KILIMO:-MBINU NA FAIDA ZA UFUGAJI WA KUKU

  Рет қаралды 37,111

Jamvi Online TV

Jamvi Online TV

4 жыл бұрын

ANGALIA HII "MAFURIKO YA DAR, VILIO KILA KONA | WAKAZI WAKIMBIA NYUMBA ZAO"
• MAFURIKO YA DAR, VILIO... -~-
fuatilia makala mbalimbali za ujasiliamali hapa hapa

Пікірлер: 41
@Lynnalice217
@Lynnalice217 4 ай бұрын
Asante baba umeelezea vizuri, ubarikiwe
@eradolyamuya3929
@eradolyamuya3929 4 жыл бұрын
Jamvi tv naomba muniunganishe na huyo mzee wetu kuna kitu nahitaji kwake
@husseinmadundo1483
@husseinmadundo1483 2 жыл бұрын
Jamvi tv nimevutiwa sana na vipindi vyenu hususan mlipoonesha kazi nzuri ya ujasiriamali kutoka kwa mzee Abdallah Malinda binafsi nimepena sana.Hivyo naombeni namba ya mzee Abdallah Malinda niwasiliane nae nikamtembelee kikubwa napenda nikajifunze ufugaji haswa wa kuku kutoka kwake.
@abdullatifhassan9399
@abdullatifhassan9399 4 жыл бұрын
Mashaallah mze umejitahidi Allah akuzidishie ila na mm nahitaji kupata hizo cages zinapatikanaje
@hilalyhashim2194
@hilalyhashim2194 4 жыл бұрын
Nenda shekilango ubungo bussiness park mle ndani zipo
@hidayaseif6379
@hidayaseif6379 4 жыл бұрын
Safi kwa kutuelimisha
@ochu-bb
@ochu-bb 26 күн бұрын
Mzee namimi umenishawishi kufuga ,kuku mmoja ni Bei gani nianze kufuga
@richiusvedasto6465
@richiusvedasto6465 2 ай бұрын
Nimependa by rich makuku mbeya
@alicempuya5238
@alicempuya5238 4 жыл бұрын
Yuko sawa maji pia hunukia, licha ya kuku kupenda kudonoa vitu vyekundu
@judicateurassa7817
@judicateurassa7817 4 күн бұрын
Niunganishe na huyu mzee nataka kufuga niko dar
@judicateurassa7817
@judicateurassa7817 4 күн бұрын
Tupe namba ya simu ya huyu mzee
@charlesmagembe5208
@charlesmagembe5208 4 жыл бұрын
Mama
@husseinmadundo1483
@husseinmadundo1483 2 жыл бұрын
Nimevutiwa sana na mjasiriamali mzee Abdallah Malinda naomba namba yake nijifunze kutoka kwake
@mwanatz5980
@mwanatz5980 2 жыл бұрын
Maneno mazuri ya Mzee mfungaji.
@eradolyamuya3929
@eradolyamuya3929 4 жыл бұрын
Hongera sana mzee wetu,naomba kuuliza,hizo cages zinapatikana wapi na zinauzwa bei gani
@loyaltygroup21
@loyaltygroup21 3 жыл бұрын
Kuku project wanauza watafute mtandaoni
@aishaamwalimu2887
@aishaamwalimu2887 2 жыл бұрын
Muhimu No ya simu, tunampataje huyu mzee Malinda.
@alexmakunga4484
@alexmakunga4484 2 жыл бұрын
Hunaweza tumia Bei gani kutengeneza ayo mabanda
@alexmakunga4484
@alexmakunga4484 2 жыл бұрын
Namba
@gracemoronge3421
@gracemoronge3421 2 жыл бұрын
Niko kenya na nimefutwa na panda lenu.nitapata aje
@georgekassembe835
@georgekassembe835 Жыл бұрын
Tunaomba namba ya simu tafadhali
@carolineakosa9835
@carolineakosa9835 3 жыл бұрын
Ndui ni ugonjwa gani kwa kingereza jameni
@furahamunisi7373
@furahamunisi7373 4 жыл бұрын
Mzee Dulla uko vizuri sana ila hujatoa namba za jinsi ya kukupata iwapo tutataka bidhaa zako au tukufollow wapi?
@priscamagige6546
@priscamagige6546 2 жыл бұрын
Hilo Banda kila stepu hizo umeweka kuku wangapi? Kwawastani
@charlesmagembe5208
@charlesmagembe5208 4 жыл бұрын
Majuto
@kingxule6562
@kingxule6562 4 жыл бұрын
mzee umechapia kuku wa miez 2 hali gm 7 bhna huwa anakula gram 62 had 66 kwa siku
@loyaltygroup21
@loyaltygroup21 3 жыл бұрын
Vzr Ila ni maongezi tuu kuchapi kupo Ila kwenye utendaji anawalisha vzr
@gladymwaipopo7632
@gladymwaipopo7632 4 жыл бұрын
Mimi natamani kufuga lakini Sina mtaji
@teonasinyalu2607
@teonasinyalu2607 10 ай бұрын
Mtaji mkubwa ni Muda wako Anza na Kuku mitetea mitano kuwa weka lengo kila Mwaka.
@sunsetpictures7484
@sunsetpictures7484 4 жыл бұрын
Mzee pia haelewi siyo maji yananukia!hapana kuku hupenda rangi nyekundu na hupenda kudonoa sehemu yoyote iliyo na rangi hiyo
@loyaltygroup21
@loyaltygroup21 3 жыл бұрын
Lekebisha usikosoe
@hopefor2088
@hopefor2088 3 жыл бұрын
Wewe unafuga
@sunsetpictures7484
@sunsetpictures7484 3 жыл бұрын
Ndiyo nafuga kwa sasa ninao sasso400
@sunsetpictures7484
@sunsetpictures7484 3 жыл бұрын
@@loyaltygroup21 kukosoa ndo kurekebisha
@sunsetpictures7484
@sunsetpictures7484 3 жыл бұрын
@@hopefor2088 ninao sasso 400 na wana week 24!
@akeem1221
@akeem1221 3 жыл бұрын
Sasa atatotolesha vp vifaranga aina ya layers? mana kuku wazazi wako kwa mikono ya swkta ya kuku.
@estherwaringer4664
@estherwaringer4664 4 жыл бұрын
Hujabo kuku wagapi ura kiro 20
@charlesmagembe5208
@charlesmagembe5208 4 жыл бұрын
Mama
USISUBIRI KUAJIRIWA, WAKILI WA MAHAKAMA KUU ATOA DONDOO ZA  UFUGAJI
29:52
TENGENEZA FAIDA ZAIDI YA TSH 450,000/= KWAKUFUGA KUKU 75 TUU.
12:22
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
00:29
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 10 МЛН
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 62 МЛН
Slow motion boy #shorts by Tsuriki Show
00:14
Tsuriki Show
Рет қаралды 8 МЛН
BANDA LA KUKU 1000 - 1300, SEHEMU YA TATU
11:17
Charity Farm
Рет қаралды 36 М.
#TBC- SHAMBANI: ELIMU YA UFUGAJI WA SAMAKI KWA NJIA YA VIZIMBA
27:11
Ufugaji wa nguruwe kisasa.
34:35
ITV Tanzania
Рет қаралды 50 М.
SHAMBANI: UFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI
24:48
TBConline
Рет қаралды 181 М.