Kama umesikia anao cheza nao cha ndimu gonga like🤣🤣🤣🤣
@muniraahmed6245 жыл бұрын
Huyu ni miongoni mwa wakuu wa mikoa bora zaid hapa nchini. Hongera sana baba
@kapesekapese89955 жыл бұрын
Kweli munira
@patrickKitambo5 жыл бұрын
aisee wewe ni mrembo, hongera
@griffinsomondi74225 жыл бұрын
Ni Bora kwel, Ila apunguze Maigizo na sifa sizizo kuwa na ukwel
@kenethraphael69205 жыл бұрын
Kwel
@geofreymilinga29655 жыл бұрын
Uyo nigavana wa dunia
@kimwerimwerondo7085 жыл бұрын
"Habari kamili Dar es salaam" Fukua fukua beba Kiroba ondoka piga maji sanaa kama umeskia hizo like hapa🤣🤣😂😂😂
@chakkasadick60914 жыл бұрын
Hii comedy jmn nakukubal mkuu mkoa Wang home tbr manyema one love
@fanbullalukasa4865 жыл бұрын
Eeeeehee mama yangu alisema utavunaulichopanda!!!!! duuuh huyu mkuu wa mkoa ni kiboko,karibu mkoa wa songwe!
@bernardchibwana19075 жыл бұрын
napenda sana huyu mzee, mungu ampe maisha marefu ma utendaji bora wa kazi yake.
@kijangapeter51354 жыл бұрын
Hahaha Huyu dingi hapendi undezi kudadeki,,kuna huyu na yule wa Simiyu ni noma sanaa
@dismasgerald34972 жыл бұрын
Mwisho wa kunukuuu😂😂😂😂🔥🔥🔥👏👏👏
@edwinelias85543 жыл бұрын
Tasfirii ya mshenzii nimeisikia 2022😂😂😂
@aizackkajika50864 жыл бұрын
Aisee huyu mzee nni Raha lakin anapiga kazi kinoma eti💪
@tumabhay85764 жыл бұрын
Eenhh! 🤔 Majina ya washenzi wote. Heheheeeheee kwa SHANGAZIIIII. HABARI KAMILI DARESALAAM.!
@simbarajabu41575 жыл бұрын
Asante mheshimiwa rais kwa kutupa mkuu wa mkoa safi kabisa, yaani huyu jamaa tunampenda sana
@RashidRashid-nc8hq5 жыл бұрын
Huyu jamaa aki resign akuje Kenya tutampigia kura😀😀
@Giftarrowfashion5 жыл бұрын
Tupo pamoja hapa na Wakali wa kuunda buti za jeshi,Travolta,viatu vya shule,viwekea siraha(gun holster) n.k kutoka dodoma. Tupate Facebook kwa Jina GIFT FASHION,whtsup 0683204206,Istagram-giftfashiontz
@dicksonesmfutakamba43925 жыл бұрын
Hongera kaka
@shanigadau93384 жыл бұрын
Mzee namwelewa xana!
@OmanOman-v2gАй бұрын
Nakuelewa sana
@Mbewevunjabei5 жыл бұрын
Gonga yako like ya nguvu kwa huyu Dingiiiii😂😂😂😂😂
@saleheinnocent76365 жыл бұрын
Comedy nyingi ujumbe unaingia Mzee Baba Nouma sana😂
@ngabopro5 жыл бұрын
Kama umeona Pamekuwa Pa Gumu,Ishia,Beba Begi yako.kwanza Begi Huna,Marlboro Tumeshapiga Marufuku🤣🤣🤣🤣🤣.
@kivuakyoo2264 жыл бұрын
Me nampenda bure huyu mkuu wa mkoa wa tabora kama umeona nakuskia umeota kipara na bdo unaitwa beby gonga like za kushatoo
Radio ya mkulima ni ya zaman sana ikikataaa kuongea piga Kofi moja utaskia...Habari kamili dar es salaam
@idrisaabdallah38242 жыл бұрын
Undava undava undava
@ابوعبدالرحمن-س5ز3ض5 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa tabora Rc anastahili kuhamishwa mkoa wa daresalaam kazi nzuri unayoifanya tunataka ufundishe Rc makoda kazi kama yako tunakuomba magufuli ufanye hivyo
@fatmahassan91535 жыл бұрын
Habari kamili dareslam baada ya kupiga kofi👌
@mcmpomaonlinetv34835 жыл бұрын
Fatma Hassan ha ha
@Emmanuel-m3t3 ай бұрын
Chandimu kama mmesikia mzee wa weka ndanii
@castoryondani12144 жыл бұрын
mama yangu alinambia utavuna ulichopanda
@mwakisukuli21244 жыл бұрын
Hahaaaa nakukubari kamanda
@boniphacelasmah57172 жыл бұрын
Namkubari mzeee huyu ananiongeza sku
@filbertkapama88245 жыл бұрын
Marboro hamna beba sandarusi😂😂😂😂😂😂😂😂
@gabrielmiatus38862 жыл бұрын
UNDAVA UNDAVA 😁😁 nani kaskia
@dizzboss75264 жыл бұрын
Eti redio ya zamani ikigoma kulia piga kofi utasikia habari kamili Dar es salaam
@lupironewstv46458 ай бұрын
Hahahah😂😂😂
@chuihessen35043 жыл бұрын
mzee tunaomba ugombee urahisi
@amosmaiko55235 жыл бұрын
Safii kabsaa
@yusuphpaulwaryoba83165 жыл бұрын
Hahahahahahahahahahahahaha unanifurahisha sana kiongozi unachapa kazi sana
@ngulathfundikira42055 жыл бұрын
Safi sana my Tabora RC
@burhan_dumalo5 ай бұрын
kwan huyu jamaa anaongea mada kuhusu nini??😂😂😂😂😂
@munjy11tutorials2 ай бұрын
Hivi huyu jamaa kaishia wapi? Au anko Magu alipokufa kaenda nae mbinguni?
@godfreykirway43245 жыл бұрын
Hapa ukija kumsikiliza huyu jamaa,,uje na mbavu za ziada na umeshiba vizuri!maana atakuvunja tu mbavu
@emmanuelmunanka61375 жыл бұрын
Hiv how comes watu huwa hawachek😂..ila huyu mzee ahamie dsm tu
@najmagudeh2035 жыл бұрын
Nakupenda mnoo
@yohanabundala91625 жыл бұрын
Mikoa iliyobahatisha Wakuu wa Mikoa ni Tabora, Simiyu, Mwanza na Iringa. WAKUU wa mikoa na wakuu wa Wilaya Wanawake Mmepoa sana Lazima tuongee ukweli jamani. WANAUME tutabaki kuwa juu cku zote,
@marthapius53615 жыл бұрын
yohana bundala
@hasinaafrica1495 жыл бұрын
Huu utalatibu ungeenda na dar es laam. Maana kuna wezi hatari
@lamecktheonest2255 жыл бұрын
Hasina Africa makonda alianzisha wakamzodoa wee
@saidylikangasimba65185 жыл бұрын
Magufuri mlete mwanry dar atunyooshe
@agathathobias86905 жыл бұрын
Said tutaandamana watuachie mkuu wetu ananyoosha tbr
@bakarimashi8487 ай бұрын
Habari kamili daslaam..😂
@markmillian47344 жыл бұрын
mkuu wa mkoa safi San krb na ruvuma tupate changamoto
@adelitusleonce42815 жыл бұрын
Dah raha sana
@ejensonjohnson26892 жыл бұрын
Redio ya mkulima daah mecheka hatarii🤣🤣🤣🤣🤣
@deodatusdeogratius49105 жыл бұрын
habari kamili da ess salaam
@eliaslema92714 жыл бұрын
Habari kamili dar es salaam 😂 😂 😂
@mohammediallykaboza58625 жыл бұрын
Mh aise we mh mungu akulinde maana hapo tabora niliisha wahi kuibiwa sim steshen
@elizabethmabula1015 жыл бұрын
Mimi pia niliibiwa nikiwa nimelala hotel, Sina hamu
Marlboro tushapiga marufuku, beba sandarus...we baba noma
@deadcrush5 жыл бұрын
Bangi..... Tamu Sana.
@namlessnamless12075 жыл бұрын
kama mama yako anavuta basi tambuwa kuwa siyo kila mtu anavuta
@deadcrush5 жыл бұрын
@@namlessnamless1207 Ujuzi Na Thamani..
@godfrey39265 жыл бұрын
Huyu mzee hatari..🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mmasipeter41574 жыл бұрын
Jmn kama siku 😂 yako haiko pw we msikilizee huyu jamaa utakuja kunisimuliyaaa
@lupironewstv46458 ай бұрын
Dah.😂😂😂😂
@ngulathfundikira42055 жыл бұрын
Naona mkuu yupo kwenye kata yangu kabisa isevya
@mwamvuajumanne60905 жыл бұрын
mwanri unaua huku mbavu jaman
@kilimanjaro77international26 Жыл бұрын
Ndio dawa undava undava tuu, hawa ni wahuni wa zamani eanajua janja ya nyani yote
@bjzee19815 жыл бұрын
Hahaha bebiiiiiii. Bebi mwenyewe ana miaka 75 na anae mwita ni 25. Sasa aijui nani bebi
@thomasmitabile7414 жыл бұрын
Naiona Musoma nikiwa Tabora
@khadijadiwani53305 жыл бұрын
Uyu mzee balaaaa.?
@furahinimtunguja26685 жыл бұрын
Yaani huyu Mzee Duh napenda sana
@abdukalembo7885 жыл бұрын
Undava undava tu nani amesikia hilo neno
@kagomabhihusi3915 жыл бұрын
Mmhh,Unatisha mzee!!!!!!
@patsonmwalwiba34235 жыл бұрын
Namkubali Sana huyu kiongozi chapakazi baba
@obedimwakagali77553 жыл бұрын
Huyu jamaa kilasiku nanunua mb ananifirisi
@jitubovu681 Жыл бұрын
Huyu mzee hatar namkubali
@uwingeneyeshadia76975 жыл бұрын
Mwanangu utavuna ulicho panda mwisho wa kunukuu😂😂😂😂 uyu baba nampenda mm hakuna jiwe litabaki kuwa juu😂😂😂😂
@daemuularmmy52805 жыл бұрын
ghaiiii huyu alikuwa capten kweli
@jayjay43135 жыл бұрын
Huko Tabora nahisi akipita mtaani watu wote baru, mwenye uvungu wa kitanda haya, ndani ya shimo la choo jifiche, juu yabati ka mwewe pandaa. Mana ni mndava anafanya undava kwa kwenda mbele. Hao raia kama hawajanyooka mpaka leo hii basi kweli nao ni manunda tena manunda konkodi. 😁🤭😁🤣
@jeremiahmasunzu34373 жыл бұрын
Teuzi Bora zaidi kwa wakuu wamikoa wakati wa magufuli....Mwanri anastahili Uwaziri.Mfno TAMISEMI
@jameschubiri94534 жыл бұрын
Natamani upangiwe mkoa wa Mara
@hojamathias99895 жыл бұрын
😂😂😂habariii kaaamili daaslaam
@exaudswai Жыл бұрын
Huyu alizani nchi yake akujuwa wakati ukuta alikabiliwa rungu
@salehsuleiman12185 жыл бұрын
Hapa ni breek
@kitovagvankiwele34475 жыл бұрын
Undava undava. beba hata kisandrus😂😂😂
@joaswilliam80995 жыл бұрын
piga kazi kaka tunakuaminia
@fadhilsanga28475 жыл бұрын
Alie sikia habari za saaa agonge like twende sawa
@stanleyfocas82505 жыл бұрын
Oyooooooooo kzi kzi
@suleimanamiri43212 жыл бұрын
..miuziki
@silahimumsuya96645 жыл бұрын
Good
@abubakarinurdini1135 жыл бұрын
Mkuu ntaonekana nacheka cheka
@akimmbwego7975 жыл бұрын
Mwanri forever
@eliasjohn10725 жыл бұрын
Huyu dingi angekuwa hana kaz cjui ingekuaje huko mtaan
@teamallyracing17805 жыл бұрын
Angekua Mzee mnoko
@vailethmwenda74415 жыл бұрын
Nimecheka mimiii
@selemaniabdallah26214 жыл бұрын
Mwanriiii
@bebisheni43805 жыл бұрын
kumbe unajua kuimba
@mussataliye78155 жыл бұрын
Fukuafukua nimekukubal RC
@josepapaa6835 жыл бұрын
Undava undava
@mariamfaicalhassan28905 жыл бұрын
Piga kazi baba
@mwamvuajumanne60905 жыл бұрын
uwiiiiiiiiii
@sifamwakaniemba4435 жыл бұрын
Eeeet mawatu na mamvi wataitwa beib kweli Rc
@Bulayampuya11 ай бұрын
Nchi inatakiwa wakuu mikowa kama huyu hana masihara kazin
@lucasmhagama81665 жыл бұрын
Eti ipige tap utasikia habari kamili Dar Es Salaam