Wajna uyooo... Ma Shaa Allah umependeza... Msihukumu watu...kwani aliowaambia iyo Dini ni nani jmn mtu yyte anaweza kuskliza kwenda ajistri tu akasklize twaarabu
@amirmape6474 Жыл бұрын
Innalilahi wainnailahi rojiun hili ni tatizo kubwa iliyotawala dunia uchafu kama huu na mikusanyiko ya uchafu wa aina hii .....Allah atujalie mwisho mwema
@JumaMzee-vj4yw Жыл бұрын
Allah atusameh cc na wazazi w2
@dullnach2310 Жыл бұрын
Nakumbuka siku moja kuna wapiga kasida hizi za minanda zanzibar walifanya uzinduzi kama huuu wakaalika waheshimiwa wa nchi na mashekhe wakubwa tu akiwemo Sheikh Ahmed Jabir (Aliyan) wakampa nafasi ya kuzungumzia Mtume pamoja na anashid zao lkn hawakutegemea alichozungumzia Sheikh alichowambia kutokana na hadithi ya Mtume, siku moja Mtume alikuta watu wanapiga adufufi akawatahadharisha kwa kuwaambia leo mnapiga dufu tupu zitafika zama watu wataengeza alaaa hizo zana na kutakua na michanganyiko ya wanaume na wanawake na mwisho itakua kupazwa na kugeuzwa makima na masokwe nami naliona hili alilozungumza Bwana Mtume limefika kwa hiyo jaman jamani tuache huu upumbavu ili Allah ätunusuru kupazwa na kugeuzwa makima na masokwe
@zuwenasleiman3587 Жыл бұрын
Kweli nakumbuka ilikua bwawani hoteli
@dullnach2310 Жыл бұрын
Sawa Sawa bwawani Zanzibar cable walikua live
@majutoomari7445 Жыл бұрын
Subhanalah Allah atuongoze ktk njia iliyonyooka
@jamilamohammed6062 Жыл бұрын
Allah huma Ameen kwa sote
@jamilamohammed6062 Жыл бұрын
Allah atu nusuru..hu ni wakati wetu wa kuzidisha ibada.. sana kwa umri huo
@salum8848 Жыл бұрын
Mumtaaaz naomba likes zangu ahsnt khadija umemfunika sabaha kwa hiyo sikaaa yako tamu sanaaa
@fathiyasalim3946 Жыл бұрын
Na moto pia atampita .laana tullahy
@hijazhija316 Жыл бұрын
Tukisema..tunaambiwa mawahabi
@neamusic2601 Жыл бұрын
Kweli Huyu kajaaliwa hasomi sehemu...
@mobilespecialschool4216 Жыл бұрын
Mashallah taarabu nzuri kama khadijah copa mmewaka
@maryamadam5622 Жыл бұрын
Mashallah binti Yusuf. Eid Mubarak. Mmungu akubarik. Tuna vipaji Tanzania tuvitumie kwa busara. Mlamali.
@nahimanaaisha4284 Жыл бұрын
Hurera hilo jambo sio halali tena anaimba moto bila kushtuka kavaa hariri bila oga ya Allah tusamehe nimeng yanaitaj kutubiya nakujirudia saana
@mkongwekhamis4331 Жыл бұрын
Kaswida mbon maziwa Nje hayo ata ushungi hanavaa....
@bintmuhammad4913 Жыл бұрын
Astaghfirullah!! Unatupa khabari za moto wa Jalali kwa vinanda na mchanganyiko wa wanaume na wanawake!! Mnadhihaki dini ya Allah kwani hayo yote yanayotendeka hapo ni haraam hapo hakuna tofauti na Taarab. Mtihani huu 😢😢
@eng.saalim8646 Жыл бұрын
Soon atakuja kuimba diamond akiwa kavaa kanzu kisha tutaambiwa hyo nayo ni katka dini.
@fathiyasalim3946 Жыл бұрын
Sasa mnazidi kuidhalilisha dini na Mtume wetu. Mnaimba dansi mnamtaja Rasul laana ya Allah iwashukie nyote .
Ndiyo mumetubu au ndiyo munaendeleya na mashaka hayo hiyo siyo kasida ni nyimbo tu subirini yaum kiyama muyafaham kama munafanya mzaha na mungu astafirulah mungu nisamekhe😮
@kalssambaboo9932 Жыл бұрын
Mtihan namisauti hata hainogi
@FatmaAli-dp9ps Жыл бұрын
Dini haiwezi kua nyepesi namna hii yaani hizi nyimbo ziwe halali kisa kumtaja allah na mtume tu wanasahau kua hizo R za mziki ndizo zenye uharamu km halali siku wakapige msikitini kukiwa na harusi au jambo lolote tuone km watu watakubali
@seifsalum3018 Жыл бұрын
Ujinga mtupu huu, sio dini hii, haina tofauti na taalabu alafu tukeongea mwasema ooh mnajifanya mnajua.
@lulually5209 Жыл бұрын
Andika vizuri spelling basi taalabu maana yake nini na tukeongea rekebisha herufi
@mobilespecialschool4216 Жыл бұрын
@@lulually5209 sawa nimemsaidia taarabu. ILA amekosea sio kama taarabu ni **TAARABU**
@maryamadam5622 Жыл бұрын
Naam Taarab spellings.
@seifsalum3018 Жыл бұрын
@@maryamadam5622 Allah atuongoze, unaonekana ww ni muandishi wa hizi ngonjela, sasa hii ndo dini gani kam sio uchafu, hizi ni njia za shaytwan, hakuna katik dini ya Allah mambo kam aya,
@fathiyasalim3946 Жыл бұрын
Hamuogopi moto wanafiki nyie mtaingia kwenye huo moto. Loooh njaa inawafikisha pabaya nyie mafisadi wa dunia