Kinachoendelea mgomo wafanyabiashara Mwanza, adai kunyimwa unyumba

  Рет қаралды 740

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

Ай бұрын

Ni maumivu. Ndivyo unavyoweza kusema wakati mgomo wa wafanyabiashara wa maduka jijini Mwanza ukiingia siku ya tatu huku waendesha maguta, magari ya mizigo, mamalishe na makuli wakihofia ndoa na familia zao kusambaratika.
Juni 24, 2024, wafanyabiashara jijini Dar es Salaam walitangaza mgomo na kufunga maduka yao kushinikiza Serikali kuondoa utitiri wa kodi katika biashara zao, baadaye mgomo huo uliibukia jijini Mwanza, Mbeya na Dodoma kisha Mtwara, Iringa, Arusha, Songwe na Njombe.
Akizungumza na Mwananchi Digital leo, Alhamisi Juni 27, 2024, Dereva wa gari dogo la mizigo Mtaa wa Liberty jijini humo, Ndaluka Kamata amesema kabla ya mgomo huo alikuwa anapafa hadi Sh50, 000 kwa siku, lakini sasa mambo yamebadilika anakosa hata Sh5,000 na hivyo kushindwa kuihudumia familia yake.
Ndaluka amesema kutokana na kupungua kipato, ameshindwa kukidhi mahitaji ya familia yake kwa chakula jambo linalosababisha anyimwe hadi unyumba.

Пікірлер: 1
@giftlema8296
@giftlema8296 Ай бұрын
Mmmmh!!!!😮
SGR MWANZA ZEGE HALILALI, UJENZI DARAJA LA KM 1.4 WAANZA
12:04
TRC RELI TV
Рет қаралды 46 М.
Best Toilet Gadgets and #Hacks you must try!!💩💩
00:49
Poly Holy Yow
Рет қаралды 19 МЛН
Mama vs Son vs Daddy 😭🤣
00:13
DADDYSON SHOW
Рет қаралды 44 МЛН
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 7 МЛН
WAFANYABIASHARA SOKO LA KATORO GEITA WAGOMA KUFUNGUA MADUKA
7:19
OFFTRACK TV
Рет қаралды 1,4 М.
MSITULETEE SIASA HATUFUNGUI MADUKA/WAFANYABIASHARA KARIAKOO
12:10
Gangana Info Channel
Рет қаралды 39 М.
BMG TV: Mapya yaibuka sakata la Kisiwa, Mlima kuuzwa Mwanza
17:40
BMG ONLINE TV
Рет қаралды 30 М.
Best Toilet Gadgets and #Hacks you must try!!💩💩
00:49
Poly Holy Yow
Рет қаралды 19 МЛН