Рет қаралды 43,322
KIMENUKA! Mbunge Awacharukia Wabunge Wanaoidharau Zanzibar
Mbunge wa (CCM) Zanzibar, Saada Mkuya, amewacharukia Wabunge wanaosimama Bungeni na kuibeza nchi ya Zanzibar kuwa haifanyi kazi yoyote ikiwa ni pamoja na kuwanasa wahalifu wa makosa ya jinai.
Mbunge Saada amesema kuwa bila ya Zanzibar hakuna Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hivyo wabunge wa bara wanapaswa kuihesimu nchi hiyo kwani inaongozwa na Rais Makini, Dkt Shein.
Instal GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis...dkt SHEIN
TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Subscribe / uwazi1
kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
MBUNGE MSUKUMA