KIFO CHA SHEIKH MUHAMMAD IDDI SIYO MWISHO WA MAPAMBANO KATIKA DINI | MASALAFI KAENI CHONJO KAZI BADO

  Рет қаралды 11,400

Singo Media

Singo Media

Күн бұрын

Пікірлер: 56
@ZakariaAlly-vq2rd
@ZakariaAlly-vq2rd 2 күн бұрын
Mashallah umeongea mazuri
@salimtz6
@salimtz6 2 күн бұрын
Ahlu Sunna kufurahia kifo cha ahlu twariqa Ni kumkosea heshma Allah C sawa tusifurahieni 🙏🏾 muhim nikumuombea dua Kwa Yale makosa aliyofanya ulimwenguni na kuwaasa wengine wanaofuata njia aliopitia yeye insha-allah
@AjranAlly
@AjranAlly 2 күн бұрын
Nikweli kbsaaaaa hpo shekh aliteleza saaaaaaana kwakweli nimtihani allah atupe mwisho mwema
@Lulualshagri
@Lulualshagri 2 күн бұрын
Alifanya Nini kwani
@ABUUALLY-u6x
@ABUUALLY-u6x 2 күн бұрын
Sifa za wanafiq anapokufa mtu wa kheri wao hushangiriaa na hufurahi ,siku alipokufa mtume s.a.w basi wanaafiq walifurahia sana na kuchekelea 😢 mpka ikapelekea wakatoka hasaa ktk dini 😢 hivi ndivyo vitimbi vya wanaafiq 😢 kwa manaiyoo kushwrekea kifo cha muislamu mwenzako tunakuhesabu wewe ni mnafiq maana kama sio mnafiq kwanni ufurahie msiba wa mwenzio ?😢 Allah anatuonyesha jinsi gni hawa wanaojiita masalafi walivyo kuwa wanafiq 😢
@Chemba67
@Chemba67 Күн бұрын
Nimeangalia zaidi ya video tano tofauti tofauti zinazozungumzia wasifu wa marhum.........nimeona huyu mshika visemeo amepata tabu sana na hivyo visemeo vingiiiiii alivyovishika , anaonekana ana struggle kutafuta namna bora ya kuvikamata lakini kutokana na wingi wake anajikuta vinapiga makelele kiasi cha kutosikia wakati mwengine kinachozungumzwa.
@SingoMedia
@SingoMedia Күн бұрын
Ni kweli kabisa
@JailanRamadhan-m6f
@JailanRamadhan-m6f Күн бұрын
Tafadhal mashekh msiwaite mawahab kwa jina la masalaf waiten mawahab
@BakariBinuri
@BakariBinuri Күн бұрын
She muogope mungu kwani mnagombania vyeo
@JumaSalu-z8i
@JumaSalu-z8i 2 күн бұрын
Daa huu ni mtihani mkubwa ivi unawezaje kumwambia mwenzio alietangulia mbele za Hali hata huyo Allah ndiy alivyofundisha
@AbdulswamadHashim
@AbdulswamadHashim Күн бұрын
Sheikh nani ulimsikia akifurahia kifo Cha sheikh muhammad subirini msikie angalau yoyote ndomseme wachamungu watatofautiana laakin akifa mmoja zitabaki duatu elewahivo mzeewetu
@yusuphrashidi-dr1kb
@yusuphrashidi-dr1kb Күн бұрын
Hapo ndipo unapokoseaga babu yangu usizungumzie harakati wakati bakwata miaka 61 hospital hakuna mmeuza mali za waislam ndomana walio wengi wanaumizwa na mambo yenu
@allymtito8117
@allymtito8117 2 күн бұрын
Allaah akuongoze ww jongo na genge lako
@Lulualshagri
@Lulualshagri 2 күн бұрын
Masalafi ni akina nani?
@ibrahimmsabah440
@ibrahimmsabah440 2 күн бұрын
Asalam alaikum, wislamu wenzangu hasa salafiina tusimtukane huyu sheikh Jongo wala tumbeze,huo ndio ufahamu wake tumvumilie tu na kuhusu kifo cha sheikh Muhammad Iddi tuhuzunike,tumuombee maghfira na tumuombee pepo ya Allah ila na tusichoke kumuomba Allah awaonyeshe hawa masufi njia ya haki,angalieni mtihani huu eti wanaisomea maiti ya sheikh abu Iddi maulidi,astaghafirullah ni uzushi wa hali ya juu kabisa,Allah awasamehe.
@Kzm-c9u
@Kzm-c9u 2 күн бұрын
Hata huyu Jongoo akifa tutafurahia Inshaa Allaah
@salmaramadhan2725
@salmaramadhan2725 2 күн бұрын
Utaanza wewe kufa kabla YA jongo Na naomba iwe hivyo
@assadyabdull5146
@assadyabdull5146 Күн бұрын
Weye sio binadam Acha tu kuwa mwislaam bali sio binadam
@HemedSerious
@HemedSerious Күн бұрын
Ww uanaharamu wako ata akifa mama Ako na baba Ako shingai unaweza kufurahi😂😂😂
@mekijitiomary8506
@mekijitiomary8506 Күн бұрын
Hata wewe ukifa tutafurahi wewe hutaishi milele duniani hujielewi hatuishi kwa ajili Yako tutaishi kwa mpango wa mwenyezi mungu hovyo kabisa wewe
@SaraSara-i1l
@SaraSara-i1l 2 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂mungu atusamehe
@أبوفيصل_الحنبلي
@أبوفيصل_الحنبلي 2 күн бұрын
Kwan Mwamedi Kapambana nn Yeye Alitanfikwa na Abul fadhwil Mpaka akakaa kimyaaa kama Mtoto. Alijitapa kuwa kamsomesha Abul Fadhwil Lakin wapi Akashindw kujib mpka sas ni miaka Mi 5 sasa. Huwez kushindana na Haki.
@arafatiabdullahi
@arafatiabdullahi 2 күн бұрын
Astaghfirullaah😢
@gambigambi7254
@gambigambi7254 Күн бұрын
Shehe itakua shule uli 🏃 masndamano yametambulika ktk katiba ni halali unaruhusiwa kwa mujib wa sheria usipoteshe
@AbdallaHassan-gu6fi
@AbdallaHassan-gu6fi 2 күн бұрын
Waislamu Wa Tanganyika hamna Heshima ya Dini wa nidhamu ya Dini baadhi yenu. Munatukana tuu. WALA HAMJAHITIMU. Kuna Adabu za Kukosoana ktk Uislam. sio hivyo munavyofanya.
@kifandenabil
@kifandenabil 2 күн бұрын
Huyu mwenyewe c ndo amesema anawaagiza malaika huyu au siye😂😂bora IDDI, ALLAH amsamehe makosa yake
@AllySibila
@AllySibila Күн бұрын
Sasa wewe kama huwezi kuwatuma kuwaagiza malaika si wwe jiwe tu. Malaika tunawaagiza tu kama huwezi wwe huna elimu
@kifandenabil
@kifandenabil Күн бұрын
@AllySibila muogope ALLAH Dunia ni mapito tu kuna kaburi,,,halafu hii mitamdao wanasoma wengi kama huna unakaa kimya.
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw 2 күн бұрын
Haya sasa watu kama nyie ndio mnalioachwa na huyo mpotevu mwenze alie wekewa tani saba za ardhi leo huo ndio urithi aliowaachia wa matusi unajua kumtukana muisilamu mwenzio hukumu yake ni nn? Wewe tukana t lakini jua kwa kutoa matusi kwako hicho kinywa chako hata ukimuombea dua huyo mzushi mwenzio dua yako haiubaliki
@BakariOmari-tr8cy
@BakariOmari-tr8cy 2 күн бұрын
Huyu jongo ndoo jinga zaid
@SabrinaYasin-q6q
@SabrinaYasin-q6q 2 күн бұрын
Hv ww una din kwel
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw 2 күн бұрын
Nyie hampo kwaajili ya kuinua dini ya allaah iwe juu bali nyie bakwata ni wapigaji hapo wewe jongo msikiti wako uko chini ya takukuru sasa hv tunaswali na takukuru ndani kwaajili ya upigaji wenu msikiti wenyewe wametanda buibui hamana harakati za elimu
@gambigambi7254
@gambigambi7254 Күн бұрын
Nawe hutolinda dunia kashaenda huna uwezo wakufanya chochote usivae joho la mungu umemeosha una chuki na ahlul fitna kabisa
@aishathabit3732
@aishathabit3732 Күн бұрын
Yani huyu upolisi wakw umo ndani ya dam . Hata msibani yeye ni kutetea watawala tu. Wenzake wanakufa na wala hapati mazingatio
@HABIBHASSAN-wf5mr
@HABIBHASSAN-wf5mr Күн бұрын
ETI MASALAFI NN MAANA YAKE ? MTU BADALA UJIITE MUISLAM UNAJIITA SALAFI... YAANI UELEWA NAO ! WAMETAJWA WAPI MASALAFI KWENYE AYA GANI ..TOKA ADAM MPAKA MUHAMMAD MWENYEZIMUNGU ALITUITA WAISLAM..SASA UJIITE SALAFI SI NI MAMBO YA AJABU HAYO ?
@maalimjuma10
@maalimjuma10 Күн бұрын
Qur'an yenyewe unaijua?!
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw 2 күн бұрын
Angalieni misikiti ya sunnah hata ukiwa wa mabati lakini unakuta umejaa wanafunzi watu wasoma dini yao sio nyie mwawatapeli waisilamu kumbe mumevaa ngozi kondoo lakin asili ni chui
@YaziduIddy-j2t
@YaziduIddy-j2t 2 күн бұрын
Mnasoma dini mnasoma matusi
@AliKhamis-j9z
@AliKhamis-j9z 2 күн бұрын
Kwani nawe shehe
@omaryjalyabaggo1113
@omaryjalyabaggo1113 2 күн бұрын
Uyu anaechekwa nibora zaidi kuliko hao wanaomcheka ikiwa huyu hakosi kuteleza kwakua ni mwanaadam lakini alivyoviacha ni vikubwa zaidi mbele zake allah subhanahu wataala je ww na mm tukiondoka tutaacha nn??
@hemedahmed3094
@hemedahmed3094 2 күн бұрын
Ayo unayozungumza ni mambo ya ghaib ww umekuwa mjuz wa ghaib kwa maneno yako
@AwaShaban
@AwaShaban 2 күн бұрын
​@@hemedahmed3094kweni hao masalafii hawatakufa kikubwa shekhe wetu ametangulia sisi tupo nyuma yety tumuombee kwa mungu ampe kaur thabit kwamema aliyotuachia tuseme Alhamdulilah ao masalafi nao wasubir wakat wao maana hakuna kitakachobaki
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw 2 күн бұрын
Waganga mumekutana nyie wenyewe sio waadilifu majuzi t wakati yuko hai sheikh wa mkoa wa dsm wa zamani alhad musa alisema walimloga huyu marehemu na kama anabisha watamloga tena asipo acha kumsema sema alhad atamloga nyie
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw 2 күн бұрын
Wahuni wanapiga makelele ndani ya msikiti kama wako kilabuni wajinga nyie
@JailanRamadhan-m6f
@JailanRamadhan-m6f Күн бұрын
MAma yako cyo mjinga Kwa kuzin na walevi Alf ukazaliwa wewe? Unadhan hatukujui?
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw 2 күн бұрын
Jambo la mwezi wa ramadhani na jambo la arafa Huo ndio upotevu aliowaachia wajinga wenzake aliowapoteza
@kassimualli1755
@kassimualli1755 2 күн бұрын
Mkundu wew
@aishathabit3732
@aishathabit3732 Күн бұрын
Hata Saud sasa haitaki mwezi wa kimataifa na hata Mafuta sasa ameungana na Bakwata au hujui? Saud hana shida ya dini bali nyie ni magenge kama UVCCM au MC4 na si zaidi
@allycomm1553
@allycomm1553 2 күн бұрын
Mzushi huyo umma utapata Raha kw kuondoka n BIDAA zake
@kassimualli1755
@kassimualli1755 2 күн бұрын
Mkundu wew
@twahilhoja8103
@twahilhoja8103 2 күн бұрын
Kuna wa2 hua wana matope na sio akili hawa wanaojifunza qul hua Llaahu arafu wanafuga ndevu na vinjiwa na kujikuta masheikh na kuwa2si wanazuoni yaani mtihani sana dini imeingiliwa kwa kweli
@AllySibila
@AllySibila Күн бұрын
Kwani bidaa ndo nini
@maalimjuma10
@maalimjuma10 Күн бұрын
Huwez kumjua Mwanachuoni ukiwa ww ni mjinga
@ZalhaJabir-i5t
@ZalhaJabir-i5t Күн бұрын
Uma kwiyo
SHEKH MUHAMMAD IDD AMREKEBISHA SHEKH WA MKOA ALHAD MUSA
14:16
BOB SHACK
Рет қаралды 198 М.
Cat mode and a glass of water #family #humor #fun
00:22
Kotiki_Z
Рет қаралды 42 МЛН
Сестра обхитрила!
00:17
Victoria Portfolio
Рет қаралды 958 М.
Правильный подход к детям
00:18
Beatrise
Рет қаралды 11 МЛН
MSIMAMO ULOSABABISHA MASALAFI/WAHABI KUMCHUKIA SHEIKH ABUU IDDI
29:43
RAMIYA WETU TV
Рет қаралды 21 М.
TULIKUA PAMOJA MPAKA SAA 4 USIKU NI MZIMA ALLAH ANATISHA
5:05
arkas online tv
Рет қаралды 64 М.
Cat mode and a glass of water #family #humor #fun
00:22
Kotiki_Z
Рет қаралды 42 МЛН