Mtumishi wa Mungu, Bwana Yesu aendelee kukutumia tu kwani umenisaidia mengi mno, hata hivo naomba tafsiri ya Danieli 12:11--12. Ndimi Ignatius Nzigo nipo Kibondo mjini, Amen.
@UkundiMlelwa4 ай бұрын
Amen rabbi kwa mafundisho ya wakati huu hasa. Nilikuwa natamani sana kupata mafundisho ya kipindi hiki cha mwisho, Mungu amenionyesha hii channel nabarikiwa sana.
@LydiaNasimiyu-h1n2 ай бұрын
Mungu tuhurumihe tupe nguvu za ushindi hizi nyakati za mwinzo Mungu tushidanie Yesu Kristo wanasareti
@JOESE-n1n24 күн бұрын
Mwenye kusikia na asikie maneno haya ambayo Roho Mtakatifu anasema na kanisa
@LydiaNasimiyu-h1n2 ай бұрын
Tubinganiye Yesu peke yetu hatuwesi Vita ni vyako si vyeyu Yesu tusaindiye
@lukafbbwebelof3874Ай бұрын
Hapana kila kitu Mungu akubariki mtumishi. Mimi ni mkristo Ila sitokuwa na kubaliana na wahubiri hata kama yeye ni mwisrael, mwisrael sio Malaika wala rohomtakatifu bali ni mtu kama sisi na kunamara hajaongozwa na Roho wa Mungu kwenye kila kitu wanacho sema. Muwe makini sana watu wataenda kushangaa huko Mbinguni.
@byusaajumapili67504 ай бұрын
Mungu akubariki mchungaji ninaposikiya mahubiri Yako yananijega sana maana mahubiri kama hayo hayasikiki tena ina kuwa tutabarikiwatu . Baba utakuja Burundi Siku gani ? Tunatamani uje nakwetu
@esthersamuel24593 ай бұрын
Mungu akumariki mtumishi
@AlphaBaleziАй бұрын
Nina haja ya nambar mutumishi anaye hubiri
@emilykangaty12623 ай бұрын
Nifanye KAZI ya kumtumikia Mungu kwa ngu u na juhudi zote
@joycenjana73314 ай бұрын
Amen amen mtumishi nabarikiwa sana kwa neno, umebarikiwa
@JOESE-n1n24 күн бұрын
Inasikitisha sana kama wakirsto hatutatambua nyakati hizi za mwisho ktk unyakuo wa kanisa la Mungu
@AlphaBaleziАй бұрын
Aksate sana kwa ma hubiri . Alpha DRC Congo
@deboramwizarubi2 ай бұрын
Baba Bwana aendelee kukutumia tunajifunza mnooo
@AgnessHezron4 ай бұрын
Mungu. akubariki.mtumishi. wa Mungu
@oliverbernad55704 ай бұрын
Nakupata VZR MTUMISHI Absharom ,Iringa MJINI
@DAVIDMAGHANGAАй бұрын
AMEN MTU wa MUNGU alie juu saana
@JustineMuhindo-tb6en4 ай бұрын
Yesu akubariki sana nakuzidishiye nguvu
@sarahnjowela5544 ай бұрын
Amina mtumishi nabarikiwa sana ubarikiwe
@japhetmasai99544 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa bwana kwakweli yote unayoyasema ni ukweli kabisa manake kiroho kweli yesu yu karibu sana
@LydiaNasimiyu-h1n2 ай бұрын
Mungu tuhurumihe huu wakati wa mwinzo hatujui kutaendaje
@afredfodogo78574 ай бұрын
Asante YESU KWA kujizihilishwa kupitia TAIFA TEULE LA EZIRAEL TUNAIPENDA EZIRAELI LINDA KWA DAMU YAKO MILELE,
@BarakaKamaraАй бұрын
Mahubiri haya ñi hadimu sana katika kipindi hiki cha mwisho. Sijui watumishi wa Mungu walio wengi wamerogwa na nani?
@ALEXLESERE4 ай бұрын
Amen 🙏, mtumishi nabarikiwa sana na mahubiri Yako ya siku za mwisho,
@happynescostat7420Күн бұрын
AMEN
@emmanuelshaban48344 ай бұрын
Ninakufuatilia Sana mtumishi wa Mungu na kupitia mahubiri yako kuna vitu vingi ninaendelea kuviongeza ktk Imani yangu, Bwana Yesu akulinde na kuzidi kukubariki zaidi, Karibu kwetu Kigoma.
@LinaLema-c1mАй бұрын
Ameen amen
@joellumala32064 ай бұрын
Ni wakati wa mwisho., Tujiweke tayari, muda sio rafiki
@MchungajiNzelani2 ай бұрын
Mahubiri haya nilikuwa nayasikia kwa mzee kulola sasa kwa mzee magembe wengine wamekalia kupaka watu mafuta ndo watu wamejaa iliwaje kufagiliwa vizuri
@blondyd42564 ай бұрын
Haleluya, nabarikiwa kutoka Geita
@LydiaNasimiyu-h1n3 ай бұрын
Ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen pstr barikiwa sanaaaana mutumishi wa mungu
@emilykangaty12623 ай бұрын
Mafndisho haya yananiongezea kiwango changu Cha kumpenda Mungu
@MchungajiNzelani2 ай бұрын
Ni wakati wa wanawali 10 watano wenye busara na 5 wapumbavu Mungu tutie nguvu tuwe na mafuta
@DieudonneMAHANGO-ws3do4 ай бұрын
Amen 🙌
@eliyamakanika72824 ай бұрын
Amen ❤❤
@MethodAlphan4 ай бұрын
Amen mwana wa mungu 🙏🇮🇱 mafundisho mema
@japhetmasai99544 ай бұрын
51:23
@rosemarymwanitega79264 ай бұрын
Ameni Hallelujah
@loisruhembe16874 ай бұрын
Amina
@ClotildaMbumeo3 ай бұрын
L Q~ee10
@JustineMuhindo-tb6en4 ай бұрын
Ninaswali pasta je wewe nimuyahudi wakuzalikiwa
@masindemagee96034 ай бұрын
amn
@LydiaNasimiyu-h1n2 ай бұрын
Mungu tuhurumihe tupe nguvu za ushindi hizi nyakati za mwinzo Mungu tushidanie Yesu Kristo wanasareti