Ndg joel nanauka ninajambo la kifamilia linanitesa sana😢😢😢natamani ningepata mawasiliano yako ya moja kwa moja iliniweze kukushirikisha juu ya jambo hilo ili nijue uamuzi hupi nisahh kwangu kuufanya plz kama utasoma comment hii naomba nipate hata no yako ya what’sapp ili niweze kuwasiliana nawe mtumishi wangu
@shukranjulius952621 күн бұрын
Ingia Instagram nirahisi kupata no yake
@MrJuma-in5io20 күн бұрын
Mawazo yangu fatilia video zake nyengne kaweka namb za mawasiliano
@alexkilyenyi576320 күн бұрын
Nina namba yake ndugu
@diabyboy516220 күн бұрын
@@MrJuma-in5io asanteh sana kaka
@victorrock666014 күн бұрын
@@diabyboy5162nitumie na meme basi dah
@EMAPLUSTV21 күн бұрын
VITU VINAVYOKULA MAJIRA 1.KUAMBATANA NA WATU WASIO SAHIHI(GOOD PEOPLE BUT NOT RIGHT PEOPLE) WATU WASIO SAHIHI WANAKULA MAISHA YAKO NA SEASON ZAKO 2.KULAZIMISHA KUONEKANA KABLA YA WAKATI(PREMATURE EXPOSURE LEADS TO PREMATURE DEATH,SEASON NDIO MWAMUZI.PEOPLE CAN NOT ATTACK WHAT THEY DON'T KNOW,MOJA YA KITU HATARI NI INTERNET 3.MAKOSA YA GHARAMA KUBWA KWENYE MAISHA,MADHARA YANAYOTOKANA NA MAKOSA, 4.KURIDHIKA KUNAKULA MAJIRA YAKO . COMPETITION COMPARISON NI FACTOR 2 ZINAZOKUFANYA URIDHIKE,ISHI KAMA ULIZALIWA PEKE YAKO 5.KUFANIKIWA KWENYE VITU VISIVYO SAHIHI(JOSEPH THE BEST HOUSE BOY) TRANSITION SUCCESS NI YA KUKUVUSHA KUKUPELEKA MAHALI .
@stanleyletema124621 күн бұрын
nimebarikiwa sana na somo lako ,Mungu azidi kukuinua sana
@upendokiza606121 күн бұрын
Asante sana Mentor wangu. Unacho ongea ni sahii, Mungu akupe maono marefu Mentor wangu.
@MARYTHEBLESSEDONE21 күн бұрын
True kaka joel barikiwa sana🙌🙏
@FaricevitusiNkane21 күн бұрын
kaka nimeekubali sana Nina shida za kifamilia mzee Wang anaitaji msaada wa saikolojia unanisaidiake
@goldiegranted550120 күн бұрын
...kuambatana na Watu wasio sahihi,,,kulazimisha mambo(Eg pre mature exposure),,,makosa ya gharama kubwa kwenye maisha,,,kuridhika,,,kufanikiwa kwenye vitu visivyo sahihi,,, Blessed morning with Heaven Sent 👏👏👏🙏
@eliudbeyanga857521 күн бұрын
Asante kaka Joel nakukubali Sana Sana Sana.
@BodoAnenton21 күн бұрын
Wewe ni mtu sahihi kuwahi kumshuhudia kwenye maisha yangu japo sijapata kukuona Kwa macho Asante sana
@AmaniRashidi-i9b21 күн бұрын
From south Africa Durban na kosaje somo unadhani❤
@DottoAmon-bs2cr21 күн бұрын
Ukovzuri kwaushauri asantee kaka
@GraceSteven-qq5hn20 күн бұрын
Asant kwa kuendelae kutuelimisha na kutufundisha , Mungu azidi kukulinda
@mchattachattanoga779520 күн бұрын
Somo nzuri sana mungu akubariki sanaaa
@timothykengere25354 күн бұрын
Ukweli mtupu unaeza kuwa unatumika ,yaani wanakutumia wao waendelee wewe ubaki pale 😊..........................
@MtazameKristoTv21 күн бұрын
Ahsante sana ubarikiwe sana
@meshackngadango685520 күн бұрын
Be blessed servant of God
@FredyKisendi15 күн бұрын
Wewe ni azina yetu, ichi unachokifanya nikweli nikusudi la wewe kuwepo duniani MUNGU akulinde na akufikishe kwenye maono yako Amina...❤
@FarajaMkumbo-pc3ft21 күн бұрын
Shukran sana kaka
@HamisBakhari21 күн бұрын
Hili la kulazimisha kabla ya wakati mi ndo linanitafuna sana😢
@user-ku5rh2yg5c21 күн бұрын
Pole
@josephtesha87219 күн бұрын
Asantee numejifunza
@Consolata.121 күн бұрын
Asante sana kiongozi 🎉🎉
@mashakakwembe748215 күн бұрын
Ndg joel ww ww ni zaidi ya mwalimu big up
@DiazPilipili20 күн бұрын
Namshukuru kwa kuwepo kwako duniani
@SukaDmGuy16 күн бұрын
Nabarikiwa sana nawewe bro mwenyezi mungu azidi kukuweka
@richardkayanda231721 күн бұрын
Nashukuru bro
@MollelNdaskoi17 күн бұрын
Asante sana. Ninazidi kujifunza mambo mazuri kutoka kwako BARIKIWA SANA
@harrycombat766921 күн бұрын
amina baba mungu akutenzee
@JastineSwai-j7v20 күн бұрын
Asante Mtumish lakini kilawakati na Najambolake
@shedrackabeli474520 күн бұрын
asante kuna kitu nimejifunza
@deborahlusenga357416 күн бұрын
Somo zuri sana, Mungu akubariki sana Kaka Joel Nanauka
@iteboahadi1517 күн бұрын
Asante sana brathar Joel full respect for you 🎉🎉🎉
@LidyaMpululu17 күн бұрын
Me nakukubar sana bro mungu akulinde ,unasema kwel kabisa
@njochelanim21 күн бұрын
Fact🎉🎉🎉
@cleversanga779121 күн бұрын
🙏🙏🙏🙏
@user-nu6ge7rg7n21 күн бұрын
👏👏👏🙏🙏
@user-yw2rn8tv5r17 күн бұрын
Mungu aendelee kukutunza kwaajili yetu
@wisesteven52567 күн бұрын
We jamaa ni genius
@user-bu9wj5pi3t20 күн бұрын
Destiny city church
@jabilmusa756920 күн бұрын
Good people but not right people Hapa nimeelewa sanaaaa brother
@arnoldgerson928012 күн бұрын
Much appriciate brother
@mlingijames191720 күн бұрын
Ubarikiwe na Somo zuri sana, ila Je Mtu atajuaje Majira yake yakutoka?