''KIBURI, ANASEMA HAWEZI KUONGEA na WAGANGA'' - WAZIRI MWIGULU AWEKWA KIKAANGONI na MFANYABIASHARA

  Рет қаралды 39,046

Global TV  Online

Global TV Online

Жыл бұрын

''KIBURI, ANASEMA HAWEZI KUONGEA na WAGANGA'' - WAZIRI MWIGULU AWEKWA KIKAANGONI na MFANYABIASHARA
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa tayari amefika katika viwanja vya Mnazimmoja Jijini Dar es salaam kwenye mkutano wake na Wafanyabiashara wa Kariakoo leo Mei 17, 2023.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 60
@globaltv_online
@globaltv_online Жыл бұрын
BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...
@thomastarimo
@thomastarimo Жыл бұрын
Mwingulu hafai kua wa waziri wa fedha kwa dakika mmoja kwa nzia sasa
@kabulukimati
@kabulukimati Жыл бұрын
Wizara.ya.viwanda.na.biashara.hiyo.wizara.ivutwe.haina.avya.kwa.taifa
@kabulukimati
@kabulukimati Жыл бұрын
Mimi.ningekuwa.huyo.waziri.wa.shekeli.ningerizain
@yusufuemauneli9413
@yusufuemauneli9413 Жыл бұрын
Apo stima waziri iyo ni mpigaji anamuda basi
@totolapastor1314
@totolapastor1314 Жыл бұрын
Safi sana Tanzania tuamke tuisemee nchi yetu love you tunawacheki tuuuuuu
@benardsamizi-qo4yp
@benardsamizi-qo4yp Жыл бұрын
Watanzania Mungu anatupenda sana. Hili Jamaal lingepata URAIS Tungekoma. Au anatukomesha WATANZANIA KWA SABABU ALIKOSA URAIS???. NDIYO MAANA MWENDA ZAKE ALIMPIGA CHINI.
@catherinemzurikwao3265
@catherinemzurikwao3265 Жыл бұрын
Mwigulu ni tatizo kubwa, siku akiondoka Tanzania itatulia
@ozuabrahamu8079
@ozuabrahamu8079 Жыл бұрын
Kiukwl ukipewa dhamana ya kuwa kiongoz hupaswi kuw na dharau Waziri Mwigulu anadharau na kiburi Cha cheo chake kwakuwa ana elimu kuliko wengine hii sio sawa kabisa
@godlistengodlisten7552
@godlistengodlisten7552 Жыл бұрын
Mwigulu Unatuumiza Watanzania.Jitafakari Ndugu Yangu Hicho Cheo Ni Dhamana Kitapita.Mama SAMIA SULUHU HASAN Ondoa Huyo Kichefuchefu.
@alawiali3475
@alawiali3475 Жыл бұрын
Sio kichefu chefu ni uchafu.
@julianaswai7846
@julianaswai7846 Жыл бұрын
N matapishi. . Hawezikuongea n waganga w kienyeji. Astahil kuwa wazir huyo. Sangakariakoo kumefungwa. Jibul wazir kam kumefungwa n kwahiyar yaooo. Mungu anakuon. Kumbuk wanafamilia zinawategemea
@mariasmith4301
@mariasmith4301 Жыл бұрын
Mwigulu ni tatizo Sana tunaushi maisha magumu Sana sababu yake
@godlistengodlisten7552
@godlistengodlisten7552 Жыл бұрын
Safi Sana Mawaziri Wa Aina Hii Waondolewe Hawatufai iiii Waziri Amekaa Anaongea Anavyotaka Kiburi Cha Mamlaka Hicho.
@gloriachristian1470
@gloriachristian1470 Жыл бұрын
Ana kiburi sana huyu baba,,watu wanashida wala haoni anasema wanae wanasoma feza mungu fundi wqondoe wote hao
@noelbryson7840
@noelbryson7840 Жыл бұрын
Muheshiwa Rais wetu mbona kuna kauzito cha kufanya mabadiliko kwa huyu Mwigulu?
@raphaelmohamed7314
@raphaelmohamed7314 Жыл бұрын
Asante sana
@goodluckndagile9381
@goodluckndagile9381 Жыл бұрын
Amesahau kusema alituambia tuhamie Burundi 😂
@husseinbachwa8372
@husseinbachwa8372 Жыл бұрын
Mwigulu Kazi ipo
@albertinamichael6123
@albertinamichael6123 Жыл бұрын
Mwigulu anasema hawezi kuongea na waganga wa kienyeji muhamie Burundi ana dharau sana .
@sonnyr1899
@sonnyr1899 Жыл бұрын
Asipotumbuliwa leo basi itakuwa mzigo kwa CCM
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 Жыл бұрын
Ameshakuwa mzigo kwenye chama
@yusufuemauneli9413
@yusufuemauneli9413 Жыл бұрын
Katika watu ambao wana iumiza nnchi hiii kwenyewizi wapesa mwigulu ni namba moja
@kutikavu-jk7ue
@kutikavu-jk7ue Жыл бұрын
Mwigulu hatufai,kiburi dharau si binadamu!!
@josephkisoso6648
@josephkisoso6648 Жыл бұрын
Mheshimiwa mama Samia suluhu Hassan tunakuomba ututolee hiyo mwigulu nchemba maana hafai kuwa waziri wa fedha ,mpeleke hata sekta ya mifugo akaongoze ng'ombe na mbuzi
@mangashajunior242
@mangashajunior242 Жыл бұрын
Mwigulu kibri sana....
@alexsuleiman3795
@alexsuleiman3795 Жыл бұрын
Mwigulu atufai
@SanareMollel-wg7nu
@SanareMollel-wg7nu Жыл бұрын
👍
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx Жыл бұрын
Mbona hamwambii wanatutesa na kodi halafu hela zinaubiwa na watumishi walioteuliwa na mama halafu bado wako madarakani magereza hawapo?
@machoguhameri7757
@machoguhameri7757 Жыл бұрын
Wote waliochwa na Magufuri alikuwepo huyu ambaye sasa ni waziri wa viwanda na biashara wakati wa Magufuri alikuwa Naibu waziri wa fedha,akarikoroga magufuri kipindi cha pili akamwacha,Mwiguru alikuwa waziri Magufuri akamtumbua. Awamu ya sita ikawarudisha matokeo yao sasa wamechafua kabisa hali ya hewa ya nchi kiuchumi,kimaisha,hata kisiasa,kwa kuwa siasa ni uchumi,uchumi ni ulinzi pia.Huruma za Rais zitamponza awaondoe kabisa mawaziri hawa.Tunakaribia uchaguzi wao wanachafua hali ya hewa?
@juniorbachelor8296
@juniorbachelor8296 Жыл бұрын
Nchi kama ya mama yake iii nchi ngumu sana
@user-oy9me4qm4f
@user-oy9me4qm4f Жыл бұрын
Alitumbuliwa na magu kwanini karudishwa...
@yusufuemauneli9413
@yusufuemauneli9413 Жыл бұрын
Tunaibiwa mabilioni alafu wana zidi kuongeza kodi ba
@BrianMposindawa-wd8od
@BrianMposindawa-wd8od Жыл бұрын
Daah!
@stanleyfocas8250
@stanleyfocas8250 Жыл бұрын
Sii apigwe chini wapigwe chini
@majebelemathis9991
@majebelemathis9991 Жыл бұрын
Mwiguru ni jizi tu la selikali
@peterjohn1969
@peterjohn1969 Жыл бұрын
Waziri ajitambui atambui majukumu yake ni kwawana nchi yeye anajua uwaziriwake unafanya KAZI ikulu mwigulu amna anachojua
@robertphilip385
@robertphilip385 Жыл бұрын
Hakika serekali ya ccm haijali watu wake
@jonathanakhabuhaya1693
@jonathanakhabuhaya1693 Жыл бұрын
Katika nchi zenye utawala bora, baada ya sakata hili Mawaziri wa Fedha na Viwanda walipaswa kujiuzuru, na kama wakisita, Rais kuwafukuza. Kwa lugha ya Kikemia ya Form I, hii ndo "litmus test"ya uwajibikaji!
@hanslikecha4786
@hanslikecha4786 Жыл бұрын
Kusema niswala jengine na kutekerezwa niswala jengine
@andrewIzdory-sk4cu
@andrewIzdory-sk4cu Жыл бұрын
Daktari wa uchumi 0-
@adriansarara-pg9vv
@adriansarara-pg9vv Жыл бұрын
kwan mama aon mamb wana ich wanayo sem duu pak anatufany tusimpend pak lais duu
@knowledgeispower1118
@knowledgeispower1118 Жыл бұрын
Mwigulu atajulia wap biashara huyo..wanyiramba na biashara wap na wap?
@reinakimario9620
@reinakimario9620 Жыл бұрын
Hapo mchagga angefiti
@justinomtili9226
@justinomtili9226 Жыл бұрын
Mwigulu lawama zote kwako tu wewe ndo tatizo,, ni Bora ujiudhuru tu, Kodi zimekuwa nyingi hadi kero
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 Жыл бұрын
Omba ulinzi kabisaa😂😂😂
@saidomary3370
@saidomary3370 Жыл бұрын
Hapa ndooo tunamkumbuka jp
@judaspantaleo9779
@judaspantaleo9779 Жыл бұрын
Lazima mwigulu apigwe nyundo
@hassanrwitita2503
@hassanrwitita2503 Жыл бұрын
Watu wa ccm hawataki watanzania wasiwe na hela ili tuwe ombaomba kwao.
@mrsferuzi7443
@mrsferuzi7443 Жыл бұрын
Nibora alivyo kuwa waziri wa fedha makamu wa rais hali haikuwa ngumu hivi
@ZagambaMnubi
@ZagambaMnubi Жыл бұрын
Tatizo teuzi ni zaupendeleo mfano huyo Mwigulu wakati kuna Madaktari wenye akili timamu kama Kimei au mpaka uwe mzungumzaji matendo zero
@vintagemusicgroup9236
@vintagemusicgroup9236 Жыл бұрын
Huyu Mwigulu si ajiuzulu tu, anasubiri nini?
@joshuabartonpolelaab4985
@joshuabartonpolelaab4985 Жыл бұрын
😁😁😁😁duh mwigulu amepigwa vibaya mno
@dottomsuya6597
@dottomsuya6597 Жыл бұрын
Aondoleww
@philemornmutta1597
@philemornmutta1597 Жыл бұрын
Hii ni shida wapangaji wanawalipia WENYE nyumba kla mwezi ukiweka umeme unakatwa kla mwezi mambo haya ni ya hovyo sana
@selemankishema5780
@selemankishema5780 Жыл бұрын
Yaani mwigulu kama atakuja kuwa rais wananchi watapata taabu saana
@renatusgasembe3338
@renatusgasembe3338 Жыл бұрын
nani wa kumpa
@user-zx3he3lp3o
@user-zx3he3lp3o Жыл бұрын
Kwa kweli hali ni mbay sana ni jukumu la bunge kuona tattoo ni lipi na nani muhusika. Wayu wengi wanajuwa kazi zsido yako weweta Tanzania incestuous million 61
@yusufuemauneli9413
@yusufuemauneli9413 Жыл бұрын
Oyo nimpigaji hana muda na nyie
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 Жыл бұрын
Magufuli alishampiga Left mwenye alimrudisha kwenye uwaziri ana lake jambo
DAD LEFT HIS OLD SOCKS ON THE COUCH…😱😂
00:24
JULI_PROETO
Рет қаралды 15 МЛН
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Паша Осадчий
Рет қаралды 9 МЛН
MWIGULU AKUTANA NA KICHWA KIBOVU, SIKUOGOPI, LEO NAKUCHANA
10:00
DAD LEFT HIS OLD SOCKS ON THE COUCH…😱😂
00:24
JULI_PROETO
Рет қаралды 15 МЛН