KIMEUMANA MWANZA! MZEE ACHAFUKWA MBELE YA RC, AMTAJA KATIBU WA RC - "AMEVAA NGOZI YA KONDOO"

  Рет қаралды 72,212

Wasafi Media

Wasafi Media

9 ай бұрын

KIMEUMANA MWANZA! MZEE ACHAFUKWA MBELE YA RC, AMTAJA KATIBU WA RC - "AMEVAA NGOZI YA KONDOO"
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 104
@tumainielmaruwa3148
@tumainielmaruwa3148 9 ай бұрын
Mzee nakupa hongera zako umetisha sana
@shabaniathumani1789
@shabaniathumani1789 9 ай бұрын
Hata mauwa yake apewe ❤
@erickdioniz8277
@erickdioniz8277 9 ай бұрын
Safi kabisa mzee msomi
@hadijauledi6995
@hadijauledi6995 9 ай бұрын
Ww baba nimekupenda sana umeongea ukweli bila kuogopa mtu mama etu mama samia yupo vizur sana sana baadhi ya watendaji hawa wa chini 😭😭😭😭
@robertphilip385
@robertphilip385 9 ай бұрын
Nakweli mandunduka niwengi watu wenye vichwa mgando hawaishi inchi hi
@mayungarichard7443
@mayungarichard7443 9 ай бұрын
Hao ndio viongozi sasa, safi mzee
@yakobomaganga6557
@yakobomaganga6557 9 ай бұрын
HONGERA SANA MZEE 🙏🏿🙏🏿
@lucaschisamalo2852
@lucaschisamalo2852 9 ай бұрын
Wazee kama hawa wamebaki wachache wengi watumia matumbo Yao mzee mungu akubariki Sana sana
@marcongeleja9450
@marcongeleja9450 9 ай бұрын
Kazi nzuri sana
@Eliaskasanya-hm5yk
@Eliaskasanya-hm5yk 3 ай бұрын
Huyu mzee yupo vizuri sana. Yafaa awe diwani
@ibrahimally8073
@ibrahimally8073 9 ай бұрын
Huyu ndio abuu.. mwenyekiti msomi sana.. hapo degree ya accounts imetawala ndani ya ubongo wake..
@magrethmbangama1199
@magrethmbangama1199 9 ай бұрын
Anaonekana tuu sio ndio mzee mama anaupiga mwingi tetea wananchi.
@fadhiliomary1802
@fadhiliomary1802 9 ай бұрын
Huyu anaitwa mzee Abuu mzee mbishi Sana, mshabiki wa @yanga asiyekubali kuzhindwa, ukibishana nae kwanza upunguze hasira la sivyo utampiga makofi😂😂😂 Ana akili Sana...na hapendi kuonewa huyu mzee na Ana mtoto kasoma elim ya juu...
@cosmasmwaselela6584
@cosmasmwaselela6584 9 ай бұрын
Kama Rais wangu wa Tz akiyasikia yako kalibu Tanzania yote hao diowamchonganisha nawanainchiwake huku wakimumwangia sifa zakinafik
@tumainielmaruwa3148
@tumainielmaruwa3148 9 ай бұрын
Mkuu hawa wazee wanapasa kupewa maua yao.
@machaggechacha243
@machaggechacha243 9 ай бұрын
Kuwa na kiongozi mwanamke tena asiye raia wa Tanganyika, watanzania mmeingizwa mkenge ktk sehemu mbaya ya miili yenu. Hasira zinazidi kuwapanda. Wakati unakaribia kimbunga kitokee ktk nchi nzima.
@samwelnaal7952
@samwelnaal7952 9 ай бұрын
Mtoto wa muasisi wa taifa😂😂😂 Alivurugana sana na Lukuvi
@kambamazig02024
@kambamazig02024 9 ай бұрын
Yes, huyu mzee anajua anachokiongelea.Mwanza kuna rushwa kubwa sana na cartel ambayo inarudisha mkoa na jiji la Mwanza nyuma.
@MOHAMMEDABDI-lb7yp
@MOHAMMEDABDI-lb7yp 9 ай бұрын
Jama mlindeni mzee huyu jamani
@jesaminzo
@jesaminzo 9 ай бұрын
Hiyo ndiyo CCM mbele kwa mbele!
@user-fr7jj1bo7y
@user-fr7jj1bo7y 9 ай бұрын
mkuu wa mkoa siku hizi amekua Jaji ? sheria gani inampa mamlaka RC kusikilza kesi za jinai/utapeli kama kuna mtu ameibiwa aende mahakamani na RC hana uwezo wa kupinga mahakama
@masatumtani1588
@masatumtani1588 9 ай бұрын
Nashukuru Makala umetambua mahakamani hakuna haki
@jeshilamtu863
@jeshilamtu863 9 ай бұрын
Mzee ABUU❤❤😂😂😂😂
@mashirimathias6006
@mashirimathias6006 9 ай бұрын
Nimekiona chuma cha misungwi hapo Chacha
@sonnyr1899
@sonnyr1899 9 ай бұрын
Huyu Mze awekewe ulinzi haraka sana kabisa.
@saltechnologiesco.ltd.2377
@saltechnologiesco.ltd.2377 9 ай бұрын
Huyo mwenyewe ni dhalimu mtaani kwake ndio maana anateseka ameshiriki kufoji nyaraka nyingi za mirathi ili watu wapoteze haki zao sasa naye anapata malipo yake
@ladislausmoris9638
@ladislausmoris9638 9 ай бұрын
Mmmmmm??
@zakariafrancis4570
@zakariafrancis4570 9 ай бұрын
Huyo rev alomtaja nimtu mbaya sana tulishawai kutonya jambo fran tukijitia usarendo wa nchi alituchoma baada ya kupata alichopewa tukaenda jera
@chidatvchannel
@chidatvchannel 9 ай бұрын
Hiv huwa mnatangazia sehem gani maana taarifa hatuzifikii
@Michoarbah
@Michoarbah 9 ай бұрын
Kabsaaa
@AGNESMAJOLA
@AGNESMAJOLA 9 ай бұрын
Baba uko vinzuri sana sijuwi unaishi mtaa gani
@joachimanthony3230
@joachimanthony3230 9 ай бұрын
Kwa hiyo tumakubaliana mahakamani hakuna hakieee!!!
@mawazoaliselemani8909
@mawazoaliselemani8909 9 ай бұрын
mifumo ya kimahakama ni kama kisima mwaye kata kubwa ndio hupata maji mengi. ukiwa uwezo wa kuweka wakili huna sahau baba
@RemmyWilliams
@RemmyWilliams 9 ай бұрын
Halimashauri ya ilemela imetuzungusha miaka zaidi ya 4 hawatupi hati ZETU. Viwanja 40. Kiseke ppf. Walijigawia viwanja wanakula pesa tu. Tumesumbuka sana mpaka wilayani BILA m yoyote. MPAKA tumejuana tamaa. ATUSAIDIE MUHESHIMUWA. TULISHA LIPA NA PESA ZA HATI NA KILA KITU.
@hizamawa6046
@hizamawa6046 9 ай бұрын
Daaaah 😢😢
@beathapontian2187
@beathapontian2187 9 ай бұрын
Tupate wapi mtu km huyu 🎉🎉🎉
@pastorysent6586
@pastorysent6586 9 ай бұрын
Mh nae anajua kuwa maharaja zetu hazitendi haki..asante mh kwa kuliona hilo
@Freedom_fighters898
@Freedom_fighters898 9 ай бұрын
Hili swala si la kwanza tu ni mikoa yoteee yani watumishi wa serikari sasa wanamtumikia Mama siyo wananchi tena .. shame to Maccm❗️
@Freedom_fighters898
@Freedom_fighters898 9 ай бұрын
Hawa Maccm hawawezi kuiendesha hii nchi tena wanapiga deal tu!
@richardnganya2311
@richardnganya2311 9 ай бұрын
RC anajua mizengwe inayotumika suala likiwa Mahakamani.
@petermgaya3231
@petermgaya3231 9 ай бұрын
Huyu mhindi vip, utaiondoaje Cask wakati ndio sehemu ya Burundi iliyobaki mwanza? Kuna vitu vingine huwezi kuondoa ktk ya miji ambavyo vinaipa jina. Wao si wakakaishi magu huko
@daudimusoma3337
@daudimusoma3337 9 ай бұрын
Jamani mnisaidie ni wapi hapo ambapo wanatolea hizi kelo namimi niende? Sijui ofisi ipi hapa mwanza
@berthatz
@berthatz 9 ай бұрын
Watanganyika wamechoka kila pande ya nchi..Uongozi huu haufai kuanzia Raisi ..Wasafi asante kwa kupost hii ..Vyombo vingi vinapost sifa tu na uchawa,,hawapost hali halisi…
@jacksonchilongani4478
@jacksonchilongani4478 9 ай бұрын
Kwann nini uite Tanganyika na wakati hatuna nchi hiyo Kwa Sasa tuna Tanzania usitugawe kifikra
@abi-onlinetv4181
@abi-onlinetv4181 9 ай бұрын
Wewe ndo ulie choka. Sisi Watanzania tuko na Mama. Kazi IENDELEE
@dannzacharia8356
@dannzacharia8356 9 ай бұрын
Rc makala hata mgogoro wa airport umeingizwa mkengee. Fatilia mwenyewe bilahaoo viongoz hata meneja wa Ndege siom2 mzurii wanachiianawambia hanatatizo naeneo hiloo. Juz anakusujudia
@rukiafaraj1400
@rukiafaraj1400 9 ай бұрын
Huyo ndo Abuubakar au baba Mariam.. Hesabu zimelala kwenye kichwa cha Abuu
@rehemaissa6164
@rehemaissa6164 9 ай бұрын
Huyu ndio Mzee Abu Baker Hassan Seif, Chuma Cha Nera.
@user-zk9ox3di4b
@user-zk9ox3di4b 9 ай бұрын
Mkomesheni mkomeshi i mshenzi uyo msimugope asumbua sana daaa akawafukuza wamachinga daaa umewafukuza samia na makala siku itafika tutawavua ayo madaraka tuone mtauza nini tunawachukia sana siosiri
@JosephathKimbavala-bs7tf
@JosephathKimbavala-bs7tf 9 ай бұрын
Watu wanaotaka kuongoza nchi nikama hawa
@zephaniasamio797
@zephaniasamio797 9 ай бұрын
Tujitahidi ndio nini jamani ,Hawa viongozi ni mizigo, mtu ametajwa mshughulikie ajibu tuhuma
@Misspilly
@Misspilly 9 ай бұрын
Huyu babu yake naniii🎉
@alicencyprian
@alicencyprian 9 ай бұрын
babu yake Rwegoshora.
@timboxlee919
@timboxlee919 9 ай бұрын
Hii ni awamu ya sita mafisadi makubwa, hapo msitegemee kupata msaada, Rip JPM
@sonnyr1899
@sonnyr1899 9 ай бұрын
Kweli tena kwa Makala ndio kabisa. Soko anasema eti iliungua kwa sigara 😢😢😢
@user-rc1dp6ux3k
@user-rc1dp6ux3k 9 ай бұрын
Nchi hii mnyonge hana haki silaha ya mnyonge ni umoja tuungane kuitoa serikali hii madarakani vinginevyo mtaliq milele
@MaryamKudra-gf8zs
@MaryamKudra-gf8zs 9 ай бұрын
tuungane tukamtoe kwanza kulala za wachadema mwenyekiti
@user-uz5cu7cr9h
@user-uz5cu7cr9h 9 ай бұрын
Safi
@richkinji2583
@richkinji2583 9 ай бұрын
Tatizo ni lipo kwa huyo Mkuu wa mkoa wala siyo hao anawatuma anajua kinachoendelea
@victoriarwerengera4831
@victoriarwerengera4831 9 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@kelvinndege2200
@kelvinndege2200 9 ай бұрын
Hii Nchi ni kuteseka mpaka unakufa walah 😭😭😭
@frankvianey2438
@frankvianey2438 9 ай бұрын
Pambana,acha kujinenea mabaya
@aboubakarothman
@aboubakarothman 9 ай бұрын
Umeteseka kwa lipi mdau?
@lameckmbele5901
@lameckmbele5901 9 ай бұрын
CCM wanaunyuka mwingi ccm kiboko yao
@mwajumamohd7930
@mwajumamohd7930 9 ай бұрын
Wewe ni kondoo wa mwisho kama bado una akili chafu kama hii,umekwisha
@NardhisMhagama-sy3eq
@NardhisMhagama-sy3eq 3 ай бұрын
Kumbe mnajuwa mahakamani hakuna haki
@popovicmisri4214
@popovicmisri4214 9 ай бұрын
Hakuna k2 hapo
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 9 ай бұрын
Awamu ya majizi tupu. Mungu, nakuomba uiondoe hii CCM imekuwa janga kabisa kwa watanzania.
@robertphilip385
@robertphilip385 9 ай бұрын
Kabisa asee
@mwajumamohd7930
@mwajumamohd7930 9 ай бұрын
Amina🤲🤲🤲
@matakamataka9438
@matakamataka9438 9 ай бұрын
Yaan hii nchi ni yahovy sana sijuw wanqtuchukuliaje wananchi ila itafika siku tutachok maan wanafaidik wao t tulioweng tunanuk umaskin wengine wakula na kusaza ifike mahali watanzania tuseme imetosho sio kutuona wajinga kilasiku allaaaa
@yusuphchankwa4759
@yusuphchankwa4759 9 ай бұрын
Mimi niliwambia huyu Makayla hakuna anapoenda pakawa na Amani yaani huyu jamaa ni shida mpigaji sana
@charlesgasper-wo9hc
@charlesgasper-wo9hc 9 ай бұрын
Watanzania mutanikumbuka hesai
@walinaziontime7300
@walinaziontime7300 9 ай бұрын
Huyooo amezoea na hizo propaganda usikute nyuma ya hayo anahusika masizi mwenyewe Sasa kwa wa Sukuma ameyakanyagaa lalekiii watu hawaogopi... wanamjua MUNGU wana IMANI na MUNGU alafu Wana Elim na maalifa Mwanza hoyeeee
@bahatitumaini347
@bahatitumaini347 9 ай бұрын
Mzeeeee kalib tunduma songwe
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 9 ай бұрын
Abu hoyee
@juliusdidose100
@juliusdidose100 9 ай бұрын
Abuu
@robisonikadogo7371
@robisonikadogo7371 9 ай бұрын
Eee kumbe wakubwa mnajuwa mahakama zinaegemea upande mmoja
@ObligeeNdoni-pb4vs
@ObligeeNdoni-pb4vs 9 ай бұрын
Bundi sio Rais, waliomuuwa ngosha ndio wanamuendesha!
@dostovan5142
@dostovan5142 9 ай бұрын
Katiba mbovu, haimuajibishi mtu, katiba softy softy
@alicencyprian
@alicencyprian 9 ай бұрын
Mseminari
@robertphilip385
@robertphilip385 9 ай бұрын
Hayoyote ni matunda ya katiba mbovu
@kassimualli1755
@kassimualli1755 9 ай бұрын
Kuma wewe
@rutakihama3523
@rutakihama3523 9 ай бұрын
Sasa hapo katiba imeingiaje sasa
@rogersiddy
@rogersiddy 9 ай бұрын
Kweli kbs Katiba inausiana sababu madaraka yote anayo Raisi kama yangekabidhiwa kama Majimbo haya yalishatatuliwa mapema sana lkn adi Raisi aseme jambo ndo litekelezwe uko sahihi kbs
@janethpallangyo3855
@janethpallangyo3855 9 ай бұрын
Kweli kabisa
@user-fb6dh6sz2g
@user-fb6dh6sz2g 9 ай бұрын
​@@kassimualli1755hauna Tus ringine mpaka utukane mama yako😂😂
@coolruler6820
@coolruler6820 9 ай бұрын
Mzee anafaa kupewa cheo kikubwa Mkoani,,,anaongea kutoka moyoni
@dannzacharia8356
@dannzacharia8356 9 ай бұрын
Kunaviongoz hawafaii hatakidogo nikufukuza kazi sioo kuhamisha
@user-jj1yk5hs1f
@user-jj1yk5hs1f 9 ай бұрын
Abuu hatari huyu
@pascallyasukuma8742
@pascallyasukuma8742 9 ай бұрын
Usikute huyu mwenyekiti wa mtaa ni usalama.
@dominicodeus2557
@dominicodeus2557 9 ай бұрын
Huyo mzee Abu niimtata sana
@KamwandaNzowa-eo4ur
@KamwandaNzowa-eo4ur 9 ай бұрын
Wambiye ukweli wakisema upinzani wanazomewa hapo leteni majibu wanafiki
@Eliaskasanya-hm5yk
@Eliaskasanya-hm5yk 3 ай бұрын
Huyu mzee yupo vizuri sana. Yafaa awe diwani
@charlesgasper-wo9hc
@charlesgasper-wo9hc 9 ай бұрын
Watanzania mutanikumbuka hesai
@faustinluambano2958
@faustinluambano2958 9 ай бұрын
Wizara ya ARDHI ni mzigo.Wanakuwa na Mipango yao ya kubadili RAMANI za MANISPAA kwa manufaa YAO.ARDHI YA MANISPAA IBAKI CHINI YA MANISPAA
WHO DO I LOVE MOST?
00:22
dednahype
Рет қаралды 80 МЛН
DO YOU HAVE FRIENDS LIKE THIS?
00:17
dednahype
Рет қаралды 64 МЛН
Vivaan  Tanya once again pranked Papa 🤣😇🤣
00:10
seema lamba
Рет қаралды 30 МЛН
Khó thế mà cũng làm được || How did the police do that? #shorts
01:00
EXCLUSIVE: WAZIRI SILAA ANG'AKA "WATU WAMELIA SANA Kwenye ARDHI"
33:46
BMG TV: Mapya yaibuka sakata la Kisiwa, Mlima kuuzwa Mwanza
17:40
BMG ONLINE TV
Рет қаралды 29 М.
Open Letter to President Ruto: Time Is Running Out
21:58
Herman Manyora
Рет қаралды 9 М.
Makosa 7 Ya Kuepuka Unapofanya Mauzo
7:45
Joel Nanauka
Рет қаралды 45 М.
Эмоции💫 | Тгк: D1ashenka✨
0:22
D1ashenka
Рет қаралды 4,2 МЛН
Кошки не нарушают закон😂
0:34
FERMACHI
Рет қаралды 4,2 МЛН