Ohoooo leo wa pili ku comment Mwanri:eleza ilivyokua babuuuu...... Gari: PAMBANA NA HALI YAKO hahahahahaha wanao endelea kuweka MBs kwajili ya huyu mzee tujuane hpa
@robertobunga31585 жыл бұрын
THIS IS BEING PETTY... MPIGE FINE ALIPE Y ARREST THE GOODS
@matikumhele39294 жыл бұрын
Dutch tz n n
@samwelmashauri94145 жыл бұрын
Kama umeona anaendelea kuugusa mti ni mchochezi enjoy
@wistonkimaro61665 жыл бұрын
Hahaha
@azimediafilms5 жыл бұрын
Haaaa haaaa
@renardphilipo21124 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@pratickocomedian14613 жыл бұрын
@@wistonkimaro6166 1
@timezonlinemedia26655 жыл бұрын
Kwahiyo kwenu Kigoma mnapalamia miti😂😂😂😂😂😂😂😂
@shabanimbaga89215 жыл бұрын
Japo hata mimi linaweza kunikuta pengine kwa bahati mbaya lakini hii nimeipenda. Tusipuuze vitu kuona kama ni vidogo. Safi wananchi
@barakakihiga50874 жыл бұрын
Mwanli pigs kaz tutamuomba rais magu akulete KTV milima inageuka jangwa viogoz wamelala hongela sana agrey
@admakoga18715 жыл бұрын
KAMA UMEONA HILO ROLY LIMEANDIKWA "" PAMBANA NA HALI YAKO"" dakika ya 2:35 gonga LIKE
@pascalmhilu34034 жыл бұрын
We ni atar
@khamiskamtoi50944 жыл бұрын
😂😂😂
@emmanyambuya89203 жыл бұрын
🤣😂😂😂
@aloycekiwia86135 жыл бұрын
😅😂🤣🤣 Yaani mfanyabiashara wa Mbao ,alafu anaharibu Miti.!? Kesho atafanya biashara ya Mchanga.?
@elienezarumisha99965 жыл бұрын
Dah umewaza parefu asee, nmeipenda...
@jimmiejr95315 жыл бұрын
Daah!! Deep
@jacksonmathayo65105 жыл бұрын
Gari yake ime mwambia pambana na hali yako
@ilovejesus93035 жыл бұрын
😁😁
@mosesmkoma68825 жыл бұрын
😂😂😂aisee huna akili nyingi saana
@mwinukafundibombanjombe5 жыл бұрын
Sheria itawapa kinachowastahili..Kaz nzuri hakuna uonevu hapo ni uwajibikaji kazini..!
@edwingwesso1295 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 mzeee huyu kwa kumuona Ni mkali ila Ni mpole Sana
@sethmdj4 жыл бұрын
Kwa kumwona wapi? Sisi tunamwona kwenye uhalisia wa matendo yake ya ukali. huo upole anauonyesha kanisani na nyumbani au?
@publicadvisor69525 жыл бұрын
Pointi hapa sio kumuonea wala kutafuta misifa bali nikufikisha ujumbe Kwa wengine. Binadamu wa kawaida huwezi mwelewa. Hapa Moshi tunamsoma maana mambo huku yanafanyika Kwa userious na ndio maana Kimkoa tupo juu ukilinganisha na mikoa mingi.
@alexjosephat90304 жыл бұрын
Mh pole
@saidkessy65184 жыл бұрын
safi sana kamanda watanyooka tu
@pwalter335tv55 жыл бұрын
Not fear bahati mbaya zipooo gar ina rud reverse bahat mbaya zpoo jamani
@raymondkaswaga83345 жыл бұрын
pwalter335 TV kuna bahati mbaya na uZembe
@ujanjamedia78135 жыл бұрын
turn boy aliambiwa akawa mbishi ubishi wake ndo unamponz
@boazmosses82045 жыл бұрын
Hapa cjamkubali huyu mzee
@vicentelias4914 жыл бұрын
It is fair and Not fear
@liberathmhagama25505 жыл бұрын
Gari inamkana dereva wake inamwambia apambane na hali yake
@jumamwadhini60665 жыл бұрын
msameheni
@kimrudiger50845 жыл бұрын
Hahahahahaha
@jacquelineadrian11124 жыл бұрын
Hahaaaahaha
@abelymembe23344 жыл бұрын
huyo niowenezi
@livingstoneherman66644 жыл бұрын
hahahaaaa
@queencharles7154 жыл бұрын
Nakukubali sana baba Mungu akulinde na akuzidishie katika kazi zako. Nakupenda sana baba
@user-zs1nd1fx7s5 жыл бұрын
Mikoa yote ikifuata sheria y kupanda mti kila mmoja basi jagwa litaondoka
@luqmaansaleh53994 жыл бұрын
Ukiwa kiongozi ni mtihani. Unatakiwa uongeze kwa hekima na busara kuna baadhi ya viongozi wakishapata uongozi wanaji sahau kama wao ni binadamu ipo siku watapita watakuja wengine kwani hakuna atae ishi milele mungu atu ongoze katika njia iliyo ya haki kwa watanzania wote na viongozi wetu.
@christianchando70413 ай бұрын
NI SAWA UONGOZI NI WA MUDA. ILA UNAPOPATA NAFASI YA UONGOZI INAPASWA KUIFANYA KWA UKAMILIFU, BILA UOGOPA MTU WALA KUONEA MTU
@akimmbwego7975 жыл бұрын
Mimi mtoto wako mpendwa,Team Rc Tabora number one TZ NAMWOMBEA ASAMEHEWE MTU HUYO KUHUSU FINE ATOZWE 50,000/= ili akajifunze kutofanya uzembe tena.
@joshuajacob94874 жыл бұрын
Mkuu unafanya kazi nzuri sana ubarikiwe
@athumanomary11715 жыл бұрын
Ewe mwenyez MUNGU endelea kuwasimamia vyema wakuu wetu wa mikoa na kuzidi kuziimalisha ayfa zao
@miriam57355 жыл бұрын
Nimejifunza kuwa ukiwa kiongozi hasira za nyumbani kwako unamalizia kwa wengine, naomba viongozi wote wenye roho mbaya muishi milele ili mtutese vzr n amkifa tuwakute na kazi zenu
@hubertgerishon24015 жыл бұрын
Sheria ipo pale Pale
@bahatiswago10275 жыл бұрын
Halafu huyu jamaa inaonekana chapombe
@humphreysamson65615 жыл бұрын
Mti wenyewe mmoja ingekuwa msitu je xo ubinadamu mambo mengne siyo kila kitu mbka media
@chiefnorbertkangalu14035 жыл бұрын
😅😆😅😆
@williamemmanuel77865 жыл бұрын
Ingekuwa hata miti kumi huyo jamaa angenyongwa
@bittostar35245 жыл бұрын
Hivi Tabora iko nchi gani??
@anuaryally61774 жыл бұрын
Ipo tanzania ila kwavile wewe mkimbizi sawa sawa kuuliza unataka kujua na sisi raia tunakujulisha ni mkoa wa tanzania
@user-mb9ti3jc7g4 жыл бұрын
wewe hujui tabora ndio tanzania 0
@hemedabdul94954 жыл бұрын
Toronto 🤣🤣🤣
@makulazomorice37665 жыл бұрын
Anagaka kadi original ya gari 😁😁😁 linataka lipigwe mnada nn
@boniphacetabu29035 жыл бұрын
Kama limekufurahisha bango la Gari limeandikwa "pambana na hali yako" Gongalike
@lotimwansule50174 жыл бұрын
Huyo mkuu wa mkoa apunguze ukali sidhani huyo Dreva Kama alifanya kusudi wamsamehe
@rashidyahya57275 жыл бұрын
Kazi nzr my friend mpangala
@kingwatabata42305 жыл бұрын
Mtanzania unaesema mwanri anaonea, Nenda kakanyage mti mdogo China afu uje unambie wamekufanyaje! Nilazima tuheshim kilakitu kilichopo sio uambiwe
@latiphzimbwe50295 жыл бұрын
Sifa za kijinga
@samirarsan20245 жыл бұрын
sasa china ni sawa sawa na Tanzania wewe vip?
@samirarsan20245 жыл бұрын
sasa china ni sawa sawa na Tanzania China ni nchi inayoongozwa by laws kule ata kiongoz wa juu ukifanya ubadhilifu, ufisadi unayongwa hawaangalii cheo wanafata sheria Tanzania ni nchi inayoonea wanyonge tu hakuna ufuataji wa sheria
@bahatiswago10275 жыл бұрын
Yani wewe box kabisa usipende kuiga nchi za watu ndio maana mmeiga mpaka ushoga
@danielmwampepu39345 жыл бұрын
King wa tabata lakini we huon kam nibahat mbaya
@Unclerammaschannel5 жыл бұрын
Mfinanga njoo panda miti kata mti kazi kweli kweli wata elewa tu
@abdillahimahamed18145 жыл бұрын
Ajali ni ajali...haina Haja ya kuzuia gari...kisa mti....utakua unazuia uchumi....ni bora apewe adhabu ya kupanda na kumwagilia....siyo kuzuia gari.....Haifa bana...ni ajali
@keila45214 жыл бұрын
I like the punishment and they are also trying to discourage destroying trees and uphold afforestation. muhimu.. Very good of mheshimiwa Mwaniri
@mageuzimwampamba28555 жыл бұрын
Kaeni na mkoa wenu... Manyanyaso mengi utafikiri yeye sio binadamu...
@makamenyikombo42205 жыл бұрын
Kwe kabsaaa yan nchi hii mti una haki kuliko binaadam...
@samkaranja45693 күн бұрын
Hii inawezekana huko Tanzania 2 lakini hapa Kenya woiyee shida tupu
@bwajerisangi58425 жыл бұрын
Sio vzr lakini hicho kitu nimemusikiliza vibaya Sana Ina maana leo. Kigoma ni nchi nyingine
@singujoseph28965 жыл бұрын
Huyu rc noma sana,Huyu akiwa makamu wa raisi,Magu raisi ,majaliwa wazir mkuu,daa timu inakamilika
@flova70222 жыл бұрын
Utateseka Hadi wewe...pesa itakua ngumu kitaaa xn
@ruthleonard29584 жыл бұрын
😂😂😂😂😂eti nampigia jirani yangu,watu wake wametoka kwao wamekuja kutuvunjia Miti......
@alphamwasakyen76965 жыл бұрын
Hatari tabora nimeipenda mkuu wetu wa mkoa
@danielmwampepu39345 жыл бұрын
Alpha Mwasakyen hana lolote huyu asubili so mdaa mungu atamuonesha kuwa yy ndiye mwenye sifa
@edwinelias85545 жыл бұрын
Wanalo wamwangilie maji kuanzia kiprefit mwanzo load mpka bank ya NBC duh wiki nzima
@mctidohondoa16525 жыл бұрын
Hataree hvi huo mti bei gan hizi mb zetu hazitoshi kulipa
@bockernyarusahi36555 жыл бұрын
Bila sheria kufuatwa,hiyo miti haiwezi kukua na Watu wengi wanadharau miti ila hawajui kazi yake ni ngumu hadi kufikia hicho kimo,na ikiwa sehemu yenyewe ni kame,Rc yupo sahihi kabisa,bila uangalizi wa karibu hiyo miti haiwezi kukua kamwe.
@hisanmwakijungu105 жыл бұрын
ILI NI FUNZO KWA WENGINE,, NYIE MNAO MPINGA NI WAPUNGUFU WA AKILI
MWAMBIE TV wew ni kichwa maji, inaonyesha ata elimu yako ni ndogo kichwani,,,, na utakufa na umaskin wa akili
@robertplasidus51794 жыл бұрын
Man unatengeneza nchi gan.. we unahis kila siku utakuwa sahihi 2?
@erastusnjue95344 жыл бұрын
Robert Plasidus stupid
@godfreygozbert49734 жыл бұрын
Kazi nzuri xana
@subzzero55853 жыл бұрын
Nimelipenda gari lilivyomktaa dereva
@frankvianey24388 ай бұрын
Hahahahaaaa
@frankshegga42974 жыл бұрын
unapenda sifa kwan kila unachofanya lazima waadixhi wawepo
@athumanially78234 жыл бұрын
Yani kwa staili hii huyu mzee akipewa urais maisha yatakua magumu sana
@AyubuNgubi9 ай бұрын
😂😂😂😂😂❤❤❤
@sarahmollel54772 ай бұрын
Hivi kumbe ni Hako kamti.mzee presha juu.mfinanga Hana bahati.baba mkwe I salute u
@makangeomary80525 жыл бұрын
Hahhh,et "Akaukosa kosa sio..."
@yahayamkone40405 жыл бұрын
Safii Sanaa mzee wangu
@elienezarumisha99965 жыл бұрын
Mtu kabeba mbao bado tena anavunja miti midogo...hyo Sheria ipo hata nchi nyingne kwamfano China ukigonga mti faini yake usiombe
@samirarsan20245 жыл бұрын
sasa china ni sawa sawa na Tanzania China ni nchi inayoongozwa by laws kule ata kiongoz wa juu ukifanya ubadhilifu, ufisadi unayongwa hawaangalii cheo wanafata sheria Tanzania ni nchi inayoonea wanyoge tu hakuna kufuata sheria
@elienezarumisha99965 жыл бұрын
@@samirarsan2024 Hzo Sheria mdogo Sanaa, ni vile wabongo hatujali,
No hzo ni zle mamb za kupuuza mambo madogo. Ss hua tunadharau hyo ndo safii
@BigZhumbe5 жыл бұрын
Si aliambiwa lakini? Kama kuna mti nyuma
@salimmohamed6945 жыл бұрын
Kweli sio ubinadam ...
@nellywizz96315 жыл бұрын
Aliambiwa ni dharau tuu
@jacquelineadrian11124 жыл бұрын
Kitu cha makusudi unasema sio ubinaadamu kwahiyo dharau ndo uninaadamu
@ujanjamedia78135 жыл бұрын
Mhh sasa ukipita tabora lazima uwe na adabu 😅😅😅😅
@garmawatown16945 жыл бұрын
Hapo mzeee umechemka baba mana vitu vyingine vinaa malizika kibinadamu
@asiliyakechuma43195 жыл бұрын
Garma Wa town ww upo wp muxoma nn
@bahatiswago10275 жыл бұрын
Msimlaumu inaonekana ni ulimbukeni wa uongozi
@salumharuna3385 жыл бұрын
Duh kazi ipo😂😂
@dominickalume28915 жыл бұрын
Dudu LA yoyoooo🤣🤣🤣Sema Wabongo mnapendaga sana Sifa I say...haya MilardAyo#AyoTv##Vidovidoxmtuwanguwanguvu•√
@jonaselisha32174 жыл бұрын
Njoo huku kwetu ,, umkoromee dreva kama ajakupiga ndole hilo nigari kubwa sio TeX.
@samatafelix67305 жыл бұрын
mzee noma Sana 😁😁
@maase202310 ай бұрын
Safi Kisha badae sukuma ndani tu
@shabaazbikorwa25805 жыл бұрын
Uyu jama mshamba mti ndio tatizo kweli? Viongozi wa mihemuko kwani ajali sinatokea na kuusu maswala ya ubaguzi kigoma pia ni Tanzania kweli Uyu jama ni fala
@faustinedeogratias43375 жыл бұрын
Mbona we pia umecoment kwa mhemko
@choleboytz5 жыл бұрын
Hapana Mkuu huyo ni mwanadam na kila mtu huwa anakosea ni jambo la kawaida sana maana hata ulipolipanda ulilibunja mahali halikushuka mbinguni so ni vyema ukatumia hekima ya kimungu pia sio kila wakat mtu yupo sahihi mimi nakukibali sana ila kwa hili nooooooo hujatenda haki kwa kweli umekosea sana
@vincentauxerbius75545 жыл бұрын
Duuuuh kisanga kanyea debe mtu kudharau vitu vya huyu rc.......like hapo sote tunawajibu wa kutunza mazingira
@ramadhanmahongole56632 жыл бұрын
Hiyo ndiyo serikali ya Magufuli 😆😆😆😆😆
@salumusizya45455 жыл бұрын
We'are behind on u brother
@salmaomary21005 жыл бұрын
Mfinanga yuko wapiiii
@jimmykabila41635 жыл бұрын
Mze acha roho mbaya ajafanya makusudi
@busyladyfashion5825 жыл бұрын
uho ni uonevu sio maisha ktk utendaji uho si utendaji bali ni kutumia madalaka vby
@prosperjuma9055 жыл бұрын
Lofa kweli wewe. Kuna uonevu gan hapo? Kusema sheria ifuatwe?
@gulinjaantony66784 жыл бұрын
Sheria ifuatwe na yeyote,,dereva ana makosa hapo,,,shida sisi tunachukulia poa kila jambo
@venstonvedasto5 жыл бұрын
Funga mti na kamba utarudi katika hali yakee banah alaf bahati mbaya banah sio vzr nyie mnaojiita washirikishi sjui mambo yalikuwa ya kuishia hapohapo lkn kiki tu za media tu... hatuji huko mamae zenu kumbe kugonga mti unaenda kituo cha polisi utaskia uking'oa jani la mti pia unakamatwa 😂😂😂😂
@naomyalex58594 жыл бұрын
Kiukweli mm kama mwanamazingira ninajua wengi wanaongea lakini tutunze mazingira ambayo ndio uhai kufikia muda flani mvua zitaongexeka kwasababu ya kuweka mazingira vema kwa kuoanda miti kwetu wanamazingira tunaongozwa na sharia
@philipkomba55255 жыл бұрын
hahahaha yaan dereva anataman angegonga kunguru kuliko mti
@erickjulius18585 жыл бұрын
Ifike wakati tufanye kazi na tumuogope Mungu
@nickalreadyknows4 жыл бұрын
Erick Julius kivipi kwamba ameonewa au
@mohamednyenyema9975 жыл бұрын
Safi sana
@frenkingonyani10865 жыл бұрын
Hunnakili duniani hujui kama tunapita tu
@mohamednyenyema9975 жыл бұрын
@@frenkingonyani1086 hongera ww mwenye akili
@georgiusgotifrid30745 жыл бұрын
Fikiri bila huo mti mbao alizobeba hasingepata
@theroots27435 жыл бұрын
Big up mwanri hata sisi tulokueko huku America tunayaona dereva anavyouogopa mtu au mti kwa ufupi dereva uiogope sheria.huku mwenye gari anamkwepa mwenye baskeli na anamuogopa lkn huko mkimkosa mwenye baskeli unamtukana matusi ya aina zote
@younggeneration79825 жыл бұрын
Duh Ndo ujinga huo kuna mti gani apo mpaka Lori zizuwiwe shanz kbs
@godwinkileo77025 жыл бұрын
Hahaha
@mathiasmagesa83085 жыл бұрын
Mnatoka kigoma kuja kutuharibia miti
@immasanga57135 жыл бұрын
Anapambana na Hali yake dereva leo 🙏🇹🇿✔️
@barakamweta99584 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa huyu yuko safi sana, wengine mnafanyanini? Raisi umechaguwa mtu, safi, muweke uwaziri Raisi. Atakusadia,
@kenybenjiz78505 жыл бұрын
Kaingia kwenye 18 ya Rc huyooo 😂😂😂
@sarahmollel54772 ай бұрын
Watoto wake na make wanakula burudani jaman.
@simonnembomadola75125 жыл бұрын
Aisei ila sawa tu wawe makini
@issaabdi91294 жыл бұрын
Kwa kwel binadamu ukosea na mkuu wa mkoa hakutumia hekima. Sasa kumtia adhabu kaka wa watu na ukiangalia ana majukumu ya kifamilia i
@yusuphahmed55725 жыл бұрын
Iyo ndo TORONTO 😂😂
@saadsalum32535 жыл бұрын
Huyu jamaaa anataka sifa mti tu hivo je mwanao ungemfanya nini sio uwongozi huo
@emmaprotv10815 жыл бұрын
Anazingua tu huyu kiki tu hizi
@otmarykiowi41325 жыл бұрын
Acheni utetezi wa kijinga, watu wameteseka kumwagilia mti mpaka umefikia kimo alafu mtu anavunja kirahisi tu et bahati mbaya. Lazima sio wazawa wa tabora nyie
@kadashizo39735 жыл бұрын
kwanza eleza vizuri
@emmaprotv10815 жыл бұрын
Sifa na kiki hizo mti tu ndo kuwaka hvyo wewe fanya umlipishe tu bei gani sio kuwaka hivyo akha
@danmanga43425 жыл бұрын
unapo mfanyia mwenzako mabaya kumbuka nawe ipo ck utafanyiwa pia kumbuka kuwa yy n mhangaikaji jamani na mti hajaugonga makusudi
@christophertarimo88774 жыл бұрын
The legend
@muganyizikamafa35555 жыл бұрын
Hahaha... Shikamoo Mkuu wa Mkoa
@lukadelik36525 жыл бұрын
Gari na huo mti unasamani gani
@Rogasiandesmond65 жыл бұрын
Mpangala weee, kamata weka ndani
@geraidjastini9653 Жыл бұрын
Simba
@habari33215 жыл бұрын
Mi narudi Tanzania😰😰😰😢😢😢😢😢😢😢
@roserichard53273 жыл бұрын
Angekuja tu muhusika mkuu wa mazingira msimuingizie kost mkuu wa mkoa ni pesa nyingi jaman, mafuta, eeeh ad kamanda
@francismatuta19844 жыл бұрын
Safi sana mzee baba rc
@paschalmahonajulius35305 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 dereva soma hiyooo kwenye ramani ya barabara
@suramagesa90564 жыл бұрын
Mh,jpm ona utendaji wa Rc Tabora!,hakika ni mfano wa kuigwa.Ama kweli mtu huyu ni mzalendo wengine waige kwake kwani muda wa kubabaisha haupo tena wala kupiga dili
@frankkiondo42274 жыл бұрын
Kwann umestafu mkuu wew ni kiboko yao
@lukadelik36525 жыл бұрын
Kwanink usimpe faini kavunja makusudi mkuu was mkoaaa unakosea.
@godwinkileo77025 жыл бұрын
Saaana
@ibrahimthadeo85005 жыл бұрын
not fair
@bakarymsumary3941 Жыл бұрын
Gari inamkataa dereva,het PAMBANA na HALI YAKO
@doreenkahunde31864 жыл бұрын
Hmm jamani?
@roserichard53273 жыл бұрын
Tujifunze delegation
@mtemvutv64065 жыл бұрын
Tabora pamoto me sji huko na gari maisha
@mayungarichard74435 жыл бұрын
Hatukutaki😃😃😃
@abuusufian65065 жыл бұрын
Hahahah 😂 😆
@kesterkanyala77185 жыл бұрын
OO HOOO...!! SUKUMA NDANI...!!DHARAU HIZI,HATUTAKI HAPA KWETU..TABORA..'MNANIMALIZIA MITI YANGU'..?..OTESHA MINGINE NA UKAFANYE USAFI MAENEO YA ""MAENEO"" YA RELI.👏👍👋
@tigocompany28245 жыл бұрын
Kazingua ...TYU UYO RC KAwa comedy ..online ...
@masoudyrashidy90414 жыл бұрын
Uongozi ni mtihani huko ni kuwadhalilisha hao wanyonge wa mungu tuuu lkn yanamwisho