Mna muda WA kupoteza nyinyi watanzania fanyeni KAZI hacheni visasi mtakufa masikini
@sarahmwansile60072 жыл бұрын
Mmeona mnavyo lazimisha kesi ,hata mungu hapendi
@raymonadsaliboko30682 жыл бұрын
Acheni wivu,mtu kafanya kazi kama kijana mzalendo,pongezi kwa selikari
@victorkisenha59332 жыл бұрын
Fanyeni kaz,acheeni mambo ya kipuuzi,
@jaffarichimbuvu94092 жыл бұрын
Amna chochote mnatupotezea bando tu,pumbavuu
@mwanaharusisaidi68892 жыл бұрын
sio ndugu wala rafiki wanayomsema vibaya makinda wakapimwe akili maana kesi yenyewe haina mashiko kuwashinda kimaisha pambaneni siovisasi acheni kupotezeana muda mnaacha kuhudumia wananchi mahosipitarini michango shuleni imezidi hizo ndio vitu vyakushugulikia
@alphadreammedia2 жыл бұрын
Mmekwama aibuuu🤣🤣🤣
@mashakaamosgabinza38932 жыл бұрын
ni hivi shauli hilo halina mashiko makonda anahaki acheni jaja
@Baba-JJ2 жыл бұрын
Hizi ndo zile sheria walizokuwa wamejitungia wenyewe kina Makonda. Yaani kama unaona kuna mtu anaonewa na hajui sheria, huwezi kwenda kumfungulia kesi mwonezi kwasababu wewe sio unayeonewa. Sheria ya kishetani kabisa yaani. Eti Kubenea hana maslahi na hii kesi simply yeye sio mwanafamilia wa clouds kwahiyo kama ni kesi wakafungue clouds, sheria gani hiyo ya kitumwa.
@nipautago85742 жыл бұрын
Chuki binafsi zinamsumbua kubenea! Huko kupotezeana mda
@stanleykitika21292 жыл бұрын
Ngojaa.aki.ifanyekaziyake
@mashimbazephania35112 жыл бұрын
Mnapoteza mda Mungu atamcmamia hamtaweza.
@janekichonge49572 жыл бұрын
Hacheni visasi tafuta pesa muda wote alikuwa wapi kutomshitaki hiyo imeisha expire
@wadeelegbogun30152 жыл бұрын
Makonda babalau.
@gracegrace62002 жыл бұрын
Chuki zenu zitawauwa. Kama kufukuwa makaburi tuanze serikali ya awamu ya nne, wakati wakina Manji walipewa fedha za Watanzania na kuwagawia kwa kuwapunja Kama zawo. Wauza madawa ya kulevya kwa sasa ni mawaziri. Jamani oneni aibu. Watanzania sio wajinga. Wana macho. Mukianza serikali za visasi, mukiiondoka madarakani, watoto zenu wataanza kukamatwa.
@fatmamansour6762 жыл бұрын
Kwani hii imefunguliwa na serikali au mtu binafsi
@neemaisrael6882 жыл бұрын
Kubenea😂😂😂
@mwanaharusisaidi68892 жыл бұрын
Kwani tunajua awamu ya sita ya visasi tutakutana 25 tunataka kubadili gamba
@musabarnabas76282 жыл бұрын
Kesi inasikilizwa katika viunga vya mahakama?
@badenbensoni75162 жыл бұрын
Kubenea au kuna mtu nyuma yake?
@promisetenson72582 жыл бұрын
makonda lazima ashughulikiwe ipasavyo kafanya uovu mwingi mno bila kuchukuliwa hatua za kisheria akilindwa na mwenda zake,malipo ni hapahapa kwa duniani.
@mosesnyelo13802 жыл бұрын
Kafanya maovu gani hebu tuambie
@marryjohn68552 жыл бұрын
Siuseme hayo maovu aliyofanya mbona hatujayasikia mahakamani
@simonnick12422 жыл бұрын
Pumbavu alimbaka bibi yako?
@SamsungGalaxy-kx2zj2 жыл бұрын
Ulisikia wapi makosa 2017 ifunguliwe kesi 2022 unaambiwa hata check unaambiwa isizidi miezi 6 ugomvi huwa hauzidi masaa ila kwa Tanzania hata miaka 100 itafufuliwa kesi baada ya mshitaka kuhonga kuanzia mashahidi wa uwongo mpaka jaji wa kusimamia kesi kama tulivyo ona kwa Ole Sabaya kesi yake
@promisetenson72582 жыл бұрын
Sipingani na unachokiongea ila napingana na makosa ya sabaya,mkuu sabaya alikuwa kiongozi jambazi kama utakumbuka ktk ushahidi wake alishawahi kusema mbele ya mahakama kuwa nikweli alikwenda kufanya kazi kwa mroso ambayo alikuwa aneagizwa na hayati magufuli na philipo mpango akiwa waziri wa fedha,je arusha hakuna mkuu wa wilaya? hakuna mkuu wa mkoa na wakurugenzi?kitendo cha kutoka wilaya ya hai na kwenda arusha dc kufanya kz sehemu iliyo na mtu mwenye cheo kama chake ule ni uhuni mtupu,yaliyomkuta sabaya anastahili kabisa kile upandacho leo ndio matokeo ya utakachovuna kesho.
@chrissfordsadickh82802 жыл бұрын
Jinai haina expire, hata miaka 1000.....kwan kenya waliishtaki UK kudai fidia ya dhulma za ukolon, Kenya ilipata uhuru lin
@zainabubalama88692 жыл бұрын
Tuko busy na MAISHA acheni visasi mumble na mazuri aliyoyafanya Makonda kubenea Unaroho ya visasi Unaroho ya kixhetwani utakuwa mchawi hivi roho mbaya itakusaidia nini chefuu 😏😏😏
@robertphilip3852 жыл бұрын
Wehamnazo kweli
@awadhrajabu14032 жыл бұрын
Kote Kukwepa Kwenda Vijijini Watu Upenda Kuonekana Wakiwa Mijini2 Basi
@whimsymaverick30572 жыл бұрын
Dada anapenda kweli "VIUNGA VYA MAHAKAMA HII'. Maana yake nini? Kwani ukisema tu MAHAKAMANI HAPA AU KATIKA MAHAKAMA HII utakufa? ☹️
Acheni uhasama wa kipuuzi jamn tanzania tunataka amani Mama raisi kuwa makini wanatugawa hawa jaman makonda hana hatia hapa waache siasa hawajamaa
@linuskyando41552 жыл бұрын
KWA HIYO MAKONDA KI STORES ALIFANYA UHASAMA WA KISTARABU???
@godfreymwamaso24242 жыл бұрын
No siyo visasi Makonda siyo kwamba wanapenda visasi aliyesababisha ni serikali na Rais aliyetangulia mbele za haki hao akina Makonda ni wateule wa Rais aliyetangulia mbele za haki Makonda ana kesi ya kujibu japo aliyekuwa anamtuma alikuwa na kinga Hayo ni matatizo ya kikatiba ndiyo maana watanzania wanataka katiba mpya ili mtu akitumia madaraka vibaya kuonea raia awajibishwe na katiba kisheria
@promisetenson72582 жыл бұрын
Sawa kabisa ww unaupiga mwingi sio huyu anayejiita galax
@wadeelegbogun30152 жыл бұрын
Kibenea anataka kiki na kujulikana. Kisiasa,nonsense. Makonda humuwezi
@promisetenson72582 жыл бұрын
Makondo hana chake hapa kwenye kiwanja hachomoki kwa kubenea hatoki mjomba
@bethjohn9282 жыл бұрын
Yote haya ya Nini watu tupo busy kupambana na Maisha nyie mnakazi yakuvurugiana Maisha yaliopita yamepita Kila mtu atAjibu anayoyatenda kwa mola wake
@raymond51752 жыл бұрын
Malipo hapahapa duniani
@omariramadhani99902 жыл бұрын
Kumbe ni kesi ya jamhuri na kubenea
@heritier51192 жыл бұрын
Atamwaga mboga kama sabaya
@edwardlutema60062 жыл бұрын
Mme koswa kazi nyie
@bethjohn9282 жыл бұрын
Kabisa Yani Kuna vitu vinatia aibu kah
@stanleykitika21292 жыл бұрын
Ukobizeniwewe
@mohamedturanardan88712 жыл бұрын
Funga mpoteza watu
@mosesnyelo13802 жыл бұрын
Alimpoteza nani au unafata tu mkumbo na chuki zako
@eliajimmy952 жыл бұрын
Makonda ashughulikiwe
@saimonkaswahilikaswahili6392 жыл бұрын
Fala wewe
@eliajimmy952 жыл бұрын
@@saimonkaswahilikaswahili639 fala mwenyewe
@godwinkileo502 жыл бұрын
Makonda Hana tofauti na Sabaya tofauti Yao nimajina tuu
@simonnick12422 жыл бұрын
Keajina yesu hashughulikiwi mtu acheni kutuchefua mshindwe na mregeeeee