RAIS AMUITA IKULU MUENDESHA BODABODA ALIYEOKOTA MILIONI 115 NA KUZIRUDISHA KWA MUHUSIKA

  Рет қаралды 178,806

Millard Ayo

Millard Ayo

2 жыл бұрын

Kijana Emmanuel Tuloe (19) ambaye ni Dereva wa Bodaboda Nchini Liberia amejikuta akiitwa Ikulu ya Nchi hiyo na kukutana na Rais George Weah wa Nchi hiyo kutokana na kitendo chake cha kiungwana cha kuokota begi la pesa lenye Dola za kimarekani 50,000 (Tsh. milioni 115.2) na kuzirudisha kwa mwenye nazo, nini kimeendelea? tazama ripoti hii

Пікірлер: 422
@pastortimothyjoshua3304
@pastortimothyjoshua3304 2 жыл бұрын
Safi sana maana uaminifu ni bidhaa adimu sana kwa sasa kwahiyo mkimpata mtu kama huyu kijana kwenye jamii muhimu atunzwe
@rahmaabdulla4949
@rahmaabdulla4949 2 жыл бұрын
Nikweli
@hamisiseleman370
@hamisiseleman370 2 жыл бұрын
@@rahmaabdulla4949 ...... .
@sabrinaiboma2444
@sabrinaiboma2444 2 жыл бұрын
ALLAH amzidishie imaan na uaminifu MaashaAllah...kibongo bongo daah
@abuuking
@abuuking 2 жыл бұрын
Amiin
@sophialusonzo3594
@sophialusonzo3594 2 жыл бұрын
Nakwambia angekubali kufa kuliko kuzirudisha
@jamesvmusic2677
@jamesvmusic2677 2 жыл бұрын
You have already been rewarded for your honesty.See how God works 🙏
@aminaathumani6832
@aminaathumani6832 2 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana pamoja na wazazi wako aminii. 🙏🤲🙏🤲🙏🤲🙏nakizazi chako utakacho zaa kikufate nyao zako
@ashamwandu6572
@ashamwandu6572 2 жыл бұрын
Hongera Saaanaaaa kwa uaminifu, Mungu akupe nawewe riziki harali,wabongo angesepa,,
@janeangoche4464
@janeangoche4464 2 жыл бұрын
This guy is a really hero.In the world today there are very very few people who are honest especially with money.May God Bless him abundantly. 🙏
@johariclifford1817
@johariclifford1817 2 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akupe maisha marefu na yenye Amani na furaha.kwa usingekuwa na Imani usinge ziludishia mwenye nazo.Imani itakulinda Daima
@AishaAisha-rh1fc
@AishaAisha-rh1fc 2 жыл бұрын
Hii habari nilijua bongo ,,,,kumbe uko kwa wenzetu Kijana umelewa vyema Mungu Amfanyie wepesi kila utakacho kiwe na kheri na ww
@samsonmagesa3959
@samsonmagesa3959 2 жыл бұрын
Bongo hilo linakuwa ni Zali la Mentali
@eddymenas
@eddymenas 2 жыл бұрын
@@samsonmagesa3959 😂
@alqaasim_a_tz2412
@alqaasim_a_tz2412 2 жыл бұрын
Bongo Iliwahi Kutokea Na Mtu aliokota Ml 150 akatangaza Watu wakasema ni Magumashi mpaka mwenye nazo akapatikan
@matatomlik1846
@matatomlik1846 2 жыл бұрын
Maashallah maashallah pongezi kwa wazazi wa kijana huyo kwa kumlea katika maadili mema mungu awabariki
@johariclifford1817
@johariclifford1817 2 жыл бұрын
God bless you President of Liberian
@ahmadbadawi9664
@ahmadbadawi9664 2 жыл бұрын
Allah atampa zaid ya hizo na atakuwa tajiri zaid ya hizo pesa
@hamidaala2832
@hamidaala2832 2 жыл бұрын
Saaana
@ngombegeorge3577
@ngombegeorge3577 11 ай бұрын
Amejitahd saiv mtu akidondosha karatasi tu. Imekunjwa mwingine akahisi umo Kuna hela haumbiwi
@user-zl6hg9so6s
@user-zl6hg9so6s Ай бұрын
Wewe ungeludisha kweli😊😂
@herimphubusa7454
@herimphubusa7454 2 жыл бұрын
Nguvu ya uaminifu❤️❤️❤️
@meshackchibaladya6152
@meshackchibaladya6152 2 жыл бұрын
Ee Mungu hii mitihani naomba uniepushe nayo... Nijaribu kwa mengine lakini sio hili la hela..
@donnihope1768
@donnihope1768 2 жыл бұрын
😂😂😂
@marianajohn360
@marianajohn360 2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@sarahgaula2220
@sarahgaula2220 Ай бұрын
😅
@tynoblack5996
@tynoblack5996 2 жыл бұрын
Uzur ni kwmba sio Tanzania ...maana wenzetu wameona thaman yake..ona sas amepata nafas yakuendelea kusoma..pia pesa kapewa pamoja na pikipiki...ingekuwa Tanzania ungekuwa na kesi ya kujibu
@komboomar8275
@komboomar8275 2 жыл бұрын
*Duuuh! jamaa uaminifu wake umempa vingi kuliko hizo pesa alizookota kwa wenye akili zilizokaa sawa ndio wanalijuwa hilo*
@killylevenson1359
@killylevenson1359 2 жыл бұрын
Tambua ingekuwa kibongo bongo angeonelana fara na hata rais asingemuita na asngepewa chochote
@komboomar8275
@komboomar8275 2 жыл бұрын
@@killylevenson1359 inawezakana ila jamaa ako na moyo sana ingekuwa mm kwanza naona ninge fanya kikao na halmashauri yangu ya kichwa wiki 3
@salmaseif9731
@salmaseif9731 2 жыл бұрын
Very much indeed
@seifmassoud2686
@seifmassoud2686 2 жыл бұрын
@@komboomar8275 🤸🏻‍♂️🤸🏻‍♂️😂
@nissamwapoladi7345
@nissamwapoladi7345 2 жыл бұрын
Kabisa
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 2 жыл бұрын
Mungu wetu ni mwaminifu.naye snapenda tuwe waminifu.hivyo kavaa sura ya Mungu.pia familia yao wana hofu ya Mungu.hata aliyepoteza anamcha Mungu.Mungu wetu aliye mwaminifu atampa utajiri na heshima
@elizasulley1799
@elizasulley1799 2 жыл бұрын
Amina kwa kweli Mungu anapenda uaminifu Mungu atusaidie tuwe na hofu yake
@dottoabel3455
@dottoabel3455 2 жыл бұрын
Congratulation young boy Be blessed
@nth3512
@nth3512 2 жыл бұрын
Uislam nao umeelekeza hivi ktk kuokota mali. Namuomba ALLAH amuongoze kijana
@joezeno8
@joezeno8 2 жыл бұрын
Kuna tafauti kati ya Uislamu na muislamu
@ibrahimngurungu5607
@ibrahimngurungu5607 2 жыл бұрын
@@joezeno8 maana yake wewe unaujua uislam kuliko tuujuavyo sisi wenyewe?
@joezeno8
@joezeno8 2 жыл бұрын
@@ibrahimngurungu5607 Wanaogeuza dini kuwa biashara ni kina nani? Chunguza Bongo Masheikh na wachungaji wengi wanageuka kuwa waganga na kutapeli watu kupitia dini
@kennyrogers4734
@kennyrogers4734 2 жыл бұрын
Heee🤔nyie vp yamekua hayo tena mbona hamjielewi mada iliyoko hapo sio ya uislam wala dini mada hapo uwaminifu unaweza ukawa Muislam au Mkristo na usiwe na sifa ya uwaminifu kbsaa embu jitambueni nyie
@mohammedrajabumwamba1322
@mohammedrajabumwamba1322 2 жыл бұрын
🤝 MaashaaAllah Jazaakumullahu khairan 🙏
@farajhassan1775
@farajhassan1775 2 жыл бұрын
Congratulations my dear brother 💪🤝
@johariclifford1817
@johariclifford1817 2 жыл бұрын
God Bless Emmanuel.
@elipidtesha5466
@elipidtesha5466 2 жыл бұрын
Hongera sana sana siku zote uaminifu hulipa tenas familia yake niwaaminifu..nimi ninedondosha pesa mara tatu simu kubwamara tatu na simu ndogo sehemu.mbalimbali za bongonchiyetu sikuwahi kurudishiwa mungu akulinde huo.ndo mwanzo na mwanga wa maisha yako nami ningejua mawasiliano yako ningeongeza kwenye fungu la reward
@user-in2gi6ho3t
@user-in2gi6ho3t 2 жыл бұрын
Hata mimi narudisha ili nipate radhi za ALLAHU subhaanahu wata'ala.
@joezeno8
@joezeno8 2 жыл бұрын
Unarudisha begi hamna kitu
@felixmagulu6142
@felixmagulu6142 2 жыл бұрын
Dogo amefanya jambo zuri sana, Amejiwekea hazina kubwa sana kwa Mungu, Pengine asingezirudisha huyo mama aliyezipoteza angeweza kupata hata msongo wa mawazo.
@devothasimbi1055
@devothasimbi1055 2 жыл бұрын
Huenda hâta kupoteza Maisha ya aliyepoteza hizo pesa kisha muokotaji Laana ikimfuata n’a kula kizazi Chake.
@sarahkadugu4367
@sarahkadugu4367 2 жыл бұрын
🤲🤲🙏🙏🧎‍♀️Uaminifu umempeleka mbali sasa
@zainabually2968
@zainabually2968 2 жыл бұрын
Uaminifu ni mzur sana ingekua tz apo asingerudisha
@felixmagulu6142
@felixmagulu6142 2 жыл бұрын
@@devothasimbi1055 Ni kweli kabisa usemayo, Alichokifanya huyo kijana amejitengenezea hazina kubwa kwa Mungu na utajri mkubwa Duniani kwa maisha yake yajayo, Tayari ameshatengeza channel kwa kiongozi wa Nchi yake.
@zainaseleman3043
@zainaseleman3043 2 жыл бұрын
.
@eliamwasomola578
@eliamwasomola578 2 жыл бұрын
Ingekuwa bongo watakuita mwizi nakufungwa jela akina kingai wanakufunga
@bekabakari7394
@bekabakari7394 2 жыл бұрын
Mwizi utarudishaji hela tena?
@ericrukamba6802
@ericrukamba6802 2 жыл бұрын
God bless good boy. 🙏🙏🙏🙏🙏
@freddykulwa8190
@freddykulwa8190 24 күн бұрын
Mungu akupe afya njema kabisa katika maisha yako tanzania 🇹🇿 ❤❤❤❤❤
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 2 жыл бұрын
Mungu atuongoze 💓
@safiyatheonlything7848
@safiyatheonlything7848 Жыл бұрын
waooh hongera sana kijana Mungu alikuwa ana makusudio yake hicho ulicho kipata siyo kidogo tuna sema alhamdullha
@mariamgodfrey53
@mariamgodfrey53 2 жыл бұрын
Kwa hali yoyote ile MUNGU akitaka kukuinua anakuinua tu kwa mfano huu udhamini aliopatiwa wa masomo ni zaidi hata ya alichookota mnaomponda endeleeni kumponda ipo siku tu mtaelewa bado hamjaelewa
@kelvinngenzi8578
@kelvinngenzi8578 2 жыл бұрын
Acha zako wewe ujinga mtupu
@mariamgodfrey53
@mariamgodfrey53 2 жыл бұрын
@@kelvinngenzi8578 mjinga ni wewe usiyejielewa
@aminaothman2136
@aminaothman2136 2 жыл бұрын
Mashallah
@juliuswilliammtana3610
@juliuswilliammtana3610 2 жыл бұрын
Ongera sana mdoangu kwa uaminifu wako
@benjaminkapelah7664
@benjaminkapelah7664 2 жыл бұрын
Ameeen
@willyngowi3162
@willyngowi3162 2 жыл бұрын
Mwaminifu hafi njaa👏👏🙌
@johnbogonko4315
@johnbogonko4315 2 жыл бұрын
Wahenga walisema, wema hauozi! Sasa kijana atasoma hadi penye yeye atataka. Tena ile kuwa ambassador wa kuona kuwa hakuna rushwa nchini liberia, bado hizo ni pesa. Bado wahenga walisema- Tenda wema uende zako. Mema yatakufwata tuu.
@emanuelmaro8471
@emanuelmaro8471 2 жыл бұрын
Safi Sana wajina,,
@omaryjuma8002
@omaryjuma8002 2 жыл бұрын
Tujalibu tu kuwa waminifu kwe haya maisha Lakini sio bongo🤣
@adamdemarch5565
@adamdemarch5565 2 жыл бұрын
😅😅😅
@zainabamran6716
@zainabamran6716 2 жыл бұрын
Kweli mtoto mtiifu una tamaa yakwako utaitafuta kwa jasho lako hongera sana
@marympango9247
@marympango9247 2 жыл бұрын
Duuuh Mungu amsaidie huyumtt jmn!!!! .. Dah.
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 2 жыл бұрын
Mungu ambariki sana
@aishandwata2207
@aishandwata2207 2 жыл бұрын
Kafanaya vizuri sana.hongera moyo waimani
@Smartmoneymakerz
@Smartmoneymakerz 2 жыл бұрын
Yani leo nimeshuhudia boda boda kadondosha kiroba cha mchele na hajajua, sasa hao vijana wameokota wakasepa na fuko la kilo 25 la mchele😂😂nawaza kama ndio zingeanguka hizo dola ngapi sijui wangefanyeje😂😂
@leahmgunda177
@leahmgunda177 2 жыл бұрын
The curriculum is highly concerned.God bless Emanuel.
@reginacharles1913
@reginacharles1913 2 жыл бұрын
Uaminifu utakulinda siku zote za maisha yako, atakachokipata huyo kijana ni kikubwa kuliko hiyo pesa aliyoikota
@philipowyinjones9645
@philipowyinjones9645 2 жыл бұрын
Waooo
@danieltoroka7281
@danieltoroka7281 2 жыл бұрын
Super man
@salumugidion
@salumugidion 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Mungu anaishi 🙏. Mimi nilimlaumu babu yangu aliomrudishia mzungu mfuko wa dhahabu kwa kumkimbiza kwa mguu huku mzungu akiwa kwenye pikipiki mpaka akamkuta. Mzungu akamwambia iko nini WEWE unafanya? Utakufa masikini. Akampa kibiriti na bakuli la chumvi 😭😭😭. Kipindi babu anatuadithia hivyo na kuona maisha yetu nililia sana 😭🙏
@christopherdimagaaaikopouw916
@christopherdimagaaaikopouw916 2 жыл бұрын
Babu alijichanganya apo mzungu hiyo zahabu alipola kwetu akamludishia tena Aisee
@ammyskills5588
@ammyskills5588 2 жыл бұрын
@@christopherdimagaaaikopouw916 🤣🤣🤣labda tumuulize wana nini saivi🤣🤣
@ammyskills5588
@ammyskills5588 2 жыл бұрын
Hee😎🤏
@ammyskills5588
@ammyskills5588 2 жыл бұрын
Alijichanganya sana huyo😃
@mohamedhaji2200
@mohamedhaji2200 2 жыл бұрын
@@christopherdimagaaaikopouw916 Babu alirejesha mali ambayo si yake haijalishi mwenyewe kaipataje.
@mankamush5057
@mankamush5057 2 жыл бұрын
Nice
@mkambamaulid447
@mkambamaulid447 2 жыл бұрын
Ingekuwa ww Ingekuwa vp? Sema ukweli mm ningepita Nazo barabarani Ningekujua Mungu amesha nipambania🤣🤣🤣big Up Sana kijana mwenzetu mfano wa kuigwa ila kwa hapa kwetu🤔Wapo 🇹🇿
@julitamassawe3104
@julitamassawe3104 2 жыл бұрын
Sawa
@wardaheluwa734
@wardaheluwa734 2 жыл бұрын
Kama ni Kenya sijui kama angezipa kamili zengeregeshwa lakin asingepata zote
@deusdedithjoseph7588
@deusdedithjoseph7588 2 жыл бұрын
Hongera sana kwa uaminifu mdogo wangu
@ruthmariki6462
@ruthmariki6462 2 жыл бұрын
Aise nomaaaa hiii
@dullywamashairi121
@dullywamashairi121 2 жыл бұрын
Wengi waliompongeza na kumuunga mkono maamuzi ya huyu kijana ni baada ya dogo kuzawadia zawadi ya pkpk mbili na kiasi cha pesa pamoja na kuendelezwa kimasomo. Vinginevyo asingepewa chochote basi watu wengi wangetahaluki na kumkosoa dogo na kumtakia maisha mabaya zaidi. Ukweli upo hivyo
@lazarokiiza9429
@lazarokiiza9429 2 жыл бұрын
Kweli kabisa, na angekuwa bongo alikuwa anapita ivi🤣
@maidamhanje5993
@maidamhanje5993 2 жыл бұрын
Hicho ndicho kimemfanya apongezwe asingerudisha labda hata asingejua atumie nn lkn kwa kurudisha kapata kuaminika na kutambuliwa na kupiyia Hilo anaweza pata ubalozi zaidi Kila kitu Kuna faida na hasara yake tunampongeza kwa uaminifu haijalishi angepata pesa au laaaa huwezi jua angeiliwa pia kwa hizo pesa vile vile
@user-br3sc8bm4t
@user-br3sc8bm4t 2 жыл бұрын
Waoo that nice
@neemambunda2004
@neemambunda2004 2 жыл бұрын
The fear of the Lord is the beginning of all wisdom
@khadijaissa1734
@khadijaissa1734 2 жыл бұрын
Mashaallah
@jesusmyeverything9179
@jesusmyeverything9179 2 жыл бұрын
Amina sana.
@salehsuleiman8519
@salehsuleiman8519 2 жыл бұрын
Ni adim sana watu kama hawa mungu amjaze iman
@annachales9623
@annachales9623 2 жыл бұрын
Yaani amepata makubwa zaidi ya hiyo aliyoiokota.Tujifunze Mungu hukupima kwa kidogo ukione kikubwa ili akupime imani yako.Mungu akitaka kukupa anakupa kwa njia yake
@edlumala9428
@edlumala9428 2 жыл бұрын
Nguvu ya uaminifu hiyo, karudisha milini 100 karudisha lakini kapata fursa ya kusoma life time “ambayo ni zaidi ya 100m” kapata zawadi 20% ya pesa alizookota, kapata pikipiki 2, Kawa karibu na rais na kajulikana dunia nzima! Lakini la mwisho kabisa ana fungu lake kwa Allah kwa uaminifu aliyoufanya.
@adamdemarch5565
@adamdemarch5565 2 жыл бұрын
Mungu anagawa ridhiki kwa aina tofauti mtot Hana bahati uyo
@makazimakazitelevision1284
@makazimakazitelevision1284 2 жыл бұрын
Ningeokota mm nisingeregesha coz mungu alikua na sababu Kwanini yy ndo aliokota hilo begi
@alluabdallah6893
@alluabdallah6893 2 жыл бұрын
Kwel muung kaahid uaminifu ni kitu pekee ktk hii dunia Bodaboda 2 Udhamin wa masomo dunian popote had upeo wake wa akili Milion 21 Balozi wa rushwa mchin kwao kwakwel hivy ulivyopat ni Zaid ya milion 100 Congratulations KIJAN hakik umeshafunguka
@NaitwaChongx
@NaitwaChongx 2 жыл бұрын
Umesahau dola elfu moja na miatano alizopewa na mwenye pesa🔥🔥🔥🙏
@hajeralqaidi2115
@hajeralqaidi2115 2 жыл бұрын
@@NaitwaChongx ndo mana tunaambiwa tusikate tamaa na rehma ya mwenyezi mungu❤
@lindambilinyi6253
@lindambilinyi6253 2 жыл бұрын
Kwa bongo ata ukiwa mwaminifu wa hvyo unapewa kesi ya uhujumu uchumi nan sasa aludishe🤣🤣🤣🤣🤣🏃‍♂️
@lahnisalim4899
@lahnisalim4899 2 жыл бұрын
Hhhh
@zezezeze8408
@zezezeze8408 2 жыл бұрын
muaminifu sana na utazidi kubarikiwa km ataendelea kuwa hivo
@emmanueljohn8970
@emmanueljohn8970 2 жыл бұрын
Emmanuel Mungu pamoja nasi
@hagarbills4023
@hagarbills4023 2 жыл бұрын
Uaminifu na nusu ManshaAllah
@pmall8867
@pmall8867 2 жыл бұрын
Hawa Akina Emmanuel wa Tz🇹🇿...sizani Kama wangeweza ...lazima tunge kutana kidibwi tu😂😂
@verombwambo3703
@verombwambo3703 2 жыл бұрын
Hongera kwa walezi wake
@alfredmwanyika3158
@alfredmwanyika3158 2 жыл бұрын
Uaminifu wa kweli ni kitu ambacho hakipatikani kwa urahisi kwenye ulimwengu wa Sasa @bodaboda wenzangu tuchape kazi kwa uaminifu Mungu yupo 🙏
@johanesjoseph4747
@johanesjoseph4747 2 жыл бұрын
Jichanganye kwa Bongo hii uokote kiasi km hicho halafu ukirudishe tuone km utaitwa hata ofisi ya mtendaji wa kata. Refer jamaa wa Zanzibar sina kumbukumbu zaidi lakini ni kati ya mwaka 2019-2021. Aliokota million 150 na mwenye nazo alikuwa ameshaondoka nchini yuko zake uarabuni huko. Jamaa akaweka hadi hela ya kutolea ili mwenye nayo akiipata atoe kiasi kamili (150m). Jamaa aliishia kuandikwa kwenye magazeti tu na Millard
@shijawilibard4001
@shijawilibard4001 2 жыл бұрын
Duu! Hatari sanaaa
@sophiakitaly2843
@sophiakitaly2843 2 жыл бұрын
ukisikia kulala masikin kuamka tajiri ndo hivo sasa, ukiskia paah wa mwisho anakua wa kwanza na wakwwwanza anakua wa mwisho....goodboy honestlyboy
@Pihansmo1129
@Pihansmo1129 2 жыл бұрын
Bongo usijidanganye ukarudisha Yani utajuta 😭😭😭😭😭
@zenadaudzena2849
@zenadaudzena2849 2 жыл бұрын
😁😁😁
@lindambilinyi6253
@lindambilinyi6253 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣bongo hakuna mwaminifu wa hvyo
@emmansabu9300
@emmansabu9300 2 жыл бұрын
There is always something about this guy's called EMMANUEL
@lainakanani3662
@lainakanani3662 2 жыл бұрын
Mungu aendelee kumubariki.Tuseme Amina
@husseinomary4466
@husseinomary4466 2 жыл бұрын
Kibongo bongo mamdogo aliekabidhiwa furushi hilo mapemaa yupo China
@hasnasaif1075
@hasnasaif1075 2 жыл бұрын
Hujakosea
@HadijaDaffo
@HadijaDaffo Ай бұрын
😂😂😂
@charlesmyamba8531
@charlesmyamba8531 2 жыл бұрын
Uaminifu ni mzuri sana
@rahmaabdulla4949
@rahmaabdulla4949 2 жыл бұрын
Sana ukiwa muaminifu hata nafisini mwako uanajisikia raha sana . Halafu kwao wanaoneka wote waamifu hata mamayake mdogo aliempa begi alihifadhi hakuzichukua kalihifadhi mpaka mwenyewe katokea
@amoama9353
@amoama9353 2 жыл бұрын
Huyo kijana raisi wake alimpa fedha million 23 pikipiki 2 TVS ,kusomeshwa hadi masters kuwa balozi wa kupinga rushwa nchini na kupewa mshahara kwa ubalozi huo ,mama aliyepoteza fedha alimpa alimpa milioni 23 , balaza la maaskofu pia limempa shilingi million 23 kwa thaman ya fedha yetu
@faithmsafiri6534
@faithmsafiri6534 2 жыл бұрын
Dah kweli Mungu amemlipa
@ridhwanfaki9738
@ridhwanfaki9738 2 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah hiyo ni uwezo wa mungu ulivyo mkubwa kwa waja wake ,huyo kijana hiyo ndio ilikuwa rizki yake alopangiwa na mungu .na km asingezirejesha huenda asingeweza kufanya llt zaidi ya kuziharibu kwaiyo ona ss amepata heshma kubwa ktk inchi yake na duniani kwa ujumla ,hakuna kitu chema km uwaminifu duniani .Dola elfu moja ,alopewa km zawadi kwa muhusika ,pikipiki 2 alopewa na rais ,kusomeshwa na rais mpk mwisho wa elimu yake ,kuwa balozi wa kupinga rushwa nchini mwake SI mambo madogo hakutarajia maishani mwake ,Allah Akbar .mungu ni muweza wa Kila jambo .
@ndagatv
@ndagatv 2 жыл бұрын
CAPABLE GOD
@mselematrans3474
@mselematrans3474 2 жыл бұрын
Safi sana kwani uaminifu nikitu muhimu sana katika maisha ya hapa Duniani
@vedastokeya3344
@vedastokeya3344 2 жыл бұрын
Njia ya mtu ya mafanikio ngumu kwa wengne kuamini
@rubensaitoti6839
@rubensaitoti6839 2 жыл бұрын
Hongera san
@elizabethpaulo3679
@elizabethpaulo3679 2 жыл бұрын
Hongera sana
@idrisaally7986
@idrisaally7986 2 жыл бұрын
Maisha hayana formula ww tu kuchagua namna ya kufanikiwa
@thomasalphonce4248
@thomasalphonce4248 2 жыл бұрын
Daaaaa hiiii Itabaki kusema daaa ingekuwa Mimi nisingeludisha ira kwangu Noooo Wara nisingeludisha
@ahamadially8351
@ahamadially8351 2 жыл бұрын
Aiseee
@linahsemindu4261
@linahsemindu4261 2 жыл бұрын
Dah mungu ambariki Sana" lait ingekuwa kijana wa tz hz pesa zisingerudishwa🤣🤣lkn hata yy kapata zawad ambazo hajazitegemea
@ntibwanaahmadjuma7885
@ntibwanaahmadjuma7885 2 жыл бұрын
Kama vile nawaona boda boda Wa bongo wanavyo tumbuwa mimacho
@HadijaDaffo
@HadijaDaffo Ай бұрын
😂😂😂
@suzankasile8093
@suzankasile8093 2 жыл бұрын
Jamani MUNGU wetu sote tusichoke kuwa waaminifu hakuna kitu kizuri Kama chakulewa na Mungu tusichoke kungoja kwa wakati wake atatubariki na kuushangaza ulimwengu
@arafatharoub6215
@arafatharoub6215 2 жыл бұрын
Jamani walioona nguv ya mungu muumba wa vyote naomb tujuane
@halimahamis3742
@halimahamis3742 2 жыл бұрын
Ajengewe sanamu lake Na mafisadi wa nchi hii wajitathimini
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 2 жыл бұрын
Aliandaliwa baraka za.kimbingu.
@geraldsija9472
@geraldsija9472 2 жыл бұрын
God bless him b
@kasimhamisi9855
@kasimhamisi9855 2 жыл бұрын
Mwenye kuliacha jambo kwa ajili ya Allah, Allah humpa kilicho bora zaidi ya kile alichokiacha. Allah akujaalie mwisho mwema.
@purityneema218
@purityneema218 2 жыл бұрын
Mungu amzidishe uyo kijana
@anordgerison8639
@anordgerison8639 2 жыл бұрын
Wema una lipa .... Good luck .... MUNGU hutoa njia pasipo na njia ... Kama Wana wa Israel walipo fika bahari ya shamu
@marialudovick8938
@marialudovick8938 2 жыл бұрын
Kabisaaa
@MaridadiRashidilikwesoLikweso
@MaridadiRashidilikwesoLikweso Ай бұрын
mmmh Mungu hakupi zawadi kwenye bahasha
@salimahmed6005
@salimahmed6005 2 жыл бұрын
Dah eti mimi mtot Wa mama Johary nirudishe begi La pesaa maan hizo sio hela ni pesaa..
@samweliandrea7802
@samweliandrea7802 2 жыл бұрын
Mungu akitaka kukubariki anakupima nakitu kidogo t
@henrymatebe1492
@henrymatebe1492 2 жыл бұрын
Hahahaha😂 sasa 😂 bongo konda akizubaa kidogo tu mia nne yake unaikacha jamani 😂 kazi kweli kweli yeyote atakayeweza kuwa muaminifu hivyo hapa bongo basi akienda mbinguni atakuwa kiongozi wa kuongoza malaika maana bongo siyo 😂
@marianajohn360
@marianajohn360 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 uyoo n mm kabisaaa YaAni
@eventelias3566
@eventelias3566 2 жыл бұрын
Mambo mengine ni majaribu makubwa lkn ukiyashinda unakuwa mshindi hadi kufa.
@barakalema4358
@barakalema4358 2 жыл бұрын
Daaah jamaaa ana VIP peponi
@thereseuwezo9449
@thereseuwezo9449 2 жыл бұрын
Uhaminifu ni walazima sana ongera sana Emmanuel Mungu ana makusudi na wewe
КОМПОТ В СОЛО
00:16
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 31 МЛН
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 7 МЛН
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
Philip Kotler: Marketing
57:30
Chicago Humanities Festival
Рет қаралды 2,3 МЛН
When A Gang Leader Confronted Muhammad Ali
11:43
Boxing After Dark
Рет қаралды 4,4 МЛН
HARUSI YA KIJESHI, ANGALIA MAKAPELA WALIVOINGIA KUHAKIKISHA USALAMA
8:39
Ijue familia ya Rais Samia Suluhu -mume, watoto na historia yake
13:38
Zanzibar Kamili TV
Рет қаралды 949 М.
КОМПОТ В СОЛО
00:16
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 31 МЛН