Sugu hizo ndo siasa nzuri, sio siasa za chuki na kupinga kila jambo kwa wenye akili umefanya jambo zuri kuheshimu mkuu wa nchi jeurijeuri kama za Heche ni utovu wa nidhamu, hata vitabu vya dini vinatuasa tuziheshimu mamlaka zilizowekwa maana mamlaka hizo zatoka kwa Mungu, kuanzia leo nakuheshimu Mh sugu kwa nidhamu uliyoionyesha mbele ya mkuu wa Nchi, safisaaaana
@maskinijeuri59435 жыл бұрын
HDM Innovation sawa kabisa mzee sugu
@jocenocha88465 жыл бұрын
Leo Sugu umetisha sana hizo ndio siasa nzuri duniani kote
@mwittaminoja46863 жыл бұрын
Tulie. Enda. Shule. Tunamunga. Mkono
@christophermlaponi5345 жыл бұрын
Ndiyo faida ya ujasiri! Ameongea vema, kwa heshima bila jazba !!
@mwaminifungo46655 жыл бұрын
huo ndo ustaarabu kaka sugu au Rais wa mbeya unastaili kua kua kiongozi wewe ni jasiri mungu atutunzie amani hii
@anjelangaiza62585 жыл бұрын
Mungu saidia icho kiongereo kiwe salama. Twakupenda sugu.
@fredreckmwakalinga34755 жыл бұрын
Mbunge gani wa ccm anaweza kuwa jasiri kama sugu kutoa hoja ?
@anuaryally61775 жыл бұрын
Huo ujasili wake angojee kikao kikuu cha wakuu wa juu ya chadema wakushughulikia wanaomuunga mkono rais kikiongozwa na mbowe
@wilsonjohn19195 жыл бұрын
Sugu /magufuli hapa kaz tu maendeleo hayana chama
@khalidgugu49645 жыл бұрын
Sugu Sugu, amehakikisha ubunge wake kuwa endelevu pale Mbeya #MVMP
@ammymhagama54835 жыл бұрын
Safii sana kamanda sugu ujumbe umefika wezetu wanaona kama upinzani niuadui kumbe ndio kioo chawatawala kujua wapi wanakosea wajisahihishe
@anganilemichael22835 жыл бұрын
Ameomba kazi gani hapo ayo au na wewe umeanza kama vimedia vingine kuongopa
@mwittaminoja46863 жыл бұрын
Yuko. Vizuri. Anajitambua
@shedyjr32275 жыл бұрын
Huyoo jama mwenye suti nyeusi alivyokimbia yani angeanguka ndoo angekomaa na kihere here chake
@khadeejaabdullah70835 жыл бұрын
Hongera sana sugu
@kwamemchauru41415 жыл бұрын
Asante sana kaka.. God Bless you always.
@juvenalymnyama7355 жыл бұрын
Ayo umeshakuwa mkuda kwa nn unakata sauti wewe au umeshakuwa kibaraka
@tolutolu29705 жыл бұрын
Ajaomba kazi. Ayo siasa inaaza kukupoteza bro. Juzi boni kakulalamikia Leo tena
@sekakigala36135 жыл бұрын
Kawa fala sana uyu
@charryrking93805 жыл бұрын
kama umekubari siasa ya sugu. gonga like hapa
@kusekwasita15765 жыл бұрын
Chadema wabunge bunge lijaro, sugu, jay haule lazima
@yasinmuona73355 жыл бұрын
Howo ndio uzalendo na adabu kwa mkuu wa nchi yeko
@djkaka55805 жыл бұрын
safi sana mh sugu hiyo ndo siasa hakika nimefu rahi sana mh rais atakuruhusu kuondoa mafindofindo ya kisiasa big up bro bravo!!!!!!!!!!
@kaspunerick56965 жыл бұрын
RAIS MaGUfuli uzinduzi wa barabara ya chunya
@rosezumba63185 жыл бұрын
Safi sana mbunge
@ireneemanuel95015 жыл бұрын
Sugu upo vizuri Sana umeongea point Sana Mimi ni mwana ccm ila umetisha wangu bigp san
Kwa maulizo yangu ni nani anae takiwa kuongea shida Za wananchi zote ???maana raisi kaenda kuongea na wananchi na msheleshaji ana mbania mda kisa watoto kucheza nyimbo Za kusifia jamani
@eng.danielwinani74395 жыл бұрын
umewazd kete akna lissu
@mofathool41585 жыл бұрын
Rais wetu mpendwa nakukubari sana watanyooka wote ila zidisha tena kukaza heshima itarudi tu
@fredreckmwakalinga34755 жыл бұрын
Mofat Hool akili finyi kutafakari mambo
@emanuelsamkinda42285 жыл бұрын
Hongera kwa upumbav wako,, we box kwl,,, mwambie akukazie we
@mofathool41585 жыл бұрын
@@emanuelsamkinda4228 mwenzio kafyata wewe unasubiria usuguliwe km shoga mwenzio lisu
@sokaupdate55455 жыл бұрын
First to comment
@stanilupelele27935 жыл бұрын
Yani Rais yupo vizuri sana sasa waliovaa suti shida hadi kichefuchefu
@mwanaidosanga55475 жыл бұрын
Siasa ndivyo inavyotaka
@japhetjoseph17725 жыл бұрын
Hii ndio ukomavu Wa siasa
@loner_wolf3 жыл бұрын
Mc unaongea sana punguz kihelehele huyo mbna muelewa acha amalize mazur yaliyofanyika mbeya basi tuyajue
@sekakigala36135 жыл бұрын
Kaomba wapi kazi acheni ufala nyie ayo TV, alaf mbona sugu alivyanza kuongea kuhusu wafuasi wa chadema kutengwa ulianza kukata sauti
@edwinkimambo50865 жыл бұрын
Sugu juu
@amanimariki76315 жыл бұрын
alafu Ayo unatumiwa na CCM mbona unabana bana sauti bhana
@vanyjunior17085 жыл бұрын
Nilikwmbia lakin sugu,kaka mkubwa uko mkweli
@beatriceemanuel10985 жыл бұрын
Yani mamboyamaana wanawapa muda mdogo sana
@gabrieldenicc45025 жыл бұрын
Wanalinda mshahara wao matumbo joto
@kaidrisa27115 жыл бұрын
Dah mbna mabodi wanyanyasaji sana
@happyfiverickaldo46625 жыл бұрын
Huyuuuu jamaa namkubali
@frankmosha58544 жыл бұрын
Safi sungu
@hassangaudence18145 жыл бұрын
SUGU HAKIKA FAHARI YA MBEYA
@alicegeorge34015 жыл бұрын
AIBU shuuuu kiongeleo unashida
@boazmtileghe91615 жыл бұрын
😂😂😂 BIG UP Sana mzee Baba umeongea vizuri
@alicegeorge34015 жыл бұрын
Kiongeleo ana Kera Sana
@sokaupdate55455 жыл бұрын
Wakwanz jamb
@calvinkitaly93765 жыл бұрын
Raisi wa mbea.
@kassimrajabu78055 жыл бұрын
Kamanda
@otianasang15534 жыл бұрын
MUNGU aendeleee.kukutunza Mbilinyi
@ibraahmbena5 жыл бұрын
Unazingua tittle yako mbovu.
@kaspunerick56965 жыл бұрын
Rais magufuli uzinduz wa barabara ya chuny
@aloycelosyekui90785 жыл бұрын
SUGU Ukosawa kabisa kwa maongezi yako
@grecehuyukibanishida55955 жыл бұрын
acheni unafiki wandishi was habari kenge nn
@dc391395 жыл бұрын
Hata kama sipendi tabia za watu wa CDM Sugu nimekukubali wewe una chembe za uzalendo kabisa bila unafiki
@wazirijuma76215 жыл бұрын
ongera muexhiwa
@sponsor78825 жыл бұрын
NAOGAPA ANAELEKEA CCM
@zakariampembela71005 жыл бұрын
Mbeya Sisi ni watu wa Amani tu. Ila hatupendi maonezi au uvunjwaji wa haki
@anuaryally61775 жыл бұрын
Akuna anayependa maonezi au uvunjwaji wa haki duniani kote
@izhadiabuu5934 жыл бұрын
Mipango ya bilget
@zakariampembela71005 жыл бұрын
Upo sahihi Mhe. Mbunge
@osweggemwakajumba33905 жыл бұрын
Blogger acha ukuwadi wa kiboya.
@georgeangyelile70165 жыл бұрын
Mwenye sura ya uvumilivu
@anuaryally61775 жыл бұрын
Wale wa kushughulikia kamati kuu ya wakuu wa juu wanakusikia unampongeza rais utaitwa kikaoni siku si nyingi na mbowe ushughulikiwe
@majadotto95134 жыл бұрын
Sugu anachapa kazi sana sio kama mr konyagi huyu akishinda ni juhudi zake za uchapa kazi huyu ni wapili kwa professor j
@babarenee47975 жыл бұрын
Sugu mtu.....!!!
@hajihassan54335 жыл бұрын
Mimi hushituka na kuogopa sana Mbunge ambae jukumu lake kubwa Kikatiba ni kuishauri na kuisimamia Serikali nikimsikia ni mfanyabiashara, kinachonipitikia akili kwangu ni kuwa yupo kwa maslahi binafsi na kuwalinda na kuwatetea hata ikibidi kwa rushwa wafanyabiashara wenziwe. Rushwa na Ufisadi mkubwa Serikalini kama vile Richmond, Melemeta nk zilitokana na viongozi wa Serikali (Wabunge/Mawaziri) kuwa wafanyabiashara. Kama Rais na Watanzania tuko vitani na Ufisadi namuomba sana Rais aliangalie vizuri jambo hili. Azimio la Arusha lilipinga vikali jambo hili.
@lemumsesa50395 жыл бұрын
Unaongea nn mzee
@lemumsesa50395 жыл бұрын
Ww ukiwa mwl au mwanasheria serikalin huwez kufanya biashara au uyo mbunge angekuwa kaka yako ungependa awe anasubr mshahara tu
@alfaniismail5295 жыл бұрын
Dunia ya leo siyo ya miaka ya 1960's angalia nyakati mzee
@hajihassan54335 жыл бұрын
@@lemumsesa5039 Ndio, ningekuwa Rais au Rais angesikia ushauri wangu nisingekubali mtumishi wa umma level fulani kama Mbunge/Waziri na maofisa wengine ningewataka wachague biashara zao au uongozi ni hatari sasa. Unategemea nini sheria inapitiswa wewe upo na inabana biashara yako utakaa kimya? Kama hujuwi Wabunge wa Tanzania wanapiga hela ndefu kwa kulinda maslahi ya wafanyabiashara wakubwa. Je, itakuwaje akiwa yeye ndio mfanyabiashara. Mimi nisingekubali Kiongozi wa umma akawa mfanyabiashara, unategemea bei ya pembejeo ishuke ikiwa wa kusema ishuke ndio mmiliki wa hiyo biashara?
@hajihassan54335 жыл бұрын
@@lemumsesa5039 Vyeo vya kisiasa ni vyo kujitolea zaidi.