Naomba mungu umlinde huyu mtoto wako adui asimpate natunakuomba mungu wewe ukisema ndiyo hakuna wa pinga baba ninakuomba wewe uliye juu ya maserafi na makerubi naomba umlinde makonda Mungu wangu ninaomba baada ya raisi Samia kuimaliza awamu yake Mungu naomba umpe hii nchi Makonda maana huyu ni mtumishi wako ukampake mafuta ya roho wako Mungu nitakushukuru najua unalituma neno lako ulitimize na hata Sasa utalitimiza Mana neno lako halitoki bure kinywani mwako amen.
@ixheryusuph17484 ай бұрын
Makonda jamani makonda mungu akupe maisha marefu sanaaaa.... Kwa maana umeumbwa kutetea wanyonge kila la kher Kaka....
@johnsonkatana10694 ай бұрын
Sijui itatugarimu miaka mingapi Kenya kutokea viongozi kama hawa
@jayjay43134 ай бұрын
Acha tu ndugu, Japo tunao hawa viongozi wetu! Mijizi na mijambazi ina roho ya Kenge. Sikiliza hapo mijizi ipo kuanzia majumbani mpaka serikalini. Africa kazi tunayo.
@christianlutego12884 ай бұрын
Safi Sana hiyo mijizi ya halmashauri inatusumbua Sana mitaani huku kumbe pesa wenyewe inajaza matumbo Yao, Sukuma ndani
@mutaziden7014 ай бұрын
Mikoa yote na alimashauri zote na wakurugunzi ni shida tu wizi mwingi makonda ww ni jembe upewe ulinzi pia ww bola uwe rais wa Tanzania tutapona wengi
@lukomanomaliki54424 ай бұрын
Kwa mwendo huu Makonda jitegemeze kwa Mwenyezi Mungu bila hivyo utarogwa kwa kuwamwagia watu unga.
@Jkm2374 ай бұрын
HUYU JAMAA ANAWEZA KUWA RAIS WA TANZANIA 🇹🇿 SIYO SIKU NYINGI NAONA NYOTA YAKE NI YA URAISI SIYO MKUU WA MKOA
@elizalutiga62874 ай бұрын
ANAFAAA KWA 100%
@olivernyange23494 ай бұрын
Paulo Makonda be covered by the blood of Jesus.watakuacha kweli ndo hofu yetu God lntevention in your life ,career job and everything that has to do with you in Jesus name.
@CharlesLutandula-y3c4 ай бұрын
Makonda unaudhubutu sana kama magu nchi hili inapigwa sana kilasehemu kwenye makusanyo yahela itakuwa nishida tungekuwanaakina Makonda kilamkoa inchiinge pigahatua sana
@SamweliMwalindu4 ай бұрын
sisi watanzania hatupendi watu wanamna hii mungu aingilie kati kuwaweka ka iblahimu wa bukinafaso makonda oyeé raisi ajaye
@CharlotteMpangala4 ай бұрын
Makonda njoo na hukuuuuuu kwanguu kuna shida inayotikana na shida
@benardpeter35624 ай бұрын
Hongera sana Mkuu
@honoratusmodest2854 ай бұрын
Safiii
@petroyohana11264 ай бұрын
Makonda nakuomba kwa dhati uchaguzi ujao ugombee ubunge jimbo la ubungo, hatuna mbunge ubungo. Wala hatujawahi kumuona mitaani, magufuli alikua kiongozi mzuri lakini kwenye wabunge fake alitukosea sana wapiga kura. Kimara barabara za mitaani ni disaster
@MariaBugingo4 ай бұрын
Mafisadi hawataisha kwenye hii nchi. Mpaka hapo tutakapo pata watu, wenye uchungu na Maendeleo ya Nchi yetu. Makonda yupo Arusha, je Mikoa mengine wanafanya hivyo?. Barabara zetu za mitaani ni mbovu. Kodi ni kwa ajili ya Maendeleo ya Taifa letu, lakini sasa inakuwa ni Maendeleo ya Familia zao na Matumbo yao. Mungu atusaidie sana
@afyaacademy-t7n4 ай бұрын
Makonda Nina buku Yako hapa kadri ya uwezo Wangu Utamnunulia Jojo kijana wako
@abdallahkihanza4824 ай бұрын
Nchii ni tajiri sana maana inapigwa usiku na mchana, hasa tamisemi, inatisha
@DiwaniMwafongo4 ай бұрын
Hii nchi imeoza kweli!!!
@ramlamohamed44014 ай бұрын
Huyo Ndio BABA KIGAN
@emmanuelelam5554 ай бұрын
Duh kaz tunayo hongera mkuu wamkoa
@elizalutiga62874 ай бұрын
Makonda hoyeeeee
@emanuelkidali97334 ай бұрын
Nakukubari sana makonda ww ni jembe
@EnjoyReonald4 ай бұрын
Usijekutulogea tuu watu na hiyo mipete yako😂😂😂😂
@olivernyange23494 ай бұрын
Hamuwezi,toka anapelekewa moto tungeona matokeo
@abdallahkihanza4824 ай бұрын
Huyo mkurugenzi hana adabu, ni mpigaji ndio maana aliitisha waandishi ili kudhiofisha maamuzi ya RC
@maasaiafricanguides57174 ай бұрын
Inawezekana hajui kinachoendelea kati ya vijana wake wa kazi na wahasibu wa Tanganyika Wilderness Camp, vijana wake (wafanyakazi wa halmashauri) hawawezi kuipiga hiyo pesa bila ushirikiano wa wafanyakazi wa kampuni ya Tanganyika Wilderness Camp. Hapo Kuna siri na mwisho wa siku itajulikana tu.........tusishangae TWC akaja kumuomba msamaha mkurugenzi.
@graceanyungu27744 ай бұрын
Next president of tz
@josephsala54154 ай бұрын
Kumbe RAS anamtumbua DED?🤔
@KundaelGeorge-tv8mz4 ай бұрын
Duu. Kazi kweli ila Mungu asimsimame kwenye haki jamani
@mustaphahashim75324 ай бұрын
Makondaa apewe nchi.
@petroyohana11264 ай бұрын
Salute 🫡 makonda
@IDDYHussein-fe7dn4 ай бұрын
Yaani uyo mkurugenzi si alisamehewa wakati wa Magufuli..akajilizaga ule wakati. Wakamsamehe akarudishwa kazini na uko Arusha analikoroga tena..piga .chini
@kanankirannko61744 ай бұрын
Hivi ajira za wazee kama huyu asieweza hata kujieleza wanazipatagaje jamanii
@chandekaamiri31534 ай бұрын
Piga makonda tunahitaji watu kam nyie
@khamishussein35024 ай бұрын
Nakubali
@athumanimhina18694 ай бұрын
Mh makonda endesha kazi kwa uwazi hivihivi ili tusipotoshwe kuhusu utendaji wako wa kazi tunauona mubashara
@kilogreekachananawatuwasio40544 ай бұрын
TUNGEPATA RAIS TANZANIA KAMA MAKONDA MIAKA MITANO TU WAZUNGU WANGEJIULIZA KICHWA KIPO KATIKA KITI TANZANIA 🇹🇿 😂😂😂
@elizalutiga62874 ай бұрын
Kila kona majanga naomba Makonda apewe Tamisemi
@ericksaulo30294 ай бұрын
Mweshimiwa wanyooshe hao ndio wanaozuia maendeleo yetu ya Arusha...
@barrynzeyimana62704 ай бұрын
Mmelea watu hawa miaka mingi. Kufukuza haisaidii. Wengine wangekua wananyongwa ingesaidia
@jumamnumbwa94834 ай бұрын
Tamisemi Pana shida, serikali yetu Ina serikali nyingine ya Siri ,deep state, Hawa wanakusanya Kodi nje ya Kodi serikali
@mybrain89404 ай бұрын
Wakurugenzi wakiwa wanasiasa na sio wataalam , professionals itawasumbua saana,
@kanankirannko61744 ай бұрын
Makonda tembelea halmashauri za mkoa wote huu ni muozo ndo maana Arusha hainekani kubadilika kila mwaka barabara ni zilezile ndo zinajazwa vifusi
@JohnMunisi4 ай бұрын
Makonda usiogope Hawa vibaraka pambana nao.
@CharlesLutandula-y3c4 ай бұрын
Makonda Tanzania hii nishidaaaaaaa wizi mtupu unamaana nchihiii wizi tuna hasa malipo yaserikali yamfumo waconrooo helanyingi zinaliwatu
@ThomasiMichael4 ай бұрын
Mama Samia tuletee sabaya uku dar kumeoza
@SamweliMwalindu4 ай бұрын
sasa makonda unamsaidiane mkulugezi kwaanavyoonekana anawatu juu sio anaptaje ujasili wakwenda kunyu.e nawew
@hashimabdalah31614 ай бұрын
Kama ningekua rais wakulugenz wangetokea jeshin
@markjason20354 ай бұрын
Mi pete imegoma
@godfreychaba96734 ай бұрын
😂😂😂
@AminaRamadhan-mg9lj4 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅
@AllyDaudiNgoyeji4 ай бұрын
Je,Makonda ana mamlaka ya kumfukuza kazi mteule wa Mhe. Raisi? Mbona waliokula mabilioni yaliyoibuliwa na"CAG" mbona hawagusi?Kile anachotuhumiwa kula huyo bwana,je kiliibuliwa na CAG,Internal Auditor au Makonda tu ktk kuonyesha ubabe wake hadharani? Ni mimi Ally Daudi Ngoyeji wa Kijiji cha Itilima ,Kishapu;Shinyanga.
@alexanderdustan88724 ай бұрын
Chuki za mafisadi
@bugapeasant18274 ай бұрын
Ana malaka ya kumsimamisha na ndicho alicho kifanya umeelewa we kibaka
@ABBASIKANDULU-kl8zc4 ай бұрын
Unachohoji. Na uchofaidika na kipii apo katika ilo swali lakooo .?
@makamejuma69594 ай бұрын
Yy hatoweza kumfukuza icpokua atapeleka taarifa juu kutokana na utensaji mbovu wa mkurugenzi wake ss apo anaweza kupewa mamlaka na ata apo hajasema km mkurugenzi akamatwe
@olivernyange23494 ай бұрын
We ndo mganga wa mkurugenzi nini,mapete yamefeli Sasa kambadilishie
@adoniemanuel9084 ай бұрын
kesi ya mbuzi unaipeleka kwa mbwehaa shidaa nikuondoa chama chapinduzi madarakani wenye mamalamiko nitanzania nzimaa mtapiga kelele mpaka mchoke hakuna msaada
@bugapeasant18274 ай бұрын
We nae siasa kila mahari haowapizan wako pia hakunachochote waowenyewe nimafisadi katika vyama vyao wakishika nchi itakuaje, madiwan wachama pinzan walikua wengi sana kipindi cha nyuma lakin walikua wanatafuna pesa nawatu wa harimashauri siasa pizan za tanzania kilamtu apigania tumbo lake wala si kuleta mabadiliko viongozi kama makonda tunawahitaji sana
@BilalMuhammad-jt6sq4 ай бұрын
Dah umesema kweli ndugu@@bugapeasant1827
@hamzanangameta62434 ай бұрын
Chama chako kimefanya nini toka umeanza maisha?
@golebenson45974 ай бұрын
Umekariri ujinga poleeee😅😅
@golebenson45974 ай бұрын
Makonda kuna mjinga mmoja alisema ulipata ziro alupata wapi ujasiri wakuongea utombo wakuku