KIMENUKA! Mbunge Awacharukia Wabunge Wanaoidharau Zanzibar

  Рет қаралды 43,322

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

KIMENUKA! Mbunge Awacharukia Wabunge Wanaoidharau Zanzibar
Mbunge wa (CCM) Zanzibar, Saada Mkuya, amewacharukia Wabunge wanaosimama Bungeni na kuibeza nchi ya Zanzibar kuwa haifanyi kazi yoyote ikiwa ni pamoja na kuwanasa wahalifu wa makosa ya jinai.
Mbunge Saada amesema kuwa bila ya Zanzibar hakuna Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hivyo wabunge wa bara wanapaswa kuihesimu nchi hiyo kwani inaongozwa na Rais Makini, Dkt Shein.
Instal GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis...dkt SHEIN
TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
MBUNGE MSUKUMA

Пікірлер: 77
@alimipango1959
@alimipango1959 6 жыл бұрын
Dada Saada Allah akubariki. Umeonyesha ukomavu wa kuipenda Zanzibar
@othmanalnabhany3208
@othmanalnabhany3208 3 жыл бұрын
Akiiona hii yeye mwenyewe bi saada atakuwa na msimamo kama huo Leo?
@hajimakame8122
@hajimakame8122 6 жыл бұрын
Hamna ishu nyinyi mbona kwenye bunge la katiba muliufyata,munakumbuka kujifunika shuka wakat kumekucha
@mrishobhaya8965
@mrishobhaya8965 6 жыл бұрын
Lengo la muungano bado amjajua lakini tutajua tuu
@kabezibishoo2825
@kabezibishoo2825 6 жыл бұрын
acha waburuzwe hawajitambui
@suleimanally3515
@suleimanally3515 6 жыл бұрын
ccm hujui unachokisema pumbavu
@khabibdunia8139
@khabibdunia8139 5 жыл бұрын
pumbav mama ako
@AliMohammed-mj4ec
@AliMohammed-mj4ec 6 жыл бұрын
Upuuzi mtupu mshaiuza tangu zamani halafu ss hv mnafunua matako yenu et muungano tunauhitaji sote hatutaki muungano uvunjeni tumechoka dhulma ya unyonyaji wa kibara wacha ubwege gonga like tuende sawa wasiotaka muungano
@yushalforever7216
@yushalforever7216 Жыл бұрын
Hassan Kapungu ILUNGA. ameshayamaliza maneno. Allah amrehem
@amouramour7143
@amouramour7143 5 жыл бұрын
Huyu Dada inamuuma sana Zanzibar ila anataka kuongea mengi ila anahofu kidogo
@rastafare878
@rastafare878 3 жыл бұрын
Kwani hawa viongozi wa Zanzibar wako wapi mbona wamekuwa hivi yaani Zanzibar inaonewa kiasi chote hichi Na nyinyi mumenyamaza , ndio tuseme hamuoni , hamsikii , hamuumii , Kwa kweli sijui hata tuwatafsiri vipi ,
@gangmore9091
@gangmore9091 2 жыл бұрын
Munajizalilisha wenye ccm wa Zanzibar sio sisi Raiya na bado mutazidi kuzarauliwa n Tanganyika mana nyie ndio munaungangania Mungano chama mumepewa n Nyerere vpi wasiwazarau na Mungu anawasubiri mutaenda kujibu insha Allah 🤣🤣🤣🤣🤣
@gangmore9091
@gangmore9091 2 жыл бұрын
Mungano munautaka nyinyi t ccm wa Zanzibar coz unawaweka madarakani wekeni kura zamaoni kwa wazanzibar anaotaka n asieutaka mungano mutalata majibu hao waze wenu Nyerere n Karume wameuwa watu 1964 mulitegemea mutakua kitu kimoja mukiungana daima dhulma hailetii maendeleo Mutauwana wenyewe kwa wenyewe kama munavouwa watu tangu 64 adi 20 😡😡😡
@ZuenaSharifu
@ZuenaSharifu 3 ай бұрын
Hauna faida tamoja zaidi ya kuwapa vichogo fursa ya kuingia Zanzibar
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 6 жыл бұрын
Acha kuukubali Muungano .wewe sema tu .tuuvunje au mbara wewe. Au unaogopa kufa. Wewe sheni Barazuli .na hawa wabuge nyote tamaa ya pesa na hofu .semeni hatutaki tu
@OmerSuley-gl7go
@OmerSuley-gl7go 9 ай бұрын
Nenda uko ww mwenyewe ni msaliti kwa Zanzibar Wazanzibari hatutaki muungano kabisa
@hamilsaleh-zo3hp
@hamilsaleh-zo3hp 6 ай бұрын
Ipo siku utavunjika tu huo, we waache wajitie kiwewe ,watauvunja wenyewe hao wanachuki sana hao,tunawajua sisi
@farhatfatma12
@farhatfatma12 6 жыл бұрын
Huna lolote sada. Mumechelewa ccm zanzibar, wacha kudogoshwa. Subirini na nyinyi mumalize muda wenu mufukuzwe. Ccm wanafiki.
@hamilsaleh-zo3hp
@hamilsaleh-zo3hp 6 ай бұрын
Ipo siku utavunjika tu huo, we waache wajitie kiwewe ,watauvunja wenyewe hao
@nadhirmagoma4657
@nadhirmagoma4657 5 жыл бұрын
Tatizo nyie wabunge mpo kwa ajili ya masilahiyenu tu binafsi sio kwa zanzabar ndio tumefika hapo na lazima watanganyika watudhara
@AP-uk3mq
@AP-uk3mq 5 жыл бұрын
Ni kweli kabisa.
@wambaamwambaje1272
@wambaamwambaje1272 6 жыл бұрын
Kama wabunge wa CCM wote wangekuwa kama huyu Dah
@hamilsaleh-zo3hp
@hamilsaleh-zo3hp 6 ай бұрын
Dada wewe ni mtu hao wengine ni viatu tu humo bungeni sjw waliingiaje
@neamusic2601
@neamusic2601 Жыл бұрын
Huyu mama sijui Kwa nni hawampi uwasiri alfu sijui alikua mwalimu.
@safiaabubakar1120
@safiaabubakar1120 6 жыл бұрын
Ni vizuri wafaham hawa mahasidi wa bara
@faizhamad2006
@faizhamad2006 6 жыл бұрын
Huyo alikuwa waziri wa fedha hakusema kitu wakati anajuwa zanzibar inadhulumiwa mpumbavu tu ccm wala hawajali kabisa kuhusu Muungano
@nassorlidoplt5411
@nassorlidoplt5411 6 жыл бұрын
tumechoka wazanzibar tunahitaji nchi yetu na sisi
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 5 ай бұрын
Kwani Zanubar ni nchi?
@KhamisHaroub-uj5ci
@KhamisHaroub-uj5ci Ай бұрын
​@@MilloWamilonga-ft8irwacha kejeli matako wewe hakuna lisomwisho na mwisho ushafik it is the matter of time nothing else
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir Ай бұрын
@@KhamisHaroub-uj5ci usilete matusi choko wewe jibu hoja. Zanzibar ni nchi? Jibu swali isitoe povu la kiurojo humu shwain.
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir Ай бұрын
Zanzibar ndio nini? Tanganyika colone?
@najimnassir1745
@najimnassir1745 6 жыл бұрын
upo vizuri dada.. hawo wabunge wenzio wa ccm upande wa tanganyika kazi kudhalilisha identity ya wazanzibari kisa wana jeshi.. ila waelewe kila kitu kina mwisho
@mashakambugi6730
@mashakambugi6730 6 жыл бұрын
Good and constructive contribution thanks a lot madam Saada
@twahiromary464
@twahiromary464 6 жыл бұрын
Hana lolote huyo dada wote mafisadi tu hakuna Kiongozi zanzibar bhn
@josephmwakabungu8385
@josephmwakabungu8385 6 жыл бұрын
Nakupenda sana tangu nianze kukuona kwenye uwanja wa siasa,hawa ulipokuwa naibu waziri wa fedha,sauti yako,namna unavyoongea,mfano mzuri wa wanawake kujifunza kwako,heshima na uwezo uliyonayo .God bless you,
@R10_Rajab
@R10_Rajab 6 жыл бұрын
Kwani huo muungano ni lazima? Watanganyika wapeni nchi yao wazanzibari,kwani nchi yenu tanganyika haiwezi kusimama bila ya zanzibar?
@afropanorama4730
@afropanorama4730 6 жыл бұрын
hakuna haja ya kuubembeleza muungano wavunje tu wasizingue.sisi zanzibar hatuna shida ya muungano wa kijinga.wakaungane na wacongo uko
@jamesmbata8542
@jamesmbata8542 6 жыл бұрын
we Saada huna lolote unaloliongea..nyie na ccm wenzio wanafiki ndio mmeshaiuza zenj.. nyie kama mnazani zenj ni sawa na bara ktk muungano hyo imekula kwenu. wenzenu bara wanakuchukulieni ka nchi kenu ka kijimkoa flani hivi ..na huto tusheria vyenu ni kama tu by laws tu kwa huku bara
@ukweliunauma4570
@ukweliunauma4570 5 жыл бұрын
Jamani kitu gani kikubwa walio nacho zanzibar mpaka tanganyika hawataki kuiyachia mtu yoyote anambia sione kikubwa kinacho zalishwa au faida ya visiwa vile vumbi tupu na njaa tu. Sukari gani ya zahabu
@mansbusaid1277
@mansbusaid1277 Жыл бұрын
Madam nice nice madam
@awadhially1384
@awadhially1384 5 жыл бұрын
Mama Allah akulipe.
@bakarimngazija6672
@bakarimngazija6672 6 жыл бұрын
HATUUHITAJI TUMESHACHOKA LAZIMA TUWEWAZI. SASA MNATAFUNANA WANACCM MLIPOAMBIWA HAMKUTAKA KUELEWA SASA YAONENI. SISI HATUTAKI MUUNGANO.
@salimali5457
@salimali5457 6 жыл бұрын
Bakari Mngazija Dada yangu ile dhambi ya kumzomea Mwanasheria wenu Othman Masoud siku Ile ya Bunge la katiba inakuhukumuni sasa. Yeye alisimama na kukubali kupoteza nafasi yake kubwa na mshahara mnene bila woga. Ni nyinyi CCM zanzibar muliinuka kumzomea na wengine kukata Mabuno kama walevi. Lakini siachi kukushukuru na wewe kukutoka woga na kusahau mshahara mnono unaopokea Kwa ajili ya zanzibar ya zanzibar yako. Hats off.
@safiaabubakar1120
@safiaabubakar1120 6 жыл бұрын
Very nice msg kama wana akili washafaham
@AP-uk3mq
@AP-uk3mq 5 жыл бұрын
Zanzibar mulishaiuza zamani, hata mupige kelele vipi. Na walioiuza ni nyie CCM wa zanzibar. Na mnaendelea kuiuuza maana mnabururwa. Yani unapomuona Ali sheni kama dubu fulani hivi hata uhai hana kwa kubururwa na Tanganyika.
@Awatee
@Awatee 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣Hebu niache mie
@khalidsindano4747
@khalidsindano4747 3 жыл бұрын
Allah akuzidishie kutokuogopa mtu mamaa
@temesjames8867
@temesjames8867 6 жыл бұрын
Mtabadirika tu leo hii mbunge wa ccm anaongea ukweli tena kwa jaziba ipo siku wote watakuwa na umoja wa kusema ukweli na ndipo serikali itakapo kaa sawa safi sana dada huo ndio mwanzo wa kukataa kuwa kama kaaa.
@suhaybsaim922
@suhaybsaim922 6 жыл бұрын
Madikteta hao wanaisakama zanzibar baba karume imo wako tunaangamia
@muhammadnassor2252
@muhammadnassor2252 6 жыл бұрын
umezungunza vizur sana sana Mh
@hidayamussa4273
@hidayamussa4273 6 жыл бұрын
Safi sana Muheshimiwa Saada waambie wape ukweli wapumbavu hao
@mariamfaki1166
@mariamfaki1166 6 жыл бұрын
Kwa kweli sada umeongea hasaa has watanganyika ni madhulma bora muungano ufe kura 22 hatujitokezi tangu hapo hampati lakini safari hii ndio hatapata kabisaaa
@hamilsaleh-zo3hp
@hamilsaleh-zo3hp 6 ай бұрын
Dada upo sahihi sana Allah akulinde
@mwinyiothman140
@mwinyiothman140 6 жыл бұрын
Dada leo imeongea jambo moja la maana sana
@nestor384
@nestor384 5 жыл бұрын
Mama huyu uzanzibar mwingi sana hakupaswa kuwa hata waziri wa JMT katika maisha yake. Everything embedded to Union..
@fakihdarusi4385
@fakihdarusi4385 Жыл бұрын
Kichwa maji weww
@fakihdarusi4385
@fakihdarusi4385 Жыл бұрын
ZANZIBAR KWANZA mengine baadae
@salehhassan7012
@salehhassan7012 6 жыл бұрын
vichogo munazinguwa some time najilaumu kuwa mwanaccm
@alimussa2655
@alimussa2655 5 жыл бұрын
Saad mama jikaze manake mukikaa kimwa nd tunazid kuzalilika nayonchi hii hata kama
@sharomosses5516
@sharomosses5516 6 жыл бұрын
Mdada anajua kuongea , hakuna kitu cha busara km kuheshimiana,
@mansbusaid1277
@mansbusaid1277 Жыл бұрын
Congratulations sada mkuya
@feiz3180
@feiz3180 6 жыл бұрын
Maadamu yumo katika haohao wanao dhalilisha taifa letu. point yake haina maana. wazanzibari tunajijua na tunajuana. Uzalendo hauko huko uliko dada.
@erikapolinary1215
@erikapolinary1215 6 жыл бұрын
Bunñgeni leo
@kenedymachemu3780
@kenedymachemu3780 6 жыл бұрын
Kweli dada tanzania ni moja kwanini Zanzibar!?
@mansbusaid1277
@mansbusaid1277 Жыл бұрын
Madam nice nice madam
@khamisdaima1455
@khamisdaima1455 6 жыл бұрын
Sio wote tunaohitaji muungano huu
@awadhimbarak2349
@awadhimbarak2349 5 жыл бұрын
Mutajiju
@abdallahmattar6577
@abdallahmattar6577 6 жыл бұрын
Huna ishu kuchneiii
@ayishajumaaa8941
@ayishajumaaa8941 6 жыл бұрын
Wape dada hawajielewi haooo wape vidonge vyao
@abeidsaid9002
@abeidsaid9002 5 жыл бұрын
Mama utaniliza
@OmarOmar-gy9hh
@OmarOmar-gy9hh 6 жыл бұрын
kabisa dada
@wambaamwambaje1272
@wambaamwambaje1272 6 жыл бұрын
Dada Asante sana Dada sanaa sanaa
@ankaldally2734
@ankaldally2734 6 жыл бұрын
Yo made it madame
@wambaamwambaje1272
@wambaamwambaje1272 6 жыл бұрын
Asant sanaa Dada na unajielewa sanaa Asante
@albertanania3379
@albertanania3379 5 жыл бұрын
Ilo lakokeni nikweli mnaachiana wanakamatwa asubui mchana wakonnje kama kwerekwe sokoni unga una uzwa adharani wala awaogopi polisi
@nassormohammed7079
@nassormohammed7079 5 жыл бұрын
Wacha kuzungumza Utumbo wa kuku
@godfreybigeyo9105
@godfreybigeyo9105 6 жыл бұрын
magufuli anawanyoosha wote ccm na upinzani,
Kimenuka! Wabunge wa Zanzibar Wasusia Bunge, Watishia Kuuvunja Muungano
4:12
АЗАРТНИК 4 |СЕЗОН 3 Серия
30:50
Inter Production
Рет қаралды 1,1 МЛН
LIFEHACK😳 Rate our backpacks 1-10 😜🔥🎒
00:13
Diana Belitskay
Рет қаралды 3,9 МЛН
The selfish The Joker was taught a lesson by Officer Rabbit. #funny #supersiblings
00:12
Sikia Mapovu ya Mbunge Ally Kessy kwa Wazanzibari!
5:13
Global TV Online
Рет қаралды 80 М.
Lukuvi atoa kauli ya kichochezi Kanisani
11:06
MwanaHALISI TV
Рет қаралды 30 М.
“Watu wanauawa, msifikirie Watanzania hawaoni”-John Heche
9:21
АЗАРТНИК 4 |СЕЗОН 3 Серия
30:50
Inter Production
Рет қаралды 1,1 МЛН