No video

Mahakama Yabariki Uchaguzi TLS, Mwabukusi Afunguka 'Nitashiriki Uchaguzi'

  Рет қаралды 34,235

WAKILI TV

WAKILI TV

Күн бұрын

#ijuesheria #tlsagm2024 #tlselection2024 #mwabukusi #tls

Пікірлер: 92
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 Ай бұрын
Watanzania tunamshukuru Mungu sana,Viva Mwabukusi, viva mawakili wasomi kwa namna mlivyoisimamia sheria iwape haki zenu,tunwaomba mumpe mwenzenu kura za kutosha huyu mwanaharakati nguli wa watu wadogo na Mungu awabariki na sisi wadogo tunazidi kumuomba Mungu amfunike kwa mbawa zake,awe salama asionwe na hawa wadhalimu wa taifa Amina.
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 Ай бұрын
Hongera sana Mwabukusi, unatakiwa pia ugombee na usipika wa bunge la Tanzania
@sammykateregga6238
@sammykateregga6238 Ай бұрын
VIVA Mwambukusi endelea kupigania utawala wa sheria na si vinginevyo na Mungu akutangulie
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 Ай бұрын
Mwambukusi tunakuombea Mungu siku zote anafurahishwa na watu wanaojali mambo ya jamii. Mwambukusi unajali sana mambo ya jamii na watu wote kwa ujumla.Mungu akuepeshe na nia za hawa waovu
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm Ай бұрын
Maw akılı ingawa kwa shida, hongera sana kwa kuungana kwa hili.Bila sheria safi, bila wanasheria kuwa pamoja na kuwa kitu kimoja, nchi nzima inayumba. Hongera sana mawakili wote. Tuko pamoja kinchi na kitaifa Tanzania itashinda kwa umoja kama huu. Wote tujipongeze.
@raymondnlelwa427
@raymondnlelwa427 Ай бұрын
Viva kiongozi wa wanyonge Viva Kajujumele Mwabukusi viva! MUNGU wetu akakuinue katika katika viwango vya juu zaidi.
@luganomwaigomole7441
@luganomwaigomole7441 Ай бұрын
VIVA MAWAKILI..VIVA MWABUKUSI ❤
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b Ай бұрын
Amen mawakili muache uchawa mupe mwabukusi afute uchawa kwenye chama chenu mungu akutangulie
@bonifacemeela5247
@bonifacemeela5247 Ай бұрын
Hawa ndo Mawakili sasa Hongereni sanaa 😊
@EmmanuelAngetile-gn2td
@EmmanuelAngetile-gn2td Ай бұрын
Hongera na tunakuombea ushinde huo urais
@Anithawilielemi-uh3ww
@Anithawilielemi-uh3ww Ай бұрын
Safi sana kamanda wangu Mungu akutangulie
@TitoRufizi-xb2ub
@TitoRufizi-xb2ub Ай бұрын
Safi sana wazalendo
@NicholausFungo
@NicholausFungo Ай бұрын
Nakukubali san kaka Adv Mwabukusi, haki yako ni lazima kuidai
@rogersiddy
@rogersiddy Ай бұрын
Bora wasingemfungia kbs kugombea hivi ndo kwanza wanampa kick ya kushinda asubuhi kweupeeeee ili akawakomeshe maccm😂😂😂😂😂
@user-qb6dx2kv3z
@user-qb6dx2kv3z Ай бұрын
Hongera mwabukusi watanzania tupo nyuma yako tukikuombea
@SundaySteven-bz4yq
@SundaySteven-bz4yq Ай бұрын
Safi kabisa wewe ni mwanasheria anae jiamini
@Francis-kx1sb
@Francis-kx1sb Ай бұрын
😮utapita mungu akubariki
@manyamalima1916
@manyamalima1916 Ай бұрын
Ukamiliki na kutawala katika jina la Yesu
@mosesbarnaba7851
@mosesbarnaba7851 Ай бұрын
Mungu akutangulie mwabukusi
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 Ай бұрын
Akutunze na kukulinda 😊
@AsteriaMasika-st5pk
@AsteriaMasika-st5pk Ай бұрын
Waoo wakili msomi well come
@NicholausFungo
@NicholausFungo Ай бұрын
Mungu akulinde
@samwelimwalindu3735
@samwelimwalindu3735 Ай бұрын
Nikikuona nafalijika sana baba yangu mpaka nyumbani kwenu hakika utafikambali
@anosiata8242
@anosiata8242 Ай бұрын
Wakili Mwambukusi uwanga sichoki kukusikiliza. Mungu akutangulie
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 Ай бұрын
Hayumbi na anasimamia anachokiamini
@anosiata8242
@anosiata8242 Ай бұрын
@@adelinelyaruu3036 ni kweli
@dillonfoya
@dillonfoya Ай бұрын
Hii imekaa vizuri Tunatakiwa tusome kwa Wasomi
@bogoheidaso2628
@bogoheidaso2628 Ай бұрын
Hongera sana kaka kuitafuta haki yako
@FilbertMsongela-xt9tq
@FilbertMsongela-xt9tq Ай бұрын
Pamoja sana mwamba
@PhilipoMwita-b2x
@PhilipoMwita-b2x Ай бұрын
Anatuliza mpira kutumia kifua anaweka chini anaangalia pakupiga Pasi inapenyezwa hatariii mwabukusiiiiiiiiiiiiiiiss. Goooooool
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh Ай бұрын
Tunataka viongozi kama hawa ambao hawatetereki na kuongozwa ktk nafasi yake juu ya kuisimamia sheria viva mwabukusi
@uredmwasembo8579
@uredmwasembo8579 Ай бұрын
Mwabukus ni mwamba Sana viva mwabukusu
@wechemakambo2182
@wechemakambo2182 Ай бұрын
Dah huu mtindo wangu wa kukonyeza gizani ngoja niuache,haya mambo ya kuvimba macho km mchina yasinikute😂😂😂
@juliusjohnii7823
@juliusjohnii7823 Ай бұрын
B Mwambukusi. ✊✊✊✊✊✊
@salummohamed2689
@salummohamed2689 Ай бұрын
Ni wakati wa wanasheria wetu kujipima kama kweli wao si watu wa kununuliwa kirahisi hivi.
@prospermalala6636
@prospermalala6636 Ай бұрын
Mungu yupo pamoja nawe MH Boniface mwambukusi wakili msomi mwenye uelewa ktk shughuli za kuielimisha, kuifundisha jamiii iliyopo mbele yako ielewe kinachojiri nchini kwetu Tanganyika, spana zinawabana Kwa ajili ya manufaaa ya wananchi waliowengi wameanza kuyaelewa hayo unayoyasema 🙏🙏🙏🙏🙏
@ClementLushino
@ClementLushino Ай бұрын
Wengi wa wasomi wetu wanaweka elimu wao kwy tumbo, uchawa kuitaji uongozi wakuteuliwa sifa tu lkn si kwa ajili ya nchi na wananchi, Mwambukusi ni wakili msomi na mtetea nchi.
@benedictgamuya8855
@benedictgamuya8855 Ай бұрын
Well done....
@charlesboniphace2249
@charlesboniphace2249 Ай бұрын
Yaani Africa tutaendelea kuwa watumwa wa waarabu na wazungu .
@emanuelsinyinza
@emanuelsinyinza Ай бұрын
Mawakili siyo wanasiyasa wamesoma tofauti na tasisi nyingine kama walimu na ndiyo tasisi yenye watu wa shida kwa masilahi
@user-jf7rg1ux9l
@user-jf7rg1ux9l Ай бұрын
Genius man of the peaple
@madengejr
@madengejr Ай бұрын
Viva mwabukusi
@yordanyona1234
@yordanyona1234 Ай бұрын
Wanasheria wenyewe tu wanakiuka sheria ...kwa kwweli inatia aibu
@zxcvbnmmkh
@zxcvbnmmkh Ай бұрын
😂😂😂 Hiyo ndio mbuzi kala mbuzi sasa.
@KudraWanguvu-em1xw
@KudraWanguvu-em1xw Ай бұрын
Walarushwa wakubwa pili ni mandumila kuwili
@kennethmanangwa8189
@kennethmanangwa8189 Ай бұрын
Hii nchi haipendi kuwathamini wasomi wake.Wangekua wanawatumia kwa ushauri mbali mbali ungekuta tuko mbali sana.
@frankbutati8343
@frankbutati8343 Ай бұрын
Mwabukus ni mzarendo sana
@user-nm8ym6iq7n
@user-nm8ym6iq7n Ай бұрын
Mwabukusi unamshauli nn mh mpina kwenye hili la bashe?? Mwabukusi, mii namwambia mpina ukipiga ya nyonga piga malizia na umber cat 😂😂😂😂😂
@salumhassanallymkurdistan7006
@salumhassanallymkurdistan7006 Ай бұрын
MWAMBUKUSI TAFUTA CHAMA UJIUNGE ILI UPATE JIMBO LA KUGOMBEA URASI AU UBUNGE
@MohammedAwadh-gq9si
@MohammedAwadh-gq9si Ай бұрын
Utashiriki ila hutagombea! Muda umepita ,
@brunonsungwe8389
@brunonsungwe8389 Ай бұрын
Safi
@migerajacob581
@migerajacob581 Ай бұрын
Tupo pamoja ,,Go,! Go! you fix it,,
@beinafuu6219
@beinafuu6219 Ай бұрын
Kaka pole duh
@akramissa3393
@akramissa3393 Ай бұрын
Simamia haki Mwabukusi, wewe utairekebisha TLS. Ilishaoza upande mmoja, kakate palipooza kunusuru palipo safi
@stephenwakunyala4004
@stephenwakunyala4004 Ай бұрын
Mwabukusi Mungu awe upande wako
@christophermboya7676
@christophermboya7676 Ай бұрын
Mungu hajamwqcha mwenye haki
@user-bp7nb7yp2o
@user-bp7nb7yp2o Ай бұрын
Mwaghanile mwebhakubhusokelo ugwankaja nu gwamunjini
@christianlutego1288
@christianlutego1288 Ай бұрын
Dah!! Wasomi wote Tz wangekuwa km hawa jamaa Tz ingesimama imara
@muharamijuma1569
@muharamijuma1569 Ай бұрын
Haha Wenzakò Hawakutaki Halafu Unataka Kushindana na TULIA ITISHA MAAN DAMANO JITADĤIMININÌ BABU
@brigethsauzand3926
@brigethsauzand3926 Ай бұрын
Naomba upite Kwa kishindo Sababu uwezo unao na ninaamini unapenda haki utakuwa upande wa watu wanaoonewa na wenye nazo tapeli anakutapeli Kisha anaenda kukushitaki mwenye haki kweli!!
@dominicmyumbilwa1657
@dominicmyumbilwa1657 Ай бұрын
Product ya Mbalizi Secondary School Mbeya
@emanuelsinyinza
@emanuelsinyinza Ай бұрын
Mijitu kama hayo yanayo pindisha ukweli kukandamiza mawakili wetu washenzi hii ndiyo lugha inawafaa .sasa tuwaitaje tunasema njia ya kwenda mbinguni ni kuacha mabaya wanatokea watu wanasema hapana njia ya kwenda mbinguni tuzurumu sasa tuwaiteje wadhambi .
@ayububrantaya6624
@ayububrantaya6624 Ай бұрын
Nawe umeshiba😂😂😂😂
@juliusmlula1658
@juliusmlula1658 Ай бұрын
Walimwengua Kwa utashi wa kisiasa aibu sana Kwa waliomwengua🎉😢😅😊😂
@matipukamatipuka9654
@matipukamatipuka9654 Ай бұрын
Ndugu yangu wameshakupiga kiufundi hapa
@Youngchimodzi823
@Youngchimodzi823 Ай бұрын
Intelligent people always face resistance from myopic minds. In remembrance of Albert Einstein.
@mikelabia716
@mikelabia716 Ай бұрын
❤❤😮xx
@lusajomwakajoka4955
@lusajomwakajoka4955 Ай бұрын
Kuutaka uraisi tuu ila kutetea bandara aaaah
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 Ай бұрын
Mimi siyo mwanashariA LAKINI kweli CCM inharibu kila kiwanda, campany, groups hata bunge. Kilicho baki ni matokeo ya CCM tu.
@MusaOgwoko
@MusaOgwoko Ай бұрын
Utashunda kwa nyingi mafisadi hao
@George-jz3jg
@George-jz3jg Ай бұрын
TLS ni ka-taasisi kakisanii sana kama kale kanaitwa tume za haki za binadamu hutu ni tu-taasisi vichaka vya maovu ya serikali
@jasonwatz7457
@jasonwatz7457 Ай бұрын
Huna hata idea tls imeanzishwa under sheria gani na function yake ni nini, rudi ukasome kwanza
@mohamedamini4268
@mohamedamini4268 Ай бұрын
wote loyer mna babaishana sisi je?
@eliajimmy95
@eliajimmy95 Ай бұрын
Nchi hii imeharibika kila kona
@msongojumbe486
@msongojumbe486 Ай бұрын
Pull up your socks
@godwinkasaizi882
@godwinkasaizi882 Ай бұрын
Mnatia aibu Mawakili
@davidkawesa3594
@davidkawesa3594 Ай бұрын
Kukonyeza gizani
@rasnchimbi
@rasnchimbi Ай бұрын
👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿
@user-sw7tf1ob1b
@user-sw7tf1ob1b Ай бұрын
Tuko pamoja wajinga wapo wa nao kumbatia ccm
@clemencemkondya8561
@clemencemkondya8561 Ай бұрын
Unajifanyaga unajuwa sheria Leo umepingwa chini huna lolote
@ayububrantaya6624
@ayububrantaya6624 Ай бұрын
Kanywee pombe tu
@antidiusalfred4686
@antidiusalfred4686 Ай бұрын
Yan ww n wa hovyo san
@faustinebahenobi3412
@faustinebahenobi3412 Ай бұрын
Ww endelea kutetea maccm wako mwisho utaangukia aibu
@muhsinikoki4060
@muhsinikoki4060 Ай бұрын
wefarani
@eliajimmy95
@eliajimmy95 Ай бұрын
We ni takataka
@medsonulendo4221
@medsonulendo4221 Ай бұрын
Hakika nchi hii tukipuuza sheria zetu haki itatoweka
@brigethsauzand3926
@brigethsauzand3926 Ай бұрын
Naomba upite Kwa kishindo Sababu uwezo unao na ninaamini unapenda haki utakuwa upande wa watu wanaoonewa na wenye nazo tapeli anakutapeli Kisha anaenda kukushitaki mwenye haki kweli!!
@emanuelsinyinza
@emanuelsinyinza Ай бұрын
Mijitu kama hayo yanayo pindisha ukweli kukandamiza mawakili wetu washenzi hii ndiyo lugha inawafaa .sasa tuwaitaje tunasema njia ya kwenda mbinguni ni kuacha mabaya wanatokea watu wanasema hapana njia ya kwenda mbinguni tuzurumu sasa tuwaiteje wadhambi .
Joho DAZZLES CROWD in Homabay, AFFIRMS support for Ruto come 2027
18:09
Azimio TV(Official)
Рет қаралды 35 М.
Joker can't swim!#joker #shorts
00:46
Untitled Joker
Рет қаралды 41 МЛН
Or is Harriet Quinn good? #cosplay#joker #Harriet Quinn
00:20
佐助与鸣人
Рет қаралды 17 МЛН
PEDRO PEDRO INSIDEOUT
00:10
MOOMOO STUDIO [무무 스튜디오]
Рет қаралды 19 МЛН
If Barbie came to life! 💝
00:37
Meow-some! Reacts
Рет қаралды 79 МЛН
WAANDISHI WAZUIWA KWENYE KESI YA ALIYEKUWA RC SIMIYU
5:25
Wasafi Media
Рет қаралды 1,7 М.
Ruto speech today after Gen Z BLOCKED him in Homabay Town
12:07
Kenya News Channel
Рет қаралды 2 М.
Joker can't swim!#joker #shorts
00:46
Untitled Joker
Рет қаралды 41 МЛН