MCH. HANANJA: HATAMIMI NINA TAMAA KUNA WANAWAKE KAMA KAMA WAMESHUSHWA I KUNA VIUNGO HAVIOKOKI N..

  Рет қаралды 231,736

Tiki Tv

Tiki Tv

Күн бұрын

Пікірлер: 210
@missmwayway4704
@missmwayway4704 2 жыл бұрын
Daaaaahhhh aisee Allah azidi kukupa Afya njema na maisha marefu 🤲🙏🏼
@martinntulo9190
@martinntulo9190 2 жыл бұрын
Wanachnjana ka nyau mmmh
@gracedonald385
@gracedonald385 2 жыл бұрын
Namwelewa sana,aliniokoa kwa mwanaume tapeli ,asante baba
@queenmunuo5269
@queenmunuo5269 2 жыл бұрын
Mchungaji Mungu akutunze. Nimekupenda bure. Somo zuri sana
@johnnehemia8320
@johnnehemia8320 2 жыл бұрын
Mchungaji nimekuelewa na maneno Yako Matamu na yakujenga mungu akubariki Sana
@webijacktan6668
@webijacktan6668 2 жыл бұрын
Ubarikiwe mzee wetu kwa kujitolea kutupa maarifa wengi tunakuelewa sana:
@patrickmkunda3666
@patrickmkunda3666 2 жыл бұрын
Hiki ni kipawa kilichotukuka na Kila mwanadamu anacho Cha kwake tunashindwa tu namma ya kuvitumia.Mungu andelee kukupa nguvu mtumishi ongera Sana pia Kwa kielimisha jamii.
@jameskennedy5794
@jameskennedy5794 2 жыл бұрын
uko vizuri sana mchungaji ! sichoki kukusikiliza kunavitu najifunza
@salmaomar8011
@salmaomar8011 2 жыл бұрын
Shukrani wa somo Mungu akupe umri mrefu
@faizahwere5323
@faizahwere5323 2 жыл бұрын
From Kenya ameni mtumishi wa mungu 🙏
@princessmgaya1826
@princessmgaya1826 2 жыл бұрын
hapo kwenye kununa ni kweli ndiyo maana hata mimi nmeachana namtu wangu, naomba kama una kijana mkubwa anioe tu.
@samtajiri693
@samtajiri693 2 жыл бұрын
Nipo hapa na mimi sijaoa
@machoguhameri7757
@machoguhameri7757 2 жыл бұрын
Mchungaji tunaomba vitabu na DVD zako ili tujifunze zaidi na kuwafundisha vijana wetu
@perfectgodifrey3831
@perfectgodifrey3831 2 жыл бұрын
njoo nikuoe
@lucyngowi1299
@lucyngowi1299 Жыл бұрын
Haaaaaaaa
@amiriathumani6758
@amiriathumani6758 Жыл бұрын
Mzee unajuwa sana mwenyezi Mungu akurinde sana
@princessmgaya1826
@princessmgaya1826 2 жыл бұрын
hahaha sema baba maana ukweli mwingi wachungaji wengine hawasemi mimi mimi hadi najikuta nakupenda bure, naomba uwe baba mkwe wangu basi.
@sabinakilian3176
@sabinakilian3176 2 жыл бұрын
Make kwanza ncheke😂😂
@samtajiri693
@samtajiri693 2 жыл бұрын
Mimi mwanae hapa nishakupenda
@stellah3844
@stellah3844 2 жыл бұрын
Hahaha kwakweli alafu unampelekea wajukuu zake yaan kila weekend tunataka kwenda kwa babu🤣🤣
@LilianMbangwa
@LilianMbangwa Ай бұрын
Hahahaahha nimecheka​@@stellah3844
@asiyharoon9471
@asiyharoon9471 2 жыл бұрын
Mmh kwakweli nimecheka lkn nimejifunza kitu hasa kuhusu mahusiano nimejitambua ss Asante sn tiki tv
@JumanneElias-g8d
@JumanneElias-g8d Ай бұрын
Safi sana Mchungaji Hananja,nimepata somo zuri sana leo
@aminabasso3371
@aminabasso3371 2 жыл бұрын
Ila mtangazaji uko vizuri, huingilii mazungumzo,, kipindi kiko powa
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 kuna mafunzo makubwa, japo kuna sehemu ni kicheko. Mwenyezi Mungu akuweke insha Allah.
@jolemerci2155
@jolemerci2155 2 жыл бұрын
Mimi nikimusikiliza uyu baba hâta nasilika n'a jikuta nacheka sana ana utani wa cheko🤣🤣
@zawadielyona8439
@zawadielyona8439 2 жыл бұрын
Mungu akubariki Mchungaji kwa mafundisho mazuri
@janeshayo1667
@janeshayo1667 2 жыл бұрын
Huyu akiwa mchungaji wako kila siku unatakan uende kanisani ni furaha tu
@JuliusKale-b9m
@JuliusKale-b9m 8 ай бұрын
Uko sawa jane
@MarwaNyamhanga-xz1lv
@MarwaNyamhanga-xz1lv 2 ай бұрын
Watu waliopewa kipawa na mungu ni kama huyu. Ukitaka kujifunza neno fatilia mafundisho ya huyu mchungaji.
@MichaelMsambwa-q9d
@MichaelMsambwa-q9d 7 ай бұрын
Ansante baba kwa mafunzo yako mengi nilikua sijui ubalikiwe❤
@funnycomedyvines1467
@funnycomedyvines1467 2 жыл бұрын
Sema baba sema kweli kuna vifaa kama vimeshushwa.
@abdallahrashid169
@abdallahrashid169 2 жыл бұрын
Asante kwa kusifia waislam nikweli tunahofu ya mungu Zanzibar hakuna mambo ya ajabu kabisa ndo mana tunaamani sana na huwezi sikia mauaji kama sehemu zingine
@glorymsopa4221
@glorymsopa4221 2 жыл бұрын
Hili ht mimi naamini hilo kiukweli sjawahi sikia kweli huko kuna hofu ya mungu bnfs napapenda zanzibar
@missmwayway4704
@missmwayway4704 2 жыл бұрын
Haswaaaaaaaaa
@sabinaonline6575
@sabinaonline6575 2 жыл бұрын
Yule wa tajili wa Mwanz Saidi vepe jamani mbona aliua
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Жыл бұрын
Hajasifia Uislam amesisitiza imani. Kama Wazanzibar wangekuwa na Uislam ndani ya mioyo yao Sheria za Kiislam zingesimama automatic. Hakuna mauwaji lakini kwa kubakana hatari!
@sadanahimana7193
@sadanahimana7193 2 жыл бұрын
Ni Kweli ukiwa na mtu wakutumia vinywaji vya kulevya huwezi kufika kwa mapato kabisa utaishia pabaya .
@davidwaziri8176
@davidwaziri8176 2 жыл бұрын
Hapo kwenye uchumba kuichukua miaka mingi Lina nihusu kabisa hilo 🤔
@AtanasiaChuwa
@AtanasiaChuwa 2 ай бұрын
Mm ukweli mtupu kila kona sipati usingizi
@akinyisusan8049
@akinyisusan8049 2 жыл бұрын
Leta mchungaji huyu tena na tena manake nimecheka sana 😃🙏🔥😍
@isackmachiyanshoka6754
@isackmachiyanshoka6754 Жыл бұрын
❤ Huyu Mzee anakipaji kikubwa sana , anamaarifa mengi mno. Ubarikiwe sana mtumishi Wa MUNGU.
@halemmmbarak16
@halemmmbarak16 2 жыл бұрын
Love U Big mtumishi Hananja. Ur more than mchungaji maneno yako ya kweli na yenye busara.Long Live Hananja.
@SalmaHassan-l1d
@SalmaHassan-l1d Жыл бұрын
Mchungaji Hananjaa nakukubali sanaaaaa napendaaaa mahubiriii yakooooo
@theresiamwandara7990
@theresiamwandara7990 2 жыл бұрын
Yani mchungaji kila anaekusikiliza anajifunza kitu, kwanza huchoshi.Mi naona upewe kipindi redioni tuwe tunakusikiliza mara kwa mara.
@VincentKanubi-oi8hx
@VincentKanubi-oi8hx Жыл бұрын
Biblia ndio msingi.baba asante
@mossesezekiel7862
@mossesezekiel7862 2 жыл бұрын
Amina mtumishi umenena!!! 🙏🙏🙏
@rosemalle3600
@rosemalle3600 2 жыл бұрын
Anayosema huyu Mchungaji niyakweli,yaani hafichi Niya kweli
@eliethkwesigabo1990
@eliethkwesigabo1990 Жыл бұрын
Asante tunajifunza
@rittaaziz4470
@rittaaziz4470 Жыл бұрын
BIG UP PST HANANJA ... PST RIIICH
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 2 жыл бұрын
Mzee huwa nakukubali sana akilinyingi uwelewa fulu hongera kevn shayo
@stellah3844
@stellah3844 2 жыл бұрын
Wakwanza leo Huyu mchungaji Noumaaaaa💕🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@sabinakilian3176
@sabinakilian3176 2 жыл бұрын
Umeona eeh🤣🤣🤣
@janeshayo1667
@janeshayo1667 2 жыл бұрын
Uko chapu Stella khaaa🙌🙌🙌
@princessmgaya1826
@princessmgaya1826 2 жыл бұрын
Hongera zako kweli upo vizuri naomba Tiki Tv wakupe Zawadi maana mara nyingi kweli unakuwa wa kwanza.
@stellah3844
@stellah3844 2 жыл бұрын
@@princessmgaya1826 Hahaha inabid tuongee na Kelvn kwakweli
@stellah3844
@stellah3844 2 жыл бұрын
@@sabinakilian3176 💕
@glorymsopa4221
@glorymsopa4221 2 жыл бұрын
Mchunga huyu namwelew sana binfsi najifunza vitu vingi
@esterjeremiah4700
@esterjeremiah4700 2 жыл бұрын
Unavineno kama umekunywa supu ya ulimi wa mbuzi,nimecheka kwa nguvu mpaka nimepaliwa😂😂😂😂
@sabinakilian3176
@sabinakilian3176 2 жыл бұрын
Hapo kwenye unakula mate ya mtu kama juice ya bakhesa me hoi 😂😂😂
@gluxas9566
@gluxas9566 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@aishaamwalimu2887
@aishaamwalimu2887 Жыл бұрын
😂😂😂
@kelvinbusiness2049
@kelvinbusiness2049 Жыл бұрын
@@gluxas9566 /
@kelvinbusiness2049
@kelvinbusiness2049 Жыл бұрын
@@aishaamwalimu2887 f-
@kelvinbusiness2049
@kelvinbusiness2049 Жыл бұрын
A
@jonasisdory7833
@jonasisdory7833 2 жыл бұрын
Hongera Sana Mchungaji wangu
@anandemungure2500
@anandemungure2500 2 жыл бұрын
Hapana chezea usingizi. Asante Mchungaji 🙏
@khadijakinyala9407
@khadijakinyala9407 2 жыл бұрын
Hata sichoki kusikiliza huy baba jamn 😂😂😍😍😍😍
@sacg9783
@sacg9783 2 жыл бұрын
MUNGU akuweke baba mchungaji mafundisho yako yanajenga
@pilimusa3217
@pilimusa3217 2 жыл бұрын
Nampenda sana mchungaji
@zabrongermanus-co1jj
@zabrongermanus-co1jj Жыл бұрын
Sahihi
@pilimusa3217
@pilimusa3217 2 жыл бұрын
Maneno mazuri sana mchungaji
@copchurch2474
@copchurch2474 2 жыл бұрын
Amina mafunzo kabambe
@Kulindwa
@Kulindwa 2 жыл бұрын
No one is without desire and live, for desire is life! China, Japan, hawauani kama kwenye wachamungu...uhalisia hauongopi
@michaelmnkai8491
@michaelmnkai8491 2 жыл бұрын
Sura ya kusoma
@georgedaniel4962
@georgedaniel4962 Жыл бұрын
Huyu dingi anaakili sana sema hii nchi sio unajua nini bali nani anakujua.
@samantony6693
@samantony6693 2 жыл бұрын
oyoooo hv mnsikia hekima za Mungu???
@saidimnyani3330
@saidimnyani3330 2 жыл бұрын
Huyu mzee ni kiboko kwa kweli
@jolemerci2155
@jolemerci2155 Жыл бұрын
Tuta mukumbukaka siku moja ata à haka histwar
@sabinakilian3176
@sabinakilian3176 2 жыл бұрын
Daaah ila yote asemayo kweli kabisa Yani nakupenda baba fungus kanisa ntakuja😂😂
@janeshayo1667
@janeshayo1667 2 жыл бұрын
Hata me lazima niende weeh🙌😂
@godlistengodlisten7552
@godlistengodlisten7552 2 жыл бұрын
MZEE WA MADINI MUNGU AKUTUNZE BABA UENDELEE KUTUPA FURAHA YA NENO LA MUNGU,,NA MAARIFA.🙏🙏🙏
@erastobraiton9458
@erastobraiton9458 2 жыл бұрын
Saf sana mtumishi
@athumankhalfan7836
@athumankhalfan7836 2 жыл бұрын
Eti over time wanasura za babu zao dah 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@otavinamsigala7532
@otavinamsigala7532 Жыл бұрын
Nakuelewa sana
@neemachalamila590
@neemachalamila590 2 жыл бұрын
Hahaha nimekumbuka mbali Sana ,Mimi ni mama wa watoto wawili, hata nami nilianguka mikono mibaya Sana kwenye ndoa ! Ni mume lakini hakuwahi hata kutamani kufahamu familia yangu, nimeumwa Sana hospital doctor anamuuliza mume huyu mkeo anaitwa Neema Nani ? Hakuwa akijua Jina la baba yangu 🤣🤣 Dunia Ina Mambo
@jessicamasepo8320
@jessicamasepo8320 2 жыл бұрын
Umenifurahisha sana, polee, wanaume Hawa ni shida ingawa sio wote, wema wapo
@renisterhyera2552
@renisterhyera2552 Жыл бұрын
Pole sana dadaangu najua Mungu hajakuacha
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Жыл бұрын
Sasa umeolewa je, kwenye Uislam Mzee wako (Walii) ndio anaehusika na kuozesha.
@gervasexavery2977
@gervasexavery2977 2 жыл бұрын
Mtumishi wa MUNGU unafundisha vizuri ila maneno ya mizaha nimengi, mbele za MUNGU sio nzuri zaburi1:1-2
@beatricemaganga7282
@beatricemaganga7282 2 жыл бұрын
Luka 6:41-45 BHN Kwa nini wakiona kibanzi jichoni mwa ndugu yako, na papo hapo huioni boriti iliyoko jichoni mwako? Au, wawezaje kumwambia ndugu yako, ‘Ndugu, ngoja nikuondoe kibanzi jichoni mwako,’ na huku huioni boriti iliyomo katika jicho lako mwenyewe? Mnafiki wewe! Toa kwanza boriti iliyomko jichoni mwako, na hapo ndipo utaona sawasawa kiasi cha kuweza kuondoa kibanzi kilicho jichoni mwa ndugu yako. “Mti mzuri hauzai matunda mabaya, wala mti mbaya hauzai matunda mazuri. Watu huutambua mti kutokana na matunda yake.
@evelinemlay5572
@evelinemlay5572 2 жыл бұрын
Zaburi 1;2 inazungumzia juu ya mabaraza ya mizaa naamini mizaha ni ile yenye kukejeli wenigine na siyo kuchekesha na kufurahisha!
@salomemtwale5370
@salomemtwale5370 Жыл бұрын
Anongea maisha halisi,sema Huwa anapresent kwa utani wa kuchekesha, uzuri utani wake unachekesha na kufundisha, na Hilo la superglue,mate kama juice ni uhalisia wa maisha wa sasa,sio masiala
@mbotwambotwa2186
@mbotwambotwa2186 2 жыл бұрын
Hata sichoki kusikiliza point nyinginyingi tu
@hejopantumsifusimon21
@hejopantumsifusimon21 2 жыл бұрын
majuto nikakaako mnafanana kweli mnachekesh
@esterjeremiah4700
@esterjeremiah4700 2 жыл бұрын
Wanaweza wakawa na undugu hawa maana daaah😂😂🤣
@emanuelmbaga6848
@emanuelmbaga6848 2 жыл бұрын
Kumbe kunawanawake wanaenda kanisani kutega wachungaji safi sana ulivyofanya
@daviddaniel6194
@daviddaniel6194 2 жыл бұрын
100% 100% wankoshaaaaaaaaa weyeeeeeee ananja
@kadulathumani7517
@kadulathumani7517 2 жыл бұрын
Mafunzo makubwa kupitia joa ya Comedy na ukweli na Mafunzo ya Dini. Amri ya Dini zote hazitaki maasi. Zinafundisha kumjuwa Mmungu na kufuata miongozo ya mambo mema. Mmungu akubarik Kaka na mtangazaji pia
@peteroctavian2972
@peteroctavian2972 Жыл бұрын
Nakuerewa sana Hananjaaa
@salisali3738
@salisali3738 2 жыл бұрын
Eti kwani miaka yote ana kula wapi?? 😂😂😂
@dianmushi3040
@dianmushi3040 2 жыл бұрын
Amina🙏🙏
@jacobsichone5942
@jacobsichone5942 2 жыл бұрын
Dr SICHONE MBOZI MTUMISHI amani amani Mm nakukubali SANA MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU
@nasiraidid5861
@nasiraidid5861 2 жыл бұрын
Baby, sugar, blanketi lol!!! 😂😂😂😂😂😂 Kaazi kweli kweli
@isaacvtv547
@isaacvtv547 Жыл бұрын
Hii ni semina ya nguvu
@sharifahabsi5004
@sharifahabsi5004 2 жыл бұрын
Mashaallah
@mikidadirashid
@mikidadirashid Жыл бұрын
Abari yaleo sharifa
@manenoshunu2556
@manenoshunu2556 2 жыл бұрын
huyu mzee ni noma
@delinevamwakapasa6948
@delinevamwakapasa6948 3 ай бұрын
Ndiy baba
@simenyasikhulu
@simenyasikhulu 2 жыл бұрын
Maneno ya busara anayatoa mdomoni bila kikomo. Mchungaji Mngu akubariki.
@nwntz
@nwntz Жыл бұрын
for my wife
@andrewemmanuel1861
@andrewemmanuel1861 2 жыл бұрын
Nakupendaa Sana'a Mch .hananja
@glove2310
@glove2310 Жыл бұрын
Nakukubali sana
@masterkey536
@masterkey536 2 жыл бұрын
Saafiiiiiiiii
@BethanySamwel-l4m
@BethanySamwel-l4m 8 ай бұрын
❤❤❤
@tanunewstz
@tanunewstz 2 жыл бұрын
Cheers
@esterjeremiah4700
@esterjeremiah4700 2 жыл бұрын
Kelvin sio kwa kucheka huko 😂😂😂😂
@happinessmosala2217
@happinessmosala2217 2 жыл бұрын
Hata mitumba ni za leo leo yoooh🤣🤣🤣
@zawadithomas1008
@zawadithomas1008 Жыл бұрын
haha aisee Bible imeshibisha ubongo wa huyu mchungaji vizur sana
@amonmgonja5758
@amonmgonja5758 Жыл бұрын
Hiki kichwa cha Mtumishi ni kizima sn barikiwa
@jolemerci2155
@jolemerci2155 2 жыл бұрын
Mutangazaji naupendaga mimi unyenyekevu uno tena wewe unajuwa kazi vizuri unapohoji neno hauropoki mutangazaji ume tulia asate
@sephatiamwakipesile2849
@sephatiamwakipesile2849 2 жыл бұрын
Mchungaji mungu akubariki kwa mafunzo yako umetisha
@neemayusuph5323
@neemayusuph5323 2 жыл бұрын
Jamani mchungaji huyu anaongea maneno halisia na ndiyo yanayotuhangaisha wengi
@hamisimwarandungu4517
@hamisimwarandungu4517 2 жыл бұрын
Mashallah tabaraka Allah,mungu yupo na sababu kubwa kueka viumbe vyenye uwezo wa ki cycology kwajili ya helimu ilio baraka Za mungu mwenyewe mimi sina zawadi yakumpa huyu mjomba ila nimempa zawadi ya ukweli alio usomesha kwa wale vijana tulio anza safari ya ndany ya ndoa ivyo basi tujifunze kupitia maneno ya watu wazima wenye busara na helimu za ishima kama izi basi tusome mungu atueke sote kwenye ilimu yenye imenyoka kama iyo....🤲🤲
@mwijagenelsoni357
@mwijagenelsoni357 2 жыл бұрын
Thax Jesus I prayed for wife you give me a family
@rabiawaziri2525
@rabiawaziri2525 Жыл бұрын
😄😄😄😄♥️👍🙏
@shaphiasabani5760
@shaphiasabani5760 Жыл бұрын
Daah numecheka sana naisi kama nimeongeza sku ya kuishi naisi
@hadijajuma3773
@hadijajuma3773 2 жыл бұрын
Mchungaji 🤣🤣🤣Uchumba miaka mitano kama unasomea udaktari
@happykajeli5453
@happykajeli5453 2 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi maneno kuntu tu nacheka kidogo na kujifunza
@pilimusa3217
@pilimusa3217 2 жыл бұрын
Mchungaji ananichekesha kweli 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@lucyngowi1299
@lucyngowi1299 Жыл бұрын
Haaaaaaaa huyu mchungaji ananifurahisha eti unakula mate Kama juice ya bakresa
@frankjohn8706
@frankjohn8706 2 жыл бұрын
Nimeona comment za watu wanafurahia Sana maneno ni matamu hata hawachoki kusikiliza lkn je angesema inakupasa uokoke ,nani angependa kusikiliza kama hajaokoka, Tena sio wokovu wa bandia Bali ule wa kweli unaoanzia msingi wa Marko 16:15-17. Wa kubatizwa baada ya kuiamini injili sio kubatizwa ukiwa mtoto Wala kunyunyiziwa maji ya uso kabla hujahubiriwa Wala kuamini. na hali wanaokufanyia wanajua kabisa Neno halitakiwi kuongezewa Wala kupunguzwa
@sianroses5787
@sianroses5787 2 жыл бұрын
You can do all this but without God all is vanity
@ohadilameckmdunya5309
@ohadilameckmdunya5309 2 жыл бұрын
Usipende kuongeza topic ambayo kipindi chale hakijafika,shamba hulimwa Kwa hatua,mbegu lazima zichambuliwe ndipo hupandwa
@reginomgaya1008
@reginomgaya1008 Жыл бұрын
Mtoto anatakiwa kulelewa, na kubatizwa kwa maji mengi au kunyunyiziwa. Haina maana ni mtu bora. Maadili mema yanatokana na malezi Bora apatayo mtoto ikiongozwa na neema ya Mungu.
@venancenkoronko9250
@venancenkoronko9250 Жыл бұрын
Kwamba Kuna wokovu bandia🤣
@frankjohn8706
@frankjohn8706 Жыл бұрын
MTU ALIEJAA ROHO MTAKATIFU NDIYE ANAUFAHAMU WA KI MUNGU KUJUA ANAEWEZA KUHUBIRIWA NI KILA KIUMBE LKN ANAEAMINI NI YULE ALIEIPOKEA NEEMA NAE BAADA YA HAPO HUITWA MWANA WA MUNGU. TENA KIUMBE KIPYA. SO WOKOVU UNAKUJA KWA KUIKUBALI INJILI SIO KUIREKEBISHA UTAKAVYO HATA UBATIZE VITOTO VILIVYO NJE YA KUAMINI
@adelinaomani9012
@adelinaomani9012 2 жыл бұрын
Najikutq nacheka hata robo sijafika kimo tukosawa hatataulo tunajifunika
@liliankemuma9475
@liliankemuma9475 2 жыл бұрын
Kelvin leo mchungaji amekuchekesha kweli 😂😂😂
@emanuelmbaga6848
@emanuelmbaga6848 2 жыл бұрын
Eti me namke wangu tunajifunika kipande Cha taulo na kinatosha 😂😂😂
@sonicaghendewa9886
@sonicaghendewa9886 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@juliethhope7281
@juliethhope7281 2 жыл бұрын
😅🤣🤣🤣🙌🏼
@davidmduma7878
@davidmduma7878 2 жыл бұрын
Mtumishi nimeipenda sana nitaendelea kukufuata popote nipe namba yako Mtumishi wa Mungu
@Hananja.r
@Hananja.r 2 жыл бұрын
Amen
@emanuelmbaga6848
@emanuelmbaga6848 2 жыл бұрын
Eti hata kama anamguu mwembamba utaona kama anamguu la tembo kitandani ndo utaona mwembamba 😂😂😂
@marthakisanga5963
@marthakisanga5963 2 жыл бұрын
😂😂😂
@marthakisanga5963
@marthakisanga5963 2 жыл бұрын
Ni kweli huyu mchungaji ni wa peke yake cjaona mch anaeongea ukweli kama huyu
@marthakisanga5963
@marthakisanga5963 2 жыл бұрын
🙏🙏utoto utumwa ujana madwali uzee..........😂😂😂😂
@felixmartin5051
@felixmartin5051 3 ай бұрын
Huyu mchungaj ananishawish kwenda kanisani kwake Kila jpili
@martinsimon7689
@martinsimon7689 Жыл бұрын
Mch mstaafu tukumbushane mambo mema,tusikumbushane mambo mabaya tuliyoyatenda zamani ni machukizo mbele za Mungu
@chrizostomangelo8140
@chrizostomangelo8140 2 жыл бұрын
Dah yaan hapo kwenye vocha sasa hahahaaaa
@lobnalobna2393
@lobnalobna2393 2 жыл бұрын
Ameeeeeen
@wegesaelias5110
@wegesaelias5110 Жыл бұрын
Viungo vingine haviokoki🤣🤣🤣🤣🤣
@angelavayinga914
@angelavayinga914 Жыл бұрын
Huwa sichoki kumuangalia huyu baba,natamani ex wake naye asikilize maana upendo mmmmmh shida za dunia.
Smart Sigma Kid #funny #sigma
00:14
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 28 МЛН
How I Turned a Lolipop Into A New One 🤯🍭
00:19
Wian
Рет қаралды 11 МЛН
DID A VAMPIRE BECOME A DOG FOR A HUMAN? 😳😳😳
00:56
버블티로 부자 구별하는법4
00:11
진영민yeongmin
Рет қаралды 21 МЛН
WANAWAKE SIKU HIZI KAMA GARI LA MKAA / YESU HATUJUI
36:45
Mjini FM
Рет қаралды 41 М.
MCH. HANANJI | "DIAMOND, SHOLO MWAMBA NI WATOTO WETU"
37:38
Victory tv
Рет қаралды 193 М.
UTOTO UTUMWA, UJANA MASWALI, UZEE MASWALI
46:42
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 258 М.
🔴#LIVE:ACHA KUTEMBEA NA HABARI MBAYA NA. MCH. RICHARD HANANJA
1:05:02
MCH. HANANJA AMUUMBUA KIBOKO YA WACHAWI NA WACHUNGAJI WA MAFUTA YA UPAKO
24:52
SIMULIZI ZONE (SZ BONGO)
Рет қаралды 18 М.
Mch. HANANJA, WANAUME WENGI HAWAPENDI SEMINA ZA NDOA 🤣🤣🤣
33:49
Smart Sigma Kid #funny #sigma
00:14
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 28 МЛН