Nakuaminia mama. Mungu aongoze hizi juhudi zako mama kipenzi
@user-cw2nj4io3vАй бұрын
Pawepo na mahakama maalum ya Katiba ambayo ni huru pia, inayoweza kushughulikia kezi zinazotokana uchaguzi na siyo mahakama za kiraia.
@kindysuleiman5935Ай бұрын
Mama nakukibali pigakazi
@christinenyagiro6662Ай бұрын
Hao makamissina mar moja maana hao gao ndiyo waliaribu uchaguzi wa 2020. Ukawa wa ovyo kabisa. Kupita kwa kupita wengine kwa kura moja. Pili nadhani katika sheria ushindi wa uraisi ashinde kwa kura 50% na tatu fursa ya kupinga ushindi wa raisi iweze kushitakiwa kwa vitu ambayo yalitokea katika uchaguzi.
@edistidiusmutalemwa5758Ай бұрын
Jamani,toka lini barubaru akaachiwa kigoli na kigoli akatoka salama! 😂😂😂
@ChristmasMaheriАй бұрын
Well spoken.Sheria za sasa hazijilindi pia.
@ZaitunAbdallah-ol1bbАй бұрын
Jukwaa la Tanzania au la Tanganyika ???????
@ZaitunAbdallah-ol1bbАй бұрын
Msiunde jukwaa la Tanzania bila kuwemo wazanzibar mwenyekiti akatoka Tanganyika katibu atoke Zanzibar hapo ndipo utasema Tanzania jee katibu ni naniiiiiii?
@hajihassan5433Ай бұрын
Mama Dr. Nkya hongera lakini nikukumbushe unajuwa kuwa Tanzania ni Muungano wa Tanganyika na Zanzibar? Je kwenye maoni yenu hamkuona kuwa Rais wa Tanzania anaweza kuchaguliwa bila ya kura hata moja kutoka Zanzibar? Nyinyi mmeona tu ushindi kwa kura moja?
@drallan6879Ай бұрын
mama ana phd nyingi kwa sasa hawezi ondo uttata ltk hili la te huru fake?
@christinenyagiro6662Ай бұрын
Hivi mtu akisimama peke yake atashinda kwa kupata kura ngapi? Hata akipata 20% bado atakuwa ameshinda?
@LazaroMwakasege-bh5enАй бұрын
Leo watanzania tuamke tuachekudanga nywa na visenti vidogo ambavyovinazidi kututia umasikini
@rebekakulwa6159Ай бұрын
Bado Kuna mapungufu makubwa. San fisiemuwatatutseala kwa nguvu maandamano yarndelee
@user-zk9ox3di4bАй бұрын
tunata
@user-iz4te4gs5sАй бұрын
Public coments
@namsifubwana2152Ай бұрын
Katiba mpya ni sasa
@rasnchimbiАй бұрын
👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
@user-zk9ox3di4bАй бұрын
asante sana watanganyika wanataka katiba mpya nilazima watanganyika kutusomea kwamaneno kwenye majukwaa. sio haki je nauliza mumetembelea kila mkoa na wilaya na vijiji vyao husika je nauliza miminikitaka kugombea bila chama siinawezekana kama sitaruhusiwa basi inamaana
@user-zk9ox3di4bАй бұрын
je nauliza sisi wananchi atuwaamini ninyi kamwe tuna
@rebekakulwa6159Ай бұрын
Ili wachaguliwe bila kura waje watuuze
@deomuday7315Ай бұрын
Wakiwepo watu wa aina hii TZ Utasikia wanaitwa wapinzani mara wanaharakati...wakati ni mambo ya MSINGI kabisavkabisa Kwa wale walio HAKI. Shillingi yangu inabaki Kwenye kapu MAMA.. Umeongea vyema.