My brother mungu alikuleta kwajili ya watu wengi hapa Dunian na leo mm ni mmoja ya watu walio fanikiwa kufunguliwa na mafunzo yako.🙏🏾Muungu akupenguvu na maisha malefu ewe uzao mteule nami nipo nyuma ya mafundisho yako. Mungu amekuleta kwajili yangu ili nilishi kusudi langu kabla yako skujua nini maana ya kusudi maana nilikua nijikuta nimefanya kitu kama bahat kumbe ndilo kusud langu. Mungu akubaliki sana kaka ninapo pata changamoto hii video inaludisha memories zote zilizotaka kufutika🙏🏾 proud of you brother
@wivinajohn30286 ай бұрын
Qa
@fatmamwiru75744 жыл бұрын
“Mafanikio yakweli yanatakiwa yakusogeze karibu na Mungu nasio kukutoa kwa Mungu”🙏.
@HappyJohn-e6u3 күн бұрын
❤❤❤
@HappyJohn-e6u3 күн бұрын
❤❤❤
@joycezacharia75984 жыл бұрын
Mungu zaidi kukutumia kufumbua macho ya kizazi hiki. Naamini ndiyo sababu yake kukuleta duniani. Kazi yako ni njema sana. Ubarikiwe na kuzidi. Natamani elimu hii ikiwafikia wengine live hapa Kigoma. Rev. Zacharia Andrea FPCT MWANGA KGOMA
@veronicabiaka47303 жыл бұрын
Nipo kaka angu nami ni MU FPCT KATUBUKA... NAMFATILIAGA SANA.. NDIO MAANA NAMI NINA NDOTO YA KUFIKA MBALI PAMOJA NA WANAKIGOMA WOTE.. NA NIMEILETA FURSA KIGOMA TUPO JENGO LA NMB GOROFA YA KWANZA.. karibu sana kaka
@castorysosoma85404 жыл бұрын
Aisee hili somo bhana ni powerful sana natamani kila kijana angeliskia... Mungu akubariki sana kaka Joel...
@mkiryamadebe76784 жыл бұрын
Good massage
@kennytwinzi90324 жыл бұрын
Casto...umeongea kama ninavotamanigi siku zote nikiona ujumbe mzuri natamani vijana au watu wote wausikie 👍
@tukaesanatu2754 Жыл бұрын
Asante baba kwa somo lako
@mcheshcomedy58094 жыл бұрын
Nipo WA Kwanza Leo kumeza doze ya Kaka Joel!!!😀
@yohanasimtenda7484 жыл бұрын
Brother unatupa maarifa makubwa sana, Yesu akutunze
@anesansibert29684 жыл бұрын
Jaman jaman ubalikiwe ili somo limekuja kwa ajili langu Mungu akupe maisha marefu
@albertmwajega6266 Жыл бұрын
Mungu amekupa kipawa kikubwa kaka ubarikiwe sana napenda kukufuatilia ktk mafundisho yako ubarikiwe sana.
@mmbatizaji80754 жыл бұрын
Pamoja sana kaka, natumia Mb, zangu kwa usahihi kabisa
@letsgobacktoafricafoundati13224 жыл бұрын
Kua maskini ni chaguo la mtu🙌🏽🙌🏽
@MichaelMesso-q5m5 ай бұрын
Amina❤❤❤
@henryabraham-u6c Жыл бұрын
Thanks br again, I was not aware kwamba kusudi la maisha yangu ni zaidi ya mafanikio yangu binafsi, ooh, kumbe tumepishana na baraka za Mungu kwa sababu ya ubinafsi, nimejifunza kitu na ninaanza kufikiria wengine zaidi yangu binafsi, thanks, this is a kick towards my real vision. Stay blessed Joel, keep it up
@aminakiyungi942 жыл бұрын
Mungu akubarik mtumish vipindi vyako vimekuwa faraja kwangu sana
@rimepeter7894 жыл бұрын
AMEN in JESUS NAME, I believe in this message, God bless you sir ❤🙏
@upendowerema22474 жыл бұрын
Asante my brother,Mungu azidi kukutumia na kukubariki,This is what I needed to hear
@isaacktweve6303 жыл бұрын
Nataka niwe mwanafunzi wako ,nitumie Contact.
@johnsonmarick454 жыл бұрын
Great talk, great learning bro
@ShukranJulius-n6y6 күн бұрын
Hallelujah, hakika naona mwanzo mpya kwangu, barikiwa zaidi kaka Joel
@breshnyanjwa31024 жыл бұрын
Praise be to God, may God add u more strength to do this
@leahmzulu15054 жыл бұрын
Only "VISION" Ahsante sanaaaa
@markojohnwalinguzo42254 жыл бұрын
Mungu akuinue juuuuu zaidi mtumishi, yaani najuta kwa kutokukufahamu Mapema maana nimepoteza mda wangu mwingi kufuatilia visivyo vya msingi mpaka juzi nilipoona post Kali ya diamond alafu akanukuu imetoka kwako ndo nikaamka
@seefshamis54984 жыл бұрын
Naitwa siffah nipo oman hakika asante sana Joel umenifanya niwe na maono madhbuti
@happynessmasere2364 жыл бұрын
Joe is Annointed..powerful.. Mungu akutunze kila siku.
@assamwakasanga60293 жыл бұрын
God blessing us
@kenyantotoz42444 жыл бұрын
MashaAllah mungu akuzidishie kaka,,, nimejiona mtu mtofauti kwa nasaha zako..... Mob love from kenya
@KisaliRaphael4 ай бұрын
Professor nakusoma vzr sana MUNGU akubariki SoMo lako limenigusa na nitafanyia kazi MUNGU akupe miaka mingi katika jina la yesu amen
@mathewmartin44133 жыл бұрын
Asante sana KK mungu. akubariki na kukupa maisha marefu
Barikiwa saana kaka Joel I regret why nilichelewa kuanza kukufuatilia vision,time and priorities
@isaacktweve6303 жыл бұрын
Man of God,Keep it up.
@naomienos79332 жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@annamallya87564 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akubariki sana.najifunza mengi kupitia elimu unayotoa.🙏🙏🙏🙏🙏
@sungwandongo94453 жыл бұрын
God bless you!
@martinmhema43124 жыл бұрын
My best motivational speaker ever #JOELNANAUKA thanks sana kwa maarifa yako
@elifurahapetlawe13854 жыл бұрын
Kaka big up mungu azidi kukutumia mda wote
@AlexVenance-s1b7 ай бұрын
Mungu ni mwema ❤
@rabanphotostudionyakanazi_4115 Жыл бұрын
Barikiwa kwa somo zuri.pia hongera kwa Kazi ya graphics
@AvodiusDastan Жыл бұрын
❤kaka mafundisho yaka yamenijenga na ya nikumbusha maisha yangu niliyo pitia
@shukranjulius59103 жыл бұрын
Amina kaka nimekuelewa maana nilikua nachelewa Mungu akubariki
@zebedayokatamaduni96763 жыл бұрын
Amina nimekukumbuka mwl ,, bila shaka ulisha wahi kuja Nzega kkkt kwa ajili ya semina
@elijahanthony76673 жыл бұрын
Asante Sana kwa ujumbe huu Naamini nimeupata kwa wakati maalumu Naahidi kupitia Video hii utakuwa ni ushuhuda mkubwa Sana Ahsante Mungu akupe Baraka na Maarifa zaidi nimejifunza Mambo mengi kwa kina God First ....🙏🙏
@EMMANUELWILLIAM-vj2yw Жыл бұрын
Long live brother Joel you have added the value to my vision one day I will be a great at a God's right time
@Usawa_phonetech4 жыл бұрын
Kuna tofauti kagi Kati ya Vision na Focus! Joel umenifanya niwe na maisha tofaut sana
@khadijakisingo79203 жыл бұрын
Joel unanipa maarifa Hadi nashindwa nikuambie nn mungu akubariki zaidi🙏
@carrencatherine20184 жыл бұрын
Asante Mungu kwa ajili ya Joel.
@erickmdimu35874 жыл бұрын
Amina Kaka nimeelewa hii Kitu (Vision )
@ericksonsteve4075 Жыл бұрын
Amina sana mwamba anguh mungu ni mwema sana
@chieffofofoodinternational4102 Жыл бұрын
nashukuru Sana Kaka umenifanya nisikate tamaa na ninaweza na nitafika mbali mungu akubariki Sana
@agnesssilvan39544 жыл бұрын
Alright Joel...🕺🕺🕺 wewe ni UNSTOPPABLE. Nitaitetea ndoto yangu hadi itimie.
@magaramakindika56473 жыл бұрын
Hakika 100% najifunza vingi sana kwako keep moving we are together brooo
@waziriissa70184 жыл бұрын
Wew baba Kwanza mungu akubariki unanigusa Mimi wazir haa umupita mure mure dar
@applesherman82174 жыл бұрын
Wish you all the best brother. Kupitia wewe Umebadilisha Lifestyle yangu%
@liberatussylvanus54774 жыл бұрын
Thenkyou!
@williamngao44544 жыл бұрын
Nabarikwa sana na mafundisho yako
@MariamChidaga-cf4rg Жыл бұрын
MUNGU wa mbinguni azidi kukuinua daima hili somo limenigusa sana sana naamini ipo siku ntayafikia maono yangu
@gilbertnduwayo5436 Жыл бұрын
Ubarikiwe kaka Nanauka Joel I’m very excited for your training, I hope we will be successful according to your knowledge bro!
@friminadonath504011 ай бұрын
Barikiwa sana Joel unanivusha sehemu kubwa saana ninapokea
@MwanzalimaLeonard8 ай бұрын
Elimu hii ni muhim sana,vijana tutilie maanan kwani ni taa kwetu iwakayo kwa mwanga mzur!ubarikiwe sana mtoa somo!
Mungu akuweke brother hili somo limenigusa na hakika sitoacha kukufatilia
@paulmasingisha30454 жыл бұрын
Safi sana kijana mwenzangu na mwenyezi mungu akufikishe mbali zaidi kwa kutuelimisha
@shabanihassan66263 жыл бұрын
Vzuri sana,nimekuelewa na naona maisha mazuri mbele yangu
@henryludath31394 жыл бұрын
barikiwa Brother salute kwako,
@sesiliakisuba52724 жыл бұрын
Amen nimejifunza zaidi,Mungu akubariki sana
@Annienyagama11 ай бұрын
Mngu akubaliki sana akuongeze cku zakuishi ,kwahili tutasongambele❤
@froridaanthony32784 жыл бұрын
Nakupenda sana kaka joel nanauka nikikusikiliza napata nguvu mpya
@theresiachigali94822 жыл бұрын
Mungu awe msimamizi wako karibu sana dodoma
@leonike-kj6hf Жыл бұрын
Amina Kubwa, nakupenda sana ❤ Mungu akuweke kwa ajili yetu🙏
@eselinabibuka96102 жыл бұрын
Yes Pastor. God bless you!
@LeboyKim10 ай бұрын
Hakika! Mungu na azidi kukutumia Kwa VIWANGO vya kwake❤
@mohammedrashid29062 жыл бұрын
Ahsante Nahitaji. VISION
@juakalimkono72353 жыл бұрын
Yes, nimekuelewa nimekukubali uko vizuri.
@aniki72327 ай бұрын
Brother , nahisi kama Mungu alikuinua kwa ajili yengu mimi. Ubarikiwe sana.
@issakatety3535 Жыл бұрын
Dah umenibadilisha sana kwenye haya maisha💪👏
@thuwaibawadi96723 жыл бұрын
asante sana kaka...unanitia moyo sana...
@eliashope14844 жыл бұрын
Barikiwa kwa ujumbe.
@LinusJohn-e2p3 ай бұрын
Niko na wewe mh unanisisimua sana unanikumbusha ndoto nyingi lakini zitafanikiwa Asante baba mwenyezi akuzidishie pumzi unagusa sana maisha yangu
@frankmtei30174 жыл бұрын
Hatujaja duniani, kuzurura, nimeipenda hiyo!
@solangesoso31004 жыл бұрын
Nimekufuatilia mala moja tu! Hapo hapo nikajikuta nimependa mafundisho yako, nashukuru mungu, katika pitapita zangu kwenye KZbin nikakutana na ujumbe huu🙏🙏🙏
@halimahleema51652 жыл бұрын
Asante Sana mchungaji
@AnnaUrio-d9j8 ай бұрын
Amina baba balikiwa
@shukranjulius95263 жыл бұрын
God bless you brother Joel Nanauka 🙏
@gideonkipruto39874 жыл бұрын
Asante kwa huu ujumbe umenijenga sana
@GjorgeproАй бұрын
Thanks Bro God akulinde
@michaelmasanja51684 жыл бұрын
Thank you bro
@kulwagachu74354 жыл бұрын
Great speech bro..Keep it up
@rabanphotostudionyakanazi_4115 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana kwa somo hilo.
@bahatimtitu75602 жыл бұрын
Hongera kaka Joel Mungu akuhifadhi
@vituskabula47703 жыл бұрын
Mungu akubaliki🙏
@DavisoShadow-v3b11 ай бұрын
Umetisha
@saidagalu29142 жыл бұрын
Shukurani sana kuanzia leo nimejiamini naweza kufanya kitu mungu akubarik
@upendofrank49174 жыл бұрын
Asante kaka unanikuza kiakili, mungu akubariki na akulinde bro 🙏
@kivuquality2424 жыл бұрын
Nafata Videos zako apa Congo...Bukavu...Ndugu Ubarikiwe sn
@christinahjustine41704 жыл бұрын
Mungu akubariki sn , umenifanya kuwa m2 mwingine kabisa
@victoriamkongwa2 ай бұрын
Mungu alikuleta Tanzania uwe chombo moja wapo cha kuifikisha HEKIMA ya Mungu kwa wanadamu....Efe 3:10
@VincentToto-xj2bo Жыл бұрын
Màisha mrefu kaka umebadirisha life langu God bless u
@adijarichard85712 жыл бұрын
Asante kwaushauri
@samwelmahimbo36944 жыл бұрын
amen much blessing
@Maikosospeter-tx1zm Жыл бұрын
Mungu akupe maisha malefu joel
@EmmanuelSimukonda-w2m Жыл бұрын
God bless you
@masomoyakarne51227 ай бұрын
Ubarikiwe sana kaka Joel, unasaidia wengi
@ndulutheodorick43224 жыл бұрын
Mr Nanauka, kweli kazi unayofanaya yanafanya kazi kubwa sana katik maisha ya watu. Mimi mwenyewe ninakutazama sana usoni unapoongea,na sasa swali langu ni kuwa: kwanini unabadili ukubwa na shindo la sauti yako ikitegemea ukumbi unaohotubia? Mimi nina mradi wa kukuiga wewe na kuwa mzungumzaji bora kama wewe na labda kufikia kukuzidi wewe. Una mchango wowote unaweza kuchangia kwa swali langu? Mimi ninaitwa Ndulu Theodorick nikiwa USA. Asante kwa kazi zote ufanyazo.
@gwamakamwasamwaba78984 жыл бұрын
May God bless you bro, I always appreciate all you bring to us!