💪💯JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO 🔥🔥 chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...
@sebastianmichael40312 жыл бұрын
Nyerere tutakukumbuka daima. Na yule aliyetimiza ndoto ya kuhamia Dodoma, jpm, wengine walizidisha maneno kuliko vitendo.
@raphaeldayos56624 жыл бұрын
Safii saana international mediator, diplomatic man and international conflict solver bravo kikwete
@josephngoo97764 жыл бұрын
Umeongea vzr sana ndg Kikwete
@azizawadh59732 жыл бұрын
Yap
@conradmwingira6844 жыл бұрын
My Country Tanzania My Mother Tanzania Thank you.
@mosesmzakwe77743 жыл бұрын
Ulituchelewesha sana Wewe mwanadamu
@karamarwamugema3353 жыл бұрын
Maneno tu na kuchekacheka kama fara, wewe ulikuwa mtalii hakuna la maana umefanya licha ya kukuza ufisadi. Mnafiki mkubwa.
@maigechagu73244 жыл бұрын
Hongera JPM kwa kutimiza ndoto za mwalimu Nyerere.
@moseschilumba79074 жыл бұрын
Hongera inchi yangu, hongera raisi wangu John Magufuli
@queenmwasanguti23704 жыл бұрын
Nchi nyingine Maraisi wa Tz hao,kwingine hakuna. Nchi yangu naipenda. Hakuna kama Tanzania
@mrishogange42763 жыл бұрын
Umetuchelewesha sana we jamaa
@jumamnumbwa94833 жыл бұрын
Amekuchelewesha mwl.nyerere mwinyi na mkapa sio jk acha dhuruma
@amirmahundi37304 жыл бұрын
Naipenda Tanzania naipenda nchi yangu na nawapenda sana marais wangu
@willgabrio82924 жыл бұрын
Im proud tanzanian proud to be dodoma tribe
@jaredmutego68844 жыл бұрын
hongera sana viongozi wa Tanzania
@nedkatunge57023 жыл бұрын
Uligomea kuhamia dodoma kwa sababu hukuwa na uwezo huo mwanaumea aliweza licha ya miradi mingi kuwepo
@stevenobillo71004 жыл бұрын
Kikwete umeongea poa sana Rais wetu
@mohamedkutwambi4 жыл бұрын
Hekima,Umoja na Amani..Mungu ibariki Tanzania na watu wake ...
@saimonijonas43564 жыл бұрын
Ndo maana kunawakati nawaambia bila udketa mambo mengine hayawezekani.Hata maandiko matakatifu yansema mambo mengine hayawezekani ila kwa kufunga na kusali.JPM ameweza kwakuamua bila kushirikisha watu wenye ubinafsi.Unafikiri jambo hili lingepelekwa bungeni,namengine kama ununuzi wa ndege ujenzi wa meri na Reli bwawa la umeme nk vingefanikiwa???Nawaambieni nilazima uwe na msuri wa maamuzi magumu kama Rais JPM ndo unaweza fikia malengo.Nakilichotuchelewesha kuwa na maisha bora kwa wote watanzania ni kila jambo tushirikishane nawanaoshirikishwa niwale wapigaji wenye kugikiria matumbo yao.Ndo maana kwa mambo anayoyafanya JPM kwa wanasiasa anaonekana ni dikteta kwasababu anaamua bila kusubiri maviakao amabayo miaka yote yamefanyika bila kuleta tija.Watanzania wenzangu Tumuunge mkono Raisi wetu JPM.tumpende tumuombee atatufikisha ng'ambo ya mafanikio tutashangilia kama wana wa Israeli walivyoshangilia walipovuka bahari ya shamu.
@johnmalembo64643 жыл бұрын
Jamani. Mpeni mama janeth mjane wa rais wetu hayati JPM tausi pia. Furaha na faraja kwa mema ya JPM kwa Tz. Mungu tubariki watoto wa Tz
@veronicatweve90153 жыл бұрын
Atapewa tu ngoja "40" imalizike😊
@muddymaulid27714 жыл бұрын
Good
@benedictmrisho23613 жыл бұрын
Mungu awabariki Wastaafu wote kwa mliyoyatendea nchi hii. Mungu awajalie afya njema na muendelee kushirikiana na watakaotawala mkiwa hai.
@janviersentama24373 жыл бұрын
Mzee Kikwete safi sana.
@queenmwasanguti23704 жыл бұрын
Asante kwa chuo baba
@conasmalale10734 жыл бұрын
Kwa speech huwa nakuelewa sn kweli ni sauti ya mstaafu
@mpendaomary57054 жыл бұрын
duuu chuma
@jazzcellc65634 жыл бұрын
Allah bless you mzee jakaya
@kazungukakiyo85604 жыл бұрын
Mbiiyuuu;:mbiiyuu yamugambo ikilia ina jambo.Kweli Jpm your laegersy are the dreams of the founder JULIUS MWALIMU KABARAGE NYERERE.weldone.Ukisema tuende wote nituende hakuna kubaki nyuma chapa kazi.
@mechanistzegreat12244 жыл бұрын
Well done
@reganfredyringo74324 жыл бұрын
Watoto wa mama tanzania.marais wangu
@malipulachalamila1104 жыл бұрын
nakupenda nchi yangu Tanzania nawapenda marais wote, upendo wenu unamaana kubwa kwetu
@danneismail54423 жыл бұрын
Rip president John pombe magufuli, hakuna mtu hapa alijua uko karibu kufaa😢
@festobosco66422 жыл бұрын
munafiki uyoooooooo
@bulunjamalimikulwa48764 жыл бұрын
Wala,!!!!! Wackubezu mzee wangu Raisi msitaafu MRISHO JAKAYA KIKWETE, Ulifanyanya mambo makubwa sana kwa walio wapofu ndo muda wao wa kuona.
@yahyajuma87934 жыл бұрын
i love it
@chrispinemabwenga51874 жыл бұрын
Naisikia lafudhi ya Ridhiwani toka kwa Sauti ya Mzee JK, hongera sana Mzee wetu Mungu azidi kukupa afya pamoja na watangulizi wako, nyie ni majemedari wetu endeleeni kumsaidia Mheshimiwa Rais JPM kwa ushauri ili tusonge mbele kimaendeleo kuelekea Uchumi wa Kati.
@juliusmzengaboma98924 жыл бұрын
Mie binafsi nafurahia Historia inavyonijia vizuri. Mwaka 1973 Mwalimu Nyerere alipotangaza Makao Makuu ya Nchi kuhamia Dodoma nilikuwa nasoma Shule ya Msingi Ibihwa Dodoma darasa la tatu. Leo nashukudia utekelezaji kamili na ujenzi wa Makao Makuu Kama alivyotangaza Mwalimu Nyerere. Mungu anipe nini Mie maana nimeyashuhudia yote na sio kwa kusimuliwa. Ni kama Nicodemu alivyoshuhudia uwepo wa Kristo. JPM hoyee kwa utekelezaji. Muwaha John Malecela na wewe ulijitahidi chini ya Mzee Mwinyi kuihamisha Ofisi ya Waziri Mkuu kwenda Dodoma, ingawaje baadae wajanja wakairejesha Dar es Salaam. Mungu ibarika Africa Mungu ibariki Tanzania.
@florianhenry71984 жыл бұрын
Ayubu 45:2 nilikuwa nikikusikia kwa masikio Leo hii nakuona kwa macho
@mansurfadhil37494 жыл бұрын
Best naso wanawake wabay
@bumbazladas43694 жыл бұрын
MUNGU akulinde na HUSUDA jakaya napenda speech zako
@ismailahmed51334 жыл бұрын
Nimependa kilicho fanyika,,😍😍
@meshackjelad83454 жыл бұрын
Video mbon mbovu ase
@jonathanjocksonmushi95184 жыл бұрын
N wapi utaona wastafu Marais na Rais wa awam ya tano JPM wakiwa wamekaa pamoja ni Tanzania utayaona haya idumu Aman tz na Mungu awe Mungu juu ya nch Tz
@johnkomba27744 жыл бұрын
True
@dostovan51423 жыл бұрын
Jk was a good politician
@christophermsabi81844 жыл бұрын
Nikweli unacho sema mweshimiwa kikwete
@donforexindustry65164 жыл бұрын
Nice baba
@godfreylyimo41774 жыл бұрын
Wale ambao wanajisahaulisha kazi zilizofanywa na Kikwete..."Chuo Kikuu Cha Dodoma" moja ya Kazi zake..kaunganisha mikoa yote kwa barabara za kudumu
@laziertipay74634 жыл бұрын
do we have double white house now coz naona kama Dar bado inatumika
@lewismpangala9274 жыл бұрын
Upendo ndo utamaduni wetu
@zozohmeed55464 жыл бұрын
Kweli ubinasu ndo kikwazo
@mako3314 жыл бұрын
Hivi nyie mlikuwa mnashindwaje? Mambo mengi Jpm anayafanya sielewi yalikuwa yanakwama vipi? Thank you God for Jpm he is a Leader
@edwinpaul99304 жыл бұрын
Sidhani kama kuna tofauti yoyote kati ya marais waliopita na wa sasa. Kila mtu alifanya kwa nafasi yake. Mengi anayofanya raisi wa sasa yalianza toka vipindi vilivyo tangulia.
@hijazhija3164 жыл бұрын
Pumzika
@hassanmirambo5644 жыл бұрын
Edwin Paul acha pumba
@michaelsiweya65004 жыл бұрын
Kikwete mwenyewe leo kaongea jinsi mabadiliko makubwa aliyoyaona wakati anapita eneo la Ikulu mpya.. Ama kweli watu wana macho ..lakini ni macho bandia tu.. Hivi kweli jamani .Rais anayejenga reli ya kisasa na bwawa la umeme... Utamfananisha na watangulizi wake kweli ? Aaaa.. Nashukuru bwana.. Macho yangu yanaona. Sijawa kipofu mie
@harriethkinjoli75454 жыл бұрын
@@edwinpaul9930 ni kweli kabisa.
@stevenmwaiko8014 жыл бұрын
Umeongea vizuri sana JK kuweka wazi hatua ilivyokwenda... kuna aliesema amekuta li nchi la hovyo hakuna kilichofanyika
@fredkyara32783 жыл бұрын
Jakaya kama unakachuk na kawivu ivi?🤔
@jumamnumbwa94833 жыл бұрын
Amefanya makubwa sana mzee huyu inshort magu na jk ni viongozi bora kabisa wa maisha yangu tumuombe mungu bi samia nae awe zaidi ya hawa
@kshdbzjnxksksw65673 жыл бұрын
Anao asa ananikaza tu
@selijusgasper12744 жыл бұрын
Tunakukumbuka sana jakaya
@rajabkhaji78264 жыл бұрын
Nice
@malikiorybajuta98304 жыл бұрын
JPM amefany kazi Ila amekwama tu kutotoa ajira Ila kwngine kote yupo vzr
@isayakilangi58884 жыл бұрын
My dad my sun my father my presdent nakupendaga Sana JK
@josephngoo97764 жыл бұрын
Huzeeki !!
@nameiztv78704 жыл бұрын
Jakaya
@jamalnahdi59844 жыл бұрын
Ukimtoa mwinyi anafata kikwete,, ishi maisha marefu
@saisaikalyasi59984 жыл бұрын
Kikwete umemfanyia nn Mungu, mbona huzeeki
@anoldjose77934 жыл бұрын
😂😂😂
@hasnuumakame92194 жыл бұрын
Kuishi ni watu vizuri brother!! Ukiwapenda watu na ukaishi nao vizuri, Mungu anakubariki kwenye mambo mengi
@elizabethmabula1014 жыл бұрын
Pinda nae kazeek vibaya
@aprgg4 жыл бұрын
Achoke amefanya kazi gani???????
@kazembally60324 жыл бұрын
hana roho mbaya ndyo maana azeeki
@samkivuyo93853 жыл бұрын
Napenda Tanzania xna coz ni nchi ya amani kabixa
@danielchamoto93764 жыл бұрын
Mstaafu
@PhilibetLadislaus7 ай бұрын
Ni ujinga kutoa ndege kwa mjane alitaka nn.h
@josephmpiluka63814 жыл бұрын
Mmh
@fatmakhamis5804 жыл бұрын
Kalale pema mkapa
@veronicatweve90153 жыл бұрын
Na Magufuli pia😭😭🙏
@ismailahmed51334 жыл бұрын
Ubinafsi uliwakwamisha nchi moja mnataka kuanza kuvutana ndomana mlikuwa mnakwama,,🤔
@gracepeter23914 жыл бұрын
I lv Tanzania
@maxamedsaalax71944 жыл бұрын
Ft. F fry
@salumsalum82612 жыл бұрын
Muuwaji anasema nakuombea kwa mungu akupe maisha uje kukata utepe......for sure he has something to do with his death
Lbd wabadili katiba jpm aendeleee, sio huyo mwenye IPTL
@mohamedmotte15194 жыл бұрын
Mhe. Rais mstafu Jk usituache kwa ushauri ili tuweze songa mbele.
@habibabandru91744 жыл бұрын
@@mohamedmotte1519 alishindwa kutuendeleza happy zamani ataweza leo? Wakati kipindupindu kinatumaliza Leo kipo wapi maji bwena. Lbd mrudie kupishana hewani huku wanainchi wanatabika. Kikwete gogo
@habibabandru91744 жыл бұрын
@Humphrey Msengi kunywa maji machafu
@michaeltito9714 жыл бұрын
Acha mawazo mgando
@bedamassawe81074 жыл бұрын
Katikati ni singida sio dodomaa
@lewismpangala9274 жыл бұрын
Wasingida wanakula punda
@sele25074 жыл бұрын
Ni sindiga pamoja na dodoma
@andrewjohn24044 жыл бұрын
Singida Ingekuwaa Tanganyika Sawa Lakini Kumbuk Zanzibar pia Ni tz Iliyopo feat vzr kutoka Zanzibar mpak kigoma Ni Dodoma Umenielewa nafkilii