Mimi muislam ila huyu mchungaji namkubali na napenda sana mafundisho yake
@sabinakilian3176 Жыл бұрын
Nilijua nimemaliza kukutizama kupitia interview zingine kumbe kuna mengi ulikwa hujayasema leo nmekufaidi kweli, asanteni Tiki Tv.
@dianadaudi3380 Жыл бұрын
Naombeni like zangu cjasahau
@kalistamtanzania7220 Жыл бұрын
Haya na mimi nmekupa
@theresiamwandara7990 Жыл бұрын
Da!Tuwaheshimu watu wametoka mbali.Mchungaji Mwenyezi Mungu akubariki
@lobnalobna2393 Жыл бұрын
Huyu mchungaji huwa namwelewa Sana mungu amu bariki Sana
@abdallahrashid169 Жыл бұрын
Na uislam wangu natamani kujua kanisa lake lipo wapi japo niende kwenye ibada zake.
@pilimusa3217 Жыл бұрын
😳
@feli6manangu182 Жыл бұрын
Heeeee🙄🙄🙄🙄🙄🙄
@pilimusa3217 Жыл бұрын
@@feli6manangu182 umeona eee. Eti aende kanisani. Kaaaa
@mwanakhatib5825 Жыл бұрын
Jamani
@EradeErias-un3cm Жыл бұрын
Napenda sna mahubiri yako maan nabarikiwa Mungu aendelee kukutia nguvu
@kalistamtanzania7220 Жыл бұрын
Ni kweli jamani kodi inakwelnda haraka kuliko mwendokasi mwenyewe nmelipa miezi sita juzi tu jana mwenye nyumba kanitumia msg kunikumbusha kuwa tar. 23 mwezi huu natakiwa kulipa kodi sielewi miezi sita imeisihia wapi.
@dianadaudi3380 Жыл бұрын
😂😂😂😂nampendaga sana huyu mchungaji aisee🙌
@amangearge9594 Жыл бұрын
Daaah🤣🤣🤣
@princessmgaya1826 Жыл бұрын
Hunishindi mimi kwakweli sichoki kumuangalia
@sacg9783 Жыл бұрын
Mchungaji ww MUNGU akuweke miaka mingi kwakweli
@neemamassawe3675 Жыл бұрын
Asante mchungaji Mungu akubariki saana
@emanuelmbaga6848 Жыл бұрын
Hiyo story ya kuku wa mazingaombwe imenichekesha kweli.
@edithastephano7734 Жыл бұрын
Safi sana Mzee wa ukweli
@amangearge9594 Жыл бұрын
Nilikua natamani sana tiki tv mumuhoji huyu baba,nimeenjoy sana kuliko interview zake zote pole kelvin shayo kwa kuvunjwa mbavu😂😂😂😂
@kalistamtanzania7220 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 ila mchungaji yupo vizuri huyu
@davidwaziri8176 Жыл бұрын
Hata mimi nmefurahi sanaaa kwakweli
@emanuelmbaga6848 Жыл бұрын
Huyu mchungaji anaonekana amemeza bible kuliko hata askofu wake
@lobnalobna2393 Жыл бұрын
Yaani umenifanya nicheke kwa lazima😂😂😂😂😂
@mariahaloyce5190 Жыл бұрын
Thank you Kevin
@makinitv4891 Жыл бұрын
Kwa interview hii wachungaji wasio wa haki watakuchukia sana ila usirudi nyuma
@stellamsokwa6785 Жыл бұрын
Wamchukie kivipi kila mtu na historia yake ya aliyoyapitia. ..
@jumapiliissa4835 Жыл бұрын
HAHAHAHA huwa nakukubali sana mzee shoyo kazinzuli
@davidwaziri8176 Жыл бұрын
Interview tamu sana hii Big up Tiki Tv and Kelvin
@emanuelmbaga6848 Жыл бұрын
Kabisa
@ukendemartin165 Жыл бұрын
Mchungaji yupo vizur
@felicianamutakyahwa1549 Жыл бұрын
Mungu akulinde mtumishi wako
@felicianamutakyahwa1549 Жыл бұрын
Mtumishi wake
@jacksonbonifacekileo9652 Жыл бұрын
Nahitahitaji number ya mch R. Hananjq
@wilfredbalohho2283 Жыл бұрын
Mungu tu!
@princessmgaya1826 Жыл бұрын
Maake kwanza ncheke😂😂😂😂
@adolphendereyabandi5746 Жыл бұрын
Ujengewe sanamu mchungaji,asei umefundisha ukweli
@bahatikyusa8864 Жыл бұрын
Dar interview Tam hiii
@tanzaniacarschannel6975 Жыл бұрын
Haya ndo mahubiri yenye uhalisia na sio Mambo ya Mwamposa
@happush2021 Жыл бұрын
Mchungaji barikiwa umenipa nguvu nakuenzi naomba nipate Hela niende bible school
@dariamushi9356 Жыл бұрын
Tiki Tv nawapata vizuri nikiwa Babati huku.
@ruwaidaal-ismaily9099 Жыл бұрын
😀😀😀😀
@kambulatamwambablaisenews5128 Жыл бұрын
Jamani
@geraldtarimo3210 Жыл бұрын
Kweli hata makabulini kuna misalaba,upo sahihi mzee
@esperancesudi2842 Жыл бұрын
To be continued
@patyflaviank51994 ай бұрын
Tunaomba interview yake nyingine
@salhakhamis4629 Жыл бұрын
Hahahahahahahaa et ukimwita lazima uimbe docta rouseee
@marthakisanga5963 Жыл бұрын
Utoo utumwa ujana maswali uzee ugonjwa raia wa nchi mbili duniani na mbinguni😂😂😂
@janeongala6684 Жыл бұрын
Kwel jamani kodi ni noma uku india tunaripa kira mwezi yani inaenda haraka sana
@malabakalibata7227 Жыл бұрын
Umenifngua akili, San mchungaji.
@missmwayway4704 Жыл бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅Aaaaaiiiiiiiii weweeeeeeeeee
@nasiraidid5861 Жыл бұрын
Nilikuwa mfupi kama tairi ya gari lol! 😂😂😂😂😂😂😂
@deborahrehema5819 Жыл бұрын
😅😅🤣🤣🤣😂😂🤣🤣🤣🤣😅😅 huyu mchungaji
@marthakisanga5963 Жыл бұрын
Hata nyau ana mke lakini kama ameoa😂😂😂
@marthakisanga5963 Жыл бұрын
Nyau ana mke lakini hajui kama ameoa
@sabinamushi1003 Жыл бұрын
Mbavu zangu mimi jmn 🤣🤣🤣🤣
@janeshayo1667 Жыл бұрын
🥱🥱🥱 nmecheka hadi nmepaliwa 🤣🤣🤣🤣🤣
@dariamushi9356 Жыл бұрын
Mchungaji umejua kunichekeaha jamani
@kalistamtanzania7220 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
@cocorita8367 Жыл бұрын
Hata maji unywi mchunguji duh
@habarikamili9408 Жыл бұрын
Mhh.. sawa ila hapo kwa tundaman kuingia na Jeneza na msalaba ametukosea sana wana Yanga.
@missmwayway4704 Жыл бұрын
Amewakosea nyie wanayanga tena, Sio wenye Imani ya upande wa pili? Kwani Yanga ni Dini au wenae umepuyanga
@dariamushi9356 Жыл бұрын
Warangi wazuri zaidi.
@janeshayo1667 Жыл бұрын
Mhhh wachaga bhana.😋
@raykim6420 Жыл бұрын
Hahahaaa hananja oyeeee😂😂
@ceciliastephano3020 Жыл бұрын
Hongera sana Mch Rich
@ceciliastephano3020 Жыл бұрын
Unapatikana wapi Mch
@emanuelmbaga6848 Жыл бұрын
Baabah?😂😂😂😂
@pilimusa3217 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@paulinaswalehe5298 Жыл бұрын
Chacha mwisho saa sita bila kukaangaa chips
@kambulatamwambablaisenews5128 Жыл бұрын
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣niatari
@catherinensemwa3907 Жыл бұрын
Leo hata wanaume wazuri😂😂😂
@dariamushi9356 Жыл бұрын
Warangi bhana
@ashabakke4733 Жыл бұрын
Mchungaji km hutumii alcohol. Tuambie kilevi gani.unatumia mbona mimi naona km umekunywa sana. Tupe ukweli .
Huyu baba maneno sijui anayatoaga wapi hapo kwenye wachungaji kutaka hela zetu halafu wanatulaana ukweli kabisa Yani unaenda kanisani unakalipiwa na unaambiwa utoe ubarikiwe daah ukifungua kanisa me ntakua muumini wako mchungani nikufurahi tu🤣🤣
@mariamswedi1140 Жыл бұрын
kwa hyo unataka maneno ya kufarijiwa alafu uende mbinguni barabara ya mbinguni n nyembamba sana
@davidwaziri8176 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@feli6manangu182 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@genesishalisi7161 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😅
@sacg9783 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@thelionwomen4970 Жыл бұрын
Uyo ni muchungaji ama comedian parsol
@gestinabunganiekuya6300 Жыл бұрын
Hakuna mchungaji wa Mungu wa kweli anayeongea mizaha na lugha za kihuni huyu ameshavamiwa na roho chafu
@sabinamushi1003 Жыл бұрын
Kama ww mtakatifu tangulia mbinguni unafanyaje hapa duniani sipendi mijitu inayopenda kuhukumu wengine😏
@josephjohn2114 Жыл бұрын
Na manabii wanaojiita bulldozer, komando mashimo, nabii mkuu, mzee wa upako utasemaje? .unahitaji kuongeza maarifa.
@amanlenatus9067 Жыл бұрын
Wewe maarifa yamepungua hujielew
@edwinmwiti8936 Жыл бұрын
Nakuonea huruma
@esperancesudi2842 Жыл бұрын
To be continued
@khadijayusuf7968 Жыл бұрын
Tiki tv kiakili zaidi tunawapenda
@princessmgaya1826 Жыл бұрын
Tiki Tv hoyeeeee hata mimi nawapenda sana wapo vizuri