KUMEKUCHA MWANZA: Kada wa CCM Ajitoa MHANGA/Atoboa SIRI Nzito KUHUSU Hayati MAGUFULI/Inatisha

  Рет қаралды 206,874

Mwanza Digital

Mwanza Digital

Күн бұрын

‪@MwanzaDigital‬ #kerozawananchi #kerozawananchimwanza #migogoroyaardhi #rcmakalla #bakwata #masjidnoor #msikiti #breaking_news #hayatimagufuli #jeshilapolisi

Пікірлер: 210
@yomseyyomsey5114
@yomseyyomsey5114 Жыл бұрын
Huyu mzee Ni Makin Sana na yupo vizur Sana confident leader & he is straight in his point Na MKWELI Nchi hii imejaa Majizi, wezi, Wabinafsi,waongo watu Mali za Umma Ni wachumaji kwelkwel
@gaagwasaugustino2584
@gaagwasaugustino2584 Жыл бұрын
Mungu akulinde mzee wetu akupe maisha marefu, Amen. Hawa Viongozi wa Ardhi Mwanza ndiyo kawaida yao yaani Dhuruma ndiyo kipaumbele chao! Ila Mungu hakimu wa haki yupo! Hao majambazi wa haki za wanyonge mwisho wao unawadia kwa uwezo wa Mungu, Amen.
@kelvinbernard5453
@kelvinbernard5453 Жыл бұрын
Wewe ni zaidi ya mwenyekiti wa mtaa ,Mungu akulinde baba ameeen
@aristidisamba1573
@aristidisamba1573 Жыл бұрын
Aisee huyu mzee msomi mzuri ana confidence na experience ya kutosha anawachana live
@geey7893
@geey7893 Жыл бұрын
Wana Seminary ni Honesty and Ethical. Mzee anasema ukweli
@chembejohn9605
@chembejohn9605 Жыл бұрын
Mzee genius....shikamooo baba
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu Жыл бұрын
Hapa sawa nikuitoa ccm madarakani
@fedrickchonya7579
@fedrickchonya7579 Жыл бұрын
Mzee uko vizuri sana
@edwinnzigo4670
@edwinnzigo4670 Жыл бұрын
For sure watu makini bado wapo Sana Mzee hongera Sana baba
@kassimhaji3238
@kassimhaji3238 Жыл бұрын
Mungu akubariki mzee wangu kwa kusimamia haki na kukemea uovu,
@davidmpiluka5224
@davidmpiluka5224 Жыл бұрын
RIP, JPM Mzalendo wa kweli wa Nchi yetu. May his soul Rest in peace. Amen.
@luckymsomba4818
@luckymsomba4818 Жыл бұрын
wanakushangaa kwa ujasiri wako.Mungu akubariki
@japhethcharles5791
@japhethcharles5791 Жыл бұрын
Hii nchi kunamajamaa wachache wanajiona kama nchi ya babayao pekee na kuona wengine kama hawana haki ,ahsante sana Mzee wangu🙏🙏.
@jacksonjamesndyabawe471
@jacksonjamesndyabawe471 Жыл бұрын
Polen sana.. Hao wezi wafutwe kazi
@tindatinda7330
@tindatinda7330 Жыл бұрын
Hongera mwenyekiti
@NeemaMlawa-z4s
@NeemaMlawa-z4s Жыл бұрын
Asante ba ba m/kti mwenye uchungu na wananchi waka tumeonewa sana na uku mbeya sai wanatunyanyasa kama nyiye hilo hivyohivyo nasisi matatizo kama yenu
@florencemeza6540
@florencemeza6540 Жыл бұрын
RIP JPM wezi wapo wamerudi kwa kasi wananchi wanalizwa amebaki WAZIRI MKUU PEKEEE wa kutetea wengine wanalamba asali
@mtumishidoublek1504
@mtumishidoublek1504 Жыл бұрын
Mwenyekiti wetu wa Nela, Endapo ukigombea Uraisi, Kura yangu chukua
@SostenesMabala-tt8pt
@SostenesMabala-tt8pt Жыл бұрын
Mungu niwaajabu sana.tutaelewana tu.
@mysoulproclaimsthelordmygodmam
@mysoulproclaimsthelordmygodmam Жыл бұрын
Mungu mtetezi wa wanyonge Akulinde Baba unayetetea wanyonge.
@japhethcharles5791
@japhethcharles5791 Жыл бұрын
Kwanini wazee kama hawa wasichukue hii nchi!
@afwililenisaidie9597
@afwililenisaidie9597 Жыл бұрын
Mzee Mungu akubariki nchi inataka wazee kama wewe simamia haki hasa wanyonge wanateseka katika nchi yetu
@machoguhameri7757
@machoguhameri7757 11 ай бұрын
Waziri wa Aridhi aliendesha Wizara kama Ukoo wake ndiye chanzo cha haya yote.hongera Rais Samia Kumtumbua.
@daudwilliam2326
@daudwilliam2326 11 ай бұрын
Mzee anajitambua sana
@gregorycosmas3926
@gregorycosmas3926 Жыл бұрын
Nikweli kabisa mzee ila nchi inahitaji kiongozi hasa nafasi ya uraisi
@peacekahemela8676
@peacekahemela8676 Жыл бұрын
Halafu unakuta vijana wa kitanzania bado wanaona serikali ya CCM iko sawa na wanashangilia yanayoendelea
@gaagwasaugustino2584
@gaagwasaugustino2584 Жыл бұрын
Umeongea ukweli ndg
@blessjo1678
@blessjo1678 Жыл бұрын
Wanachowaza ni kupata vyeo mzee baada ya hao wazee wao kustaafu ila hawana uzalendo
@HURUMAKALINGA
@HURUMAKALINGA Жыл бұрын
Ccm mbele kwa mbele
@stevenbupamba4161
@stevenbupamba4161 Жыл бұрын
mzee mwenyekiti wa serikali ya mtaa yuko vizuri。
@HebronMwakyambiki-uq6cf
@HebronMwakyambiki-uq6cf Жыл бұрын
Alinde mzee
@nikodemmwahangila3334
@nikodemmwahangila3334 Жыл бұрын
Mzee anafaa sana kuwa kiongozi ni jembe sana huyu baba
@chancesholdan342
@chancesholdan342 Жыл бұрын
Wabongo mtakula sana za uso mpk akili iwakae vizuri
@Mojabo-l8u
@Mojabo-l8u Жыл бұрын
Sema baba🎉🎉🎉🎉
@emmanuelbusuti8800
@emmanuelbusuti8800 Жыл бұрын
Ahsante sana Mzee Kwa kutetea ukweli
@EmmaThobias
@EmmaThobias Жыл бұрын
I love you so much 10/10
@EzekiaMichael-jn5np
@EzekiaMichael-jn5np Жыл бұрын
Mzee Mungu akutie nguvu sana juu ya manyang'au haya
@bahathjuma7511
@bahathjuma7511 Жыл бұрын
Hakika ulisimama imala ulisimama haki pia ulikua mzalendo ulale salama mzee chuma🦾🦾🦾
@karoltunduli107
@karoltunduli107 Жыл бұрын
I hope Tanzania is not goij back to where it was before JP took over RIP JP From Kenya
@JoelMolell-wz2hc
@JoelMolell-wz2hc Жыл бұрын
Wambiye ukweli Baba
@jeremiatitus4414
@jeremiatitus4414 Жыл бұрын
Jamn Sasa hv hata Mungu watu hawaogopi
@MashuveKivaria
@MashuveKivaria Жыл бұрын
Good
@liannsambu7264
@liannsambu7264 Жыл бұрын
Mbona kama anayeambiwa hayupo anamambo mengine
@jescalimelela6785
@jescalimelela6785 11 ай бұрын
Tukutane kwa Mungu tu mana watu wengine wanaona hii dunia ya kwao peke yao wamesahau tumeumbwa na mungu tuliambiwa wote ivi vitu tuvitawale nashangaa leo vimekuwa vyao peke yao😢😢😢😢😢
@NATACIARAPHAEL-iz8kr
@NATACIARAPHAEL-iz8kr Жыл бұрын
Wazee kama hawa ni kama Dhahabu
@JuliusMhina
@JuliusMhina Жыл бұрын
Wizi umezidi serekalin
@jumberichardkilopa6465
@jumberichardkilopa6465 Жыл бұрын
Hii dunia kuna wanaume maana huyu muzee uko Makini mungu akubariki kwa kutetea wanyonge una ujasiri ya kuongea wengi wanaogompa kuongea ukweli
@SinarahaNtaraha
@SinarahaNtaraha Жыл бұрын
Umezeeka vizur mzee
@imanihussein9457
@imanihussein9457 Жыл бұрын
ccm hovyo
@ruthsebastian4633
@ruthsebastian4633 Жыл бұрын
Sema baba
@maimunamisana4293
@maimunamisana4293 Жыл бұрын
Inatisha,waje watu kama hawa watusemee kahama. Mkuu wa wilaya ya Kahama hilio liko Wilayani kwako.
@kusekwasita1576
@kusekwasita1576 11 ай бұрын
M.kiti wa mitaa Yuko safi
@FredKalekezi
@FredKalekezi Жыл бұрын
Tunakupomgeza Sana mzee wetu wazalendo Kama wewe no wachache
@rambostalon2888
@rambostalon2888 Жыл бұрын
Mkuu wa mkoa mwenyewe yuko busy
@wakayakaya6
@wakayakaya6 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mkinyamaza hao mashetani watatumaliza semeni tujitambue
@AbednegoWilly-e3y
@AbednegoWilly-e3y Жыл бұрын
Mazungumzo bora kabisa kuwahi kutokea,, wewe mzee sijui namna njema ya kuongea Ili kuonesha ulivo gusa hisia za moyo wangu kutokana na ukweli mwingi,, busara na hekima ulonayo katika kusimamia haki,,natamani nikija mwanza nikuone hata nikuslimie kama baba yangu mzazi.
@jacksonjamesndyabawe471
@jacksonjamesndyabawe471 Жыл бұрын
❤ Jamaa Safi sana
@kawiche4911
@kawiche4911 Жыл бұрын
KATIBA MPYA SASA
@AdiliMwegalawa
@AdiliMwegalawa Жыл бұрын
Uko vizuri baba
@kawiche4911
@kawiche4911 Жыл бұрын
MSICHEZEE WANASEMINARI
@aymanmlomo2467
@aymanmlomo2467 Жыл бұрын
Daaah ALLAH aiyokoe Nchi yetu na viongozi wapigaji.
@EdisonAndrea-c5o
@EdisonAndrea-c5o Жыл бұрын
Nimekuerewasana hongera
@josephmkumbwa9836
@josephmkumbwa9836 Жыл бұрын
Safi sana mzee huo ndio uzalendo wanapo kosea wasemwe safi sana mzee wng Mungu akulinde.
@Happy31213
@Happy31213 Жыл бұрын
Uyu mzee apewe ukuu wa mkoa
@brother_majesty
@brother_majesty Жыл бұрын
Nchi Imekuwa Shamba la Bibi....wajomba zangu wa pwani HAWAWEZI UONGOZI
@egnomsigwa8418
@egnomsigwa8418 Жыл бұрын
Nchi hiii ningumu sana mafisadi wameshika dola
@MWAHALENDE-t3v
@MWAHALENDE-t3v Жыл бұрын
Ni shida
@myself4128
@myself4128 Жыл бұрын
SERIKALI INAJIPA MIZIGO ISIYO NA MAANA...RPC,MEYA,DC,OCS,MKURUGENZI,MBUNGE,DIWANI NA VYEO CHUNGU MZIMA NA HAKUNA WANALOLIFANYA UJAMBAZI MTUPU!!
@lilhydon452
@lilhydon452 Жыл бұрын
Mungu akuwekee ulinzi mzee wetu...tuwaondoe CCM kwanza tuone itakavyo kua
@janneferisaya83
@janneferisaya83 Жыл бұрын
Rip magu 😢😢
@SuleimaniFihoma
@SuleimaniFihoma Жыл бұрын
Asante mwenyekiti
@DAMIANANDREW-q7n
@DAMIANANDREW-q7n Жыл бұрын
Wewe mwenyekiti ni kiongoz by nature nimekupenda bure
@japhetnyese2285
@japhetnyese2285 Жыл бұрын
Kweli kabsa kada wachama, mikataba feki imejaa kwenye mikataba mbali mbali wanaofanya hivo ni watu wa kati kati ya mwajiliwa , pia pongezi kwa mkuu wa mkoa kwa majibu mazuri
@namsifubwana2152
@namsifubwana2152 Жыл бұрын
Very good mzee
@bwirepilly8446
@bwirepilly8446 Жыл бұрын
Mungu akuongezee cku za kuishi
@selemanimasatu2421
@selemanimasatu2421 Жыл бұрын
Angekuwepo chuma mzee ungetendewa haki kwa maneno yako but now wanatoka hapo watakucheka tu
@AntonNade
@AntonNade Жыл бұрын
Safi mzee
@kawiche4911
@kawiche4911 Жыл бұрын
SERIKALI YA SAMIA WEZI WATUPI
@emmanuelsitayo1977
@emmanuelsitayo1977 Жыл бұрын
Kweli itakuweka huru. Bravo.
@MashuveKivaria
@MashuveKivaria Жыл бұрын
Nakupongeza kada mwenzangu hii ndio kazi yetu makada Ikn wenye nia mbaya unaweza kutafsieiwa kuwa mipinzani❤
@SostenesMabala-tt8pt
@SostenesMabala-tt8pt Жыл бұрын
Itafika tu mtasema ukweli nyakati zimefika
@Mjomb
@Mjomb Жыл бұрын
Safi sana wambie kweliwame zowea mifumo mibovu
@josiacharles2778
@josiacharles2778 Жыл бұрын
Aisee mzee mzee kweli
@leahmgunda4154
@leahmgunda4154 Жыл бұрын
Mwenyekiti wa mfano.
@JESHILAMTU
@JESHILAMTU Жыл бұрын
MZEE ABUUUUUUU😂😂😂😂NI NOMA!
@ShaibuMniwa-gy8do
@ShaibuMniwa-gy8do Жыл бұрын
Masala mwizi tuuuu
@edisonsebasitian-th3zy
@edisonsebasitian-th3zy Жыл бұрын
Mzee hama chama hyo ccm nimatapeli tu hata xixi wamachinga tuna teseka sana tunaishi kama wakimbizi kwenye hii inchi iliojaa laana
@norascomulenzi222
@norascomulenzi222 Жыл бұрын
HaLI NI MBAYA
@leahsangawe9609
@leahsangawe9609 Жыл бұрын
Wazee Kama Hawa wanajua na kuyekeleza wajibu wao sio wazee wengine umri mkubwa lakini hawana udhubutu wa kukemea na kuongea maneno ya kujenga jamii. Wamebaki ushabiki na unafiki
@josegambi7149
@josegambi7149 Жыл бұрын
Ccm igeni kwa huyu mzee
@MatronaThomas-wz5si
@MatronaThomas-wz5si Жыл бұрын
Jamani kada wetu uko vizuri naomba hata mfumo wa elimu NECTA index no zitumike hadi AJIRA chache hizo badala ya majina
@donathakimaro5276
@donathakimaro5276 11 ай бұрын
Leo tunauzwa sisi familiya ya mzee paschal Lusinde Ng'ingo pale wilaya mpya ya kilolo baba yetu mdogo ameuza mashamba yetu yote kwa madai kinajengwa kituo cha polisi kwenye ekali kumi 18 wakituacha hatuna pa kushika watanzania tusaidieni
@abuali-cf6cn
@abuali-cf6cn Жыл бұрын
Tumejisahau hadi dunia tumeiweka mbele akhera hatuna habari
@Mahengo-d3r
@Mahengo-d3r Жыл бұрын
Badilisheni mfumo wa kuwa makamo wa raisi kua ni mwanamke yasije kujirudia tena
@Mwalazanyi
@Mwalazanyi Жыл бұрын
Mzee ana madini,
@JohnDeus-v3e
@JohnDeus-v3e Жыл бұрын
Ama kweli
@RichardMakoko
@RichardMakoko 11 ай бұрын
Kumbe wazee mpooo 😂😂😂😂 imeenda hiyo viongozi wetu wanahisi wanaoongoza wendawazimu
@RaymondCharlesSaliboko-to6vx
@RaymondCharlesSaliboko-to6vx Жыл бұрын
Mzeee❤❤❤❤❤
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Жыл бұрын
Amesoma seminary 😢Yesu msaidie huyu baba
@thomastemu3332
@thomastemu3332 Жыл бұрын
Ndiyoooo 😅😅
@ToshNiNe-uj8pf
@ToshNiNe-uj8pf Жыл бұрын
True story daah 😔
@mustaphawelder7022
@mustaphawelder7022 Жыл бұрын
Ww mkuu wa mkoa haufai kwan unatetea uovu, ungekuwa na uongozi bora ungefukuza wote wanaodhurumu wananchi mali zao lakin unasema iwe funzo gan wakat hao wote ni wizi
@peacekahemela8676
@peacekahemela8676 Жыл бұрын
Wazee tukishaondoka vizazi vya vijana wasasa wavivu na waoga mtaliharibu hili taifa
@simontamba2189
@simontamba2189 Жыл бұрын
Nakuambia tunakokwenda ni kubaya Saana Vijana wa leo kufanywa machawa wasipiganie mambo ya Msingi ola wapiganiee matumbo ya watu shame on next future
'Matokeo ya Uchunguzi kuhusu kupigwa kwangu risasi bado mpaka leo'
51:24
BBC News Swahili
Рет қаралды 104 М.
SPIKA TULIA AFOKEA WAZUNGU ULAYA “NIHESHIMUNI MIMI SIYO MUNGU”
8:51
哈哈大家为了进去也是想尽办法!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:33
火影忍者一家
Рет қаралды 127 МЛН
ДЕНЬ УЧИТЕЛЯ В ШКОЛЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 4,1 МЛН
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 670 М.
MAGUFULI - "NILINYWESHWA SUMU, KIKWETE ALINIFUKUZA, SIKUKATA TAMAA"
33:43
Global TV Online
Рет қаралды 1,2 МЛН
HAYA NDIYO ALIYOYASEMA SHEIKH KISHK KABLA YA RAIS MAGUFULI KUZIKWA
13:02
Kishki Online TV
Рет қаралды 892 М.
BMG TV: Mapya yaibuka sakata la Kisiwa, Mlima kuuzwa Mwanza
17:40
BMG ONLINE TV
Рет қаралды 32 М.
Majaliwa Amekiwasha Mwanza | Atumbua Wawili
15:23
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 7 М.
哈哈大家为了进去也是想尽办法!#火影忍者 #佐助 #家庭
00:33
火影忍者一家
Рет қаралды 127 МЛН