SAKATA LA MKATABA WA CHAMA KUNA UWONGO MWINGI/CHAMA HAWEZI KUCHEZA NA KIUNGO PUNDA

  Рет қаралды 21,804

KITENGE TV

KITENGE TV

4 күн бұрын

Пікірлер: 42
@user-pw8pi1ev9u
@user-pw8pi1ev9u 2 күн бұрын
Uko sahihi kabisa maana wachambuzi kama Wilson oruma,salehe jembe, Geoff lea, jemedari, Alex ngereja ,marco mzumbe ni wachambuzi ovyo ovyo ovyo ovyo kabisa maana wanajifanyaga much knows mwisho wa siku wanaishia kuwadanganya watu na kuishia kwenye aibu kubwa
@JamesHerman1-jx2dc
@JamesHerman1-jx2dc 2 күн бұрын
Sina laziada mkuu huu ni ukweli usio naupinzani
@scopy0428
@scopy0428 Күн бұрын
🤝
@ecostats51
@ecostats51 Күн бұрын
Msemaji wetu uko bright sanaa. Yaani unamaarifa na idara yako mpaka unaboa😎😎✊✊
@maxmia100
@maxmia100 2 күн бұрын
Kweli kaka hao wachambuzi uliowataja hao mimi huwa siwasikilizagi kqbisa
@rukiakyaka1827
@rukiakyaka1827 2 күн бұрын
Yaan Diego na msemaji wwtu uwa wanapenda sn na anajisikia raha akimuoji Inshaallah M/Mungu akujaalieni Kheir Inshaallah
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 2 күн бұрын
Mana wale sio wachambuzi ni chambaji 😊
@EliakimuBura
@EliakimuBura 2 күн бұрын
Shemej kama semajiii
@blandinafransis3366
@blandinafransis3366 2 күн бұрын
Kweli yanga ni timu kubwa lakini wote tunakula robo hivi kweli
@mbarakasijaona7638
@mbarakasijaona7638 2 күн бұрын
Kuna watu yanawatoka mapovu humu ngoja msimu uanze 😂😂😂😂😂
@BeniYaredy
@BeniYaredy 2 күн бұрын
Makope acha matusi mjinga ww
@raymondsekabigwa5907
@raymondsekabigwa5907 2 күн бұрын
Unachekaaa unadhani weye ndo unayemlipa jamaa!
@petermboye5284
@petermboye5284 2 күн бұрын
Simba nguvu moja
@dullamuso6955
@dullamuso6955 Күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉
@starboyocal5393
@starboyocal5393 2 күн бұрын
Dhaa nimechk kisengee ety PUNDAA😅
@hassanabdala7383
@hassanabdala7383 2 күн бұрын
Chama miaka 33 Uto kunguruu wa mizogo
@NassorSalekhe
@NassorSalekhe 2 күн бұрын
Sasa kubwa kati y kiatu na Simba mna ndio yatano afrika mwehu we
@HassanZiroy
@HassanZiroy 2 күн бұрын
Selikali yetu inawapenda watanzania ndio mana imetujengea vituo vya afya pamoja na shule nahii yote kuwawezesha wagonjwa pamoja na wapombavu nisiende mbali mfano ali komwe uyu ni mpombavu asie jijua na hajui kuwa nimpombavu voz anasema yanga ndio kilub kubwa ivi naface ya 12 nanaface 5 ipi iliyopga atua? Uyu bwanamdogo sio bule nazani ana upungufu wa akili
@EdwardJeremiah-bd8rl
@EdwardJeremiah-bd8rl 2 күн бұрын
Hata kuandika hujui alafu uko bize kukosoa walosoma na uko bize na bando la buku😂😂
@petermboye5284
@petermboye5284 2 күн бұрын
Subirini ujao, no makosa ya kibinadamu
@joshuaerasto8677
@joshuaerasto8677 2 күн бұрын
Wewe semea timu yako utakuja kuumbuka asubui, au utakuja kuzima uwanjan
@BeniYaredy
@BeniYaredy 2 күн бұрын
Ahmedi fala ww acha kutukana mjinga ww
@nicodemusmemba1402
@nicodemusmemba1402 2 күн бұрын
Hai kina jembe ni wachambuzi wenye,chuki sana na Young Africans
@satarantonio3077
@satarantonio3077 2 күн бұрын
yanga sikuizi ni nssf sehemu ya mafaoo
@mwanangusana
@mwanangusana 2 күн бұрын
Hujakosea ... Makolo tuliwapa mafao pia ... Na msimu mafao yataendelea Madunduka wali faidika na mafao ya yanga 🤣🤣🤣
@mjuaelias3681
@mjuaelias3681 2 күн бұрын
Ameisha huyoo,miaka 33,Simba haiwataki wachezaji wazee kwa sasa.
@kolosii4351
@kolosii4351 2 күн бұрын
Msijimalize ndugu zangu mtakuja umbuka.
@musamagulu2023
@musamagulu2023 2 күн бұрын
Kamtoeni Ngoma mwenye miaka 38 kwanza km hamuwataki wazee
@godfreymabula6858
@godfreymabula6858 2 күн бұрын
Kwanza ncheke😂😂😂😂😂 sio nyie mnamlilia chama kila siku kwenda Yanga kawa Mzee?? Wabongo bhana 😂😂😂😂
@musamagulu2023
@musamagulu2023 2 күн бұрын
@@godfreymabula6858 Tuwaambie tu kuwa tumekubali kumchukua na uzee wake,halafu km mzee huyo babu ngoma na chama nani mzee?
@khamisally9559
@khamisally9559 2 күн бұрын
Dooohhh! Watu mmekuwa mambumbumbu sana ndio maana Mo anawageuza kama chapati. Hivi unajua nguvu walizotumia viongozi wa Simba kutaka kumbakisha Chama? Usichokijua ni usiku wa kiza. Muda ni hakimu nzuri sana. Tupo hapa.
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 2 күн бұрын
Hawo ni mashabiki mandazi
@raymondsekabigwa5907
@raymondsekabigwa5907 2 күн бұрын
Tunza maneno yako wewe, Hana muda huyo Mzee, kagundua pa kupiga hela ya kumalizia na Kwa vile mamatu ya kuliwa yapo. Hapo chama nakusuport. Piga hela muda wako mafupi. Wacha wakusomeahee watoto. Wajinga ndo waliwao
@ahmedimakope
@ahmedimakope 2 күн бұрын
Anavyojisifia huyu kuma lazima uamini kwl alikuwa form four failure 😂
@errydeo8865
@errydeo8865 2 күн бұрын
Kwa hiyo unajiona umeongea sense? You sound like a fool!
@simpleboytz255
@simpleboytz255 2 күн бұрын
Wewe ndo huna Elimu maana huna hoja maana unatukana, kuwa na staha mtandani
@petermboye5284
@petermboye5284 2 күн бұрын
Huna lolote, wastaafu fc
@patrickstanley6823
@patrickstanley6823 2 күн бұрын
Saido anakusalimia 🤣🤣mnamaumivu sana
@athumanmsuya2688
@athumanmsuya2688 2 күн бұрын
Kasemaji hakana uzalendo zarau nyingi,hakuna kitu hapo eti punda hapo anamzau mzamiru ka k kweli
@NassorSalekhe
@NassorSalekhe 2 күн бұрын
Ww Ali komwe unazarau wezako shingo y ngamia na machoyaurojo
Haha😂 Power💪 #trending #funny #viral #shorts
00:18
Reaction Station TV
Рет қаралды 16 МЛН
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 3,5 МЛН
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 5 МЛН
Khó thế mà cũng làm được || How did the police do that? #shorts
01:00
VETA YAWANOA MADEREVA WA MAGARI MAKUBWA
4:37
VETA Tanzania
Рет қаралды 12 М.
NDARO ALIVOMTONGOZA SHEMEJI YAKE KISA STEVE UTACHEKA
18:43
Ndaro Tz
Рет қаралды 86 М.
Kids of Players Wonderful Moments ❤️
0:20
Air Football
Рет қаралды 64 МЛН
the product🗑️
0:19
FireBall
Рет қаралды 22 МЛН
Сын Роналдиньо пошёл по стопам отца
0:59
Советский Эксперт 2.0
Рет қаралды 1,3 МЛН