MKE WA DR. MWAKA ANADAI TALAKA BAKWATA, AELEZEA KUKAMATWA NA POLISI, MWANASHERIA WAKE AZUNGUMZA

  Рет қаралды 255,731

Millard Ayo

Millard Ayo

Жыл бұрын

Пікірлер: 1 400
@maryamm7765
@maryamm7765 Жыл бұрын
Mtihan sana Mungu akufanyie wepes! Mwanamke akisema basi ujue kachoka sana
@danielmwamahonje9852
@danielmwamahonje9852 Жыл бұрын
Mapenzi yanatutesa sana tena sana mungu tu wewe ndo jibu kamili 🙏🙏
@ednaJF1028
@ednaJF1028 Жыл бұрын
Ni uonevu tu kwasabu kama imeshindikana kuishi pamoja kubari na yaishe
@rashid1860
@rashid1860 Жыл бұрын
siyo mapenz iz zingine ni njaa tu na tamaa ya ella
@letisiamakonda3873
@letisiamakonda3873 Жыл бұрын
Ila😆👐
@saidmajeba9791
@saidmajeba9791 Жыл бұрын
Bro amka kumekucha,hao wote wanafuata pësa na maisha Hakuna mapenzi hapo
@hellenngwilla550
@hellenngwilla550 Жыл бұрын
Mungu akusaidie mwanamke mwenzangu upate haki yako jaman
@rahimaaaaa5682
@rahimaaaaa5682 Жыл бұрын
Amiin
@RashidAli-ft2om
@RashidAli-ft2om Жыл бұрын
Haki gani?
@zaytunimkwata6949
@zaytunimkwata6949 Жыл бұрын
Daah nimejiskia vibaya, Nampenda sana huyu dada, Be strong my dear.. Mwenyezimungu asaidie mufikie muafaka kila mtu apate haki yake...
@Awatee
@Awatee Жыл бұрын
In shaa ALLAH
@khamisrubea5083
@khamisrubea5083 Жыл бұрын
Kama kadhi ana presha basi hafai kua kadhi ateuliwe mwengine
@aminimushi6945
@aminimushi6945 Жыл бұрын
Kadhi hana baraza,vikao vya vitu kama hivi anakaa peke yake?kama ndivyo hivi,kutakuwa na kwsoro nyingi ktk kusimamia ndoa zetu kiislamu,na kwa usumbufu huu,matatizo ya ndoa yatakuwa yanapelekwa kusiko sahihi.Allah atusimamie kwa haya.
@idrissamohamed1100
@idrissamohamed1100 Жыл бұрын
KWANI BAKWATA WANASEMAJE?
@aminakibwana8343
@aminakibwana8343 Жыл бұрын
Dah jamani 🙌 pole Sana queen wng, Allah atakufanyie wepes
@fatumajeneby5449
@fatumajeneby5449 Жыл бұрын
1) MWANAMKE KABADILI DINI YAK.. 2) KAKUBALI UKE WENZA, 3) MWAKA HUTOWI HUDUMA! 4) POLE YAKO, MYANYASAJI🙏
@khamisrubea5083
@khamisrubea5083 Жыл бұрын
Mm ni mwanamme ila ss wanaume hatuko imara ktk ndoa zetu hatuwapi upendo na heshima ipasavyo wake zetu tunapenda kutongoza tongoza ovyo halafu tunawalaumu wanawake ss ndo tunowaharibu wanawake tusipowatongoza na tukatulia ktk ndoa zetu na wao wasingeharibika nasema tena ss ndo wachafuzi
@marthagabriel3417
@marthagabriel3417 Жыл бұрын
Mungu akutunze maana umeongea ukweli mtupu
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Maashaallah kwakujuaukweri
@malak-lz6kx
@malak-lz6kx Жыл бұрын
Kaka umeongea ukweli ila sio wote alhmdullah mumewng ni mume bora kwa familia yng na kwake na watoto alhmdullah
@nassorowaziri3076
@nassorowaziri3076 Жыл бұрын
Duuu mkuu nimekupata Ila sio wote ni baadhi yetu Tu
@daud405
@daud405 Жыл бұрын
acha usenge ... ndo nini umeongea bila shaka utakuwa mwanamke. haijakukuta
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 Жыл бұрын
Mapenzi shikamoo 🙏 ha! Ila wanaume zetu asilimia kubwa ndivyo walivyo inafika muda sisi wengine hatutaki kuvutana na mtu tuna Kaa kinywa na kutabika mwisho wake unazoea na unaendesha maisha peke yako, ila ukisha sahau maumivu mungu ndio ana muwazibu Sasa mara una sikia apepata mitihani hii mara hii? Mungu ndio kila kitu na hukumu ni hapa hapa Duniani amini Hilo jamani
@habibaomary3834
@habibaomary3834 Жыл бұрын
Kwakweli wanaume shikamoo wengine tumesamehe kila kitu nini wewe mwaka mmoja wengine 3 years pole dada
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Жыл бұрын
Subhannallah, mtihani kwakweli, Allah akusimamie katika kila hatua unayosonga inshallah 🙏
@wilbatnyato4679
@wilbatnyato4679 Жыл бұрын
Duhhh kwa kweli maneno sio kutenda Dr Mwaka nimekuwa nakusikiliza sn kwny mijadala yako unaonakana mshauri mzuri na unajua ndoa vzr Sasa leo na mimi nakushauri hivi 1.Km mwanamke umezaa nae na hana tatizo kubwa basi kaeni chini muyamalize kiungwana tu kuliko kuja on public huku mnajiaibisha 2.Km nyumba kaamua kujimilikisha kwa kuiba nyaraka basi mkubaliane kuwa iwe ya watoto wenu basi isiwe ya yyte na mama asikae hapo akaishi huko atakakoenda 3.Kwa ajili ya watoto nakushauri wachukue watoto waweke boarding shule nzuri kuliko kushuhudia hii migogoro yenu 4.Licha ya ugomvi wenu basi tunza wanao km ni kweli hutoi huduma basi wachukue ukae nao na hyo mkeo mwingine 5.Katika mambo yenu yote achaneni kwa amani km mmeshindwana kabisa kila mtu asepe na alichojitafutia ili aendelee na maisha yke sio mtu hela yake awekeze saloon na mwingine anajenga hlf mwishoni wa kuwekeza saloon atake nyumba hyo hapana kila mtu abebe chake cha halali alichotafuta Note: Achaneni in peace tu
@winfridapeter9455
@winfridapeter9455 Жыл бұрын
Mambo yamechachamaa sasa,mkunga nae ndoa yamyumbisha😂🤣😂🤣
@shaphaina9941
@shaphaina9941 Жыл бұрын
Hahahaha kazi yake kukaa na kufunda wenziwe ila yeye yake inamshinda .kweli mganga hajigangi
@joeldallas6491
@joeldallas6491 Жыл бұрын
Yawezekana dct mwaka Hana nguvu za kuwatbu hao viumbe
@shaphaina9941
@shaphaina9941 Жыл бұрын
@@joeldallas6491 nalo neno
@aishamrisho6860
@aishamrisho6860 Жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆
@saidhamza5318
@saidhamza5318 Жыл бұрын
Mi ndomana kwenye swala la ndoa, sisikilizi mtu sijuw mwanasaikolojia, pastor au sheikh. Natumia akili yangu tuuu.
@mudhihirissa274
@mudhihirissa274 Жыл бұрын
Wewe kama mimi
@aishachambo8663
@aishachambo8663 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi Жыл бұрын
Mwanasaikolojia kazi yake sio kukurudisha kwa mpenzi wako, anaweza kukusaidia hata tiba ya akili uishije huko baada ya kuachana na huyo mpenzi wako. Usichukulie negative in general brother.
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 Жыл бұрын
😂 😂 😂 😂 Kabisa
@husna34562
@husna34562 Жыл бұрын
🤣🤣🤣
@zuhrazuuvenus3705
@zuhrazuuvenus3705 Жыл бұрын
Nikukumbuka ile roho yako nzuri na ucheshi wako wala hustahili haya Allah karimu rahimu utapata haki yako inshallah
@missclementsemizigimisscle7458
@missclementsemizigimisscle7458 Жыл бұрын
Ndo mana hskupost Pole Mungu atakulipia inshallah❤️❤️❤️❤️🤲🤲🙏
@NDEWARA
@NDEWARA Жыл бұрын
Pole sana Queen. Huyo ndiye tapeli "Dr" Mwaka😭😭
@rumemerumeme8659
@rumemerumeme8659 Жыл бұрын
Pole ya nn hata huyo queen nae nitapeli njaa ndio inamsumbua
@rukiaissa5225
@rukiaissa5225 Жыл бұрын
Manara na Dk.Mwaka,Hakuna ufundi kwa hili.
@tatotato506
@tatotato506 Жыл бұрын
@@rumemerumeme8659 njaa gan inamsumbua yeye anadaitalaka yake
@rabsonchisumo6640
@rabsonchisumo6640 Жыл бұрын
Tapeli ni dada mwenyewe
@profs.a5412
@profs.a5412 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂kweli mganga hajigangi 😂 Yani dr.mwaka,SI ndio mshauri wa mambo ndoa na mahusianooooo🤣🤣🤣
@MohammedAli-rh5si
@MohammedAli-rh5si Жыл бұрын
Ni malaya balaa bado monalisa nae
@rashidyally8715
@rashidyally8715 Жыл бұрын
Kishaumana hapo kungwi kaachwa ,askali wa usalama barabarani kagonga ,hakimu kahukumiwa ,askali magereza kawamfungwa 😄😄😄😄😄
@beautyibrahim8428
@beautyibrahim8428 Жыл бұрын
@@MohammedAli-rh5si monalisa gani
@salmamlokela1987
@salmamlokela1987 Жыл бұрын
@@rashidyally8715 hhhh
@barakamanga5502
@barakamanga5502 Жыл бұрын
Hahahahahaha Dr anapiga bia,
@kamikazisalma5209
@kamikazisalma5209 Жыл бұрын
Polesana dada hakiyamtu haiyendagi ivi ivi Allah atakupa lako fungu insha Allah 🙏
@kassimali2273
@kassimali2273 Жыл бұрын
Haki gani unayo ongelea ww
@kamikazisalma5209
@kamikazisalma5209 Жыл бұрын
@@kassimali2273 ukaye unajuwa uyo ni mke na sihawara
@kassimali2273
@kassimali2273 Жыл бұрын
@@kamikazisalma5209 ni mke ndio uantaka haki gani apewe labda na mumewe au Bakwata tafadhali nieleweshe
@jemimahaule1519
@jemimahaule1519 Жыл бұрын
Dada atakukumbu huyo wanawake wainayako niwachache Pomoja nayote umeongea kwasta sana allah akulipe
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 Жыл бұрын
Allah amlipe nini huyo. Wenzake wamemzidi kete. Mara nyingi wanaokimbia ni mabiwadogo na si bimkubwa.
@leymanleyman7426
@leymanleyman7426 Жыл бұрын
Mmmmh. Sasa hapa ndio najua kweli mapenzi sio hela. Shikamoo mahaba.
@priscamlyuka5531
@priscamlyuka5531 Жыл бұрын
Marahabaaa
@zayumar2955
@zayumar2955 Жыл бұрын
SubhanaaAllah Allah Allah ni Mwenye haki atamlipa Kila Moja Kwa Haki pole dada sie hatuyajui yaliyopo ndani ya mioyo yenu ila tumtangulize Allah Kwa Kila jambo Amiin yarrab 🤲
@mohammedsalum3502
@mohammedsalum3502 Жыл бұрын
Mnaomba talaka mkiishaona mmepata mali au mwanaume akiwa ana kitu ndio maana mnaomba taraka
@zayumar2955
@zayumar2955 Жыл бұрын
@@mohammedsalum3502 sio kweli jmn talaka inatokea kunapokosekana maelewano baina ya wà2 wa2 ktk ndoa Mali si kigezo
@godwinkileo7702
@godwinkileo7702 Жыл бұрын
Tuacheni kushangilia kwa jirani kunawaka moto wakati nasisi kuna fuka moshi.
@carolinemariki4029
@carolinemariki4029 Жыл бұрын
Wakati wakristo tukijiuliza imani yetu Iko wapi Kwa sakati la Mchungaji wetu Kimaro ... Sasa huku Kwa wenzetu Nako Kuna shida tena.. naombeni mwenyi jibu atusaidie🙏🙏🙏🙏🙏
@mankacharles4559
@mankacharles4559 Жыл бұрын
Jibu ninaliyetuumba,dini zenu hazina MUNGU wa kwelibzinaongozwa na taratibu za watu na wanadamu aziongozwi na muumba wa yote
@simbarajabu4157
@simbarajabu4157 Жыл бұрын
Nilimwambia doctor mwaka hata ifanye nn mwanamke akikuchoka kakuchoka tu
@abdallahabdulaziz3683
@abdallahabdulaziz3683 Жыл бұрын
Una maanisha mwanamke yupi Tena huyu huyu,
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 Жыл бұрын
Sio kamchoka broo, tunavumilia mengi sana ambayo hata wanaume hawezi kuyavumilia, mnatuumiza sana😢😢😢😢😢😢😢 yanatufika shingoni unaona sasa wazama.-😭😭😭😭😭 tumwaa chie mungu mwenye hukumu ya hakki.
@halimakuju6076
@halimakuju6076 Жыл бұрын
Jamani ndoa nongum sana kwetu wanawake ningum sanawanawake tunaonewa sana miaka nenda rud mwanamke unaambiwa vumilia to inaumixa sana mie huyu dada hapa alipo fiakia nimaamux magum sana kwake ila ameona bola hiyo kuliko ndoa
@abduomar8438
@abduomar8438 Жыл бұрын
Sio ngumu tatizo waliiharibu toka mwanzo mitandaoni
@mwanaishaabubakar5013
@mwanaishaabubakar5013 Жыл бұрын
Kesi yako sawa sawa na ya kwangu. BAKWATA hupati haki. Hayo mashiroka ya haki za wanawake ndio watakupa njia yabkushinda. Nilisaidiwa kisheria na SUWATA nimeshinda
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 Жыл бұрын
Bakwata gelesha tu
@rayanaabdallah6580
@rayanaabdallah6580 Жыл бұрын
Mtihani Wallahi, walio nje ya ndoa watamani kuingia kwenye ndoa na walio kwenye ndoa watakani kutoka nje ya ndoa. Mungu atuongoze jamani
@johnsonbagambi1908
@johnsonbagambi1908 Жыл бұрын
Maji yamezid unga hapo ni mkanyagano tu mimi nasema hiv mwanamke ni mmoja tu
@ibrahimsalmin6884
@ibrahimsalmin6884 Жыл бұрын
Usilete hayo na hata mmoja matatizo yanatokea
@shaluuanthony1836
@shaluuanthony1836 Жыл бұрын
Mnaweza sasa
@Sheba4651
@Sheba4651 Жыл бұрын
Mwanamke mmoja anakua mama yako tu aliyekuzaa, hawa wengineo hata kama unao mia moja na imani yako kidini inaruhusu tatizo liko wapi. Hata Seleman, Daudi, Ibrahim hawakua na mmoja, ukiwa huna nguvu za kiume hapo shida ni juu yako, akisimbua huyu anaongeza mpya.
@himidijenga535
@himidijenga535 Жыл бұрын
Kulikuwa Kuna haja Gani ya kuoa wake wengi angali huyu dada ni mrembo haswa. Very very nice woman.
@shaluuanthony1836
@shaluuanthony1836 Жыл бұрын
Ila wewe lini mwanaume akaangalia urembo? Yan wanaume tamaa tu wanataka tu kummiliki kila mwanamke wanaemuona
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi Жыл бұрын
Alitaka na mwingine ambaye sio mrembo😂
@sophiaommy8343
@sophiaommy8343 Жыл бұрын
Yaani kweli Ni mrembo kingine inaonyesha kweli kavumilia mengi
@shaluuanthony1836
@shaluuanthony1836 Жыл бұрын
@@TM.Sullusi hatari sana
@softena100
@softena100 Жыл бұрын
Huyu ni mke wa 3,wengine 2 walimtanngulia,nyumayake huyu yupo mke mmoja wa mwisho
@hasnamustapha7774
@hasnamustapha7774 Жыл бұрын
Dada poleee sana Ktk hyo point mwanamke ukiamua kujivua ndoani unaonekana hauko sawa,unatakiwa uwe stable Ktk hili na haswaaa ukiwa na divorce na mwanaume wa aina hyo. Mwanaume siku zote huwa anapenda Aache yy na syo aachwe na mke Queen stay strong Maa. #Ndoa si kifungo#
@feezdidthis2220
@feezdidthis2220 Жыл бұрын
mtt wa kiislam ndo unakaa kusema hvo.. Subhanallah 🙉
@mishikikoti2948
@mishikikoti2948 Жыл бұрын
@@feezdidthis2220 😂😂si kwasbb hayaja kufika.
@zuberiismail2972
@zuberiismail2972 Жыл бұрын
We dada mwanasheria ni mzuri lkn kinguo chako mtihani
@HalimaHalima-id2cb
@HalimaHalima-id2cb Жыл бұрын
Pole sana my ule ukewenza uloukumbatia nakulala namume wenu pamoja ilikuwa khatwari ile.... nayule alokuchukulia mumeo ukamfanya pachaako nlijuwa mwisho wake ndohuu ajuwa alichokifanya bimdogo mmmh pole sana dadangu mtihani inshallah wepesi utapatikana aameen yarabbi
@halimafaber3685
@halimafaber3685 Жыл бұрын
P]ppp]
@siaammo1104
@siaammo1104 Жыл бұрын
Huyu siyo yule huyu ni bimkubwa wale niwake wadogo
@fatmaabeid1155
@fatmaabeid1155 Жыл бұрын
@@siaammo1104 unamuona kavaa stara ndio maana umeshindwa kumtambua huyu ni queen mke wa pili ni wale wawili wanaopendana sio bi mkubwa
@benedictarweyemamu9531
@benedictarweyemamu9531 Жыл бұрын
huyu ni mmoja wao wale wa masare walikuwa wanapendana madai yao mdudu kaingia
@lucykapinga369
@lucykapinga369 Жыл бұрын
@@benedictarweyemamu9531 eeh kwerr wamefanania na huyuuu
@kinyamal8201
@kinyamal8201 Жыл бұрын
"Fika sasa Foreplan clinic matokeo utayapata naamini utanipenda." Sasa zaidi ya suluhisho amefanyaje tena?😊😊
@maryjkiosa3380
@maryjkiosa3380 Жыл бұрын
Dada mzuri Sana mrembo aswaa ,,daah, Mwenyezi mungu atakusaidia dear
@abdallahabdulaziz3683
@abdallahabdulaziz3683 Жыл бұрын
Aje nimuoe.mie
@Sheba4651
@Sheba4651 Жыл бұрын
Uzuri wake aende akaolewe na malaika basi, si hataki kuishi na mwanadam mwenziwe.
@mariamjuma4136
@mariamjuma4136 Жыл бұрын
@@Sheba4651 🤣🤣🤣ila wanaume mnafanyaga matukia. Mwanamke akichoka anataka kuondoka hamtaki
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Жыл бұрын
@@abdallahabdulaziz3683 🤣🤣🤣
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Жыл бұрын
Saana
@newvoicetutorial2131
@newvoicetutorial2131 Жыл бұрын
Allah akukhifadhi dada yangu na akujaze sublla kwani hayo c mapito madhulli na in'shaallah utafanikiwa
@annajulius9940
@annajulius9940 Жыл бұрын
Kwanza umependeza Masha Allah uko kwenye taraka dada 🤗🙄🤔🤐🤐
@hafidhyakoub8369
@hafidhyakoub8369 Жыл бұрын
Yani office hizo ndio zilivyo kawaida Dada angu
@alimuhamed1830
@alimuhamed1830 Жыл бұрын
Allah atamsaidia koz kama allah aliyo ahidi hakika penyeuzito nawepesi upo
@kashinjepius4096
@kashinjepius4096 Жыл бұрын
Maswala ya kuoa wake wengi haya... haya bhana na imani zenu... nachoamini hamna nafsi ya mwanamke ikafurahi mmewe kuoa tena
@ibrahimsalmin6884
@ibrahimsalmin6884 Жыл бұрын
Huo ndio ubinaadam hawa kukamilika
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 Жыл бұрын
Wanaume konyo aiseee yani dada mzuri ivi na kaachwa vipi kuhusu Mimi Ashura mwenye sura ya baba 😫😫🙌🏻
@rhodachristopher4398
@rhodachristopher4398 Жыл бұрын
Mwanamke ndio kachoka kasema
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 Жыл бұрын
@@rhodachristopher4398 ni Sawa lakini inaonesha mwanaume ndo alianza vituko ndo mana mwanamke akachoka
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 Жыл бұрын
@@ashurajengela3926 Hakuna vituko huyo mwanamke kazidiwa kete na wake wenza wale 2. Aliamua eti kuishi na watoto wa wake wenza ili apate kupitia watoto nao wakakauka Sasa kawarudisha na anamba taraka ili agawiwe mali. Dr. Mwaka anaakili Sana kamkaukia na kesi ya swizi juu.
@ahmadzubeir3363
@ahmadzubeir3363 Жыл бұрын
Kadhi inawezekana kuna Intrest na huyo Dr Mwaka hatuwezi kujua labda pengine ni Presure tu.
@majaliwawilson9372
@majaliwawilson9372 Жыл бұрын
Tunataka kuiona nadokter mwaka nae ahojiwe ili tujuwe wanawake wengi Sana sikuiz unatafuta Mali nabaada yakupatikana mwanamke anaaza kutaka talaka Sasa bakwata inesema Kama niwewe umeamuwa haya wasalimie Sasa ugovi wanini
@jeunajuatv817
@jeunajuatv817 Жыл бұрын
Tatizo ni kusumbuana na tajiri
@fatmamrihani6828
@fatmamrihani6828 Жыл бұрын
Mungu akusaidie mwanamke mwezetu
@messiahfeatures3994
@messiahfeatures3994 Жыл бұрын
M/Mungu ampe subira na kusimamia ktk suala lake inshallah
@drsilo
@drsilo Жыл бұрын
Huku kuna rushaynah huku kuna mwaka🤣🤣
@husna34562
@husna34562 Жыл бұрын
Mtihan
@Sheba4651
@Sheba4651 Жыл бұрын
Wao yao wanatangaza, sote tupo shidani tu.
@justinecom7461
@justinecom7461 Жыл бұрын
Tatizo ni Rushwa,,utakuta Kadhi kashalamba mzigo Kwa Dr hapo patakua na shida hak haitapatikana
@MohammedAli-rh5si
@MohammedAli-rh5si Жыл бұрын
Yaan hilo km goli la penalty 🤣🤣
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 Жыл бұрын
Mungu akikupa neema jitaidi kuificha kama ikiwa kuna uwezekano wa kuificha. Mtu anakuhusudu mtandaoni na inakupata.
@morogorodoll397
@morogorodoll397 Жыл бұрын
Maisha haya jamani mkiona mtu Anadai taraka mmuache hayupo anayependa kuona watoto wake wakae tofauti na baba au mama ndoa mtihani sana cku izi
@Sheba4651
@Sheba4651 Жыл бұрын
###
@aryanamendes8700
@aryanamendes8700 Жыл бұрын
Dr mwakaa buanaa khaaa mapenzi magumu na ni Vita kubwaa Sana Ina vipengere
@ngowibeatrice1701
@ngowibeatrice1701 Жыл бұрын
Jamani tatizo la wanawake wanafiki sana amuwezi wanawake watatu wakaolewa na mwanaume moja mapenzi ayagawanyiki lazima utaegemea upande moja tu
@welcometoeat165
@welcometoeat165 Жыл бұрын
Mie spend watu wanooa wake wengi japo mie n muislam ila jambo hilo kwakwel huwa silikubal hata kdogo! Wanawake wanaumizwa Sana katka hili 😢😢😢😢
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 Жыл бұрын
Kwani waisilam wanaume walivyoamrishwa kuoa wake zaidi ya mmoja kwa mwenye uwezo waliambiwa wagawane penzi sawa kwa wote? Hakuna jambo hilo hata Mtume s.a.w hakueza kugawanya sawa kwa wote. Kilichoamrishwa ni uadilifu wa kuwahudumikia kwenye mavazi, malazi, chakula na usiwanyanyase.
@happinessmtalika16
@happinessmtalika16 Жыл бұрын
Pole sana dada wanawake wengi tumeyapita hayo.lkn kikubwa uzima tu kama Mungu amepanga utapata vingi kuliko hivyo
@saadomar2480
@saadomar2480 Жыл бұрын
Hayo mmeyasikia niyamwaka, Sasa namwaka akija akasema mapungufuyake huyomama mtasemaje? Punguzeni lunwa ninyi wamama ninyi!
@saadomar2480
@saadomar2480 Жыл бұрын
Mambo yandani yamajumba nimagumu umdhaniae siye kumbe ndiye
@madinamahuba
@madinamahuba Жыл бұрын
@@saadomar2480 kwann aombe talaka alafu amfungulie kesi nyingine na amletee polis waje wamkamate anaamana.anamkomoa mkewe kisa kuombwa talaka haliyakuwa hana huduma yoyote na mkewe na watoto .kama unadada na akawa anapitia changamoto kama hizi ungejiongeza
@madinamahuba
@madinamahuba Жыл бұрын
@@saadomar2480 kuachana ndio amwambie arudishe kilakitu bado kesi juu ok anamnyanganya hiyo nyumba haliyakuwa anawatoto wataenda kukaa wapi usimtetee kwakua nimwanaume mwenzio ila angalia hoja nahaki
@hodgebukaya5112
@hodgebukaya5112 Жыл бұрын
Muongopeni mungu katika sheria. Hiyo nifisi ya Dini kazi unatakiwa ulimalize hili jambo kidini na kisheria.
@abdallahabdulaziz3683
@abdallahabdulaziz3683 Жыл бұрын
Bakwata wanatutia aibu watatusababisha hata jitihada zetu za KULETA MAHAKAMA ya kadhi kushindikana kutokana na njaa zao, wallahi tukipata MAHAKAMA ya kadhi NI lazima makadhi easier wa kuchaguliwa Bali wa ku apply na awe amesoma degree ya kiislamu sio Hawa makadhi njaa njaa.
@akinyindege7178
@akinyindege7178 Жыл бұрын
Social media sio real life 😂
@ahmedysaidy9874
@ahmedysaidy9874 Жыл бұрын
Huyu mke kwel amemvumilia sana maana huyu Dr mwaka alikuwa anawaleta Malaya ktk nyumba yake pale ilala maana na anafanya nao mambo machafu kwenye kitanda kimoja anacholala huyu mke kila jambo Lina mwisho wake.
@simonrusigwa3024
@simonrusigwa3024 Жыл бұрын
Ww jirani yake au?
@hawahabibu3881
@hawahabibu3881 Жыл бұрын
Mdada mzur MashaAllah kushinda wake zake wote
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
Allah atampa haki yake Insh'Allah
@malak-lz6kx
@malak-lz6kx Жыл бұрын
Ndio maaan hataki kuitoa talaka eti ana wake zke wale sura za jeshi anaona mh tabu kumuacha uyu mwanamke
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 Жыл бұрын
Maa Shaa Allah Mzuri Anaongea kwa kituo Na akili ipo kichwani! Mke mkubwa
@madinamahuba
@madinamahuba Жыл бұрын
@@malak-lz6kx Kwani sianao wake 3
@malak-lz6kx
@malak-lz6kx Жыл бұрын
@@madinamahuba kabaki mmoja tu yule sura ya babu yke
@ayoublupande3007
@ayoublupande3007 Жыл бұрын
Hahaha 😂 mapenzi ya mitandaoni hayadum jmn eti wanapendana mmnooo hahaha 😂 Mungu ameturuhusu kuowa zaid ya mmoja lkn kuishi tuishi nao kwa akili San🤫Sasa utawaambiaje walimwengu
@rosetenga6979
@rosetenga6979 Жыл бұрын
Pole Sana dada
@jebellwallace3509
@jebellwallace3509 Жыл бұрын
Sister umefanya vizuri sana kuwaumbua bakwata.
@nunuuali5316
@nunuuali5316 Жыл бұрын
Dr yupo zake marekani anazurura na bi mdogo wanakula maisha,ila hii dunia jaman
@merinaemmanuel3593
@merinaemmanuel3593 Жыл бұрын
Pole sana dada yetu, MUNGU akusimamie sana.
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 Жыл бұрын
Akupe haki yaki, aache mbamba zake fala huyo
@abdulbandidu119
@abdulbandidu119 Жыл бұрын
Hawa wanaojiita watetezi wa haki za wanawake ndio wanaoharibu hao wanawake. Dr Mwaka ni muislam na mkew ni muislam,iangaliwe dini inasemaje katika haya,wanawake wa kiislam wa siku hizi mnapotoshwa na ufeminist,na hiyo itawapeleka Jahannam
@kassimmanaramalika8592
@kassimmanaramalika8592 Жыл бұрын
Kadhi hajisikiii kuongea 🤔 Subhaana Allah Mtihani ,kwelii Mtihani Sasa kadhi kama hajisikiii kuongea si ajiudhuru hiyo KAZI awaachie watu ambao watakaojisikia kufanya izo KAZI waweze kusaidia watu?
@godwinkileo7702
@godwinkileo7702 Жыл бұрын
Mungu bariki ndoa zetu zidumu milele, aminaa
@Emedroadtocanada
@Emedroadtocanada Жыл бұрын
Kwel ni queen maashallah
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Жыл бұрын
Mzuri sana
@ukweliunauma4570
@ukweliunauma4570 Жыл бұрын
Mtoto mzuri , kazi kukushanya wanawake lakini hawayawezi kazi kutaka umaarufu tu achia ngazi Dr mwaka tuchukue mama huyo
@mbagaherbal4796
@mbagaherbal4796 Жыл бұрын
Kiukweli Ndugu zangu Swala la kuwaonyesha wanawake zetu mitandaoni sio jambo zuri na kiwasifia mitandaoni sio jambo zuri. Ndo yanawakuta hayooooo, Allah atuongoze sote Inshaallahu taala
@ngoiedward4176
@ngoiedward4176 Жыл бұрын
Naunga mkono hoja kwa 100%
@twahaissack7887
@twahaissack7887 Жыл бұрын
Ww huyuuu ajafanyiwaa ukatiliiii huyuuu amejienguaaaa unabwabwajaaaa TU ,wamamaa wa mjinii haooo mtaingiaa motoniii wengiiii wanawakeeee duuuuuu
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 Жыл бұрын
Huyu ndio mwaka originally sasa, Mungu ni mkubwa sana, nadhani tukubaliane tu ukamilifu ni wa Mungu pekee
@muhsinirasuli2473
@muhsinirasuli2473 Жыл бұрын
Kwan yy aliwahi kusema ni mkamilifu
@dorithjoseph3209
@dorithjoseph3209 Жыл бұрын
77⁷
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Жыл бұрын
@@muhsinirasuli2473 🤣🤣
@ukweliunauma4570
@ukweliunauma4570 Жыл бұрын
Mwaka huu tutaona mengi kama haya , funga mkanda tulia tuyaone
@sophiakassim6784
@sophiakassim6784 Жыл бұрын
Hakika🤝
@subirakakwela727
@subirakakwela727 Жыл бұрын
Kwa ajili Allah doctor amrejee kweli Allah atekeleze aliyoamlisha Kwan pumz c kitu Cha kujidai nacho akichelew kukatka
@williammgalla7774
@williammgalla7774 Жыл бұрын
Zakia Msangi@my class mate. Big up sana
@f2abooksuppliers122
@f2abooksuppliers122 Жыл бұрын
Sasa kama umeshindwa kuendana na baadhi ya vitu kwenye ndoa, ukadai talaka sidhan kama mumeo anakosa hapo, na sio urudishe nyumba tu, rudisha hadi nusu mahari maana umepata wakuendana nae huko maana hukufukuzwa kwa mumeo umejifukuza.
@wahidangunde4536
@wahidangunde4536 Жыл бұрын
Bakwata mungu anawaona watalipia wanachowafanyia walalamikaj wanaofika hapo…mimi ni muislam lakin nmesikitishwa sana na malalamiko hayo😢
@mariamusaulo4429
@mariamusaulo4429 Жыл бұрын
Dr Mwaka nakufuatilia sana, ila kwa hili umeniangusha
@frankngoloka2589
@frankngoloka2589 Жыл бұрын
Dr Mwaka hapo umefeli
@mkohoexperience7322
@mkohoexperience7322 Жыл бұрын
Nyie mnasikiliza upande wa mlina asali, na kusema ameumia kwa kung'atwa na nyuki lakin hakuna aliyeongelea upande wa nyuki, kizazi cha nyuki waliopotea Don't drop into conclusions alaf hayo n mambo ya ndoa
@abdallahabdulaziz3683
@abdallahabdulaziz3683 Жыл бұрын
@@mkohoexperience7322 mwaka alisema KUINGIA kanisani sio koa sijalisahau hilo Yule kanjanja mbahatishaji tu.
@ellymaz2187
@ellymaz2187 Жыл бұрын
Hapa tumesikia upande mmoja tu. Ukisikia upande wa pili, utachanganyikiwa.
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 Жыл бұрын
@@mkohoexperience7322 Nikweli, ila kwa asilimia 99 wanawake tunaumizwa sana, na tunayo yavumilia kwa waume, waume hawayavumilii kwa wake.
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 Жыл бұрын
Jaman had wewe dk. Mwaka. 🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️ Aiseee maisha yana usiri. Sna.
@King_186
@King_186 Жыл бұрын
Daah Dr Mwaka usimuache huyu Mama,unless km kuna jambo kubwa sana please
@sein.208
@sein.208 Жыл бұрын
Allah ni mjuzi zaidi kwa yalifichikana na yaliyo dhahiri
@afyandogo
@afyandogo Жыл бұрын
Dah hizi haki zimebadilisha sana maisha ya ndoa,kwenye maelezo ya Queen ni kwamba ameshindwa kuvumilia ndia yake lakini wakili amesema alikuwa anapitia ukatili🤔
@christinadeus2583
@christinadeus2583 Жыл бұрын
Kwan hujamsikia Queen kasema hawezi kusema yote means kapitia mazito jiongeze ndugu
@christinemurithi6471
@christinemurithi6471 Жыл бұрын
Amesema Hana haja kuongelea ukatili aliopatana nao katika ndoa
@hellenrichard6528
@hellenrichard6528 Жыл бұрын
Mmmh kazi kweli
@mohamedmussa7121
@mohamedmussa7121 Жыл бұрын
Hamna kitu hapa, ujanja ujanja wa wanawake. Yaani kumkusanyia team yote hiyo kutengeneza attention. Wanawake; ukimkuta mwanaume anamafanyikio ya kidunia anaushawishi na anaakili kubwa never play hii michezo utajutaa. Mpaka kufika hapo kakwepa mishale mingi usihisi unaweza kumuangusha au kuchukua chochote kutoka kwa mwanaume pasina ridhaa yake kama yupo hai...
@kandurumedia8220
@kandurumedia8220 Жыл бұрын
Angalau kaka umezungumza. Simtetei doctor Mwaka Wala huyo dada. Wanawake Wana vitimbi kama huna Imani unaweza ingia motoni chaaaap. Allah atunusuru wanaume wote.
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Жыл бұрын
Hizi Case ziwe kama case study Serikali ije na jambo hapa, hasa kuhusu malezi ya watoto, Makato yanatakiwa yawe direct kutokea bank kwa amr ya serikali na sio mtu mwenyewe aamue kupeleka hayo matunzo, kuwa na utaratibu wa deduction isiyo umiza
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi Жыл бұрын
Hayo mambo yote yapo, ila ni procedure, sema tu hufahamu kaka.🙏
@abdirizakhtuke2882
@abdirizakhtuke2882 Жыл бұрын
50/50 ndio sababu ya talaka.
@eshialabonita7736
@eshialabonita7736 Жыл бұрын
Hio ni kazi ya ustawi sema Ndio hivo
@abdirizakhtuke2882
@abdirizakhtuke2882 Жыл бұрын
Utafute pesa umlete mtu akusaidie kuzila, siku anataka kuondoka aondoke na nusu ya mali yako. Where's natural justice?
@rabsonchisumo6640
@rabsonchisumo6640 Жыл бұрын
Wewe unatamaa mbona hao watoto anaweza kukaa nao Mwaka mwenyewe
@AbuuAbdilRahmaan
@AbuuAbdilRahmaan Жыл бұрын
HUU NDIO UKWELI BAKWATA...WANAENDEKEZA TAMAA YA PESA SANA...WANAWAKE WENGI WANATESEKA SANA KWENYE NDOA...BAKWATA NDICHO CHOMBO KILICHOPEWA MAMLAKA YA KUWASAIDIA WANAWAKE WANAOKOSA HAKI ZAO KATIKA NDOA...BAKWATA WANA RUSHWA PENGINE...NA SI HUYO TU...NI WANAWAKE WENGI WANAKUTANA NA MIZUNGUSHO MINGI BILA KUPATA HAKI YAKE.
@mgofumaster6628
@mgofumaster6628 Жыл бұрын
Mahakama hii bado sanaa tz
@harrysonfidelis500
@harrysonfidelis500 Жыл бұрын
daah hawa viumbe ogopa sana, pole sana dr mwaka nikikumbuka enzi zile kwenye mahojiano yako kuhusu kutunza mwanamke zako na leo yalio kukuta ninakupa pole sana dr
@mathewjustine4186
@mathewjustine4186 Жыл бұрын
Mzee Baba anaogopa pc yake akiachana nayo faster inachukuliwa😁😁😁
@mansurmohamed5752
@mansurmohamed5752 Жыл бұрын
Be strong Queen.
@saraenock7600
@saraenock7600 Жыл бұрын
Mmmmh pole Mungu akutie nguvu
@kellyngogo3319
@kellyngogo3319 Жыл бұрын
Huyu dada Mzuri sana. Akipewa divorce saa 4 asubuhi saa 4:30 Anapata Milionea South Africa Anamuoa
@sumiegeeb2111
@sumiegeeb2111 Жыл бұрын
Na ndo mana wanaume wanakuaga wagumu kutoa talaka wakifikirikia hivyo
@anoldpotentin2446
@anoldpotentin2446 Жыл бұрын
Millionea aoe mwanamke aliekaa kwa mwanaume miaka 10, kwan hakuna mabinti wadogo wazuri?
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 Жыл бұрын
@@anoldpotentin2446 hata angekaa miaka 20
@akinyindege7178
@akinyindege7178 Жыл бұрын
@@anoldpotentin2446 hovyo kweli wewe
@anoldpotentin2446
@anoldpotentin2446 Жыл бұрын
@@lifeinmiddleeast8179 Hakuna mwanaume mwenye akili tena hana hela, aoe mwanamke alieshindikana kwa mme wake. Nile makombo ya mwanaume mwenzangu na hela ipo😂nachukua binti mbichi
@mdimifrank
@mdimifrank Жыл бұрын
Pole sana mke wa Dkt Mwaka. Mahusiano hayalazimishwi. Mamlaka zifuatilie suala hilo ili ndoa hii iweze kuhitimishwa kwa amank kwa mujibu wa Sheria za nchi, maana upande mmoja unakwepa wajibu wa msingi kisheria. Waziri Gwajima na Waziri wa Katiba na Sheria ingilieni kati kumpatia haki huyu mama.
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 Жыл бұрын
Mbona iko wazi. Anaondoka kimyakimya kama alivyokuja.
@suzanamwangingo2995
@suzanamwangingo2995 Жыл бұрын
Nilikuwa namuona mwaka wa maana kumbe ndiyo hafai hivi ampe huyu mama hakiyake
@goodluckmsoka3660
@goodluckmsoka3660 Жыл бұрын
Haki ipi
@jasiminjasimin7694
@jasiminjasimin7694 Жыл бұрын
Duuu mungu tusimamie wanawake
@iman_thedon9548
@iman_thedon9548 Жыл бұрын
Daaah pole sana Mama yangu, haki ya mtu aipotei na kila lenye mwanzo alikosi mwisho hilo litaisha kwa uwezo wa Mungu Inshaallah
@allykassim1120
@allykassim1120 Жыл бұрын
Khaaa! Doctar wawili wamekushinda!!tena huhuh
@massangamaulidi3383
@massangamaulidi3383 Жыл бұрын
Hao masheh wa bakwata wana kazi ya kumjibu allah
@aminamzuri9933
@aminamzuri9933 Жыл бұрын
Mashekhe mmmmmh
@zaitunjuma870
@zaitunjuma870 Жыл бұрын
mtihan sn jaman Ee mungu wangu
@letciamapunda8428
@letciamapunda8428 Жыл бұрын
Dada chukua chako upumzike karibu group la masingo Maza epuka kuuawa
@msafimediaonlinemmo7817
@msafimediaonlinemmo7817 Жыл бұрын
Njoo tuyajenge
@thresherjordan6829
@thresherjordan6829 Жыл бұрын
Queen mzur jamn aiiiiiiiiiiiiiiiiii
@faustinirichard8645
@faustinirichard8645 Жыл бұрын
Pole sana mwana mama
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
Subhanallah Yani ni mtihani baadhi ya wanaume wanalilia kuongeza wake haliyakuwa majukumu hawayawezi Allah atustiri kwakwel 😰
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
Ameen
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
@@khadijahali4837 wew hukosagi 😁👋
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
@@khadidjasuleiman8006 😁😁 sy kila pahala
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 Жыл бұрын
@@khadijahali4837 Hmh 😸 wew
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Жыл бұрын
@@khadidjasuleiman8006 😁😁
@mariamumariamu5737
@mariamumariamu5737 Жыл бұрын
pole sana Tonka kabisa logo wangu uishi maisha yako mwaka ninini Toka waisilam niwabaya sana wanagandamiza kisa dini
@Maggie-yx8pw
@Maggie-yx8pw Жыл бұрын
Mhhhhh sasa huyo Kadhi kama ana Pressure amekuja Kazini kufanya nini Duhhh sasa tuende kutafuta haki zetu wapi kama Vitengo vya Dini nao ni Ubabaishaji. Mwenyezi Mungu akusimamie Upate haki yako Queen.
@mariamahmad8261
@mariamahmad8261 Жыл бұрын
ALLAH atawakufanyia wepesi ila Allah kareemu dada
@shamzone388
@shamzone388 Жыл бұрын
Kama kadhi ni mgonjwa vipi amekuja kwenye kazi angekaa home au angekuwepo hosp sio hapo woote nasema wanafiki kadhi na dr mwaka
@MohammedAli-rh5si
@MohammedAli-rh5si Жыл бұрын
Kapewa kitu kidogo ndio kazi zao hapo bakwata
@malak-lz6kx
@malak-lz6kx Жыл бұрын
Tatizo theluth
@issarashidi4898
@issarashidi4898 Жыл бұрын
Kisheria huyo mwana mke anaomba talaka Sasa Kuna vigezo vya kadhi kumpa talaka lazima kadhi aongee nao wote Ili ajiridhishe lakini huyo mwana Sheria amesha wai kuolewa asiende na ushabiki ndoa ina mambo makubwa sana huezi kujua Dr huenda ana tengeneza subira , watu wangine wakiwa na kipato jeuri ina zidi haya Allah atunusuru pia atupe mwisho mwema inshallah
@mwatumsaidi5104
@mwatumsaidi5104 Жыл бұрын
Hii ndio shida ya mahakamani wanazulma sana na mwenye pesa ndio ananguvu hii ndio tz mie niko miaka 16 mpaka watoto wamekuwa hakuna haki yoyote inayotendeka zaidi ya pesa kuliwa na majaji na maloya LAANATULLAH
- А что в креме? - Это кАкАооо! #КондитерДети
00:24
Телеканал ПЯТНИЦА
Рет қаралды 7 МЛН
БАБУШКИН КОМПОТ В СОЛО
00:23
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 15 МЛН
DAD LEFT HIS OLD SOCKS ON THE COUCH…😱😂
00:24
JULI_PROETO
Рет қаралды 15 МЛН
Дарю Самокат Скейтеру !
00:42
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 8 МЛН
- А что в креме? - Это кАкАооо! #КондитерДети
00:24
Телеканал ПЯТНИЦА
Рет қаралды 7 МЛН