"ANDIKA 'WASHENZI' WOTE NI UNDAVA UNDAVA, JIWE HALIKAI" MWANRI AKILIAMSHA DUDE

  Рет қаралды 400,943

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 185
@felixmauk4487
@felixmauk4487 5 жыл бұрын
Kama umesikia anao cheza nao cha ndimu gonga like🤣🤣🤣🤣
@muniraahmed624
@muniraahmed624 5 жыл бұрын
Huyu ni miongoni mwa wakuu wa mikoa bora zaid hapa nchini. Hongera sana baba
@kapesekapese8995
@kapesekapese8995 5 жыл бұрын
Kweli munira
@patrickKitambo
@patrickKitambo 5 жыл бұрын
aisee wewe ni mrembo, hongera
@griffinsomondi7422
@griffinsomondi7422 5 жыл бұрын
Ni Bora kwel, Ila apunguze Maigizo na sifa sizizo kuwa na ukwel
@kenethraphael6920
@kenethraphael6920 5 жыл бұрын
Kwel
@geofreymilinga2965
@geofreymilinga2965 5 жыл бұрын
Uyo nigavana wa dunia
@kimwerimwerondo708
@kimwerimwerondo708 5 жыл бұрын
"Habari kamili Dar es salaam" Fukua fukua beba Kiroba ondoka piga maji sanaa kama umeskia hizo like hapa🤣🤣😂😂😂
@chakkasadick6091
@chakkasadick6091 4 жыл бұрын
Hii comedy jmn nakukubal mkuu mkoa Wang home tbr manyema one love
@fanbullalukasa486
@fanbullalukasa486 5 жыл бұрын
Eeeeehee mama yangu alisema utavunaulichopanda!!!!! duuuh huyu mkuu wa mkoa ni kiboko,karibu mkoa wa songwe!
@bernardchibwana1907
@bernardchibwana1907 5 жыл бұрын
napenda sana huyu mzee, mungu ampe maisha marefu ma utendaji bora wa kazi yake.
@kijangapeter5135
@kijangapeter5135 4 жыл бұрын
Hahaha Huyu dingi hapendi undezi kudadeki,,kuna huyu na yule wa Simiyu ni noma sanaa
@dismasgerald3497
@dismasgerald3497 2 жыл бұрын
Mwisho wa kunukuuu😂😂😂😂🔥🔥🔥👏👏👏
@edwinelias8554
@edwinelias8554 3 жыл бұрын
Tasfirii ya mshenzii nimeisikia 2022😂😂😂
@aizackkajika5086
@aizackkajika5086 4 жыл бұрын
Aisee huyu mzee nni Raha lakin anapiga kazi kinoma eti💪
@tumabhay8576
@tumabhay8576 4 жыл бұрын
Eenhh! 🤔 Majina ya washenzi wote. Heheheeeheee kwa SHANGAZIIIII. HABARI KAMILI DARESALAAM.!
@simbarajabu4157
@simbarajabu4157 5 жыл бұрын
Asante mheshimiwa rais kwa kutupa mkuu wa mkoa safi kabisa, yaani huyu jamaa tunampenda sana
@RashidRashid-nc8hq
@RashidRashid-nc8hq 5 жыл бұрын
Huyu jamaa aki resign akuje Kenya tutampigia kura😀😀
@Giftarrowfashion
@Giftarrowfashion 5 жыл бұрын
Tupo pamoja hapa na Wakali wa kuunda buti za jeshi,Travolta,viatu vya shule,viwekea siraha(gun holster) n.k kutoka dodoma. Tupate Facebook kwa Jina GIFT FASHION,whtsup 0683204206,Istagram-giftfashiontz
@dicksonesmfutakamba4392
@dicksonesmfutakamba4392 5 жыл бұрын
Hongera kaka
@shanigadau9338
@shanigadau9338 4 жыл бұрын
Mzee namwelewa xana!
@OmanOman-v2g
@OmanOman-v2g Ай бұрын
Nakuelewa sana
@Mbewevunjabei
@Mbewevunjabei 5 жыл бұрын
Gonga yako like ya nguvu kwa huyu Dingiiiii😂😂😂😂😂
@saleheinnocent7636
@saleheinnocent7636 5 жыл бұрын
Comedy nyingi ujumbe unaingia Mzee Baba Nouma sana😂
@ngabopro
@ngabopro 5 жыл бұрын
Kama umeona Pamekuwa Pa Gumu,Ishia,Beba Begi yako.kwanza Begi Huna,Marlboro Tumeshapiga Marufuku🤣🤣🤣🤣🤣.
@kivuakyoo226
@kivuakyoo226 4 жыл бұрын
Me nampenda bure huyu mkuu wa mkoa wa tabora kama umeona nakuskia umeota kipara na bdo unaitwa beby gonga like za kushatoo
@lupironewstv4645
@lupironewstv4645 Ай бұрын
Kisandrusiiii😅😅
@AkleyChiwa
@AkleyChiwa 11 ай бұрын
Mzee wa kazi,apewe wizara ya ujenzi
@joharikashindye8655
@joharikashindye8655 4 жыл бұрын
Baba mzazi baba ukija simiyu itapendeza zaidi
@jumamahimbo683
@jumamahimbo683 4 жыл бұрын
Dah huyu jamaa kiboko😂😂😂
@mwanaisha522
@mwanaisha522 4 жыл бұрын
Daaaa umenikumbusha hiyoo redio 😆😆😆 niliwah fanya hivooo
@sadickchakka6350
@sadickchakka6350 4 жыл бұрын
Habar kamil dare salaam
@mwakinhosantos6307
@mwakinhosantos6307 5 жыл бұрын
Radio ya mkulima ni ya zaman sana ikikataaa kuongea piga Kofi moja utaskia...Habari kamili dar es salaam
@idrisaabdallah3824
@idrisaabdallah3824 2 жыл бұрын
Undava undava undava
@ابوعبدالرحمن-س5ز3ض
@ابوعبدالرحمن-س5ز3ض 5 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa tabora Rc anastahili kuhamishwa mkoa wa daresalaam kazi nzuri unayoifanya tunataka ufundishe Rc makoda kazi kama yako tunakuomba magufuli ufanye hivyo
@fatmahassan9153
@fatmahassan9153 5 жыл бұрын
Habari kamili dareslam baada ya kupiga kofi👌
@mcmpomaonlinetv3483
@mcmpomaonlinetv3483 5 жыл бұрын
Fatma Hassan ha ha
@Emmanuel-m3t
@Emmanuel-m3t 3 ай бұрын
Chandimu kama mmesikia mzee wa weka ndanii
@castoryondani1214
@castoryondani1214 4 жыл бұрын
mama yangu alinambia utavuna ulichopanda
@mwakisukuli2124
@mwakisukuli2124 4 жыл бұрын
Hahaaaa nakukubari kamanda
@boniphacelasmah5717
@boniphacelasmah5717 2 жыл бұрын
Namkubari mzeee huyu ananiongeza sku
@filbertkapama8824
@filbertkapama8824 5 жыл бұрын
Marboro hamna beba sandarusi😂😂😂😂😂😂😂😂
@gabrielmiatus3886
@gabrielmiatus3886 2 жыл бұрын
UNDAVA UNDAVA 😁😁 nani kaskia
@dizzboss7526
@dizzboss7526 4 жыл бұрын
Eti redio ya zamani ikigoma kulia piga kofi utasikia habari kamili Dar es salaam
@lupironewstv4645
@lupironewstv4645 8 ай бұрын
Hahahah😂😂😂
@chuihessen3504
@chuihessen3504 3 жыл бұрын
mzee tunaomba ugombee urahisi
@amosmaiko5523
@amosmaiko5523 5 жыл бұрын
Safii kabsaa
@yusuphpaulwaryoba8316
@yusuphpaulwaryoba8316 5 жыл бұрын
Hahahahahahahahahahahahaha unanifurahisha sana kiongozi unachapa kazi sana
@ngulathfundikira4205
@ngulathfundikira4205 5 жыл бұрын
Safi sana my Tabora RC
@burhan_dumalo
@burhan_dumalo 5 ай бұрын
kwan huyu jamaa anaongea mada kuhusu nini??😂😂😂😂😂
@munjy11tutorials
@munjy11tutorials 2 ай бұрын
Hivi huyu jamaa kaishia wapi? Au anko Magu alipokufa kaenda nae mbinguni?
@godfreykirway4324
@godfreykirway4324 5 жыл бұрын
Hapa ukija kumsikiliza huyu jamaa,,uje na mbavu za ziada na umeshiba vizuri!maana atakuvunja tu mbavu
@emmanuelmunanka6137
@emmanuelmunanka6137 5 жыл бұрын
Hiv how comes watu huwa hawachek😂..ila huyu mzee ahamie dsm tu
@najmagudeh203
@najmagudeh203 5 жыл бұрын
Nakupenda mnoo
@yohanabundala9162
@yohanabundala9162 5 жыл бұрын
Mikoa iliyobahatisha Wakuu wa Mikoa ni Tabora, Simiyu, Mwanza na Iringa. WAKUU wa mikoa na wakuu wa Wilaya Wanawake Mmepoa sana Lazima tuongee ukweli jamani. WANAUME tutabaki kuwa juu cku zote,
@marthapius5361
@marthapius5361 5 жыл бұрын
yohana bundala
@hasinaafrica149
@hasinaafrica149 5 жыл бұрын
Huu utalatibu ungeenda na dar es laam. Maana kuna wezi hatari
@lamecktheonest225
@lamecktheonest225 5 жыл бұрын
Hasina Africa makonda alianzisha wakamzodoa wee
@saidylikangasimba6518
@saidylikangasimba6518 5 жыл бұрын
Magufuri mlete mwanry dar atunyooshe
@agathathobias8690
@agathathobias8690 5 жыл бұрын
Said tutaandamana watuachie mkuu wetu ananyoosha tbr
@bakarimashi848
@bakarimashi848 7 ай бұрын
Habari kamili daslaam..😂
@markmillian4734
@markmillian4734 4 жыл бұрын
mkuu wa mkoa safi San krb na ruvuma tupate changamoto
@adelitusleonce4281
@adelitusleonce4281 5 жыл бұрын
Dah raha sana
@ejensonjohnson2689
@ejensonjohnson2689 2 жыл бұрын
Redio ya mkulima daah mecheka hatarii🤣🤣🤣🤣🤣
@deodatusdeogratius4910
@deodatusdeogratius4910 5 жыл бұрын
habari kamili da ess salaam
@eliaslema9271
@eliaslema9271 4 жыл бұрын
Habari kamili dar es salaam 😂 😂 😂
@mohammediallykaboza5862
@mohammediallykaboza5862 5 жыл бұрын
Mh aise we mh mungu akulinde maana hapo tabora niliisha wahi kuibiwa sim steshen
@elizabethmabula101
@elizabethmabula101 5 жыл бұрын
Mimi pia niliibiwa nikiwa nimelala hotel, Sina hamu
@robertigohe9338
@robertigohe9338 5 жыл бұрын
Kiasi ,pole pole kaka
@Mrsule255
@Mrsule255 2 жыл бұрын
Hapa utatembea undavaundava undavaundava undavaundava 😂😂
@johnsonjusto9564
@johnsonjusto9564 5 жыл бұрын
hakuna jiwe litabaki juu yajiwe
@anethmlakichristom3020
@anethmlakichristom3020 5 жыл бұрын
Marlboro tushapiga marufuku, beba sandarus...we baba noma
@deadcrush
@deadcrush 5 жыл бұрын
Bangi..... Tamu Sana.
@namlessnamless1207
@namlessnamless1207 5 жыл бұрын
kama mama yako anavuta basi tambuwa kuwa siyo kila mtu anavuta
@deadcrush
@deadcrush 5 жыл бұрын
@@namlessnamless1207 Ujuzi Na Thamani..
@godfrey3926
@godfrey3926 5 жыл бұрын
Huyu mzee hatari..🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mmasipeter4157
@mmasipeter4157 4 жыл бұрын
Jmn kama siku 😂 yako haiko pw we msikilizee huyu jamaa utakuja kunisimuliyaaa
@lupironewstv4645
@lupironewstv4645 8 ай бұрын
Dah.😂😂😂😂
@ngulathfundikira4205
@ngulathfundikira4205 5 жыл бұрын
Naona mkuu yupo kwenye kata yangu kabisa isevya
@mwamvuajumanne6090
@mwamvuajumanne6090 5 жыл бұрын
mwanri unaua huku mbavu jaman
@kilimanjaro77international26
@kilimanjaro77international26 Жыл бұрын
Ndio dawa undava undava tuu, hawa ni wahuni wa zamani eanajua janja ya nyani yote
@bjzee1981
@bjzee1981 5 жыл бұрын
Hahaha bebiiiiiii. Bebi mwenyewe ana miaka 75 na anae mwita ni 25. Sasa aijui nani bebi
@thomasmitabile741
@thomasmitabile741 4 жыл бұрын
Naiona Musoma nikiwa Tabora
@khadijadiwani5330
@khadijadiwani5330 5 жыл бұрын
Uyu mzee balaaaa.?
@furahinimtunguja2668
@furahinimtunguja2668 5 жыл бұрын
Yaani huyu Mzee Duh napenda sana
@abdukalembo788
@abdukalembo788 5 жыл бұрын
Undava undava tu nani amesikia hilo neno
@kagomabhihusi391
@kagomabhihusi391 5 жыл бұрын
Mmhh,Unatisha mzee!!!!!!
@patsonmwalwiba3423
@patsonmwalwiba3423 5 жыл бұрын
Namkubali Sana huyu kiongozi chapakazi baba
@obedimwakagali7755
@obedimwakagali7755 3 жыл бұрын
Huyu jamaa kilasiku nanunua mb ananifirisi
@jitubovu681
@jitubovu681 Жыл бұрын
Huyu mzee hatar namkubali
@uwingeneyeshadia7697
@uwingeneyeshadia7697 5 жыл бұрын
Mwanangu utavuna ulicho panda mwisho wa kunukuu😂😂😂😂 uyu baba nampenda mm hakuna jiwe litabaki kuwa juu😂😂😂😂
@daemuularmmy5280
@daemuularmmy5280 5 жыл бұрын
ghaiiii huyu alikuwa capten kweli
@jayjay4313
@jayjay4313 5 жыл бұрын
Huko Tabora nahisi akipita mtaani watu wote baru, mwenye uvungu wa kitanda haya, ndani ya shimo la choo jifiche, juu yabati ka mwewe pandaa. Mana ni mndava anafanya undava kwa kwenda mbele. Hao raia kama hawajanyooka mpaka leo hii basi kweli nao ni manunda tena manunda konkodi. 😁🤭😁🤣
@jeremiahmasunzu3437
@jeremiahmasunzu3437 3 жыл бұрын
Teuzi Bora zaidi kwa wakuu wamikoa wakati wa magufuli....Mwanri anastahili Uwaziri.Mfno TAMISEMI
@jameschubiri9453
@jameschubiri9453 4 жыл бұрын
Natamani upangiwe mkoa wa Mara
@hojamathias9989
@hojamathias9989 5 жыл бұрын
😂😂😂habariii kaaamili daaslaam
@exaudswai
@exaudswai Жыл бұрын
Huyu alizani nchi yake akujuwa wakati ukuta alikabiliwa rungu
@salehsuleiman1218
@salehsuleiman1218 5 жыл бұрын
Hapa ni breek
@kitovagvankiwele3447
@kitovagvankiwele3447 5 жыл бұрын
Undava undava. beba hata kisandrus😂😂😂
@joaswilliam8099
@joaswilliam8099 5 жыл бұрын
piga kazi kaka tunakuaminia
@fadhilsanga2847
@fadhilsanga2847 5 жыл бұрын
Alie sikia habari za saaa agonge like twende sawa
@stanleyfocas8250
@stanleyfocas8250 5 жыл бұрын
Oyooooooooo kzi kzi
@suleimanamiri4321
@suleimanamiri4321 2 жыл бұрын
..miuziki
@silahimumsuya9664
@silahimumsuya9664 5 жыл бұрын
Good
@abubakarinurdini113
@abubakarinurdini113 5 жыл бұрын
Mkuu ntaonekana nacheka cheka
@akimmbwego797
@akimmbwego797 5 жыл бұрын
Mwanri forever
@eliasjohn1072
@eliasjohn1072 5 жыл бұрын
Huyu dingi angekuwa hana kaz cjui ingekuaje huko mtaan
@teamallyracing1780
@teamallyracing1780 5 жыл бұрын
Angekua Mzee mnoko
@vailethmwenda7441
@vailethmwenda7441 5 жыл бұрын
Nimecheka mimiii
@selemaniabdallah2621
@selemaniabdallah2621 4 жыл бұрын
Mwanriiii
@bebisheni4380
@bebisheni4380 5 жыл бұрын
kumbe unajua kuimba
@mussataliye7815
@mussataliye7815 5 жыл бұрын
Fukuafukua nimekukubal RC
@josepapaa683
@josepapaa683 5 жыл бұрын
Undava undava
@mariamfaicalhassan2890
@mariamfaicalhassan2890 5 жыл бұрын
Piga kazi baba
@mwamvuajumanne6090
@mwamvuajumanne6090 5 жыл бұрын
uwiiiiiiiiii
@sifamwakaniemba443
@sifamwakaniemba443 5 жыл бұрын
Eeeet mawatu na mamvi wataitwa beib kweli Rc
@Bulayampuya
@Bulayampuya 11 ай бұрын
Nchi inatakiwa wakuu mikowa kama huyu hana masihara kazin
@lucasmhagama8166
@lucasmhagama8166 5 жыл бұрын
Eti ipige tap utasikia habari kamili Dar Es Salaam
Когда учитель вышла из класса
00:17
ЛогикЛаб #2
Рет қаралды 2,7 МЛН
I shouldn't be in the house  It's so embarrassing
00:22
Funny Parent-Child Videos
Рет қаралды 9 МЛН
Secret to sawing daughter in half
00:40
Justin Flom
Рет қаралды 33 МЛН
RC MWANRI AIBUKA NA OPERATION FUKUA FUKUA -" Nitapita Nyumba Kwa Nyumba"
7:05
RC MWANRI TENA - "Fukuza kazi wote, Weka Kwenye Lori Sukuma Ndani"
7:13
Global TV Online
Рет қаралды 255 М.
Aggrey Mwanri atakumbukwa kwa haya…
1:15
Azam TV
Рет қаралды 105 М.
"MZEE WA SUKUMA NDANI"  AJA NA MAPYA MBELE YA RAIS
4:53
KTV TZ ONLINE
Рет қаралды 71 М.
RC MWANRI Kasalimu AMRI kwa MAMA Huyu "Jifanye Unajukuna"
4:24
Global TV Online
Рет қаралды 175 М.
MANENO YA AGREY MWANRI 'YAMKAUSHA MBAVU' MAGUFULI "MAMBO NI BUM BUM"
4:56
Mtanzania Digital
Рет қаралды 1,9 МЛН