Makuma kweli hawa makelele mnatufundisha nini tuliowachagua fuck of
@dainesszuberyguii60407 жыл бұрын
mhuuu!!!!khaaaaa kazi ipooooo mbona mambo yanakuwaaaaa hiviiii mnatufundisha nini wananchi wenuuuu....
@kibasiwakibasi50707 жыл бұрын
Haiseee kama bungeni kupo hivyo ,mtaani je kupoje? wabunge badilikeni bwana aaah.
@rajabukashsf31575 жыл бұрын
hatar
@tukeimalinga15487 жыл бұрын
wapiga jani kuingia bungeni ndo madhara yake
@fmdmtewele16979 жыл бұрын
wabunge Wa upinzani si sehemu ya kutetea maslahi ya vyama vyao km walivo wabunge Wa chama tawala ,ni Lazima wasimame imala kuikosoa serikari pale inapokosea hilo wrote tunalijua.so wakati Wa kusema Ndio kwa kila kitu.
@JoyceKabula-in1sh28 күн бұрын
Watalipa ghalama naubabe wao
@tiktoktdmdynamo31004 жыл бұрын
Nimeona anasoma kitu kwenye simu kwa kuibia ibia ... kuna nn apo..... tutumie maji tiririka tu
@aidannzowa55026 жыл бұрын
Mfumo w chama kimoja kwa kivuli!
@aishadevid54636 жыл бұрын
Wanalipwa hela nyingi sana bila sababu za msingi na huku hawasaidii hata ombaomba wilayani kwao, me napendekeza Wawe wanalipwa laki tatu kwa mwezi zinzwatosha
@shahibuswalehe51016 жыл бұрын
kiukweli wapinzani mnakela utafikiri watoto bhnaaaa mnafanya mambo ya ajabu,tatizo mnakosea kitu kimoja madaraka hayaji kwa makelele
@ramsobeca95787 жыл бұрын
speak nimamlukiii katumwaaaaa
@twilumbakabelege34266 жыл бұрын
hivi jamani mie napenda kujua, bunge LA nyerere mkapa na mwinyi lilikuwaje labda litanifariji Mimi mbona mtandaoni kama siyaoni
@dicksonmrema75845 жыл бұрын
Ubabe unatawala lazima hoja zisikilizwe watu sio wapumbavu kupinga kitu
@rajabseleman17086 жыл бұрын
wabunge hawa hawafai kabisa nini mana yakupelekwa bungeni sioni mana ya upinzani
@charoharrison20775 жыл бұрын
Unaletaje mambo ya hijab kwenye tafrani ,aibu zako
@merryjonasani34526 жыл бұрын
Uwiiiiiiiiiiiii dunia simama nishukeeeee
@marychacha8257 жыл бұрын
waongee ccm tu haaaa nchii hii itabadlika upinzani wakiongoza
Wanaofanya hv hawatakii mema familia zao wajiheshimu tu
@bujiiclassic19645 жыл бұрын
Wapinzan mtakaaaa hvo hvo tyuuuu hamuwez kupata nje
@agneserasto98065 жыл бұрын
Toka hapo amemvua nani asheni mambo yenu ya hupuhuzi
@norbertluanda3515 жыл бұрын
Mnatupeleka wapi sasa mnakua kama drs la kwanza
@rafaelighambi26055 жыл бұрын
No longer at is
@simonkilonzi25756 жыл бұрын
watz kwn hko mumekwa kama huku kenya
@Msonjo7 жыл бұрын
sijui kiswahili Na sitaki kujifunza
@hafidhisuleiman21777 жыл бұрын
msiba
@allyngogomi86115 жыл бұрын
huyo nikukwanyua nahakokaguu kengine
@hamisichuma32706 жыл бұрын
hili bunge au uwanja wa fujo
@fanuelotto703111 жыл бұрын
wabunge wa upinzani wanashindwa kutumia nafasi kujitetea na kuionyesha nchi ni namna gani wanavyoweza kuisaidia. Badale yake wanatetea ugomvi. Bunge is not a War ground.Wabunge Jipangeni
@حسامالراشدي-د9ن7 жыл бұрын
Sasa wee unae sema wanao tetea ccm wanakurudisha nyuma unataka upae au fanya Kazi acha mambo weye