Kikosi cha Kwata la kimya kimya kikionyesha uwezo wake kwenye sherehe za miaka 55 ya uhuru wa Tanzania Bara December 9 2016 Dar es salaam.
Пікірлер: 171
@StephanoMbwambo4 ай бұрын
hongereni sana makamanda wetu mungu awabariki sana na mzidi kujenga uzalendo sana nasana katika taifa letu sote. mlipendezesha sana tunawapongeza sana.
@patrickKitambo5 жыл бұрын
wapi like za wakenya
@khadijamukhamedy33834 жыл бұрын
Safi San mungu awape niman na afya njema amin
@josephgomalo417 жыл бұрын
Aiseeeeeeee .. ! Nimeshika adabu nitarudi JKT tena.. Nimekoma kujongo.. this is just great .. thanks JWTZ .. thanks watoto wa nyumbani..!
@lukaslesian74835 жыл бұрын
Joseph Gomalo meawp0p
@ndarojuma51287 жыл бұрын
jaman naipenda hii kazi tafadhali Mungu nisaidie maana ndio naanza process
@hondenisonmagufulinyabaro39236 жыл бұрын
Maajabu hayo!!Hongera kwa hao,,,, from KIABUSURA bomakombi O'Nyabaro Mogeni na sipora kerubo tuko pamoja,,, suneka Bonchari kisii county
@bonifacemashauri90324 жыл бұрын
Am proud of Magufuli for this wonderful motivation in military forces..... #Magufuli (blood of sarvation)
@Zubaiba3 ай бұрын
Hongerani sana🎉🎉🎉❤❤
@erickdeus50457 жыл бұрын
hongera kwao si mchezo JWTZ
@bonifasimashimba85763 жыл бұрын
Safi
@salehelucy35277 жыл бұрын
aisee hao kiboko maana sio kwahali hiyo kwakweli wapo vizuri sana so nice
@peterezavoliahona78516 жыл бұрын
Plz come to Kenya we need u plz talk to our prezo
@DjRHINOInternational14 жыл бұрын
Kenya already have this mjinga wewe
@peterezavoliahona78516 жыл бұрын
This beautiful haven't seen it before..noce
@cymoowanjeri68434 жыл бұрын
The dressing is smart ... Slow and quick match perfect....
@officialfredrickjacobtz21117 жыл бұрын
Kiwi Kiwi au a.k.a ballotel, Mungu anakuona maana huzionei huruma mbavu zangu. Kweli unanogesha mambo, nice Sana! Kata upepo
@wolihayestephano51575 жыл бұрын
KiNi HoPa TV
@stephenjonas48666 ай бұрын
Kiwi bhana achana nae kabisa😂😂😂
@kapunguzeking6206 жыл бұрын
kazi mzuri tunapaswa kuwapongeza
@ramadhaniyange63237 жыл бұрын
JAMANI MIMI NILIKUWA MAJOR WA JESHI KWA HILI HAIJAWAHI KUTOKEA WAMEIVA,WAPO MAKINI, WANAIPENDA KAZI YAO NA WANAWAJIBIKA WANATUMIA AKILI HONGERENI
@shanishebebakariboga57936 жыл бұрын
nataka namba yako
@semanasitv83036 жыл бұрын
👏👏👏👏👏
@leopardmatovu78926 жыл бұрын
Ramadhani Yange hongera sanaa Mzee. sasa IV ulishastafu?
@jenethsanga8316 жыл бұрын
diamond plstnum
@victorwareba3 ай бұрын
Safi sana hongereni sana
@FELIXMBWANJI7 жыл бұрын
Huyu jamaa ni moto aiseee yaani mara kwa mara namcheki yaani ni hatari sana... big up sana kwa JWTZ
@eduulimsh84557 жыл бұрын
FELIX MBWANJI 4yfkg
@user-vr7ex8wp2b7 жыл бұрын
dar noma sana wapo vizuri
@cynthiajelagat54853 жыл бұрын
Amazing
@catherinejohn20676 жыл бұрын
Nimependa hadi basi tu😘😘😘
@givenpeter54817 жыл бұрын
daaahh!!!!!! TANZANIA NOMAAAAAAA
@danielsalimba72814 жыл бұрын
Huwaga sichoki kuangalia mpaka leo 2020 naangaliaga2
@mponejadavid8417 жыл бұрын
hongeleni Macomando mmeiva sana
@annapaul12117 жыл бұрын
mponeja david k
@elishaagslungwe73525 жыл бұрын
Hpngereni sana mumeiva atamimi natamani
@keimoojeremia99376 жыл бұрын
kazi nzuri
@omaraminia12275 жыл бұрын
Ipo vzur sana wanahitaj hongera
@crazykasim23913 жыл бұрын
Kujeni Kenya mfunzwe alaaa
@mcback43842 жыл бұрын
Alshabab wamewafunza tayari pumbavu ninyi
@YusuphuMakange4 ай бұрын
Wajinga alishababi kanzah wametikisa kenya muna jambajamba
@ramadhaniyange63237 жыл бұрын
DUUUUUU HONGERA WAPIGANAJI WETU WA JWTZ SALUTE KWAO
@nicetusfelix26577 жыл бұрын
Hatari sana...........
@MilioneaTv4 жыл бұрын
Tangaza blog, App, youtube biashara au huduma kwa sh elfu 10 tu mwaka mzima kwenye mtandao wenye watu zaidi ya laki 3 ambao ni www.jamiihuru.com/register Mtandao pekee unaowalipa watu kwa kupost mada mbali mbali. Pia unapata blog kwa sh elfu 19 tu, App sh elfu 25 KZbin chanel sh elfu 10 blog inawekwa matangazo ya kukulipa maishani mwako. Kupata huduma hizo wasiliana whatsapp 0652428852 Karibu sana Pia wanahitajika watu wa kurekodi video kwa simu zao wasiliana whatsapp 0652428852 kwa maelezo zaidi
@japhetlagat15445 ай бұрын
Much saluted
@janegeogre32342 жыл бұрын
hongera vjana!
@user-vv5xd3ye4i7 жыл бұрын
Baizo Boy... First one to comment
@jumaabdallah33086 жыл бұрын
Yah tuendelee kuimarisha jeshi letu
@neemaalphonce13337 жыл бұрын
safii👌👌👏👏
@youthhandbollinzanzibar39896 жыл бұрын
Neema Alphonce hujambo
@atukuzwemungudaimaariseand61566 жыл бұрын
Kweli wamejifunza vizuri Inapendeza
@ttinuga7 жыл бұрын
They did a good work!
@izodnice36593 жыл бұрын
....Skils and efficiency ..
@didaserene16287 жыл бұрын
very smart
@evanceruyumbu63475 жыл бұрын
Safi sana jeshi lina mambo mengi.
@naftalimhemi12083 жыл бұрын
Kama vile tulipokuwa Tabora Boys Military School 1971
@mobileshop8187 жыл бұрын
mashallah imependez sana
@davybuteyo7 жыл бұрын
Bravo TZ!!!
@mcstzo18975 жыл бұрын
dah. napenda
@oninaalay71673 жыл бұрын
Hadi rahaaaa....!
@issaabdi91294 жыл бұрын
Mashaaala wako makini kwa kweli
@peterremy80135 жыл бұрын
Kweli hongereni jeshi letu naamini nalindwa
@samsonlukumay2107 жыл бұрын
kwa kweli nimeipenda xana
@jamesmutisya70797 жыл бұрын
Walai hapa nimekubali, heko kwenu maofisa wa TZ
@patrickKitambo5 жыл бұрын
Tanzania there endless wanderers
@stevenJohn-th5ps Жыл бұрын
Good
@agyaric19327 жыл бұрын
safi
@johnkapela95265 жыл бұрын
Inapendeza sana.
@harunagwamadenga65017 жыл бұрын
Tanzania nchi yenye amani tele
@twahasalum78067 жыл бұрын
hapa kazi tuu
@ibrahimaboker90866 жыл бұрын
Kila zama na kitabu chake Tulipokuwa TPDF 1973 mpaka tunastaafu tulikuwa wakakamavu ndio maana ya kuwa askari.MT7 Daima.
@andrewkibesjunior59363 жыл бұрын
Am from Kenya lakini haya ya kiwi sijayaona🤭🤭
@patrickbihemo63497 жыл бұрын
wako vizuri!
@rosealfred43974 жыл бұрын
MMWAAAAAAAAAH
@chachamwita63587 жыл бұрын
aiseeeee safi xana
@tumwagilegedion6947 жыл бұрын
Haha Kiwi umenipa raha Jeshi mko vzr
@deomwakilema42165 жыл бұрын
Yas
@hawawezidianakukushusha7567 жыл бұрын
wanatisha kama ukoma du hii ni noma
@bonifasimashimba85763 жыл бұрын
Kwata ya kimiya kimiya imedamshi
@sheebqpsheebqp83146 жыл бұрын
Safi sana
@jaitonmis9557 жыл бұрын
asante ayo.mpe hey jk
@mizirm24297 жыл бұрын
Chezea JWTZ!!!
@stevennkamazigawa40675 жыл бұрын
I like them
@germinikimario53395 жыл бұрын
Very very nice
@pascalmakomba64956 жыл бұрын
Profesa Paramaganda Kabudi alifunda bunge
@rosulakamugisha3557 жыл бұрын
👏👏👏 atar
@hunterchifa98485 жыл бұрын
so wapo vizuli sana
@salumumchwembo57705 жыл бұрын
wanawake. wanao
@petermashibe85025 жыл бұрын
Good job
@iddikadoyo8957 жыл бұрын
kiwi alikuwa ananichekesha sana
@happymkenda98375 жыл бұрын
Wako vzr
@ngwanongwano41376 жыл бұрын
Very nice event
@bitalihotwelokole70837 жыл бұрын
wameiva aseeee
@paulandrew97936 жыл бұрын
Nimependa mpaka machozi yamenitoka
@gregoryadriano7243 жыл бұрын
we kweli ni mzalendo duuu mpaka machozi
@hawawezidianakukushusha7567 жыл бұрын
asante Millard
@abuumaisarah6595 Жыл бұрын
Kiwi ni mtu aisee ananikosha unaa unaaa
@felixokondo63725 жыл бұрын
Pull up still not accurate marekebisho kidogo two lakini hata ivo hongera
@petermashibe85025 жыл бұрын
Marekebisho gani yafanyike?
@furahashaban85325 жыл бұрын
Diamond
@onlinemateustv19252 жыл бұрын
Chini ya 45kg???
@ayoubbenta49555 жыл бұрын
TPDF ni noma africa
@florencejames-jo1cz7 ай бұрын
Hyo silah kilo 3.7 usichukulie poa
@georgesambala93945 жыл бұрын
SAfisa naaaa
@betramwallah92327 жыл бұрын
Segerea kwaya
@joesimba6 ай бұрын
22:43
@jeanmubemba12045 жыл бұрын
HAHAHAHAH ,WATANZANIA WANA VIPAJI SANA AISEE,GOOD WORK GUYZ