Miraji chagamba hongereni Leo nimefurahi sana mpo kwenye muonekano mzuri sana safiiii🔥🔥🔥
@jumamakame39785 күн бұрын
Hii sasa safi chagamba utasalimika na makofi ya mabega😂
@HamicKauno2554 күн бұрын
Mbona kama mwendo ni ule ule 😂
@IllhaamIbrahim4 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@FranksonMkumbwa-mb3pp4 күн бұрын
😂😂😂😂😂😅
@southernkid69324 күн бұрын
😂😂😂
@FahadBurhan-dl9ik4 күн бұрын
Chagamba mabega yangekua meusi kwa makofi ya miraji.. 😂
@user-wk2bg8zf3l5 күн бұрын
miraji Leo mmetisha Kama crown media, kama mpo ofisini 😂😂😂😂SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉WAKALI WA KARIAKOOO
@EmmaPallanjo5 күн бұрын
Bega la chagamba Leo limepumua
@user-ff1it9og8y5 күн бұрын
Simba kocha yupo vizuri je mnataka akaanzie wapi kifundisha ili mjue ni kocha mzoefu acha aanze na Simba ili atengeneze cv simba itapaaa na haitakua na mpinzani
@charlesmelkiory47425 күн бұрын
Mabega ya chagamba leo yapo salamaa...hongereni sana MGen insurance
@victorlyimo8965 күн бұрын
Hapo sasa unyama sana kama studio yaan...mmeendelea snaa wakuu hongereneiiii🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@B.M-ix4rz5 күн бұрын
Hatima mungu kasikia kilio chetu mabega ya chagamba yako salama kwa siku ya leo yamepumzika kipigo
@hamissima5 күн бұрын
😂😂🎉
@hassanchiwambo6875 күн бұрын
Subiri ianze ligi muda si mlefu utasikia sababu. Mara yanga wanatuloga, mara GSM anaharibu ligi ila sasa hivi hawatasema. Tukumbuke wakati huo Young kikosi chao kiko palepale na wanazidi kuboresha. Ni tahadhar tu...
@amaniomar17555 күн бұрын
Simba ijayo ni hatari sana yenye vijana wenye nguvu
@fettiemaganza14845 күн бұрын
Vijana ndo mpira ombeni tu waende na matarajio yenu hatutaki malalamiko
@amaniomar17555 күн бұрын
Hakuna atakayelalamika mpira ni dakika 90' na atakayecheza vizuri kimkakati atashinda. Kila mtu atengeneze team yake halafu dakika 90' ziongee@@fettiemaganza1484
@mnabukulakasaka5 күн бұрын
Miraji wachezaji wako 2 bado
@mwanangusana5 күн бұрын
@@amaniomar1755kwani jobe ni mzee ? Fred mzee ? Hussein kazi je ?? Nyie pigenii kalele halaf mlete wanafunzi wa secondary tukifumua nyingi msije mkaanza kulia 😂😂
@amanikwiyima90545 күн бұрын
Hapo kwenye dua bado Miraji uko nyuma sana,unaanza kujipanga pa kujifichia
@sabinaechasa29255 күн бұрын
Chagamba Leo begalimepumzika muwemnakaa hivyo kwakujinusuru siyokwamikofi yale😂😂😂😂😂😂
@mwlhalimoja.ekingunza18195 күн бұрын
😂😂😂😂 ila Leo haitanoga aisee. Yaani Miraji na Chagamba lazima mabega yapate moto😂😂😂
@user-fg8hg9fe1w5 күн бұрын
Chagamba huyo miraji inatakiwa ukae naye mbali asikuguse mikofi ya mabegani atakupinda mgongo😂😂😂
@LearnBenjamin5 күн бұрын
Kama namuona miraji 😅😅😅alivyo miss kupiga mabega ya chagmb 😂
Miraji leo mmekaa yaani leo kama mpo ofisini ila safi lazima siku Moja Moja mubadilishe muonekano
@deogratiusvalentino62484 күн бұрын
Leo bega la chagamba litapumzika😂
@AbassiBaro-jc3il5 күн бұрын
Duuh tumeshapata office good 👍
@husseynomar95235 күн бұрын
MIRAJI SAWAAA🎉🎉🎉🎉❤
@shebbylove9463Күн бұрын
😂😂😂😂😂 nilitaka nishangae chagamba asipate hata kofi moja kwel nisingeangalia tena sema leo makofi yamepungua 😁🤸🤸
@mwasunga5 күн бұрын
Milaji baba ulikua wapi baba wanasimba tukikusikiliza mwoyo yetu inainjoy omemuona okojephe baba tunakuitaji kesho umzunguzie mungu azidi kukuzidishia afya njema ww pamoja nafamilia yako mzazi
@BubuallyMwakipesile-br8dc5 күн бұрын
Simba nguvu moja miraji Mimi nakukubali sana
@user-sz9om9ly4y4 күн бұрын
Leo chagamba mabega yamepumzika kupigwa,utanenepa chagamba mmekaa vizuri mmependeza sana hongereni sana.
@sittandaki21354 күн бұрын
Naona chagamba mabega yako yamepumzika hongera sana 😂😂😂😂😂😂😂 but nawakubari sana wote wawili
@abduldihomba16324 күн бұрын
Huyu miraji sometimes maneno yake anayatafuna mwenyewe tusubiri tuone..
@Charlesmagita2 күн бұрын
chagamba leo.kachukuwa kitu maana Yale makofi ya miraji ni hatari
@odilomwakamela48895 күн бұрын
Ligi ikianza Mangungu tuachie timu yetu
@WestonMbuba-ff4jk5 күн бұрын
Chagamba ninaomba T shirt ya MG. Mwili wangu ni kama wa Miraji
@mimiraia25314 күн бұрын
Benchika kashinda CAF confederation dhidi ya Yanga Tena kwa SHERIA ya goli la ugenini. Anakuwaje bora namba moja kwa vilabu ashinde CV ya Pitso Mosimame mwenye makombe ya CAF Champions League matatu?! Hata kama ni kwa muni bus wa CAF bado hainishawishiiiiiiiiiimamaeeeeee
@user-cw8yt9pr8j4 күн бұрын
Leo sehem salama
@user-me3dy9zk7e4 күн бұрын
Daah! Kwahy Miraji 7bu ya kuvurunda sio tena mangungu na jaribu tena?
@AidaniKungi4 күн бұрын
Miraji jaribu kuacha kuongea kwa kumpigapiga mwanahabari tabia hii unakosa mashaki wa mahojiano yako, hutakiwi kupigapiga mtu wa habari acha mbwembwe, acha ligi ianze utalia miraji tupo hapa.
@mwlhalimoja.ekingunza18195 күн бұрын
Aaah Leo mmekaa chagamba leo hutapigwa mabega😂😂. Ila sijapenda yaani muongee bila kupigwa mabega na miraji!!?
@idrisahamimuhasani57175 күн бұрын
Maramoja leo umeongea kishabiki Zaid
@amaniomar17555 күн бұрын
Amejitahidi lakini
@user-zk6sy4rn9n4 күн бұрын
Miraji bora usiname,ukikaa hainogi.unakuwa hauna ma points kama Ungekuwa umeaimama
@killingmleke18105 күн бұрын
Mmesahau kama yanga anaandaa ligi kuchukua ninyi mnaongea sana na sasa mnasema mmesajili vizuri ila mkishaanza ligi yanga akishinda mnaongea
@abelimaganga4175 күн бұрын
Leo mmeupiga mwingi mnoo mpaka una mwagika nataman hata mmengeongeza hata mda nimeipenda hyo leo❤❤❤
@FredyPeter-rq8hj5 күн бұрын
hapo sawa umemkalisha milaji kwenye sofa maana unge msimamisha mabega ugesoma namba acha apige pige sofa❤❤❤
@kihilenahimana88215 күн бұрын
Umeona eeeh.
@tumainimano99534 күн бұрын
Ila sauti ya Leo ipo chin Bora uendelee kutumia mike kubwa
@user-bt6ep3yb2h4 күн бұрын
Mkiendekeza fikra potofu kuwa mnalowa mjue mtapigwa sana na akina mbangula na wengine wa aina yake. Mara mnalogwa, mara bahasha, mara mangungu, mara manula, mara kocha mbovu, mara wamesajiri akina jobe, eehh huo ni mpira au mazingaombwe.Tulieni, wapeni moyo vijana wenu na msiwasikilize sana machawa malioenea kwenye vilabu vya simba na yanga, wapeni mda wachezaji waingie kwenye mifumo.
@RajabuSelemani-rj9hy4 күн бұрын
Chagamba anaogopa makofi amekaa mbali leo 😂😂😂😂
@abasikusaga61323 күн бұрын
Watoto hao2 mtawakataa tu mpila Sasa hivi ni bishara chukua bidha kwa faida ya Leo sio kesho hakuna anaejua kesho yake
@kibwanakizulege46325 күн бұрын
Kwa staili ya Leo tunakosa radha Ile ya Miraji KUMPIGA Chagamba BEGA. BEGA la Chagamba lipo salama leo😂😂😂
@SospeterMasanja-r6b5 күн бұрын
Chagamba kaona isiwe shida. Kakaa mbali na makofi ya miraji
@muhsinkimaro42835 күн бұрын
Chagamba siku unafany kipind na mzee said mlete naye akae hapo apigwe na uyoyozi, ila angalizo anaweza akakataa kuondoka
@SuleimanJuma-dv8gt5 күн бұрын
Setup ya leo amazing👍
@AliAliahmada-ht4ri5 күн бұрын
Mlipokuwa mnafungwa mlikuwa mnajifichia kichaka cha Yanga ananunua mechi, GSM a Hiaer amefadhili timu nyingi ligi kuu, kumbe sasa mnaaibishwa kwa kosa la kwenu wenyewe.
@hamisnagave-bl1sq4 күн бұрын
Kwenye hiyo dua asisahaulike SHEIKH DR.SULE hachomoki mtu.
@KaujuMwakajumba5 күн бұрын
Asante kwa kupata pa kukaa.... maana Miraji alikuwa alikuwa anakuumiza sana mabega chagamba,😂😂😂
@user-er9xv9yz7b4 күн бұрын
Chagamba ameona mabega yatang'oka katengeneza sehemu ya kukaa
@omarkipotwile90524 күн бұрын
Chagamba leo mabega yatawasha hayo 😂😂
@chandeyusufu95704 күн бұрын
Chagamba unachekesha unasema mtu anafinywa giza kimya kimya nawakubali nawafatilia kutoka dubai
@LwessoKisekaJuma-wb1zu4 күн бұрын
Umesubili hadi mabega yakalibie kutobolewa ndio ukatfta viti
@BahatiomaryMwambela5 күн бұрын
Kikubwa tusiwape plesha wachezaji na walindwe
@chng19905 күн бұрын
Josee morinho anakuja na falsafa zake na anakupatia matokeo
@mhehejrtv96375 күн бұрын
Nimekusubiri Sana mirajii unajua afu unajua Tena familia
@marthageorge50435 күн бұрын
💥💥💥💥
@jamesmaneno22814 күн бұрын
We kaka Simba tumesajili weng tunakufata wewe baada yakutupa moyo unatukatisha tamaa kweli kaka uku mm Kila siku tunakufatilia wewe kila siku unamaliza Bado kaka kweli
@dicksonmapunda78365 күн бұрын
Miraji🎉
@AlfredRutaguza4 күн бұрын
Yaani mshabiki yeyote wa simba anakuwa na asili ya uongo uongo Sana na propaganda za kutosha na vipo kwenye damu
@AbbasyMdabwa5 күн бұрын
Miraji mara moja Simba wachezaji wasimba walindeni
@derimkongwa59654 күн бұрын
Hakuna timu inayojengwa duniani bila kuwa na wazoefu
@hawachitale4 күн бұрын
Chagamba ana hamu ya kupigwa leo
@fettiemaganza14845 күн бұрын
Kwa leo chagamba mikofi inamkosa
@user-qi3wv8sf5j5 күн бұрын
Chagamba,hao ndio WATU wa kukufikisha mbali yaani wanamadini ya boli na MZEE Said a Sio MASATU
@brunomtweve80735 күн бұрын
Chagamba leo bega umepoa mana maramoja anahatari
@JANE-jv4eq5 күн бұрын
Milaji wewe fundi 💪💪
@mwafyelatv14364 күн бұрын
Chagamba Leo umekaa mbali na milaji unaepusha mabega
@monifrank3475 күн бұрын
Okojepha tayari tushamsajiri
@kasimuhamidu84675 күн бұрын
Malamoja wakumbushe wachezaji walindwe usisahau baba
@user-zx1vk9pr1w4 күн бұрын
Ehee hapo sas chagamba mmetishaa kama hofsin yani waaaah ! Namabega yako yatapumua gamba 🤣🤣🤣
@josephgalandu1285 күн бұрын
Kumbe pamoja na ofisi mapigo ya mabega yako palepale!!!!😂😂😂😂
@SamsonSaruni-s3g5 күн бұрын
🦁🦁🦁♥️♥️♥️♥️
@user-vc8yc5oj6y4 күн бұрын
Chagamba leo bega halitauma!!!
@deogratiaspmwolo19425 күн бұрын
Gamba tulete mzee Said Aisee.
@amaniomar17555 күн бұрын
Namtamani sana Mzee wangu
@Elias130835 күн бұрын
❤
@josephgalandu1285 күн бұрын
Week and ya mabega leo😂😂😂
@alexshambutu59275 күн бұрын
Chagamba kaona mabega yake yapumue😅
@user-mj3lt1ef7j4 күн бұрын
Leo mabega yamepumuwa
@DullaBallack-mw9zd5 күн бұрын
Bora leo chagamba ulivo kaa mbali maana miraji atakutoa mabega kwa makofi
@RaphaelRapha-vz2sh4 күн бұрын
Ase uyo mchezaji umempatia kinyama
@frankmisana11335 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
@user-qo6qv6mc5p5 күн бұрын
Aaaa gambaaaa
@kihilenahimana88215 күн бұрын
Bado mnaamini ktk ushirikina.
@mrrockboy95085 күн бұрын
Bado mjasema msim ujao mtasemaaa😂😂😂
@user-sn9nm1wu9j5 күн бұрын
acheni ujinga muwalinde kivipi acheni imani za kichawi leo mnavaa nakupendeza lakini vichwani mwenu mweusi kwani bilaya uchawi uwezi kufanikiwa
@EmmanuelZenda-ji5gc5 күн бұрын
Jamaa ana akili sana
@abdallayunnus34754 күн бұрын
Nkubali chagamba na miraji
@BennBenn-es5fi4 күн бұрын
Heee afadhali Leo bega halijaguswa😅😅😅
@carrenbenson21115 күн бұрын
Baleke mzuri sana
@maimunaathumani91215 күн бұрын
Miraji leo unaumwa
@kasimuhamidu84675 күн бұрын
Safi iiiiiiooooooo saa mbovu
@AbisinaRashidi-c8d5 күн бұрын
Hatutaki makochavwakubwa Tena maana hawajatusaidia kitu
@deonatusdaud46405 күн бұрын
🙏🤝🤲
@user-gb2pl3ln9m5 күн бұрын
Leo mko pambe sanaaaaa
@user-fs7xc2bb5d5 күн бұрын
❤❤❤❤
@hassanmohamed94885 күн бұрын
Intavew yaleo haijapendeza miraji amebanea
@PASCHALPETER-gp8ek5 күн бұрын
Gamba leo makofi ya bega umepumzika😅😅😅
@jifunze00425 күн бұрын
wakwanza mimi leo
@brighters48975 күн бұрын
habari ya mjini ni simba tu
@amaniomar17555 күн бұрын
Hujakosea ndugu yangu na hivyo ndio wananchi tunataka
@user-qo6qv6mc5p5 күн бұрын
Xavi mtupu
@user-hu4el2rx2u5 күн бұрын
Viongozi wewe Hala Hala wachezaji wote wasomewe Dua na tupige albadir muhimu sana sababu watu wa upande wapili sio watu wazuri wanatualibia wachezaji wetu tupige Dua hapa bongo nahuko misri ndio kabisa Kuna mashekh wakubwa wasomewe Dua