Kigaila(CHADEMA): 'Mnamfanya Rais Kuwa Mungu' Aonesha Matobo Muswada wa Sheria ya Uchaguzi

  Рет қаралды 43,893

The Chanzo

The Chanzo

Күн бұрын

Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2022 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 108
@user-ry1pe3tu5s
@user-ry1pe3tu5s 8 ай бұрын
Kigaila ndie alietowa mchango kwa niaba ya wananchi, kigaila hongera, ,chadema oyee
@mohoniajoseph9067
@mohoniajoseph9067 8 ай бұрын
Mchango mzuri sana Mhe. Kigaila
@danielkanso
@danielkanso 8 ай бұрын
Kigaila ameupiga mwingi ila wasimamizi wote wamekwapua mpira na kuuweka kwapani kwa sababu wanaogopa
@josephmwita6012
@josephmwita6012 8 ай бұрын
God bless you
@johnmakundi9877
@johnmakundi9877 8 ай бұрын
Asante Baba kwa kutema madini
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 8 ай бұрын
I wonder where is mbowe... Huyu ndio anafaa kupigania chadema akiongozwa na tundu lissu.....🎉👍🙌🇹🇿
@saulimmbaga.safisana9556
@saulimmbaga.safisana9556 8 ай бұрын
Umeeleza vzr sana hongera sana
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 8 ай бұрын
Sana, no democracy.
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 8 ай бұрын
Mwenye akili anagundua mapema.. Wale mambumbu ndio yamekaa kama mazombi...😂
@ceciliamagalabajimmy4391
@ceciliamagalabajimmy4391 8 ай бұрын
Asante sanaaa Kigaila, mchango mzuri sana.
@tumainimwaifunga3884
@tumainimwaifunga3884 8 ай бұрын
Kigaila safi sana
@user-yh3dv2bl7u
@user-yh3dv2bl7u 16 күн бұрын
Kigaila hongera ndo ulio toa maoni mzzur ambayo yanaweza kusaidia wananchi wake yan nchi hii inaongozwa na mabepari
@FrankMwakatundu-cu6bd
@FrankMwakatundu-cu6bd 11 күн бұрын
AFADHALI WANGEKUWA MABEPARI TUNGEKUWA TUNAAMBULIA HATA KODI YAO. NCHI INAONGOZWA NA WANYANG'ANYI!!! ( UBADHIRIFU, NA UWEZI WA KURA NI UNYANG'ANYI MBAYA KULIKO UNYANG'ANYI WA PANYA ROAD!!?)
@josephmantago2837
@josephmantago2837 8 ай бұрын
Chadema iko vzr sana ina watu waliochunzwa na wako na maono makubwa wanastahili kuliongoza taifa hili tunawachelesha kwa sasa chadema haina mbadala. Mh Kigaila hongera
@FrankMwakatundu-cu6bd
@FrankMwakatundu-cu6bd 11 күн бұрын
UKO SAHIHI SANA, CHADEMA IKIPEWA NCHI TANZANIA ITASONGA MBELE AJABU.
@stevesungura6789
@stevesungura6789 8 ай бұрын
Bravo bravo bwana Masalamengi Kigaila Benson. Uk😅 vizuri saaana
@MzeeKigogo_
@MzeeKigogo_ 8 ай бұрын
Safi sana 🤝🤝
@elisantemoses9309
@elisantemoses9309 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂 mzeeee umeongea kisomi.
@JemisLaizar
@JemisLaizar 8 ай бұрын
Kweli kabisa ✌️✌️✌️✌️
@mangulimanguli3974
@mangulimanguli3974 8 ай бұрын
Ccm bila ya wizi wa kura awawezi kurudi madarakani, Asa kipindi cha uyu Mama watu mitaani wameichoka Serikali ya Ccm ila inatawala kwa vitisho kupitia chawa wao jeshi la police
@ManaseJubilate-kk2gz
@ManaseJubilate-kk2gz 8 ай бұрын
Polepole alishasema nchi Ina wahuni wengi kuliko wanaoitakia mema,hapo zinapigwa hela shughuli inaisha na hakuna mabadiliko ya maana utakayoyaona,so sad!!
@rogersiddy
@rogersiddy 8 ай бұрын
Sasa mmeitisha cha nini icho kikao chenu hovyooo mtu anatupa elimu nzuri alafu mmetoa dk chache ili mkiskia mtu anagonga msumali kwenye kidonda muanze basi dk zako zimeisha yaan nyinyi mmetuona mazuzu sana aisee ila kila kitu kina wakati wake
@nikodemmwambene565
@nikodemmwambene565 8 ай бұрын
Chadema Ina vichwa vyenye akili sana yaan
@richardhoseni2643
@richardhoseni2643 8 ай бұрын
Umenena vyema Benson kigaila ubarikiwe japo sidhani kuna dhamira ya dhati kulingana na mwenendo mzima wa mchakato mzima wa marekebisho ya muswada wa sheria ya uchaguzi ila kwa presentation yako ujumbe umewafikia CCM ambao hiki chama wameshakifanya mali yao maana hawapo tayari kubadilika wala kubadilishana uzoefu na vyama vingine wakati nchi hii ni ya nyama vingi but its the matter of time Muda ukifika kila kitu kitakuwa wazi
@godsonmosi8428
@godsonmosi8428 8 ай бұрын
Kigaila umepiga angle muhimu tena Kwa muda mfupi mnoo 🙏🙏🙏
@mungunimwemakilawakati1299
@mungunimwemakilawakati1299 8 ай бұрын
TUNATAKA KATIBA YA MZEE WARIOBA! HII NCHI NI YETU SOTE!
@hajihassan5433
@hajihassan5433 8 ай бұрын
Katiba ya Warioba unaijuwa au unashabikishwa? Wazanzibar HATUITAKI!
@NeemaLieda-qz3kd
@NeemaLieda-qz3kd 8 ай бұрын
Hawa jamaa hawana dhamiri njema kabisa tume itoke mikononi kwa wanachi hapo sawa yeye.raisi atoe uhuru tuu
@hajihassan5433
@hajihassan5433 8 ай бұрын
Wananchi wepi au vipi elezea kwa mfano, huyo Rais na Wajumbe wa Tume ni wananchi pia.
@user-rg5sg1xz8p
@user-rg5sg1xz8p 7 ай бұрын
❤❤❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
@medicalamon908
@medicalamon908 8 ай бұрын
Meza kuu hamtakiwi kuonyesha kabisa mko upande gani lakini kwa jinsi ninavyo ona kuna upande mnaegemea. Hii siyo sawa kama mnataka kuweka usawa, kutatua tatizo na kufanikisha malengo yenye tija kwa taifa na wananchi kwa ujumla hamtakiwi kuonyesha hata chembe ya ukereketwa wa upande wowote vinginevyo hamfai kuwepo hapo meza kuu.Mnao ongea nao siyo mazuzu mkafikiri nyie ndiyo bora NO hiyo ni nafasi tu
@Werema3760
@Werema3760 8 ай бұрын
2025 Mungu simama.🙏
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 8 ай бұрын
Mwenyezi mungu atatusimamia tukijipigania...🇹🇿👍
@evaemil856
@evaemil856 8 ай бұрын
Nasikia Samia anampango wa kuhama CCM na kujiunga CHADEMA
@emmanuelkyandochali990
@emmanuelkyandochali990 9 күн бұрын
Akili kubwa
@eliudmpisi
@eliudmpisi 4 ай бұрын
Ivi wazee. Ndio Wana jadili swala la katiba vijana Amna tutafika afu vija ndo kesho waje kuitumia wao mda huo awapo Atari Sana
@salummohamed2689
@salummohamed2689 8 ай бұрын
Nyinyi mamodereta sura zenu zinaonyesha unafiki wa kujipendekeza.
@richardhoseni2643
@richardhoseni2643 8 ай бұрын
Absolutely wapo kimasilahi na kujipendekeza sio kesho nzuri ya watanzania wote ndio maana hakuna mabadiliko ya dhati wana kazi ya kula kodi za wananchi lkn hakuna jambo wanaloanzisha lifike mwisho huo ni mpango mkakati wa kuendelea kutafuna kodi za wananchi alafu waendelee kuteseka
@allanmapamba4765
@allanmapamba4765 8 ай бұрын
Masalamakali kama masamalamakali Kigaila shikamoo brother upewe maua yako
@DoctorRengeda
@DoctorRengeda 8 ай бұрын
👊👊👊👊👊👊✌️📢
@khalifasaidi7001
@khalifasaidi7001 8 ай бұрын
Huyu kigaila ndo alisema wakati ule aliwataazalisha ccm namnukuu: MMETUCHAKACHUWA KWENYE SIKALI ZA MITAA NA MKITUCHAKACHUWA KWENYE UCHAGUZI MKUU TUTAWAINAMIA HATUTO KUBALI, mwisho wa kunukuu manenoyake msiyapuuze
@ChristerShao
@ChristerShao 8 ай бұрын
Kigaila umenena,atakayepinga au kukubeza analake jambo.
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 8 ай бұрын
Sana chadema wanaangushwa na mbowe mlamba asali...
@johnkmjema9727
@johnkmjema9727 8 ай бұрын
Kwani huo mjadala ni Chadematuu?
@JeremiahMwalukosya-eh5nf
@JeremiahMwalukosya-eh5nf 8 ай бұрын
Nimjinga tu ndo atakaeamini kuwa Tanzania Kuna uchaghuzi
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 8 ай бұрын
Watu wakianza kufunga ukweli wananyamazishwa... 😔
@magesadani9058
@magesadani9058 8 ай бұрын
Umeonae
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 8 ай бұрын
Misukule ya ccm inabeza haijitambui
@hemedmganga8536
@hemedmganga8536 7 ай бұрын
Nilibaitika kukutana na kigaila mwaka 2015 kipindi kile Cha uchaguzi, na sehem niliyokutana nae ilikuwa setro, pale kituo kikuu Cha polisi dodoma,. Ni moja Kati ya wazee wenye maono Makubwa sana pia Ni m2 mwenye kujali Sana, ongera Sana mzee
@hajihassan5433
@hajihassan5433 8 ай бұрын
Mimi kwa maoni yangu tuachane na mijadala badala yake tuchukuwe kopi ya Katiba ya nchi moja tunayoamini ina Katiba safi halafu tutowe yasiyotufaa na tuingize mazuri ya kwetu. Tanzania ni Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambapo Zanzibar tayari siku nyingi imeichoka siku nyingi kukubali mkataba mpya HAIWEZEKANI.
@1961nungwi
@1961nungwi 8 ай бұрын
Hatuna haja ya ku copy, tulishafanya kazi ya kuitengeneza katiba. Rssimu ipo inaitwa ya Warioba; na ni ya WanaNchi, kwasababu alizunguka Nchi nzima kuongea na wanaNchi
@hajihassan5433
@hajihassan5433 8 ай бұрын
@davidkarani9811 Rasimu Jaji Warioba HAIKUBALIKI ilifanya kosa moja kubwa sana nalo ni KULAZIMISHA maoni yanayoukubali Muungano tume ilitakiwa kuwaacha watu huru ili kwanza tujuwe Muungano unakubalika au la kwa sababu kama haukubaliki kuzungumzia Katiba Mpya ni kujisumbua maana msingi wa Katiba ni Muungano. Waliotoa maoni kwamba hawautaki Muungano waliwekwa jela bila kesi bila Mahakama miaka 9 ni Jumuiya ya UAMSHO kule Zanzibar. Hivyo kwa utafiti usio rasmi Muungano Zanzibar ambayo ni 50% shareholder wa Tanzania HAWATAKI Muungano, watakubali vipi Katiba Mpya (Mkataba Mpya) wakati sababu zao za kuukataa Muungano hazitokani na Katiba iliyopo sana sana kutokuheshimiwa na kutekelezwa kwa Katiba mfano Ibara ya 133 - 144 imezungumzia masuala ya fedha ikiwemo misaada, mikopo nk pia mfuko wa pamoja yote hayo HAYAJATEKELEZWA na fedha ndio uchumi. Kuna mkawanyo wa Watumishi Kikatiba haiheshimiwi vizuri Zanzibar ilitakiwa ipate 4% kwenye kila aspect ya Muungano. Sasa kama Katiba iliyopo HAIHESHIMIWI wala HAITEKELEZWI hata hiyo mpya itakuwa na maana gani. Mimi naona tuzungumzie tunavunjaje Muungano, ikiwa Tanganyika ambayo ndio imebeba jina Tanzania nayo inaona inaonewa sijuwi na nani tumefika pabaya ni bora tu tutengane. Hatuwezi kupata Katiba Mpya nzuri kuliko hii iliyopo na ndio sababu kila anaejadili anashindwa kutuambia iwe je. Mfano issue ni Tume ya Uchaguzi, kwa Katiba ya sasa Ibara ya 74 (1) Mwenyekiti awe ni mtu mwenye sifa ya kuwa Jaji wa Mahakama Kuu au Mahakama ya Rufaa kwa kipindi cha miaka 15, hii maana yake hakupewa Ujaji na Rais aliyepo madarakani isitoshe ni Jaji ambae maamuzi yake yanaweza kutumika kutoa maamuzi nchi za Commonwealth ikiwemo Uingereza ikiwa bado tunahadili yadilifu wa mtu huyo tutampata mtu wa aina gani nyingine. Binafsi nawapongeza sana watiotengeneza Katiba iliyopo wamefanya kazi nzuri sana.
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 8 ай бұрын
Raisi sio mungu acha ujinga liccm
@JemisLaizar
@JemisLaizar 8 ай бұрын
Mkiwa pamoja tume inapatika kitiba impya hii inchi tunanaka katiba
@leoncebenjamin8107
@leoncebenjamin8107 8 ай бұрын
Wambie kigaila
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 8 ай бұрын
Mama Samia tunataka katiba mpya na tume huru vinginevyo utaleta shida
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 8 ай бұрын
Amekatilia katiba mpya hataki kutoa katiba mpya Wanajua wakitoa katiba mpya wamekwisha...😂
@hajihassan5433
@hajihassan5433 8 ай бұрын
@aliyageorge6794 Katiba iliyopo imezuwia nini? Tutofautishe kutokuheshimu/kutokutekelezwa na Katiba mbaya. Hata mpya isipoheshimiwa ni kazi bure. Wapinzani waeneze sera, falsafa na itikadi za vyama vyao waachane na matukio na kutegemea huruma ya CCM. Hivi sasa wananchi hatuoni sera, falsafa na itikadi za vyama hivyo. Uchaguzi ni wapigakura wa kutosha, ukiwa nao hakuna wa kukuzuwia. Kule Pemba Zanzibar tokea 1995 hadi leo kwa Katiba na Tume hiyo hiyo CCM hawana nafasi.
@JayJay-qc1ky
@JayJay-qc1ky 8 ай бұрын
😂😂😂 kigaila kawapiga na kitu kizito mmno, huyo jamaa anae moderate mjadala ndio nani?.. ni mtu wa hovyo sana, ukisha muona mtu mzima ana vaa mapete mengi mkononi basi ujue ana matatizo ya afya ya akili. Kwa umri wake Ina stahabisha sana kumona na mapete yke hayo, ajitafakari.
@rogathesarwatt
@rogathesarwatt 8 ай бұрын
Hiyo ndo Chadema Aliyoisema Mstaafu Msuya Kwamba wako deep
@user-wr8se5re4j
@user-wr8se5re4j 7 ай бұрын
Ukosahihi Kigaila
@sifuelinyaki3341
@sifuelinyaki3341 8 ай бұрын
Mim ata huwa nawashangaa sana watu wansema wanamshukuru rais sijui ametoa hela za kujenga bara bara nk.. ivi haswa wabunge..
@judicalosika7642
@judicalosika7642 8 ай бұрын
Anazitoa wapi?? Mimi Huwa nawaomba wananchi wwenye Upeo wanisaidie KUSHANGAA SERIKALI ndiyo yenye KUTOA FEDHA siyo raisi. Anayekatwa tozo ni raia, Paye ni wafanyakazi. Ninapomsikia Ama afisa ama Dr ama Professor anasema namshukuru rais ametoa pesa!!!!nashangaa, kazipata wapi!! Huku KUJIKOMBA kupungue kama siyo KWISHA.
@faustinsanga
@faustinsanga 8 ай бұрын
Pigianeni kikokotoo kipya hakifai Kwa watumishi wa umma ni dhambi kubwa ya unyang'anyi huu 😢
@faustinsanga
@faustinsanga 8 ай бұрын
Chama kikuu Cha upinzani Chadema tunawategemea hili kuikosea SERIKALI
@mtimti3912
@mtimti3912 8 ай бұрын
Kigaila nataka utambuwe kwamba Raisi ni mungu wa watu wote wasio ishi kwa kufanya mapenzi ya Mungu halisi.Ndiyo maana wote wasio mtegemea Mungu halisi wameweka matumaini yao kwa Raisi
@oscarkasalile3966
@oscarkasalile3966 8 ай бұрын
Wewe unajielewa kweli? Binadamu umfananishe na mungu umerogwa au huna utimamu wa akili?
@johnkmjema9727
@johnkmjema9727 8 ай бұрын
000000!😅
@sabinamachange6040
@sabinamachange6040 8 ай бұрын
Rais ni mungu wako weee pole
@sospeterkedmonchitema
@sospeterkedmonchitema 8 ай бұрын
Raisi ni mungu?
@leoncebenjamin8107
@leoncebenjamin8107 8 ай бұрын
Hujielew labda ni mungu wako
@ukuvukiland2387
@ukuvukiland2387 8 ай бұрын
Msimpe lawama mama,fateni msingi wa haki na sheria,magu katuachia mikopo ,na majivuno,mnataka nini....,kumbukeni kipindi hicho mlikua hamuingei tulieni ,...
@kelvinmkulia4760
@kelvinmkulia4760 8 ай бұрын
Hapo ni wapi alipolaumiwa mama? Kwasababu nyuma walikuwa hawaongei haina maana wanapopata nafasi ya kuongea wasikosoe.
@user-ok6lv3je4b
@user-ok6lv3je4b 8 ай бұрын
Hivi msaafu unasema akuna mkamilifu polepole anasema wauni bado wapo ccm na vyama vya upinzani wauni hawamo
@nemimnazareti5434
@nemimnazareti5434 8 ай бұрын
Full mjadala naipatia wapi?
@user-rc1dp6ux3k
@user-rc1dp6ux3k 8 ай бұрын
Sioni lolote jipya litakalotokea kwenchi hii watawala wana lao jambo hii yote geresha toto
@sonnyr1899
@sonnyr1899 8 ай бұрын
Maneno mazuri sana na hoja za busara kabisa Mze ila sasa ndani Ya Chadema kwenye Vipi kuhusu mwenye kiti???
@davidpallangyo114
@davidpallangyo114 8 ай бұрын
Mbona Swala la Mwenyekiti linawasumbuwa sana? Hivi kweli mnayo dhamira njema ninyi? Unakumbuka Baba wa Taifa,baada ya kuanzisha TANU alikuwa mwenyekiti wake kwa miaka mingapi! Unafahamu Odinga pale Kenya amekuwa mwenyekiti wa Chama kwa miaka mingapi? Kwa kifupi,Vyama vya Siasa ambavyo havijawahi kushika dola na kujiimarisha sawasawa havibadilishi Viongozi wa juu ,hasa wale walioshiriki kuvianzisha. Kiulize:Hivi CHADEMA ikepewa Waitara au Mkumbo ( wote waliwahi kuwa viongozi CHADEMA), kuwa Mwenyekiti CHADEMA ingekuwepo leo?? Za kuambiwa changanya na zakwako.
@shafee9128
@shafee9128 8 ай бұрын
Kaka watu wanazungumza mambo ya Taifa, tume ya uchanguzi ni ya Taifa, katiba mpya ni ya Taifa sasa je chadema ni ya taifa ujinga bado tunao ndio maana viongozi wanatuburuza
@bsmonline8482
@bsmonline8482 8 ай бұрын
Kaka Kama nyumba nzima inavuja unaanza na Dirisha Kinachojadiliwa hapo ni maslahi ya Taifa sio chama chochote
@sonnyr1899
@sonnyr1899 8 ай бұрын
@@shafee9128 Kaka naweza kuwa mjinga kwa kuhoji ila lengo langu ni kwamba wanasia wa Afrika asilia 98 ni wabinafsi na hawana huruma na wewe na mimi wanachojali ni familia zao na rafiki zao. Wallah nakuapia tatizo sio katiba mpya wala chakavu bali roho mbaya ndio zimewaja. Kenya wanakatiba mpya tena very Update sasa tazama uchaguzi ukisogea jinsi mambo yanavyo kwenda mrama vifo, unyankanyi na ubakaji.
@sonnyr1899
@sonnyr1899 8 ай бұрын
@@bsmonline8482 Asante ila subiri wapewe nchi na wao utakuja kunikumbuka.
@user-wr8se5re4j
@user-wr8se5re4j 7 ай бұрын
WANAOFAA KUTOA MAONI NIKAMA HUYU SIO WA LICCM HAWANA MAPYA
@amosmangura
@amosmangura 8 ай бұрын
Ugumu wakatiba nn , hasa
@FrankasamisyeMwaiswasu
@FrankasamisyeMwaiswasu 2 ай бұрын
Ccm wanajifanya wanajua wakati pumba tu
@AbdallahYanga-yu2or
@AbdallahYanga-yu2or 8 ай бұрын
Kila la heri mama Samia suluuu
@faustinsanga
@faustinsanga 8 ай бұрын
Kuikosoa na Si kuikosea
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 8 ай бұрын
Watz.msitegemee miujiza toka kwa chadema.Wanasiasa ni hao hao.Ahadi za Uongo siku zote.Wajinga ndio waliwao😮.Chadema ndio kituko na wahuni,wasaliti akiwemo Lema na Lissu.Wa maa n a ni Mbowe peke yake.Wengine wote wezi ,bila kusahau Chagadema😢😢.Hawana lolote hao.Madaraka tu ba hela ya bure ya Ubunge na marupurupu yake😢
@josephmantago2837
@josephmantago2837 8 ай бұрын
Hovyo kabisa
@mbikamtanganaki
@mbikamtanganaki 8 ай бұрын
Vp kigaila umekunywa ngap leo😂😂😂😂
@erestizacharia4758
@erestizacharia4758 8 ай бұрын
Mlevi wewe tu.
@user-uo6zj2jm3e
@user-uo6zj2jm3e 8 ай бұрын
Msomi
@AbdallahYanga-yu2or
@AbdallahYanga-yu2or 8 ай бұрын
Tuko na wewe mama mpaka 2030
@erestizacharia4758
@erestizacharia4758 8 ай бұрын
Fala tu we chawa.
@SaidAlly-uh4qw
@SaidAlly-uh4qw 8 ай бұрын
Huyu mlevi tu hana lolote
@muhsinikoki4060
@muhsinikoki4060 8 ай бұрын
fala ww
@bsmonline8482
@bsmonline8482 8 ай бұрын
We sidhani kama uko sawasawa na nyie ndio mnaotufanya watz tuonekane wehu wehu ni wachache tuu kama ww
@athumanmapunda
@athumanmapunda 8 ай бұрын
@said Ally kweli kabisa huyu bonge la shoga ccm oyeeeee chapa kazi ccm
@victaboy7273
@victaboy7273 8 ай бұрын
Ushoga wake upo wapi? Wacha upumbavu
@erestizacharia4758
@erestizacharia4758 8 ай бұрын
Chawa wewe wa ccm.
@athumanmapunda
@athumanmapunda 8 ай бұрын
@jeremiha mwalukosiya kabebe mimba ya mwenyekiti mbowe kama una ubooo
@JeremiahMwalukosya-eh5nf
@JeremiahMwalukosya-eh5nf 8 ай бұрын
Kama kwenu wanaume wanabebaga mimba basi kwetu hawako hivyo kabebe mwenyewe mwenye uwezo wakufanya hivyo unalaana kwanza wewe naona unawaza ushetani tu naona hata dini yako imeshindwa kukusaidia
@user-ry1pe3tu5s
@user-ry1pe3tu5s 8 ай бұрын
Ukiona MTU anaitwa PUNDA MAJIBU YAKE UNATEGEMEA YATAKUA VIPI? KILA MTANZANIA ANAJUWA CCM HAWAITAKI KATIBA MPYA, ,WAKAIKUBALI TU WAMEKWISHA
@JeremiahMwalukosya-eh5nf
@JeremiahMwalukosya-eh5nf 8 ай бұрын
@@user-ry1pe3tu5s 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@devissaus1888
@devissaus1888 8 ай бұрын
ashem on you
@erestizacharia4758
@erestizacharia4758 8 ай бұрын
Shoga tu wewe.
@athumanmapunda
@athumanmapunda 8 ай бұрын
Mchumia tumbo kigaila Benson mbwa koko
Dad Makes Daughter Clean Up Spilled Chips #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 7 МЛН
When you discover a family secret
00:59
im_siowei
Рет қаралды 33 МЛН
SCHOOLBOY. Мама флексит 🫣👩🏻
00:41
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 6 МЛН
How Ruto will LOSE 2027
17:04
Herman Manyora
Рет қаралды 17 М.
HECHE AHOJIWA POLISI, AWAPA MTIHANI JESHI LA POLISI....
26:40
LEMA ALIAMSHA DUDE BUNGENI MATIBABU YA LISSU, MWENYEKITI AMTAKA AKAE
4:05
Mwananchi Digital
Рет қаралды 167 М.
Dad Makes Daughter Clean Up Spilled Chips #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 7 МЛН