Kijana anayedaiwa kuuawa wakibishania umri Moshi azikwa

  Рет қаралды 16,878

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

Күн бұрын

Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.

Пікірлер: 48
@ireneshao7950
@ireneshao7950 4 күн бұрын
Hakuna bingwa wa malezi😢tuombe Neema ya Mungu tuu kwenye jamii yetu
@modestamodesta3940
@modestamodesta3940 2 күн бұрын
Hilo ni pepo jmn tukazane kuomba mungu 😭😭😭daah inatisha
@maswamills3161
@maswamills3161 2 күн бұрын
Ehee!!! Uuwii 😮!!
@user-nb6yh2bn9y
@user-nb6yh2bn9y 4 күн бұрын
Kwa sikio laumakini inaonesha kijana marehemu alikuwa pinda saana Sasa akakutana napinda wenzie mh nibola nibaki na Mungu tuu 😢
@Jacklinejohn7
@Jacklinejohn7 2 күн бұрын
Jaman adi naogopa haya matukio kila siku
@failunaomari9372
@failunaomari9372 4 күн бұрын
Poleni Sana kwa haya maumivu jamani.
@JeskerMasawe
@JeskerMasawe 4 күн бұрын
Poleni sana jamani
@merinachalinze-rn2cc
@merinachalinze-rn2cc 3 күн бұрын
Dunia imeisha
@RamadhaniSelemani-bn1fz
@RamadhaniSelemani-bn1fz 4 күн бұрын
Poleni sana asee daah
@nourannouuran3514
@nourannouuran3514 4 күн бұрын
Pole sana baba
@asteriashios1852
@asteriashios1852 3 күн бұрын
Sijawaelewa kabisa japo poleni
@user-uf7oh5eu4v
@user-uf7oh5eu4v Күн бұрын
Poreni wafiwa😢life is gone
@AnnoyedFlowerPot-mr2ps
@AnnoyedFlowerPot-mr2ps 4 күн бұрын
Kumbe bangi tupu
@AgnesMakunege
@AgnesMakunege 3 күн бұрын
Maisha ya siku hiz kujihami2 sisi tumkua haikua hiv😢😢
@gabrielishmael5956
@gabrielishmael5956 3 күн бұрын
Ni huzuni lakn friends wameshow ❤
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 5 күн бұрын
Poleni sana wafiwa.😢
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 4 күн бұрын
Mtuhumiwa ànatakiwa akamatwe na achukuliwe sheria kali sana iwe fundisho kubwa isijirudie tena maana haiwezekani ugomvi wa umri mtu unamtoa roho.
@user-qf3py6nx5b
@user-qf3py6nx5b 4 күн бұрын
Ugomvi wa chuga kama wamasai wagogo. Ukiwazngua kaa atensheni. Ngumi hawajui hao silaha tuu
@nadiatanzania
@nadiatanzania 4 күн бұрын
Mungu tuhurumie 😢
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 4 күн бұрын
Mungu awatie nguvu na kuwapa faraja kwa maumivu haya mnayopitia
@blezywatino1043
@blezywatino1043 4 сағат бұрын
😭😭😭😭😭
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de 3 күн бұрын
Miaka 17 unaua jmn jmn nyiee😢😢wamama tuwaombee watt wetu hakuna gumu kwa Mungu n mapepo mabaya yanawaandama
@AnethMushi-c3e
@AnethMushi-c3e 19 сағат бұрын
Kweli
@gfydfdf8869
@gfydfdf8869 5 күн бұрын
My God,vijana wa Arusha wameharbika sana,poleni wa fiwa.
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 5 күн бұрын
Bangi ndugu yangu,😢ona hapo,baba sura Bangi,watoto sura za bangi,wazikaji Bangi,yani basi TU.😢
@agnessima5032
@agnessima5032 4 күн бұрын
Kichwa cha habari kinasema tukio liko Moshi sio Arusha.
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 4 күн бұрын
Jinga kubwa unajua tofauti ya Arusha na Moshi?
@bbclondonulimwenguwasoka6126
@bbclondonulimwenguwasoka6126 4 күн бұрын
Arusha nimeishi miaka 2+ yn hata kitoto kidogo kinatoa maneno ya ajabu sana ukizubaa kinakufanyia kitu mbaya
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 4 күн бұрын
​@@bbclondonulimwenguwasoka6126Arusha Moshi😂😂😂😂😂
@bbclondonulimwenguwasoka6126
@bbclondonulimwenguwasoka6126 4 күн бұрын
Bangi za alachuga ni hatari mno , serikali iwekeze kuokoa vijana wa Arusha
@PennyLuis
@PennyLuis 4 күн бұрын
Huko ni Moshi bana 😂
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 4 күн бұрын
Hata mikoa tu hujui😂😂😂😂hii ni darasa la 3 Geography muwege mnatulia darasani
@EverliseKenedy
@EverliseKenedy 4 күн бұрын
Umri na kifo wapi na wapi tuelewe miako ya maadui Kwa wakati vingine tuachane navyo ikibidi...
@mwalukojohnjohn6467
@mwalukojohnjohn6467 5 күн бұрын
Duuuu
@AminaTanzania
@AminaTanzania 4 күн бұрын
Arusha kunamadudu sana Mungu atazame hiyo nchi
@vaikaayagadiel520
@vaikaayagadiel520 4 күн бұрын
Jiografia ndogo sana, Moshi ni Arusha?
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 4 күн бұрын
Uliishia darasa la 2 hata Geography ya nchi huijui???
@samiraabdimahamed4449
@samiraabdimahamed4449 3 күн бұрын
😢
@Zaynab-ny6gr
@Zaynab-ny6gr 4 күн бұрын
Hata hamueleweki
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 4 күн бұрын
SACCOOS lazima tuandamane MOSHI 😢😢😢😢
@upendoeliya9329
@upendoeliya9329 4 күн бұрын
Hujielewi none sense.
@petermogha7025
@petermogha7025 4 күн бұрын
CDM tukaandamane watu wanakufa MOSHI tangaza trh jaman
@HamisiSamweli
@HamisiSamweli 4 күн бұрын
Umbwa ww watu wamejiua unasema cdm
@MwanakomboNassor-bw3by
@MwanakomboNassor-bw3by 4 күн бұрын
Wachaga mnamtia huruma kwa matukio mabaya
@juliethswai4263
@juliethswai4263 4 күн бұрын
matukio yapo nchi nzima ndugu acha kukariri wachaga
@MtanganyikaTanganyika
@MtanganyikaTanganyika 2 күн бұрын
Tanzania mashoga mengi sana
@lucykimaro1345
@lucykimaro1345 3 күн бұрын
😢😢😢
@Rehema-h6t
@Rehema-h6t 4 күн бұрын
😢😢😢
大家都拉出了什么#小丑 #shorts
00:35
好人小丑
Рет қаралды 93 МЛН
SNAKE BOY | ep 37 | SEASON TWO
25:01
CLAM VEVO
Рет қаралды 424 М.
Man Karitu gucoka mucii thutha wa guthii miako-ini-Part 2
57:49
Ngugi wa karanja Mcee TV
Рет қаралды 56 М.
MTOTO LUCIA AMEIBIWA GEITA
9:23
Geah Habibu
Рет қаралды 2,3 М.