KWENYE MAFANIKIO HUWEZI KUKWEPA VITA - JOEL NANAUKA

  Рет қаралды 28,921

Joel Nanauka

Joel Nanauka

5 ай бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 103
@user-hp6hx6ev8b
@user-hp6hx6ev8b 5 ай бұрын
Asante kaka hii topic nimeilinganisha na ule msemo wa jamaa angu siku za nyuma ni "Ukiona eneo unalijitafutia liziki huna maadui basi jua kabisa itakuchelewesha sana kupata mafanikio', ama nenda sehemu ingine.
@aishamsemwa-zu3eo
@aishamsemwa-zu3eo 5 ай бұрын
Yaani kama umeona yanayo nikuta kaka yangu,yote unayoyasema nayapitia ila namshirikisha Mungu na ninamshukuru sana ananisaidia na anazidi kuniinua kila siku
@monicakauky8914
@monicakauky8914 2 ай бұрын
Nimeshawahi kukutana na vita yakifamilia Mungu akanisaidia nikashinda.
@user-kj4ik9bo5o
@user-kj4ik9bo5o 2 ай бұрын
Nilikuwa na rafiki angu nilipoanza kufanikiwa alinitangazia vitu vichafu kweli kaka uko sahihi san
@mazwichannel2120
@mazwichannel2120 5 ай бұрын
Mimi kuna mahali nilifanya kazi bosswangu alikuwa ananipenda sana na ananituma kazi zote yan nilichukiwa na watu na nikawa napigwa vita adi yule boss akanihamisha.Pia mimi napigwa vita sana na ndugu zangu yan inafika hatua unakuta wote wananisemea mabaya na kunichukia wanadai kuwa mama ananipenda mimi tu na kuniskiliza mimi tu kwaiyo wanamwambia mambo mabaya ili kunihusu yamuumize na anichukie.Yan walishafanya maranyingi ila nimekuwa nikiendelea kumuomba Mungu anipiganie katika vita iyo. Asante Kaka joel nimeanza kukufatilia mwezi huu ulianza ila nishaona umenifungua mambo mengi.Mungu aendelee kukutunza
@HIACINTHAKYAUKA-uz5pj
@HIACINTHAKYAUKA-uz5pj 5 ай бұрын
Ah, HIYO YA KAZINI, ILINIUMIZA SAAANA. PILI HIYO YA KWENYE FAMILIA, NDIO VITA HAAASA! HASA WAKITAKA KUKUDHULUMU, WAKASHINDWA, VITA SIO YA KITOTO! JINA LAKO LITAMWAGIWA SUMU, ILI UTENGWE, UTATAFUTIWA KESI, HATA MTU ANAFIKIA KUMWAMBIA MTU AKUSHTAKI, ILI ETI AMSAIDIE KUMWEKEA WAKILI! MWENYEZI MUNGU TUU, UNAPOSIMAMIA MAOMBI NA UKWELI, BASI MISHALE INAWARUDIA. NI KAZI SANA KWENYE MAISHA.
@user-sf7by1cr5h
@user-sf7by1cr5h 4 ай бұрын
Mm napenda sana mafunzo unayo tupatia mungu akubariki sana
@user-tm6yo3vg4j
@user-tm6yo3vg4j 5 ай бұрын
Ubarikiwe mwalim utafanyaje kuepuka vitaa kweny masomoo
@kisesagroup4730
@kisesagroup4730 5 ай бұрын
Duh kweli brother vita ni kubwa but never never give up
@user-om7pl9xm4s
@user-om7pl9xm4s 3 ай бұрын
Yeah 👍,,,,,,🪂🤔 exactly........... secretly from out of the box.🙏🙏✍️Be multiplied.............umegusa ikulu ya moyo wangu.
@HIACINTHAKYAUKA-uz5pj
@HIACINTHAKYAUKA-uz5pj 5 ай бұрын
MAKAZINI, UKIKOSA KIFO NA UKATOKA SALAMA, UJUE NI MUNGU TUU ALIYEKUPIGANIA. BIG UP BROTHER 💪
@sundaymjusi2272
@sundaymjusi2272 5 ай бұрын
Asante sana kwa hii pia kaka Mungu akuweke miaka elfu na elfu ❤❤
@ZainabuEmmanuel-vs2mo
@ZainabuEmmanuel-vs2mo 3 ай бұрын
Kweli kabisa unachokisema vita ni ngumu sana kuiepuka
@user-wh4gs8wj1z
@user-wh4gs8wj1z 5 ай бұрын
Àsante sana kwa SoMo lenye kiwango❤
@nuuali8724
@nuuali8724 5 ай бұрын
Asante kwa elimu napenda san kukusikiliza mna wanipa moy n kujiona nawez everthing is possible❤❤💪
@nestoryvenance4258
@nestoryvenance4258 2 ай бұрын
Asante nime eliwa kwenye swala la ushawishi
@prisilatarimo7454
@prisilatarimo7454 5 ай бұрын
Ahsante sana kka joely ,mmi nlifunguwa biashara mwakajana nilikutana na vita ya aina hiii yote ulosema yalinikuta had mwisho alitamka amejipanga kuniuwa mmi na watoto wang ., baadaye nlimchukulia sheria baada ya matishio makubwa mno. Baada ya hapo nilimwamin Mungu na sasa naendelea vizur na biashara yang japo vita bado ipo
@user-wy7zl2vr6k
@user-wy7zl2vr6k 5 ай бұрын
Saluti kwako, ushauri mzuri tunajionea kweli humu makazini , Allah Awalaani wanao fanyia wenzao ufitini
@HIACINTHAKYAUKA-uz5pj
@HIACINTHAKYAUKA-uz5pj 5 ай бұрын
KWELI KABISA, KAZINI NDIO BALAA.
@user-qh2ef5gj5b
@user-qh2ef5gj5b 4 ай бұрын
Daaa ndungu yote ayo ninayo asante kwa kunifungua kichwa asante sana
@furahasweya7433
@furahasweya7433 4 ай бұрын
Barikiwa kaka Joel. Vupemgele vyote vya vita vinanihusu. Mungu anitetee. Asante kwa mafundisho
@jumbewatson8639
@jumbewatson8639 4 ай бұрын
Asanteh kwa kutuweka sawa.....mimi hili swala limewah nkuta upande wa rafiki zangu kaddha wote kwa pamoja kufarakana. Na kila tulie kosana nae ulikuwa upande wa fedha.....daaah
@user-xn4fe2dy5s
@user-xn4fe2dy5s 5 ай бұрын
Thanks brother.
@user-ic1ty9pw8m
@user-ic1ty9pw8m 2 ай бұрын
Nimekutana kaka.
@194summer
@194summer 5 ай бұрын
Ubarikiwe mt,mimi ni ushawashi unaniletea vita sana
@erastohongerasanasamamagor7939
@erastohongerasanasamamagor7939 5 ай бұрын
Nakufutilia nikiwa mwanza nakuelewa sana mkuu .
@minaaminaa1781
@minaaminaa1781 5 ай бұрын
Hata ukipendwa na mume wako pia ...asantee nilikua nashangaa
@user-sf7by1cr5h
@user-sf7by1cr5h 4 ай бұрын
Mm nimekutananavyo sana nishida kaka
@joyceLukumay-lw1gi
@joyceLukumay-lw1gi 3 ай бұрын
Nguvu kubwa ndani yangu ni kuishi kwa misimamoo yangu mwenyewe but Kuna mtu nashidwaga kuwa endelevu
@fredyelisha2686
@fredyelisha2686 5 ай бұрын
Duh nashukuru sana kaka Joel hakika niko chuoni najifunza mambo mengi kutoka kwako God bless you 😊😊❤
@user-er7mo5bq5s
@user-er7mo5bq5s 5 ай бұрын
Asante kwa ujumbe kiranapo kuskiliza napata hamasa Sana ndugu
@clemencehaule3857
@clemencehaule3857 5 ай бұрын
Saizi, napitia kipindi hicho Cha vita, hakika uliyoyasema ni kweli tupu
@keviolotu
@keviolotu 3 ай бұрын
hii naipitia Mimi sahivi
@user-my9fj8jv3q
@user-my9fj8jv3q 3 ай бұрын
So nice kaka
@magrethkassian5235
@magrethkassian5235 5 ай бұрын
Ni kweli maisha ni vita mie pia ilishanitoke kazini
@kisesagroup4730
@kisesagroup4730 5 ай бұрын
Absolutely true
@user-je2tm9gz8l
@user-je2tm9gz8l 5 ай бұрын
Asante sana mkubwa ndio mimi imeshawai nitoneya nilipedwaka sana na boss mkuu wetu kazi akachukiya sana
@user-qy7wv3xv4o
@user-qy7wv3xv4o 5 ай бұрын
Umesema kweli kabisa mm nakumbuka Kuna eneo flana nimehamisha maji nikayaelekezea njia nyingine, mwanzo walinicheka sana wakisema maji hayahami wakasema navuta bangi huwezi kuamini Leo hio sehem ilivyofaa kumeibuka vita vikali mno namtu anayepataka saivi aloo nitajir ila huwezi kuamini nivita mpaka haya SS.
@MethodNdekele
@MethodNdekele 5 ай бұрын
nimepitia hayo kaka Asante sana kwa somo lako
@StambulMohmmedi
@StambulMohmmedi 15 күн бұрын
Nimewah kukutan na vita y ushawish
@ninjaisma7983
@ninjaisma7983 5 ай бұрын
Broo uko sahihi sana be blessed kwa kutebgeneza video za maisha yetu ya kawaida
@user-je2tm9gz8l
@user-je2tm9gz8l 5 ай бұрын
Nashukuru kwaku nitambulisha aina vitu hivi mungu akubariki
@user-lp1vd8rl9y
@user-lp1vd8rl9y 5 ай бұрын
Yamenikuta mwaka jana, ahsante kwa elimu nzuri
@SulleymanOmary
@SulleymanOmary 4 ай бұрын
Well broh
@lucianambalamwezi1864
@lucianambalamwezi1864 5 ай бұрын
Yaanii kaka kiukweli ninethibitisha hata sikuamini jamani Mungu akubariki
@user-nl2wq1go8o
@user-nl2wq1go8o 5 ай бұрын
Asante kw nasaha takatif- Mr Joel
@user-vs3bc3yy4v
@user-vs3bc3yy4v 5 ай бұрын
Asante Kaka ilenikweli'miminikwenye ushawishi
@Furaha-Dokela
@Furaha-Dokela 5 ай бұрын
Tangu nikufahamu nakufatilia sana... Blessed man of God.
@joelnanauka
@joelnanauka 5 ай бұрын
Ameen Furaha ahsante sanaa🙏
@user-gh9oh6mt5o
@user-gh9oh6mt5o 5 ай бұрын
Asante sana
@herimailo8183
@herimailo8183 5 ай бұрын
Kaka sisi tunakuombea Mara kwa Mara ili tutimize malengo yetu.mungu akulinde.
@sircomplextz
@sircomplextz 5 ай бұрын
ishi na kanuni hii " Usiache kufanya hicho unachokifanya hata kama unapitia vita ngumu kiasi gani" kwasababu ukiacha, huenda ukawa mtu wa hovyo sana kuliko ulivyokuwa
@happyvalence5352
@happyvalence5352 5 ай бұрын
Asante @ sircomplextz. Hakika nitaendelea mbele kufanya nifanyayo japokuwa vita ni Kali sana. Ila naona naenda level nyingine. Maadui ni wengi sana ila ntashinda.
@user-qx9cv8hw2h
@user-qx9cv8hw2h 5 ай бұрын
​@@happyvalence5352never give up 💪 pambana
@franksamson1718
@franksamson1718 5 ай бұрын
Mambo ni mengi tumepitia kaka ila mungu anatupigania sana.
@Sumay228
@Sumay228 5 ай бұрын
Yamenikuta sehemu zote mpaka nilipogundua hili
@EsterJames-sk4te
@EsterJames-sk4te 5 ай бұрын
Ukweli kabisa...Mimi nmekutana na hiyo ya influence
@bernadetachari7648
@bernadetachari7648 5 ай бұрын
Pesa huwakosanisha watu sana mwalimi
@mahwabashiri5467
@mahwabashiri5467 5 ай бұрын
Fita ni fitaa Muraaa
@user-jb5tb7qq5f
@user-jb5tb7qq5f 5 ай бұрын
Shukrani sana tupo pamoja
@user-gk6nb6oo8v
@user-gk6nb6oo8v 5 ай бұрын
be blessed mtumish for inspiration
@user-fh4ql8ed1k
@user-fh4ql8ed1k 5 ай бұрын
Umeniongezea maarifa
@aggreysports-tc3sd
@aggreysports-tc3sd 5 ай бұрын
Thanks nimebarikiwa kiukweli
@davismballa
@davismballa 5 ай бұрын
Kila nikihisi kukata tamaa kipindi napitia nyakati ngumu basi video zako zinanipa nguvu sana ya kuendelea au kurekebisha nilipokosea. Brother Joel umekuwa Mentor wangu mzuri sana natumaini i will meet you at the top🦾
@joelnanauka
@joelnanauka 5 ай бұрын
Ameen nashukuru sana sana, songa mbele
@radaonlinetv1922
@radaonlinetv1922 5 ай бұрын
Hongera sana
@HassanAbdalla-is3xl
@HassanAbdalla-is3xl 5 ай бұрын
Asante sana broo na mshukuru Mungu kukufahamu najifunza sana kutoka kwako
@bushimani1544
@bushimani1544 5 ай бұрын
Type mbinu mkuu ujumbe umefika mbinu ndio atujajua tasingie kwenye mitego from bush man
@aderiderkihupi7240
@aderiderkihupi7240 5 ай бұрын
Barikiwa sana
@sharfatyally7224
@sharfatyally7224 5 ай бұрын
Your so Amazing 👏
@eveabasi2469
@eveabasi2469 5 ай бұрын
Mi kwenye familia yangu wananipiga vita sana na kwa wakwe zangu kwa sababu nikiongea wananisikiliza. Kwa hiyo baadhi ya ndugu zangu na kwa mwanaume hawanipendi wanadai mi napendelewa
@user-iz9ci4rs3d
@user-iz9ci4rs3d 5 ай бұрын
Ahsante sana
@ahz6907
@ahz6907 5 ай бұрын
Msemo maarufu : "PENYE RIZIKI HAPAKOSI FITINA"
@daprince7545
@daprince7545 5 ай бұрын
Siku moja sikwenda kazi, kumbe siku hio kulikua kuna chaguliwa supervisor. Jina langu lilitwajwa kua kuanzia leo supervisor weni ni flani. Siku iliyo fuatwa nilienda kazi, baada ya miezi miwili wahindi walinipiga vita mpaka wakashindwa
@stanleyandrea5153
@stanleyandrea5153 5 ай бұрын
Kuna wakati na wanaokupenda wanataman upate ushindani ili waone nguvu Yako imeishia wap. Ukishinda tu basi wataendelea kukubali na kukuongezea thamani ..
@kuruthumukondo7149
@kuruthumukondo7149 5 ай бұрын
Shukrani kaka❤❤
@user-xd2wb3mz9y
@user-xd2wb3mz9y 4 ай бұрын
Thanks 🙏
@vibetz9991
@vibetz9991 5 ай бұрын
Af Kuna ile Vita ya nani ale maini na firigisi pale kuku akichinjwa home.. . 😢
@merichomgonafivi1733
@merichomgonafivi1733 5 ай бұрын
Hatar
@Abwe_1
@Abwe_1 5 ай бұрын
Hayo ni ukweli halisi wa mambo.
@stephenjonas4866
@stephenjonas4866 5 ай бұрын
Always high
@emanuelalfred5194
@emanuelalfred5194 5 ай бұрын
Kwa kwely kaka unatoka madini
@Jrmontaiza
@Jrmontaiza Ай бұрын
💥☑️
@user-kr1rj2ju2b
@user-kr1rj2ju2b 5 ай бұрын
Nimepitia hayo yote matatu,moyo bado wavuja hata sasa,ila nimemuachia mola.anipe mwanzo mpia.
@tumainselestine3398
@tumainselestine3398 5 ай бұрын
No 2 vita ya Pesa
@washhjojo4840
@washhjojo4840 5 ай бұрын
🙌
@GreatCalmtz
@GreatCalmtz 5 ай бұрын
Mimi nimepigwa Vita kazn kwa sababu ya nafasi niliyonayo Ila nimeshinda
@paulissayapaul4819
@paulissayapaul4819 5 ай бұрын
Akika akuna ushindi bila kushindana
@joelnanauka
@joelnanauka 5 ай бұрын
Kabisa Kabisa 💪🏼
@paulissayapaul4819
@paulissayapaul4819 5 ай бұрын
Asante Kwa kunipa mwanga ingawa sikujuwa thamani yangu ya maisha Iko wap thanks Joel Kwa kunipa taa inayo ona Bali kuliko kalibu
@alfredshafii2413
@alfredshafii2413 5 ай бұрын
Somo zuri na limeeleweka barikiwa Sana. Je kuna namna yakufanya inapotokea vita kama hii?
@alexlucas1571
@alexlucas1571 5 ай бұрын
Amen
@priscalongo6090
@priscalongo6090 5 ай бұрын
Fact
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 5 ай бұрын
🙌🏿
@ladslauspius4845
@ladslauspius4845 5 ай бұрын
🤝
@judithgodfrey6503
@judithgodfrey6503 5 ай бұрын
Ni hakika kabisa kwamba maisha ni vita. Hata neno la Mungu linasema ufalme wa Mungu ni nguvu na wenye nguvu ndio watakaouteka. Ila hizi levels na sababu za vita nazo ni dhahiri zipo. Hawa watu wa aina hizo pia wapo. 1. Anakuwazia mabaya 2. Anakunenea yasiyofaa 3. Anakutendea yasiyofaa Mwisho kabisa anakaa kimya anasikilizia matokeo ya huo uovu wake. Ukimuona kama hajafanya kitu vile. Ni wabaya Sana watu wa aina hii. ( silent killers)
@user-gb5vz6wm2q
@user-gb5vz6wm2q 5 ай бұрын
Shangazi yangu baba mmoja mama mmoja alianza kutufanyia hivi baada ya baba yetu kufa na kutuacha tukiwa na miaka 6
@aboubakarnzisabira3870
@aboubakarnzisabira3870 5 ай бұрын
😅😅😂 3:26
@nicolauslazaro4069
@nicolauslazaro4069 5 ай бұрын
Kwakweli kuwa karibu na boss kuna changamoto sana iliibuka vita ambayo sokuitegemea kabisa. Kwanza nikawa natengwa naonekana napeleka umbea kwa boss kumbe hamna ni ukaribu tu. Aysee umeongea fact sana. Sasa what is way forward with this challenge author?
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 5 ай бұрын
Mimi nilikuwa na ushawishi.mahali.sasa yule mwenye nafasi yake akaniundia tume Ili Ili kunichafua akanitegea mtego hatimae ikatiki uwo mtego Ili anizalilishe lakin amechemka kwamana mim Bado najiamin Sana tu vile vile kama mwanzo,,ila baada ya ule ugomvi nimetengana nae na sitaki tena ukalibu wake Wala simsaidii tena kwamana ni mnafki ,,na mungu amlaani Sana Kila sekunde Kwa unafki wake na roho mbaya yake wakati nilikuwaga namsapotig Sana kumbe ni mnafki tu,,
@ahz6907
@ahz6907 5 ай бұрын
Pole.bora simba kuliko binadamu mnafiki😂
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 5 ай бұрын
@@ahz6907 Asante kipenzi
@HIACINTHAKYAUKA-uz5pj
@HIACINTHAKYAUKA-uz5pj 5 ай бұрын
KAKA UMESEMA UKWELI USIOPINGIKA. HUKO KWA NDUGU NDIO SILENT KILLERS WENGI. WATAANZA KUUWA JINA LAKO, HALAFU CHUKI NI KUBWA, HASA KAMA WANAONA HAWAWEZI KUKUDHULUMU, AU KUKUNYANG'ANYA ULICHOKUWA NACHO. NI HATARIIII.
EPUKA  HAYA KWENYE  ENEO LA KAZI - JOEL NANAUKA
10:44
Joel Nanauka
Рет қаралды 52 М.
NJIA WANAZOTUMIA KUKUTOA KWENYE RELI - JOEL NANAUKA
6:15
Joel Nanauka
Рет қаралды 19 М.
路飞太过分了,自己游泳。#海贼王#路飞
00:28
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 21 МЛН
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
00:29
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 10 МЛН
Summer shower by Secret Vlog
00:17
Secret Vlog
Рет қаралды 10 МЛН
WATU WATANO MUHIMU MAISHANI MWAKO - JOEL NANAUKA
8:30
Joel Nanauka
Рет қаралды 16 М.
JOEL NANAUKA - KWA NINI WATU WANAKUCHUKIA?
6:17
Joel Nanauka
Рет қаралды 35 М.
KUSUDI LA MAISHA YAKO - JOEL NANAUKA EPISODE 02
10:00
Family of Praying Women
Рет қаралды 9 М.
Nini Chakufanya Unaposemwa Vibaya Na Watu?
11:28
Joel Nanauka
Рет қаралды 177 М.
LIFE WISDOM : IJUE NGUVU ILIYOPO NDANI YAKO - JOEL NANAUKA
15:34
Joel Nanauka
Рет қаралды 16 М.
FANYA JAMBO MOJA KWA MUDA MREFU - JOEL NANAUKA
29:30
Joel Nanauka
Рет қаралды 175 М.
DR IPYANA ft JOEL NANAUKA // DAMU YA YESU NA UTAJIRI
18:43
Dr Ipyana
Рет қаралды 48 М.
JOEL NANAUKA - MUDA SAHIHI WA KUKAA KIMYA
8:09
Joel Nanauka
Рет қаралды 73 М.
Joel Nanauka - Vitu Vinavyozuia Watu Wasifikie Malengo Yao
35:09
路飞太过分了,自己游泳。#海贼王#路飞
00:28
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 21 МЛН