Uko sawa Mwaipopo huyo sharfu anataka kuficha maovu ya bakwata lakini ajue kuwa waislamu tunatakiwa mengi yaliyofanywa na yanayoendelea kufanywa na bakwata bila kuofu kuwa iko siku watakutana na Allah bakwata wanafanya mambo ya ajabu sana
@mwalimjecha6893 Жыл бұрын
Sema Mtume wetu, usiseme mtume wangu
@masoudalriyamy6298 Жыл бұрын
Mimi nnacho walaani kukiuza kiwanja cha changombe yarabii kila alohusika kuuuza uwanja huo na alilie ununue yarabi waadhibu duniani mpaka makaburini mpaka siku ya malipo
@abdulbakari1220 Жыл бұрын
Huyu shekhe allah amlinde anasema ukweli mbele yaviongozi wasiopenda kuambiwa ukweli nidaraja kubwa sn mbele ya allah
@abdallahmmary8591 Жыл бұрын
Ivi kweli bado waislamu wanaona kama bakwata ni kwa ajili ya waislam hii dini sio ya ya bakwata napia Rahman atawaleta waumini wengi tu wenye hekima na busara nawenye khofu ya rahman, Bakwata niyawajanja wanaokula mali ya waislamu nakuudhalilisha umma naukicheza unakwenda jela kwa kesi ya Km mashekhe wetu waliokwenda jela,
@rashidiiddi2433 Жыл бұрын
bakweta ile niselikali ispokua imejificha kwenye mgongo wa uislamu sijawahi kuielewa kabisa
@rahimomary7663 Жыл бұрын
Any way ngoja nikae kimya Shida kubwa umeongea ukweliii ambao wengiii hawahitajii kuuusikia
@masoudalriyamy6298 Жыл бұрын
Hawataki kuambiwa misikit inanjumba za wakuf zote njumba zimeuzwa zimebaki cheche hawataki kukumbushwa
Lakni kila alodhulumu mali za waislamu na zisokua za waislamu haifai dhuluma hata mali ya serekali haifai kudhulumu kila mtu aogope mali za uma
@HassanHassan-si2rt Жыл бұрын
Mali za umma ni NGAWIRA ,
@nizarmanji5343 Жыл бұрын
Bakwata...maendeleo?yanini?sio kazi yao!!
@allymnzava3818 Жыл бұрын
Mtu mwenyewe anajiita sharrif majini ulitegemea nini
@twaibumikidadi7377 Жыл бұрын
mwaipopo kila uongeapo lazma unukuu AYA Lkn Majini ktk Mazungumzo yake hakusoma hata Aya moyo! Hiii inaonesha kias gani alivyoo kuwa hana lolotee.
@saidhamad6220 Жыл бұрын
KAKA UKO SAWA NA MUNGU ATAKURIPA
@hamidabarraball3162 Жыл бұрын
Wewe mwaipopo tumekuchoka mitandaoni, potea kidogo ukajifunze kuraan ,unapotoa maelezo yako hakuna hata mara moja umesoma aya ya kuraan kama mashekh wengine wanavyofanya
@Moha-r9v Жыл бұрын
Sharif tuliona video yako imejaa porojo ukiitetea bakwata na kumsema mwaipopo. Bakwata imemdhulumu mzee shaaban hela za hija. Hamis mataka alidhihirisha dhulma ya bakwata chini ya Mufti zuberi. Rudisheni amana za watu
@masoudalriyamy6298 Жыл бұрын
Ina lilah waina ilahi rajiuni
@mbagaherbal4796 Жыл бұрын
Kaka mwaipopo huna baya, lengo lako ni kuunusuru Uislamu hapa Tanzania. Hao akilii zao ni ndogo na mambo unayozungumza wewe ni mambo makubwa na mazito mtu asipokua na muono wa mbali hawezi kukuelewaaa
@saidikambi9597 Жыл бұрын
Tatizo matumbo tuu basi
@mbwanahasan2971 Жыл бұрын
Shek wa mkoa wa mwanza mlimtukana wote mpaka nilikwambia mumuonbe msamaha wasaka tongue nyie kupitia dni yetu
@mbwanahasan2971 Жыл бұрын
Tatizo lako wewe mwaipopo ni mnafki namba moja kwa waislam kauli zako sijui kama huli ganja wewe sijui
@twaibumikidadi7377 Жыл бұрын
Sharf majini yanamchanganya !
@isayaadrian Жыл бұрын
Usimlaumu huyo we mwenyewe mnafiki rejea maneno yako kwa mbarikiwa