Asante kaka hii topic nimeilinganisha na ule msemo wa jamaa angu siku za nyuma ni "Ukiona eneo unalijitafutia liziki huna maadui basi jua kabisa itakuchelewesha sana kupata mafanikio', ama nenda sehemu ingine.
@aishamsemwa-zu3eo5 ай бұрын
Yaani kama umeona yanayo nikuta kaka yangu,yote unayoyasema nayapitia ila namshirikisha Mungu na ninamshukuru sana ananisaidia na anazidi kuniinua kila siku
@monicakauky89142 ай бұрын
Nimeshawahi kukutana na vita yakifamilia Mungu akanisaidia nikashinda.
@user-kj4ik9bo5o2 ай бұрын
Nilikuwa na rafiki angu nilipoanza kufanikiwa alinitangazia vitu vichafu kweli kaka uko sahihi san
@mazwichannel21205 ай бұрын
Mimi kuna mahali nilifanya kazi bosswangu alikuwa ananipenda sana na ananituma kazi zote yan nilichukiwa na watu na nikawa napigwa vita adi yule boss akanihamisha.Pia mimi napigwa vita sana na ndugu zangu yan inafika hatua unakuta wote wananisemea mabaya na kunichukia wanadai kuwa mama ananipenda mimi tu na kuniskiliza mimi tu kwaiyo wanamwambia mambo mabaya ili kunihusu yamuumize na anichukie.Yan walishafanya maranyingi ila nimekuwa nikiendelea kumuomba Mungu anipiganie katika vita iyo. Asante Kaka joel nimeanza kukufatilia mwezi huu ulianza ila nishaona umenifungua mambo mengi.Mungu aendelee kukutunza
@HIACINTHAKYAUKA-uz5pj5 ай бұрын
Ah, HIYO YA KAZINI, ILINIUMIZA SAAANA. PILI HIYO YA KWENYE FAMILIA, NDIO VITA HAAASA! HASA WAKITAKA KUKUDHULUMU, WAKASHINDWA, VITA SIO YA KITOTO! JINA LAKO LITAMWAGIWA SUMU, ILI UTENGWE, UTATAFUTIWA KESI, HATA MTU ANAFIKIA KUMWAMBIA MTU AKUSHTAKI, ILI ETI AMSAIDIE KUMWEKEA WAKILI! MWENYEZI MUNGU TUU, UNAPOSIMAMIA MAOMBI NA UKWELI, BASI MISHALE INAWARUDIA. NI KAZI SANA KWENYE MAISHA.
@user-sf7by1cr5h4 ай бұрын
Mm napenda sana mafunzo unayo tupatia mungu akubariki sana
Duh kweli brother vita ni kubwa but never never give up
@user-om7pl9xm4s3 ай бұрын
Yeah 👍,,,,,,🪂🤔 exactly........... secretly from out of the box.🙏🙏✍️Be multiplied.............umegusa ikulu ya moyo wangu.
@HIACINTHAKYAUKA-uz5pj5 ай бұрын
MAKAZINI, UKIKOSA KIFO NA UKATOKA SALAMA, UJUE NI MUNGU TUU ALIYEKUPIGANIA. BIG UP BROTHER 💪
@sundaymjusi22725 ай бұрын
Asante sana kwa hii pia kaka Mungu akuweke miaka elfu na elfu ❤❤
@ZainabuEmmanuel-vs2mo3 ай бұрын
Kweli kabisa unachokisema vita ni ngumu sana kuiepuka
@user-wh4gs8wj1z5 ай бұрын
Àsante sana kwa SoMo lenye kiwango❤
@nuuali87245 ай бұрын
Asante kwa elimu napenda san kukusikiliza mna wanipa moy n kujiona nawez everthing is possible❤❤💪
@nestoryvenance42582 ай бұрын
Asante nime eliwa kwenye swala la ushawishi
@prisilatarimo74545 ай бұрын
Ahsante sana kka joely ,mmi nlifunguwa biashara mwakajana nilikutana na vita ya aina hiii yote ulosema yalinikuta had mwisho alitamka amejipanga kuniuwa mmi na watoto wang ., baadaye nlimchukulia sheria baada ya matishio makubwa mno. Baada ya hapo nilimwamin Mungu na sasa naendelea vizur na biashara yang japo vita bado ipo
Daaa ndungu yote ayo ninayo asante kwa kunifungua kichwa asante sana
@furahasweya74334 ай бұрын
Barikiwa kaka Joel. Vupemgele vyote vya vita vinanihusu. Mungu anitetee. Asante kwa mafundisho
@jumbewatson86394 ай бұрын
Asanteh kwa kutuweka sawa.....mimi hili swala limewah nkuta upande wa rafiki zangu kaddha wote kwa pamoja kufarakana. Na kila tulie kosana nae ulikuwa upande wa fedha.....daaah
@user-xn4fe2dy5s5 ай бұрын
Thanks brother.
@user-ic1ty9pw8m2 ай бұрын
Nimekutana kaka.
@194summer5 ай бұрын
Ubarikiwe mt,mimi ni ushawashi unaniletea vita sana
@erastohongerasanasamamagor79395 ай бұрын
Nakufutilia nikiwa mwanza nakuelewa sana mkuu .
@minaaminaa17815 ай бұрын
Hata ukipendwa na mume wako pia ...asantee nilikua nashangaa
@user-sf7by1cr5h4 ай бұрын
Mm nimekutananavyo sana nishida kaka
@joyceLukumay-lw1gi3 ай бұрын
Nguvu kubwa ndani yangu ni kuishi kwa misimamoo yangu mwenyewe but Kuna mtu nashidwaga kuwa endelevu
@fredyelisha26865 ай бұрын
Duh nashukuru sana kaka Joel hakika niko chuoni najifunza mambo mengi kutoka kwako God bless you 😊😊❤
@user-er7mo5bq5s5 ай бұрын
Asante kwa ujumbe kiranapo kuskiliza napata hamasa Sana ndugu
@clemencehaule38575 ай бұрын
Saizi, napitia kipindi hicho Cha vita, hakika uliyoyasema ni kweli tupu
@keviolotu3 ай бұрын
hii naipitia Mimi sahivi
@user-my9fj8jv3q3 ай бұрын
So nice kaka
@magrethkassian52355 ай бұрын
Ni kweli maisha ni vita mie pia ilishanitoke kazini
@kisesagroup47305 ай бұрын
Absolutely true
@user-je2tm9gz8l5 ай бұрын
Asante sana mkubwa ndio mimi imeshawai nitoneya nilipedwaka sana na boss mkuu wetu kazi akachukiya sana
@user-qy7wv3xv4o5 ай бұрын
Umesema kweli kabisa mm nakumbuka Kuna eneo flana nimehamisha maji nikayaelekezea njia nyingine, mwanzo walinicheka sana wakisema maji hayahami wakasema navuta bangi huwezi kuamini Leo hio sehem ilivyofaa kumeibuka vita vikali mno namtu anayepataka saivi aloo nitajir ila huwezi kuamini nivita mpaka haya SS.
@MethodNdekele5 ай бұрын
nimepitia hayo kaka Asante sana kwa somo lako
@StambulMohmmedi15 күн бұрын
Nimewah kukutan na vita y ushawish
@ninjaisma79835 ай бұрын
Broo uko sahihi sana be blessed kwa kutebgeneza video za maisha yetu ya kawaida
@user-je2tm9gz8l5 ай бұрын
Nashukuru kwaku nitambulisha aina vitu hivi mungu akubariki
@user-lp1vd8rl9y5 ай бұрын
Yamenikuta mwaka jana, ahsante kwa elimu nzuri
@SulleymanOmary4 ай бұрын
Well broh
@lucianambalamwezi18645 ай бұрын
Yaanii kaka kiukweli ninethibitisha hata sikuamini jamani Mungu akubariki
@user-nl2wq1go8o5 ай бұрын
Asante kw nasaha takatif- Mr Joel
@user-vs3bc3yy4v5 ай бұрын
Asante Kaka ilenikweli'miminikwenye ushawishi
@Furaha-Dokela5 ай бұрын
Tangu nikufahamu nakufatilia sana... Blessed man of God.
@joelnanauka5 ай бұрын
Ameen Furaha ahsante sanaa🙏
@user-gh9oh6mt5o5 ай бұрын
Asante sana
@herimailo81835 ай бұрын
Kaka sisi tunakuombea Mara kwa Mara ili tutimize malengo yetu.mungu akulinde.
@sircomplextz5 ай бұрын
ishi na kanuni hii " Usiache kufanya hicho unachokifanya hata kama unapitia vita ngumu kiasi gani" kwasababu ukiacha, huenda ukawa mtu wa hovyo sana kuliko ulivyokuwa
@happyvalence53525 ай бұрын
Asante @ sircomplextz. Hakika nitaendelea mbele kufanya nifanyayo japokuwa vita ni Kali sana. Ila naona naenda level nyingine. Maadui ni wengi sana ila ntashinda.
@user-qx9cv8hw2h5 ай бұрын
@@happyvalence5352never give up 💪 pambana
@franksamson17185 ай бұрын
Mambo ni mengi tumepitia kaka ila mungu anatupigania sana.
@Sumay2285 ай бұрын
Yamenikuta sehemu zote mpaka nilipogundua hili
@EsterJames-sk4te5 ай бұрын
Ukweli kabisa...Mimi nmekutana na hiyo ya influence
@bernadetachari76485 ай бұрын
Pesa huwakosanisha watu sana mwalimi
@mahwabashiri54675 ай бұрын
Fita ni fitaa Muraaa
@user-jb5tb7qq5f5 ай бұрын
Shukrani sana tupo pamoja
@user-gk6nb6oo8v5 ай бұрын
be blessed mtumish for inspiration
@user-fh4ql8ed1k5 ай бұрын
Umeniongezea maarifa
@aggreysports-tc3sd5 ай бұрын
Thanks nimebarikiwa kiukweli
@davismballa5 ай бұрын
Kila nikihisi kukata tamaa kipindi napitia nyakati ngumu basi video zako zinanipa nguvu sana ya kuendelea au kurekebisha nilipokosea. Brother Joel umekuwa Mentor wangu mzuri sana natumaini i will meet you at the top🦾
@joelnanauka5 ай бұрын
Ameen nashukuru sana sana, songa mbele
@radaonlinetv19225 ай бұрын
Hongera sana
@HassanAbdalla-is3xl5 ай бұрын
Asante sana broo na mshukuru Mungu kukufahamu najifunza sana kutoka kwako
@bushimani15445 ай бұрын
Type mbinu mkuu ujumbe umefika mbinu ndio atujajua tasingie kwenye mitego from bush man
@aderiderkihupi72405 ай бұрын
Barikiwa sana
@sharfatyally72245 ай бұрын
Your so Amazing 👏
@eveabasi24695 ай бұрын
Mi kwenye familia yangu wananipiga vita sana na kwa wakwe zangu kwa sababu nikiongea wananisikiliza. Kwa hiyo baadhi ya ndugu zangu na kwa mwanaume hawanipendi wanadai mi napendelewa
@user-iz9ci4rs3d5 ай бұрын
Ahsante sana
@ahz69075 ай бұрын
Msemo maarufu : "PENYE RIZIKI HAPAKOSI FITINA"
@daprince75455 ай бұрын
Siku moja sikwenda kazi, kumbe siku hio kulikua kuna chaguliwa supervisor. Jina langu lilitwajwa kua kuanzia leo supervisor weni ni flani. Siku iliyo fuatwa nilienda kazi, baada ya miezi miwili wahindi walinipiga vita mpaka wakashindwa
@stanleyandrea51535 ай бұрын
Kuna wakati na wanaokupenda wanataman upate ushindani ili waone nguvu Yako imeishia wap. Ukishinda tu basi wataendelea kukubali na kukuongezea thamani ..
@kuruthumukondo71495 ай бұрын
Shukrani kaka❤❤
@user-xd2wb3mz9y4 ай бұрын
Thanks 🙏
@vibetz99915 ай бұрын
Af Kuna ile Vita ya nani ale maini na firigisi pale kuku akichinjwa home.. . 😢
@merichomgonafivi17335 ай бұрын
Hatar
@Abwe_15 ай бұрын
Hayo ni ukweli halisi wa mambo.
@stephenjonas48665 ай бұрын
Always high
@emanuelalfred51945 ай бұрын
Kwa kwely kaka unatoka madini
@JrmontaizaАй бұрын
💥☑️
@user-kr1rj2ju2b5 ай бұрын
Nimepitia hayo yote matatu,moyo bado wavuja hata sasa,ila nimemuachia mola.anipe mwanzo mpia.
@tumainselestine33985 ай бұрын
No 2 vita ya Pesa
@washhjojo48405 ай бұрын
🙌
@GreatCalmtz5 ай бұрын
Mimi nimepigwa Vita kazn kwa sababu ya nafasi niliyonayo Ila nimeshinda
@paulissayapaul48195 ай бұрын
Akika akuna ushindi bila kushindana
@joelnanauka5 ай бұрын
Kabisa Kabisa 💪🏼
@paulissayapaul48195 ай бұрын
Asante Kwa kunipa mwanga ingawa sikujuwa thamani yangu ya maisha Iko wap thanks Joel Kwa kunipa taa inayo ona Bali kuliko kalibu
@alfredshafii24135 ай бұрын
Somo zuri na limeeleweka barikiwa Sana. Je kuna namna yakufanya inapotokea vita kama hii?
@alexlucas15715 ай бұрын
Amen
@priscalongo60905 ай бұрын
Fact
@faudhiasalum72795 ай бұрын
🙌🏿
@ladslauspius48455 ай бұрын
🤝
@judithgodfrey65035 ай бұрын
Ni hakika kabisa kwamba maisha ni vita. Hata neno la Mungu linasema ufalme wa Mungu ni nguvu na wenye nguvu ndio watakaouteka. Ila hizi levels na sababu za vita nazo ni dhahiri zipo. Hawa watu wa aina hizo pia wapo. 1. Anakuwazia mabaya 2. Anakunenea yasiyofaa 3. Anakutendea yasiyofaa Mwisho kabisa anakaa kimya anasikilizia matokeo ya huo uovu wake. Ukimuona kama hajafanya kitu vile. Ni wabaya Sana watu wa aina hii. ( silent killers)
@user-gb5vz6wm2q5 ай бұрын
Shangazi yangu baba mmoja mama mmoja alianza kutufanyia hivi baada ya baba yetu kufa na kutuacha tukiwa na miaka 6
@aboubakarnzisabira38705 ай бұрын
😅😅😂 3:26
@nicolauslazaro40695 ай бұрын
Kwakweli kuwa karibu na boss kuna changamoto sana iliibuka vita ambayo sokuitegemea kabisa. Kwanza nikawa natengwa naonekana napeleka umbea kwa boss kumbe hamna ni ukaribu tu. Aysee umeongea fact sana. Sasa what is way forward with this challenge author?
@jamilaathumani54815 ай бұрын
Mimi nilikuwa na ushawishi.mahali.sasa yule mwenye nafasi yake akaniundia tume Ili Ili kunichafua akanitegea mtego hatimae ikatiki uwo mtego Ili anizalilishe lakin amechemka kwamana mim Bado najiamin Sana tu vile vile kama mwanzo,,ila baada ya ule ugomvi nimetengana nae na sitaki tena ukalibu wake Wala simsaidii tena kwamana ni mnafki ,,na mungu amlaani Sana Kila sekunde Kwa unafki wake na roho mbaya yake wakati nilikuwaga namsapotig Sana kumbe ni mnafki tu,,
@ahz69075 ай бұрын
Pole.bora simba kuliko binadamu mnafiki😂
@jamilaathumani54815 ай бұрын
@@ahz6907 Asante kipenzi
@HIACINTHAKYAUKA-uz5pj5 ай бұрын
KAKA UMESEMA UKWELI USIOPINGIKA. HUKO KWA NDUGU NDIO SILENT KILLERS WENGI. WATAANZA KUUWA JINA LAKO, HALAFU CHUKI NI KUBWA, HASA KAMA WANAONA HAWAWEZI KUKUDHULUMU, AU KUKUNYANG'ANYA ULICHOKUWA NACHO. NI HATARIIII.