Daaaaahhhh aisee Allah azidi kukupa Afya njema na maisha marefu 🤲🙏🏼
@martinntulo91902 жыл бұрын
Wanachnjana ka nyau mmmh
@gracedonald3852 жыл бұрын
Namwelewa sana,aliniokoa kwa mwanaume tapeli ,asante baba
@queenmunuo52692 жыл бұрын
Mchungaji Mungu akutunze. Nimekupenda bure. Somo zuri sana
@johnnehemia83202 жыл бұрын
Mchungaji nimekuelewa na maneno Yako Matamu na yakujenga mungu akubariki Sana
@webijacktan66682 жыл бұрын
Ubarikiwe mzee wetu kwa kujitolea kutupa maarifa wengi tunakuelewa sana:
@patrickmkunda36662 жыл бұрын
Hiki ni kipawa kilichotukuka na Kila mwanadamu anacho Cha kwake tunashindwa tu namma ya kuvitumia.Mungu andelee kukupa nguvu mtumishi ongera Sana pia Kwa kielimisha jamii.
@jameskennedy57942 жыл бұрын
uko vizuri sana mchungaji ! sichoki kukusikiliza kunavitu najifunza
@salmaomar80112 жыл бұрын
Shukrani wa somo Mungu akupe umri mrefu
@faizahwere53232 жыл бұрын
From Kenya ameni mtumishi wa mungu 🙏
@princessmgaya18262 жыл бұрын
hapo kwenye kununa ni kweli ndiyo maana hata mimi nmeachana namtu wangu, naomba kama una kijana mkubwa anioe tu.
@samtajiri6932 жыл бұрын
Nipo hapa na mimi sijaoa
@machoguhameri77572 жыл бұрын
Mchungaji tunaomba vitabu na DVD zako ili tujifunze zaidi na kuwafundisha vijana wetu
@perfectgodifrey38312 жыл бұрын
njoo nikuoe
@lucyngowi1299 Жыл бұрын
Haaaaaaaa
@amiriathumani6758 Жыл бұрын
Mzee unajuwa sana mwenyezi Mungu akurinde sana
@princessmgaya18262 жыл бұрын
hahaha sema baba maana ukweli mwingi wachungaji wengine hawasemi mimi mimi hadi najikuta nakupenda bure, naomba uwe baba mkwe wangu basi.
@sabinakilian31762 жыл бұрын
Make kwanza ncheke😂😂
@samtajiri6932 жыл бұрын
Mimi mwanae hapa nishakupenda
@stellah38442 жыл бұрын
Hahaha kwakweli alafu unampelekea wajukuu zake yaan kila weekend tunataka kwenda kwa babu🤣🤣
@LilianMbangwaАй бұрын
Hahahaahha nimecheka@@stellah3844
@asiyharoon94712 жыл бұрын
Mmh kwakweli nimecheka lkn nimejifunza kitu hasa kuhusu mahusiano nimejitambua ss Asante sn tiki tv
@JumanneElias-g8dАй бұрын
Safi sana Mchungaji Hananja,nimepata somo zuri sana leo
@aminabasso33712 жыл бұрын
Ila mtangazaji uko vizuri, huingilii mazungumzo,, kipindi kiko powa
@shakilamasoud29832 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 kuna mafunzo makubwa, japo kuna sehemu ni kicheko. Mwenyezi Mungu akuweke insha Allah.
@jolemerci21552 жыл бұрын
Mimi nikimusikiliza uyu baba hâta nasilika n'a jikuta nacheka sana ana utani wa cheko🤣🤣
@zawadielyona84392 жыл бұрын
Mungu akubariki Mchungaji kwa mafundisho mazuri
@janeshayo16672 жыл бұрын
Huyu akiwa mchungaji wako kila siku unatakan uende kanisani ni furaha tu
@JuliusKale-b9m8 ай бұрын
Uko sawa jane
@MarwaNyamhanga-xz1lv2 ай бұрын
Watu waliopewa kipawa na mungu ni kama huyu. Ukitaka kujifunza neno fatilia mafundisho ya huyu mchungaji.
@MichaelMsambwa-q9d7 ай бұрын
Ansante baba kwa mafunzo yako mengi nilikua sijui ubalikiwe❤
@funnycomedyvines14672 жыл бұрын
Sema baba sema kweli kuna vifaa kama vimeshushwa.
@abdallahrashid1692 жыл бұрын
Asante kwa kusifia waislam nikweli tunahofu ya mungu Zanzibar hakuna mambo ya ajabu kabisa ndo mana tunaamani sana na huwezi sikia mauaji kama sehemu zingine
@glorymsopa42212 жыл бұрын
Hili ht mimi naamini hilo kiukweli sjawahi sikia kweli huko kuna hofu ya mungu bnfs napapenda zanzibar
@missmwayway47042 жыл бұрын
Haswaaaaaaaaa
@sabinaonline65752 жыл бұрын
Yule wa tajili wa Mwanz Saidi vepe jamani mbona aliua
@hajihassan5433 Жыл бұрын
Hajasifia Uislam amesisitiza imani. Kama Wazanzibar wangekuwa na Uislam ndani ya mioyo yao Sheria za Kiislam zingesimama automatic. Hakuna mauwaji lakini kwa kubakana hatari!
@sadanahimana71932 жыл бұрын
Ni Kweli ukiwa na mtu wakutumia vinywaji vya kulevya huwezi kufika kwa mapato kabisa utaishia pabaya .
@davidwaziri81762 жыл бұрын
Hapo kwenye uchumba kuichukua miaka mingi Lina nihusu kabisa hilo 🤔
@AtanasiaChuwa2 ай бұрын
Mm ukweli mtupu kila kona sipati usingizi
@akinyisusan80492 жыл бұрын
Leta mchungaji huyu tena na tena manake nimecheka sana 😃🙏🔥😍
@isackmachiyanshoka6754 Жыл бұрын
❤ Huyu Mzee anakipaji kikubwa sana , anamaarifa mengi mno. Ubarikiwe sana mtumishi Wa MUNGU.
@halemmmbarak162 жыл бұрын
Love U Big mtumishi Hananja. Ur more than mchungaji maneno yako ya kweli na yenye busara.Long Live Hananja.
Yani mchungaji kila anaekusikiliza anajifunza kitu, kwanza huchoshi.Mi naona upewe kipindi redioni tuwe tunakusikiliza mara kwa mara.
@VincentKanubi-oi8hx Жыл бұрын
Biblia ndio msingi.baba asante
@mossesezekiel78622 жыл бұрын
Amina mtumishi umenena!!! 🙏🙏🙏
@rosemalle36002 жыл бұрын
Anayosema huyu Mchungaji niyakweli,yaani hafichi Niya kweli
@eliethkwesigabo1990 Жыл бұрын
Asante tunajifunza
@rittaaziz4470 Жыл бұрын
BIG UP PST HANANJA ... PST RIIICH
@jumapiliissa48352 жыл бұрын
Mzee huwa nakukubali sana akilinyingi uwelewa fulu hongera kevn shayo
@stellah38442 жыл бұрын
Wakwanza leo Huyu mchungaji Noumaaaaa💕🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@sabinakilian31762 жыл бұрын
Umeona eeh🤣🤣🤣
@janeshayo16672 жыл бұрын
Uko chapu Stella khaaa🙌🙌🙌
@princessmgaya18262 жыл бұрын
Hongera zako kweli upo vizuri naomba Tiki Tv wakupe Zawadi maana mara nyingi kweli unakuwa wa kwanza.
@stellah38442 жыл бұрын
@@princessmgaya1826 Hahaha inabid tuongee na Kelvn kwakweli
@stellah38442 жыл бұрын
@@sabinakilian3176 💕
@glorymsopa42212 жыл бұрын
Mchunga huyu namwelew sana binfsi najifunza vitu vingi
@esterjeremiah47002 жыл бұрын
Unavineno kama umekunywa supu ya ulimi wa mbuzi,nimecheka kwa nguvu mpaka nimepaliwa😂😂😂😂
@sabinakilian31762 жыл бұрын
Hapo kwenye unakula mate ya mtu kama juice ya bakhesa me hoi 😂😂😂
@gluxas95662 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@aishaamwalimu2887 Жыл бұрын
😂😂😂
@kelvinbusiness2049 Жыл бұрын
@@gluxas9566 /
@kelvinbusiness2049 Жыл бұрын
@@aishaamwalimu2887 f-
@kelvinbusiness2049 Жыл бұрын
A
@jonasisdory78332 жыл бұрын
Hongera Sana Mchungaji wangu
@anandemungure25002 жыл бұрын
Hapana chezea usingizi. Asante Mchungaji 🙏
@khadijakinyala94072 жыл бұрын
Hata sichoki kusikiliza huy baba jamn 😂😂😍😍😍😍
@sacg97832 жыл бұрын
MUNGU akuweke baba mchungaji mafundisho yako yanajenga
@pilimusa32172 жыл бұрын
Nampenda sana mchungaji
@zabrongermanus-co1jj Жыл бұрын
Sahihi
@pilimusa32172 жыл бұрын
Maneno mazuri sana mchungaji
@copchurch24742 жыл бұрын
Amina mafunzo kabambe
@Kulindwa2 жыл бұрын
No one is without desire and live, for desire is life! China, Japan, hawauani kama kwenye wachamungu...uhalisia hauongopi
@michaelmnkai84912 жыл бұрын
Sura ya kusoma
@georgedaniel4962 Жыл бұрын
Huyu dingi anaakili sana sema hii nchi sio unajua nini bali nani anakujua.
@samantony66932 жыл бұрын
oyoooo hv mnsikia hekima za Mungu???
@saidimnyani33302 жыл бұрын
Huyu mzee ni kiboko kwa kweli
@jolemerci2155 Жыл бұрын
Tuta mukumbukaka siku moja ata à haka histwar
@sabinakilian31762 жыл бұрын
Daaah ila yote asemayo kweli kabisa Yani nakupenda baba fungus kanisa ntakuja😂😂
@janeshayo16672 жыл бұрын
Hata me lazima niende weeh🙌😂
@godlistengodlisten75522 жыл бұрын
MZEE WA MADINI MUNGU AKUTUNZE BABA UENDELEE KUTUPA FURAHA YA NENO LA MUNGU,,NA MAARIFA.🙏🙏🙏
@erastobraiton94582 жыл бұрын
Saf sana mtumishi
@athumankhalfan78362 жыл бұрын
Eti over time wanasura za babu zao dah 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@otavinamsigala7532 Жыл бұрын
Nakuelewa sana
@neemachalamila5902 жыл бұрын
Hahaha nimekumbuka mbali Sana ,Mimi ni mama wa watoto wawili, hata nami nilianguka mikono mibaya Sana kwenye ndoa ! Ni mume lakini hakuwahi hata kutamani kufahamu familia yangu, nimeumwa Sana hospital doctor anamuuliza mume huyu mkeo anaitwa Neema Nani ? Hakuwa akijua Jina la baba yangu 🤣🤣 Dunia Ina Mambo
@jessicamasepo83202 жыл бұрын
Umenifurahisha sana, polee, wanaume Hawa ni shida ingawa sio wote, wema wapo
@renisterhyera2552 Жыл бұрын
Pole sana dadaangu najua Mungu hajakuacha
@hajihassan5433 Жыл бұрын
Sasa umeolewa je, kwenye Uislam Mzee wako (Walii) ndio anaehusika na kuozesha.
@gervasexavery29772 жыл бұрын
Mtumishi wa MUNGU unafundisha vizuri ila maneno ya mizaha nimengi, mbele za MUNGU sio nzuri zaburi1:1-2
@beatricemaganga72822 жыл бұрын
Luka 6:41-45 BHN Kwa nini wakiona kibanzi jichoni mwa ndugu yako, na papo hapo huioni boriti iliyoko jichoni mwako? Au, wawezaje kumwambia ndugu yako, ‘Ndugu, ngoja nikuondoe kibanzi jichoni mwako,’ na huku huioni boriti iliyomo katika jicho lako mwenyewe? Mnafiki wewe! Toa kwanza boriti iliyomko jichoni mwako, na hapo ndipo utaona sawasawa kiasi cha kuweza kuondoa kibanzi kilicho jichoni mwa ndugu yako. “Mti mzuri hauzai matunda mabaya, wala mti mbaya hauzai matunda mazuri. Watu huutambua mti kutokana na matunda yake.
@evelinemlay55722 жыл бұрын
Zaburi 1;2 inazungumzia juu ya mabaraza ya mizaa naamini mizaha ni ile yenye kukejeli wenigine na siyo kuchekesha na kufurahisha!
@salomemtwale5370 Жыл бұрын
Anongea maisha halisi,sema Huwa anapresent kwa utani wa kuchekesha, uzuri utani wake unachekesha na kufundisha, na Hilo la superglue,mate kama juice ni uhalisia wa maisha wa sasa,sio masiala
@mbotwambotwa21862 жыл бұрын
Hata sichoki kusikiliza point nyinginyingi tu
@hejopantumsifusimon212 жыл бұрын
majuto nikakaako mnafanana kweli mnachekesh
@esterjeremiah47002 жыл бұрын
Wanaweza wakawa na undugu hawa maana daaah😂😂🤣
@emanuelmbaga68482 жыл бұрын
Kumbe kunawanawake wanaenda kanisani kutega wachungaji safi sana ulivyofanya
@daviddaniel61942 жыл бұрын
100% 100% wankoshaaaaaaaaa weyeeeeeee ananja
@kadulathumani75172 жыл бұрын
Mafunzo makubwa kupitia joa ya Comedy na ukweli na Mafunzo ya Dini. Amri ya Dini zote hazitaki maasi. Zinafundisha kumjuwa Mmungu na kufuata miongozo ya mambo mema. Mmungu akubarik Kaka na mtangazaji pia
@peteroctavian2972 Жыл бұрын
Nakuerewa sana Hananjaaa
@salisali37382 жыл бұрын
Eti kwani miaka yote ana kula wapi?? 😂😂😂
@dianmushi30402 жыл бұрын
Amina🙏🙏
@jacobsichone59422 жыл бұрын
Dr SICHONE MBOZI MTUMISHI amani amani Mm nakukubali SANA MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU
Maneno ya busara anayatoa mdomoni bila kikomo. Mchungaji Mngu akubariki.
@nwntz Жыл бұрын
for my wife
@andrewemmanuel18612 жыл бұрын
Nakupendaa Sana'a Mch .hananja
@glove2310 Жыл бұрын
Nakukubali sana
@masterkey5362 жыл бұрын
Saafiiiiiiiii
@BethanySamwel-l4m8 ай бұрын
❤❤❤
@tanunewstz2 жыл бұрын
Cheers
@esterjeremiah47002 жыл бұрын
Kelvin sio kwa kucheka huko 😂😂😂😂
@happinessmosala22172 жыл бұрын
Hata mitumba ni za leo leo yoooh🤣🤣🤣
@zawadithomas1008 Жыл бұрын
haha aisee Bible imeshibisha ubongo wa huyu mchungaji vizur sana
@amonmgonja5758 Жыл бұрын
Hiki kichwa cha Mtumishi ni kizima sn barikiwa
@jolemerci21552 жыл бұрын
Mutangazaji naupendaga mimi unyenyekevu uno tena wewe unajuwa kazi vizuri unapohoji neno hauropoki mutangazaji ume tulia asate
@sephatiamwakipesile28492 жыл бұрын
Mchungaji mungu akubariki kwa mafunzo yako umetisha
@neemayusuph53232 жыл бұрын
Jamani mchungaji huyu anaongea maneno halisia na ndiyo yanayotuhangaisha wengi
@hamisimwarandungu45172 жыл бұрын
Mashallah tabaraka Allah,mungu yupo na sababu kubwa kueka viumbe vyenye uwezo wa ki cycology kwajili ya helimu ilio baraka Za mungu mwenyewe mimi sina zawadi yakumpa huyu mjomba ila nimempa zawadi ya ukweli alio usomesha kwa wale vijana tulio anza safari ya ndany ya ndoa ivyo basi tujifunze kupitia maneno ya watu wazima wenye busara na helimu za ishima kama izi basi tusome mungu atueke sote kwenye ilimu yenye imenyoka kama iyo....🤲🤲
@mwijagenelsoni3572 жыл бұрын
Thax Jesus I prayed for wife you give me a family
@rabiawaziri2525 Жыл бұрын
😄😄😄😄♥️👍🙏
@shaphiasabani5760 Жыл бұрын
Daah numecheka sana naisi kama nimeongeza sku ya kuishi naisi
@hadijajuma37732 жыл бұрын
Mchungaji 🤣🤣🤣Uchumba miaka mitano kama unasomea udaktari
@happykajeli54532 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi maneno kuntu tu nacheka kidogo na kujifunza
@pilimusa32172 жыл бұрын
Mchungaji ananichekesha kweli 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@lucyngowi1299 Жыл бұрын
Haaaaaaaa huyu mchungaji ananifurahisha eti unakula mate Kama juice ya bakresa
@frankjohn87062 жыл бұрын
Nimeona comment za watu wanafurahia Sana maneno ni matamu hata hawachoki kusikiliza lkn je angesema inakupasa uokoke ,nani angependa kusikiliza kama hajaokoka, Tena sio wokovu wa bandia Bali ule wa kweli unaoanzia msingi wa Marko 16:15-17. Wa kubatizwa baada ya kuiamini injili sio kubatizwa ukiwa mtoto Wala kunyunyiziwa maji ya uso kabla hujahubiriwa Wala kuamini. na hali wanaokufanyia wanajua kabisa Neno halitakiwi kuongezewa Wala kupunguzwa
@sianroses57872 жыл бұрын
You can do all this but without God all is vanity
@ohadilameckmdunya53092 жыл бұрын
Usipende kuongeza topic ambayo kipindi chale hakijafika,shamba hulimwa Kwa hatua,mbegu lazima zichambuliwe ndipo hupandwa
@reginomgaya1008 Жыл бұрын
Mtoto anatakiwa kulelewa, na kubatizwa kwa maji mengi au kunyunyiziwa. Haina maana ni mtu bora. Maadili mema yanatokana na malezi Bora apatayo mtoto ikiongozwa na neema ya Mungu.
@venancenkoronko9250 Жыл бұрын
Kwamba Kuna wokovu bandia🤣
@frankjohn8706 Жыл бұрын
MTU ALIEJAA ROHO MTAKATIFU NDIYE ANAUFAHAMU WA KI MUNGU KUJUA ANAEWEZA KUHUBIRIWA NI KILA KIUMBE LKN ANAEAMINI NI YULE ALIEIPOKEA NEEMA NAE BAADA YA HAPO HUITWA MWANA WA MUNGU. TENA KIUMBE KIPYA. SO WOKOVU UNAKUJA KWA KUIKUBALI INJILI SIO KUIREKEBISHA UTAKAVYO HATA UBATIZE VITOTO VILIVYO NJE YA KUAMINI
@adelinaomani90122 жыл бұрын
Najikutq nacheka hata robo sijafika kimo tukosawa hatataulo tunajifunika
@liliankemuma94752 жыл бұрын
Kelvin leo mchungaji amekuchekesha kweli 😂😂😂
@emanuelmbaga68482 жыл бұрын
Eti me namke wangu tunajifunika kipande Cha taulo na kinatosha 😂😂😂
@sonicaghendewa98862 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@juliethhope72812 жыл бұрын
😅🤣🤣🤣🙌🏼
@davidmduma78782 жыл бұрын
Mtumishi nimeipenda sana nitaendelea kukufuata popote nipe namba yako Mtumishi wa Mungu
@Hananja.r2 жыл бұрын
Amen
@emanuelmbaga68482 жыл бұрын
Eti hata kama anamguu mwembamba utaona kama anamguu la tembo kitandani ndo utaona mwembamba 😂😂😂
@marthakisanga59632 жыл бұрын
😂😂😂
@marthakisanga59632 жыл бұрын
Ni kweli huyu mchungaji ni wa peke yake cjaona mch anaeongea ukweli kama huyu
@marthakisanga59632 жыл бұрын
🙏🙏utoto utumwa ujana madwali uzee..........😂😂😂😂
@felixmartin50513 ай бұрын
Huyu mchungaj ananishawish kwenda kanisani kwake Kila jpili
@martinsimon7689 Жыл бұрын
Mch mstaafu tukumbushane mambo mema,tusikumbushane mambo mabaya tuliyoyatenda zamani ni machukizo mbele za Mungu
@chrizostomangelo81402 жыл бұрын
Dah yaan hapo kwenye vocha sasa hahahaaaa
@lobnalobna23932 жыл бұрын
Ameeeeeen
@wegesaelias5110 Жыл бұрын
Viungo vingine haviokoki🤣🤣🤣🤣🤣
@angelavayinga914 Жыл бұрын
Huwa sichoki kumuangalia huyu baba,natamani ex wake naye asikilize maana upendo mmmmmh shida za dunia.