Kumbukizi: Ziara ya kwanza ya Hayati Magufuli siku moja baada ya kuapishwa "Mbona unawasiwasi..."

  Рет қаралды 95,051

EastAfricaTV

EastAfricaTV

Күн бұрын

Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Пікірлер: 94
@gasperymisungwi960
@gasperymisungwi960 2 жыл бұрын
Chuma will never be forgotten. He was of different kind, unique
@allyfutto8763
@allyfutto8763 2 жыл бұрын
Tutamkumbuka sana Jpm kwa kutokuwa msiri kwa mambo yasiyostahiri KUFICHWA ALIKUWA MUWAZI. Mungu amrehem Aamin 🤲🤲🏼🤲🏼
@halimamasai2234
@halimamasai2234 2 жыл бұрын
Tutakukumbuka daima lala salama shuja wetu 🙏🙏🙏🙏🙏 amin
@munaahmed8499
@munaahmed8499 2 жыл бұрын
Kumsahau huyu ktk maisha ni ngumu walah kwan ana upendo wa kweli toka moyon na alikuw taar kufa kwa ajili ya wananch wake lkn Allah kampenda mapemaaaa angali twamtaka bado
@wellbrand3415
@wellbrand3415 2 жыл бұрын
Huyu baba. Mungu amlaze mahali pema peponi.
@sonnyr1899
@sonnyr1899 2 жыл бұрын
Huyu alikua anakuja kufanya kazi ndio maana baada Ya kiapo tu anaingia mzigoni tofauti na wengine baada Ya kiapo kesho safari
@rasrizzy_g7856
@rasrizzy_g7856 2 жыл бұрын
Siku ya kwanza ni vizuri kujua mfuko wa taifa ukoje....respect sana hata BOT alienda huyu mwamba...sehem kama hizi huwa wanasiasa wanaambiwa wakae mbali nako koz WB na IMF hawapendi kuona wakiingiliwa
@vincentauxerbius7554
@vincentauxerbius7554 2 жыл бұрын
Rest in peace baba😢😢😢
@beatricehenry6776
@beatricehenry6776 2 жыл бұрын
Duuu, shujaa wetu mwenye mapenzi makubwa kwa watanzania pumzika kwa Amani
@neemajulius1256
@neemajulius1256 2 жыл бұрын
Pumzika jembe letu niliupenda Sana uongozi wako ulivyojituma kwa bidii kwa ajiliya kuipenda nchi yako hakika ulikuwa mzalendo wa kweli
@georgekagwebe1725
@georgekagwebe1725 2 жыл бұрын
Ilove my presedent 😓 and lrip😓
@jumaakida5951
@jumaakida5951 2 жыл бұрын
Kwakweli tumuachie Mungu lakini huyu alikuwa rais na alitosha sna kwenye hii nafasi. Alijua kuitendea haki kazi yake. Ulipata hamu yakumsikiliza kila siku.
@smukelomkhize9775
@smukelomkhize9775 2 жыл бұрын
He was The best president in Africa Hata jakaya Kikwete anajua basi Wadwanzi figisu kibao Kwa Watu wanaopenda wizi WA pesa za Kodi za Watanzania
@TamuzaKale
@TamuzaKale 2 жыл бұрын
Hukumtaja Mkapa wala Mwinyi isipokuwa JK!
@T.B.JOSHUALEGACYLIVESON30yrs
@T.B.JOSHUALEGACYLIVESON30yrs 2 жыл бұрын
Haya mamb yamerudi palepale ofisi za serikali unaenda hamna huduma wala wafanyakazi hawapo. Majaliwa 2025
@martineshija2712
@martineshija2712 2 жыл бұрын
Enzi hizotulikuwa tunakimbilia kuangalia taarfa ya habar ilasasahiv naikimbia taarfa ya habar
@bantuisolele2543
@bantuisolele2543 2 жыл бұрын
😆😆😆😆
@ujimansylivanus944
@ujimansylivanus944 2 жыл бұрын
Kweli
@josephchiluka9357
@josephchiluka9357 2 жыл бұрын
Kabsaa daah hata sitami kuangalia nikaichukia na TV yangu 😪
@priscamrekoni3451
@priscamrekoni3451 Жыл бұрын
😅😅😅😅
@dalali_professionalwa_dodo8330
@dalali_professionalwa_dodo8330 2 жыл бұрын
Chumaaaaaaaaaaaa🔥🔥🔥🔥
@marcomuhoja5981
@marcomuhoja5981 2 жыл бұрын
Endelea kupumzika Mzee wngu
@athumaniomari2833
@athumaniomari2833 2 жыл бұрын
Ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU mraze maali pema
@ahmadzubeir3363
@ahmadzubeir3363 2 жыл бұрын
Juzi tuuu nimemtaja huyu Simba tena kwa wema kabisaaaa
@stevenhassan269
@stevenhassan269 2 жыл бұрын
Daah
@farajakwilasa471
@farajakwilasa471 2 жыл бұрын
Baba magufuri mungu mwenyezi akujalie na akutunuku cheo kikuu mbele ya malaika
@Bojak079
@Bojak079 2 жыл бұрын
Hatutamsahau kamwe Shujaa Rais Maghufuli....tunaomba Mungu ainue wengine kama yeye hata huku kenya.
@jeffkonki8279
@jeffkonki8279 2 жыл бұрын
Kafa kwaajili ya masikini maana yeye kwa cheo chake hakuwa na dhiki ila kuwakataa wanyonyaji na mabeberu ndio kilicho muua r .I.p magu
@TamuzaKale
@TamuzaKale 2 жыл бұрын
Jamani, muda wake umefika. Tusiweke nadharia nyingi. Haifai!
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 жыл бұрын
@@TamuzaKale nikweli lakini Kumbuka kuwa hata ukiuliwa maana yake kuwa muda umefika
@TamuzaKale
@TamuzaKale 2 жыл бұрын
@@jumakapilima7295 Rais hawezi kuuliwa kama mjumbe wa nyumba kumi. Muwege na adabu!
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 жыл бұрын
@@TamuzaKale Acha ujinga wewe Nani aliyesema rais ameuliwa?
@hassanmirambo564
@hassanmirambo564 2 жыл бұрын
@@TamuzaKale John F Kennedy wa marekani alijiuwa eti au unajitoa ufahamu
@zephaniamasatu5910
@zephaniamasatu5910 2 жыл бұрын
afrika haita musahau magu
@T.B.JOSHUALEGACYLIVESON30yrs
@T.B.JOSHUALEGACYLIVESON30yrs 2 жыл бұрын
Huyu baba alijua kunyoosha nchi akaipiga pasi balaa
@barakamwakapoma2702
@barakamwakapoma2702 2 жыл бұрын
Dah nitakukumbuka daima
@edisonpeter3894
@edisonpeter3894 2 жыл бұрын
Huyu mtu jamani sijui kwann tu alienda kipindi tumamtaka sanaaa
@simonverite5985
@simonverite5985 2 жыл бұрын
Wazungu ni masheti huwa najiulizaga sababu ya chuki na magufuli😢
@mariethagideon6005
@mariethagideon6005 2 жыл бұрын
Rip chuma
@jumawaziri8501
@jumawaziri8501 2 жыл бұрын
TUTAMKUMBUKA SAAN MZEE MAGUFULI
@emmanuelkanyela275
@emmanuelkanyela275 2 жыл бұрын
Jembe langu nimemmis sana
@richardtungaraza7509
@richardtungaraza7509 2 жыл бұрын
Dah aiseee chuma
@chb5367
@chb5367 2 жыл бұрын
Namna anavyowacheki!🤔
@abdullahisaidkassim4691
@abdullahisaidkassim4691 2 жыл бұрын
Basi tu
@marcoakyoo760
@marcoakyoo760 2 жыл бұрын
Bibi tozo hili haliwezi kufanya ashaweka wapiga dili wake R. I. P. Magufuli
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 2 жыл бұрын
Huyo mwenyewe ilikuwa anakwenda kupanga watu wake kila utawala unapanga watu wanaowaamini Sana siyo kujizolea tu..!
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 2 жыл бұрын
@@hassanmfaume4522 Mmmmh..!!!!
@bashangegoogle6714
@bashangegoogle6714 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭
@zakariamigeto3543
@zakariamigeto3543 2 жыл бұрын
Kipindi hiko kodi yangu ikikatwa wala sijisikii vibaya
@scorasticaclement6308
@scorasticaclement6308 2 жыл бұрын
R.i.p Magu.
@japhetdaudmaneno8440
@japhetdaudmaneno8440 2 жыл бұрын
U'r still alive and Identity of country none like u🤷🤔
@idrisasimba8501
@idrisasimba8501 2 жыл бұрын
FIKRA ZA JPM ZIDUMU KWA MAENDELEO YA TAIFA LETU
@yahayamaulana1561
@yahayamaulana1561 2 жыл бұрын
Aliyewanyoosha mafisadi ila mijitu yenyerohombaya yaliyostaafu ikiacha doa laufisadi bado yanang'ang'ania ndio wanaompotosha samia kwasasa
@saleheinnocent7636
@saleheinnocent7636 2 жыл бұрын
Nishalia nikanyamaza Sasa kila nikiona Video zako naishia kufurahi to kwa kicheko kutokana na ubora wako.
@rachellaiza7779
@rachellaiza7779 2 жыл бұрын
Pumzika kwa amani jembe letu tunakukumbuka sana sana
@hassancharo1496
@hassancharo1496 2 жыл бұрын
UHURU AIGIZE HUUU MFANO BADALA KUWA ADHIBU WAFUAC WA KENYA KWANZA
@mkijilukali2010
@mkijilukali2010 2 жыл бұрын
Uyundie alikua na mashine moyoni mbona aielekei mungu ataliipa
@TamuzaKale
@TamuzaKale 2 жыл бұрын
Unajuaje undani wa mtu?
@tycoon9540
@tycoon9540 2 жыл бұрын
Hizo visingizio vilitengenezwa na wauaji ili wahalalishe kile walichomfanyia Jpm
@alphoncewilliam4325
@alphoncewilliam4325 2 жыл бұрын
Kiukweli tumempoteza mtetezi WA taifa
@gabriellyadam9415
@gabriellyadam9415 2 жыл бұрын
😭😭
@msomimosomy9812
@msomimosomy9812 2 жыл бұрын
Tunalimamandio.halijiele
@twofivefive906
@twofivefive906 2 жыл бұрын
💯💯💯💯🤝💪🙏🙏
@Pastorbarakamwanjala
@Pastorbarakamwanjala 2 жыл бұрын
Chuma
@allymadunda7931
@allymadunda7931 2 жыл бұрын
Alishinda uchaguzi kwakishindo,hahaha
@bonifansimatias6951
@bonifansimatias6951 2 жыл бұрын
Leo hii wakinamama wanajifungulia nje manesi wamepewa kiburi na B tozo eti naye anajiita rais wa matajiri
@lucystella9612
@lucystella9612 2 жыл бұрын
Haaaaaaaaaaaa
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 2 жыл бұрын
💌😪
@JosephMhecha
@JosephMhecha 2 жыл бұрын
Mwamba wa Afrika
@biddii1972
@biddii1972 Жыл бұрын
Dah tokea nchi imepata uhuru atujawai pata mtu ka uyu
@danieljoseph1610
@danieljoseph1610 2 жыл бұрын
Alikuwaga na tambo za hatari!
@servaciosamadu82
@servaciosamadu82 2 жыл бұрын
Jembe langu pumzika kwa amani
@mdalamgir-gu9hu
@mdalamgir-gu9hu 2 жыл бұрын
Uyu askari wake aliendapi
@zakariamigeto3543
@zakariamigeto3543 2 жыл бұрын
Haikuwa kwenda nje ya nchi kwani
@allymadunda7931
@allymadunda7931 2 жыл бұрын
Zimbabwe, south, rwanda
@emmanuelkanyela275
@emmanuelkanyela275 Жыл бұрын
Mwamba huyo
@MAPETEE
@MAPETEE 2 жыл бұрын
Ali jifanya jabbar wapi Sasa kwisha kwisha kabisa mungu si WA kuchezea
@joramudaudi5373
@joramudaudi5373 2 жыл бұрын
Kwan we utaishi milele?
@ivanniyeha4229
@ivanniyeha4229 2 жыл бұрын
Bado ni jabar ndo maana bado anakukera sana
@ananiachelesi1486
@ananiachelesi1486 2 жыл бұрын
Na ataendelea kukukera.
@eliaslazaro2809
@eliaslazaro2809 2 жыл бұрын
Komanyoko zako ulitakiwa ufe wew unafaida gan mzoga mkubwa wew ningekuwa nakufaham ningeshugulika nawew.
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 2 жыл бұрын
@@eliaslazaro2809 Anawaza utumwa huyoooo...Makombo halali yake😆😆
@neemajulius1256
@neemajulius1256 2 жыл бұрын
😭😭😭
@johnwillingstone3121
@johnwillingstone3121 2 жыл бұрын
😭😭😭😭
Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Terminal One JNIA Mei 13,2016
17:24
ВЛОГ ДИАНА В ТУРЦИИ
1:31:22
Lady Diana VLOG
Рет қаралды 1,2 МЛН
KIMEUMANAAAAAAA!!!!!..Lissu ALETA Fujo TENAAAA....!!!
1:07:01
SUPER TAMUTAMU
Рет қаралды 39
Ziara ya Magufuli Kenya
2:18
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 393 М.
RAIS DKT. MAGUFULI AWASIMAMISHA TBA KUJENGA NYUMBA ZA MAGEREZA UKONGA
3:00
Ong Bak | Fight Club Scene
15:05
Cinewatch
Рет қаралды 88 МЛН
RAIS MAGUFULI ALIVYOKWENDA BENKI KUU BILA KUWATAARIFU
8:03
Millard Ayo
Рет қаралды 2 МЛН