Alichokiongea Zitto Kabwe Bungeni kuhusu matukio ya utekaji

  Рет қаралды 147,861

Millard Ayo

Millard Ayo

7 жыл бұрын

Mbunge wa Kigoma mjini Zitto Kabwe alisimama Bungeni kuchangia mapitio na mwelekeo wa kazi za Serikali na bajeti ya ofisi ya Waziri mkuu kwa mwaka 2017/2017

Пікірлер: 91
@athonyfrancis8889
@athonyfrancis8889 7 жыл бұрын
uwwiiiiiiiiiiiii Zitto umenifumbua kichwa Mungu ndiwe usalama wa Maisha ya Mtanzania na siyo mwanadamu
@rosehillary8742
@rosehillary8742 7 жыл бұрын
Amen
@daudikassimu4574
@daudikassimu4574 7 жыл бұрын
Asanteh ZITTO nafikiri wamekuelewa.
@alfredycheyo8847
@alfredycheyo8847 5 жыл бұрын
Zitto ni Akili kubwa Bungeni. God bless you My Icon leader !!
@rishadubukeza440
@rishadubukeza440 3 жыл бұрын
Bado tupo 2021 tunafatilia content za mwami
@zephanialongo3522
@zephanialongo3522 7 жыл бұрын
zitto your so intelligent... GOD be with you
@vianeyminja575
@vianeyminja575 7 жыл бұрын
zitto ur a gentleman
@abdallahmbiliko8146
@abdallahmbiliko8146 7 жыл бұрын
Thanks brother zitto God give u long life.
@prophetmunuo9317
@prophetmunuo9317 7 жыл бұрын
Asante sana Ayo Tv
@biwakambagwa6127
@biwakambagwa6127 6 жыл бұрын
Nashukuru binafsi Mh. Zitto kwa namna presentation zako zinavyolenga wananchi wa kawaida.
@dommyzzeyzoojozeyzoo4021
@dommyzzeyzoojozeyzoo4021 7 жыл бұрын
Appreciation to you our powerful person
@ashahaji4936
@ashahaji4936 7 жыл бұрын
kweli zito tuko vibaya mitaani wao wanapelekewa habar za uongo
@shuwehaharunaomariikwena233
@shuwehaharunaomariikwena233 7 жыл бұрын
wambie hao walopoka tu wao hawajui watu waumia vipi vitu vimepanda being sana
@saleembepo9939
@saleembepo9939 7 жыл бұрын
Nahitaji wachangia mada kama wewe na tuhitaji Waziri mkuu kama Majaliwa ndipo tutaweza piga hatua za kimaendeleo Mungu awabariki sana
@beatuchillu6813
@beatuchillu6813 7 жыл бұрын
kumbe majaliwa na ripoti yake alitudanganya eeeh😂😂😂😂
@johnmbinda2799
@johnmbinda2799 7 жыл бұрын
kwenye ukweli inawabidi muhongee bila kujali itikadi ya chama , big up viongozi chupavu kwa kuendelea kupambana
@goodluckmushi18
@goodluckmushi18 7 жыл бұрын
@millard sijamsikia Bashe wapi unakata clip
@duuudaud3816
@duuudaud3816 7 жыл бұрын
mungu akupe maisha marefu baba ili uikomboe nch yetu. na wabunge wote wasema kwel. mnaahindwa kusema kwel mnamuogopa mtu? ndo alie wachaguwa muwe wabunge?
@MOJAZAIDI.
@MOJAZAIDI. 7 жыл бұрын
"THEY DON'T CARE ABOUT US"
@nkindwashabani2339
@nkindwashabani2339 7 жыл бұрын
Exactly mheshimiwa Zitto
@kingzforeal7967
@kingzforeal7967 7 жыл бұрын
zito nakubari sana ww safi sana
@mpewashiyawi9942
@mpewashiyawi9942 7 жыл бұрын
ivi wtz hatuwaoni viongozi kama akina zito?
@rosehillary8742
@rosehillary8742 7 жыл бұрын
TUMELOGWA
@saleembepo9939
@saleembepo9939 7 жыл бұрын
huyo ndiye wa kupewa hii inchi
@mwasilemwasile7455
@mwasilemwasile7455 7 жыл бұрын
+Rose Hillary umelogwa wewe
@rosehillary8742
@rosehillary8742 7 жыл бұрын
Kichaa kweli wewe
@hassankayla4076
@hassankayla4076 7 жыл бұрын
You always speak the truth #ZITTO
@gracekalinga5408
@gracekalinga5408 7 жыл бұрын
🙌🙌
@titomwashuya6460
@titomwashuya6460 4 жыл бұрын
Best mp of all time
@thedoctor8301
@thedoctor8301 7 жыл бұрын
Mh! nakaaa kimya ... Asante Mh Zitto Kabwe
@hawaamri8390
@hawaamri8390 7 жыл бұрын
Zitto endelea kutetea /kuwasemea wanyonge maana hatuna jinsi nyie ndo wawakilishi wetu tunaumia lkn!!!!!!
@thetreasure2230
@thetreasure2230 7 жыл бұрын
ni noma sana.
@lovelyheaven2027
@lovelyheaven2027 7 жыл бұрын
mkuu wa usalama wa Taifa ni nani!
@dicksonngika8677
@dicksonngika8677 7 жыл бұрын
good zito
@stellamwasenga6205
@stellamwasenga6205 3 жыл бұрын
Safiiiiiiii
@fatumamasudi365
@fatumamasudi365 7 жыл бұрын
Huko vizuri
@joyinatishaaathanasi1958
@joyinatishaaathanasi1958 7 жыл бұрын
you are very intelligent zitto
@rosesalukan4207
@rosesalukan4207 6 жыл бұрын
Zito ur our hero
@happinessmwaipopo7426
@happinessmwaipopo7426 7 жыл бұрын
Mbona mmekata mwongozo wa Bashe na simbachawene?😳😳😡
@marcomwaimu3979
@marcomwaimu3979 7 жыл бұрын
Hii video imekuwa filtered si halisi,Ayo hapa umezingua
@husseinmfangavo8502
@husseinmfangavo8502 7 жыл бұрын
kweli kbx zito sema
@michaeltuingilegewaubaridi8570
@michaeltuingilegewaubaridi8570 7 жыл бұрын
aisee
@lengoyamangoindakeni893
@lengoyamangoindakeni893 7 жыл бұрын
umetisha mkuu
@salehlofy4251
@salehlofy4251 7 жыл бұрын
kapea sana kisiasa
@duuudaud3816
@duuudaud3816 7 жыл бұрын
tukipata wabunge kumi kama ww aki ya nan tutanenepaaaaa maan itakuwa fulu aman,make sa hz tuaish bila raha na nchi ni yetu
@gka9147
@gka9147 7 жыл бұрын
Kichwa Huyo Kijana
@Felix72282
@Felix72282 7 жыл бұрын
Hakuna shortcut kwenye maendeleo
@mubarakmgunga4223
@mubarakmgunga4223 5 жыл бұрын
Fact!
@remijakaduma6437
@remijakaduma6437 7 жыл бұрын
You are a good leader!!!!
@musamwapinga361
@musamwapinga361 7 жыл бұрын
remija kaduma mmmh
@salomemkama6653
@salomemkama6653 7 жыл бұрын
sure ma leader
@rahimmohammed9658
@rahimmohammed9658 7 жыл бұрын
zitto the best
@AmCool_
@AmCool_ 7 жыл бұрын
Millard Ayo umekosea kuandika hapo kwenye maelezo yako ni mwaka 2017/2018 na sio 2017/2017
@swaburyrwamlaza1479
@swaburyrwamlaza1479 7 жыл бұрын
uko vizur
@hassannzinga1798
@hassannzinga1798 7 жыл бұрын
Yondo sister
@joyinatishaaathanasi1958
@joyinatishaaathanasi1958 7 жыл бұрын
zitto unafaa kiwa presidaa, tunahitaji viongozi shupavu na sio wababe.
@justinenjunwa4459
@justinenjunwa4459 7 жыл бұрын
wewe ndo rais wetu unayekuja
@francefabian4856
@francefabian4856 7 жыл бұрын
mak ufu
@lameckmachumu4322
@lameckmachumu4322 7 жыл бұрын
well speech Zitto
@kasmirilamiye6991
@kasmirilamiye6991 7 жыл бұрын
katka viongoz ambao wanafaa kuingoza kigoma na Tanzania kwa ujumula ni zitto 2
@duuudaud3816
@duuudaud3816 7 жыл бұрын
tuhurumien tulio waweka hapo nasivingnevyo
@modestusndunguru4479
@modestusndunguru4479 6 жыл бұрын
hapo umejichanganya..... maana beni saanane.. niulize mimi.. amepotwezwa na chadema... ili kuichafua Serikalii ushaidi ninao ...acha kudanganya watu
@saidmatambi1606
@saidmatambi1606 7 жыл бұрын
ngoja nkae kimya
@elishamwaya4074
@elishamwaya4074 5 жыл бұрын
Hali mbaya jamani kweli huku sio kuzuri
@mpewashiyawi9942
@mpewashiyawi9942 7 жыл бұрын
unamtusi Mani mtz rose Hillary?
@michaeljohn690
@michaeljohn690 7 жыл бұрын
tupo gizani
@teonaswistonteonas8975
@teonaswistonteonas8975 7 жыл бұрын
Jamani jamani nchi hii njaaa nilazima iwepo unga sembe 25kg tsh 50000
@deusnyongole3549
@deusnyongole3549 7 жыл бұрын
Wacha wamenyane tumechoka kuonewa
@ibrahnationibrahim2817
@ibrahnationibrahim2817 4 жыл бұрын
Ajira ajira umenigusa tunateseka huku mtaan
@papafikiri
@papafikiri 7 жыл бұрын
hivi yuko nyuma hivi
@modestusndunguru4479
@modestusndunguru4479 6 жыл бұрын
wale huwa huwa hawjibu watu.. ni kazi tuu
@tanunewstz
@tanunewstz 7 жыл бұрын
zitto yuko vizur hongera hm
@hassanalmediatz8808
@hassanalmediatz8808 7 жыл бұрын
tumelogwa kabisa
@josephkahindi7455
@josephkahindi7455 7 жыл бұрын
jembe kweli kweli
@amrannunda6925
@amrannunda6925 7 жыл бұрын
nimekuelewa zito kabwe,ila nasikitika imekua kama Rais hana washauri!
@kivyiroaudronicus5599
@kivyiroaudronicus5599 6 жыл бұрын
Amran Nunda jimgbn. Lmmmkklgggv4nklooolppphjjkootqq4upyfutuio
@kivyiroaudronicus5599
@kivyiroaudronicus5599 6 жыл бұрын
Wien as
@mussamakatani7366
@mussamakatani7366 7 жыл бұрын
uyuu jamaa ni shidah
@mustaphyassin5320
@mustaphyassin5320 7 жыл бұрын
mbona hii wamekata baadhi ya hoja
@Baba-JJ
@Baba-JJ 7 жыл бұрын
wamekata wenyewe wenye chaneli ya bunge, si ndo maana hawakutaka bunge liende live ili kama kuna vitu hawataki vionekane, watoe, ndo kama hivyo.
@modestusndunguru4479
@modestusndunguru4479 6 жыл бұрын
huyu ni bwege tuu.. hamna kitu.... hapo.. mnafiki.. wa kigoma
@mandizotzjfour5875
@mandizotzjfour5875 6 жыл бұрын
hakuna mbunge kama wewe
@mussamussamussa8444
@mussamussamussa8444 7 жыл бұрын
Zito bendera Fata upepo hata ueleweki kwa muonekano wako upo hapo bungeni kwa maslahi yako blabla nyingi zisizo na tija
@sizaaloyce9071
@sizaaloyce9071 5 жыл бұрын
Mijitu yenye upeo kama wako inatakiwa iwe inafokonyolewa
@sizaaloyce9071
@sizaaloyce9071 5 жыл бұрын
Mtu anachangia vitu vya msingi unalopoka lopoka tu acha uchama pumbavu wew angalia kiongoz anaongea mambo yana masilahi katika maisha yawananchi
@charlzlyimo1982
@charlzlyimo1982 7 жыл бұрын
zitto na wew ni kigeugeu wakati wa kampeni si ulikuwa ulinamsifia mgombea wa sisiemu, sasa hv vp mbona unamponda!!!!!!?????
@jonathandickson708
@jonathandickson708 7 жыл бұрын
Charlz Lyimo wala hampondi Ila lazma apewe ukweli wake...kampeni ni njia tu yakutupa kiongozi bora Ila haimaanishi maisha bora... Kukosoana kunajenga, kumbusha na kumrudisha mtu kwenye mstari sahihi
@promramson80
@promramson80 6 жыл бұрын
Jonathan Dickson fact
The day of the sea 🌊 🤣❤️ #demariki
00:22
Demariki
Рет қаралды 101 МЛН
Vivaan  Tanya once again pranked Papa 🤣😇🤣
00:10
seema lamba
Рет қаралды 30 МЛН
3M❤️ #thankyou #shorts
00:16
ウエスP -Mr Uekusa- Wes-P
Рет қаралды 11 МЛН
터키아이스크림🇹🇷🍦Turkish ice cream #funny #shorts
00:26
Byungari 병아리언니
Рет қаралды 29 МЛН
ZITTO KABWE Alivyowasha MOTO Bungeni, SAKATA la KOROSHO
17:08
Global TV Online
Рет қаралды 553 М.
Hoja za Zitto Kabwe alipochangia bungeni kuhusu reli ya Dar - Kigoma
7:56
Book discussion featuring Zitto Kabwe
2:16:58
UONGOZI Institute
Рет қаралды 87
Zitto Kabwe VS Waziri Kabudi Bungeni leo 'Siingii mtegoni ng'o'
5:47
SUGU: "Please Don't Shut Me! Tubishane kwa Hoja na Siyo Bunduki"
11:24
Global TV Online
Рет қаралды 465 М.
The day of the sea 🌊 🤣❤️ #demariki
00:22
Demariki
Рет қаралды 101 МЛН