHIHI(JOSEPH THE BEST HOUSE BOY) TRANSITION SUCCESS NI YA KUKUVUSHA KUKUPELEKA MAHALI .
@stanleyletema1246
@stanleyletema1246 21 күн бұрын
nimebarikiwa sana na somo lako ,Mungu azidi kukuinua sana
@upendokiza6061
@upendokiza6061 21 күн бұрын
Asante sana Mentor wangu. Unacho ongea ni sahii, Mungu akupe maono marefu Mentor wangu.
@MARYTHEBLESSEDONE
@MARYTHEBLESSEDONE 21 күн бұрын
True kaka joel barikiwa sana🙌🙏
@FaricevitusiNkane
@FaricevitusiNkane 21 күн бұрын
kaka nimeekubali sana Nina shida za kifamilia mzee Wang anaitaji msaada wa saikolojia unanisaidiake
@goldiegranted5501
@goldiegranted5501 20 күн бұрын
...kuambatana na Watu wasio sahihi,,,kulazimisha mambo(Eg pre mature exposure),,,makosa ya gharama kubwa kwenye maisha,,,kuridhika,,,kufanikiwa kwenye vitu visivyo sahihi,,, Blessed morning with Heaven Sent 👏👏👏🙏
@eliudbeyanga8575
@eliudbeyanga8575 21 күн бұрын
Asante kaka Joel nakukubali Sana Sana Sana.
@BodoAnenton
@BodoAnenton 21 күн бұрын
Wewe ni mtu sahihi kuwahi kumshuhudia kwenye maisha yangu japo sijapata kukuona Kwa macho Asante sana
@AmaniRashidi-i9b
@AmaniRashidi-i9b 21 күн бұрын
From south Africa Durban na kosaje somo unadhani❤
@DottoAmon-bs2cr
@DottoAmon-bs2cr 21 күн бұрын
Ukovzuri kwaushauri asantee kaka
@GraceSteven-qq5hn
@GraceSteven-qq5hn 20 күн бұрын
Asant kwa kuendelae kutuelimisha na kutufundisha , Mungu azidi kukulinda
@mchattachattanoga7795
@mchattachattanoga7795 20 күн бұрын
Somo nzuri sana mungu akubariki sanaaa
@timothykengere2535
@timothykengere2535 4 күн бұрын
Ukweli mtupu unaeza kuwa unatumika ,yaani wanakutumia wao waendelee wewe ubaki pale 😊..........................
@MtazameKristoTv
@MtazameKristoTv 21 күн бұрын
Ahsante sana ubarikiwe sana
@meshackngadango6855
@meshackngadango6855 20 күн бұрын
Be blessed servant of God
@FredyKisendi
@FredyKisendi 15 күн бұрын
Wewe ni azina yetu, ichi unachokifanya nikweli nikusudi la wewe kuwepo duniani MUNGU akulinde na akufikishe kwenye maono yako Amina...❤
@FarajaMkumbo-pc3ft
@FarajaMkumbo-pc3ft 21 күн бұрын
Shukran sana kaka
@HamisBakhari
@HamisBakhari 21 күн бұрын
Hili la kulazimisha kabla ya wakati mi ndo linanitafuna sana😢
@user-ku5rh2yg5c
@user-ku5rh2yg5c 21 күн бұрын
Pole
@josephtesha872
@josephtesha872 19 күн бұрын
Asantee numejifunza
@Consolata.1
@Consolata.1 21 күн бұрын
Asante sana kiongozi 🎉🎉
@mashakakwembe7482
@mashakakwembe7482 15 күн бұрын
Ndg joel ww ww ni zaidi ya mwalimu big up
@DiazPilipili
@DiazPilipili 20 күн бұрын
Namshukuru kwa kuwepo kwako duniani
@SukaDmGuy
@SukaDmGuy 16 күн бұрын
Nabarikiwa sana nawewe bro mwenyezi mungu azidi kukuweka
@richardkayanda2317
@richardkayanda2317 21 күн бұрын
Nashukuru bro
@MollelNdaskoi
@MollelNdaskoi 17 күн бұрын
Asante sana. Ninazidi kujifunza mambo mazuri kutoka kwako BARIKIWA SANA
@harrycombat7669
@harrycombat7669 21 күн бұрын
amina baba mungu akutenzee
@JastineSwai-j7v
@JastineSwai-j7v 20 күн бұрын
Asante Mtumish lakini kilawakati na Najambolake
@shedrackabeli4745
@shedrackabeli4745 20 күн бұрын
asante kuna kitu nimejifunza
@deborahlusenga3574
@deborahlusenga3574 16 күн бұрын
Somo zuri sana, Mungu akubariki sana Kaka Joel Nanauka
@iteboahadi15
@iteboahadi15 17 күн бұрын
Asante sana brathar Joel full respect for you 🎉🎉🎉
@LidyaMpululu
@LidyaMpululu 17 күн бұрын
Me nakukubar sana bro mungu akulinde ,unasema kwel kabisa
@njochelanim
@njochelanim 21 күн бұрын
Fact🎉🎉🎉
@cleversanga7791
@cleversanga7791 21 күн бұрын
🙏🙏🙏🙏
@user-nu6ge7rg7n
@user-nu6ge7rg7n 21 күн бұрын
👏👏👏🙏🙏
@user-yw2rn8tv5r
@user-yw2rn8tv5r 17 күн бұрын
Mungu aendelee kukutunza kwaajili yetu
@wisesteven5256
@wisesteven5256 7 күн бұрын
We jamaa ni genius
@user-bu9wj5pi3t
@user-bu9wj5pi3t 20 күн бұрын
Destiny city church
@jabilmusa7569
@jabilmusa7569 20 күн бұрын
Good people but not right people Hapa nimeelewa sanaaaa brother
@arnoldgerson9280
@arnoldgerson9280 12 күн бұрын
Much appriciate brother
@mlingijames1917
@mlingijames1917 20 күн бұрын
Ubarikiwe na Somo zuri sana, ila Je Mtu atajuaje Majira yake yakutoka?
@francjose9596
@francjose9596 18 күн бұрын
🙏🏾🤲🏽
@LukaBoniphace
@LukaBoniphace 2 күн бұрын
Kweli kaka
@ismailmohamed-sc1hg
@ismailmohamed-sc1hg 15 күн бұрын
Life is not competition
@francjose9596
@francjose9596 18 күн бұрын
🤲🏽🙏🏾
@paulmtalima134
@paulmtalima134 21 күн бұрын
Thus true
@tilaboymatata3411
@tilaboymatata3411 22 күн бұрын
🙏
@mahambagislain9618
@mahambagislain9618 20 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉✍️🇨🇩
@francjose9596
@francjose9596 18 күн бұрын
🙏🏾🤲🏽
@francjose9596
@francjose9596 18 күн бұрын
🤲🏽🙏🏾
@henrywiliam6082
@henrywiliam6082 21 күн бұрын
🙏🙏🙏
Je,Wewe Una Maono Gani Kwenye Maisha Yako?
46:51
Joel Nanauka
Рет қаралды 183 М.
FANYA JAMBO MOJA KWA MUDA MREFU - JOEL NANAUKA
29:30
Joel Nanauka
Рет қаралды 180 М.
Apple peeling hack
00:37
_vector_
Рет қаралды 123 МЛН
小丑在游泳池做什么#short #angel #clown
00:13
Super Beauty team
Рет қаралды 33 МЛН
LIFE WISDOM : PRESHA ZA MAISHA - JOEL NANAUKA
16:39
Joel Nanauka
Рет қаралды 10 М.
DR IPYANA ft JOEL NANAUKA // DAMU YA YESU NA UTAJIRI
18:43
Dr Ipyana
Рет қаралды 52 М.
JINSI YA KUJENGA MIKONDO MINGI YA KIPATO na Edmund Munyagi
21:18
Edmund Munyagi
Рет қаралды 47 М.
Maximizing your season - Joel Nanauka
1:23:37
Destiny City Church
Рет қаралды 13 М.
UKOMAVU WA KIAKILI (MENTAL TOUGHNESS) - JOEL NANAUKA
1:11:22
Joel Nanauka
Рет қаралды 195 М.
Mbinu 5 za Kuongeza Mauzo Katika Biashara Yako - Charles Nduku
10:40
Joel Nanauka / Namna ya kutimiza malengo 3 / THE GATES TV
52:13
The Gates Media
Рет қаралды 123 М.
Namna gani unaweza kuongeza kasi ya kutimiza maono yako
26:17
Joel Nanauka
Рет қаралды 159 М.
Apple peeling hack
00:37
_vector_
Рет қаралды 123 МЛН