#LEOTENA MAMA AWEKWA MTEGONI, YUPI NI MTOTO WAKO KATI YA HAWA, ''HATUJAONANA KWA MIAKA 30''
Пікірлер: 106
@user-fz1ph3cn4s16 күн бұрын
Baba kamtunza mtoto vizuri sana. Happy fathers' day.
@user-eu6ql9zl7n3 сағат бұрын
Nashukuru Mungu Kwa mbeba maono wa kipindi hik watangazaj wote Kwa ujumla na mmilik wa hii clouds Fm
@user-lm8ji4tz2r24 күн бұрын
Nipo mozambiq nakipenda sana hiki kpindi kwa sababu Mimi ni muhanga nilipotezana na mama miaka 25 nikiona hua ninalia hongereni sana kwa kazi mzuri🎉🎉🎉❤❤❤❤
@masterhptv406525 күн бұрын
Hongera Rose rafiki yangu kumpata mama, ntakuja nyumbani kukupongeza
@enockmaige893625 күн бұрын
Utabarikiwa
@aminaomary556725 күн бұрын
Bibi amechukia sana rohoni furaha yake ndogo sana:sio kama akina MAMA Mwita. Ongeren sana akina dada Gea❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Dada Gea napenda, anavyoongea kwa staha/ kwa kutulia. Yaan taratibu. Vipindi vingi yuko hivi. Maua yako hayo🎉🎉🎉🎉🎉
@ansifridmkongoja333724 күн бұрын
Hongereni kwa kipindi kizur sema Mama yuko vizuri kwenye kutumia kipaza
@christaoman889020 күн бұрын
Kwa kweli hiki kipindi huwa kinanitoa machozi sana hongera sana mama kumpata mtt wako Rose mauwa yako❤❤❤
@user-ii1tc7gt9r24 күн бұрын
Ila sisi wakerewe na wajita ndo zetu kuwatenganisha watoto na mama zo tunaongoza
@anenragnesmunis849013 күн бұрын
Anafana na mama yake 😊
@user-xh7xf2ki3r16 күн бұрын
Allah awabark sana hakika mnawasaidia na azidi kiinua zaidi hii clouds na wafanyakazi wake Allahumma Aamiyn
@solomondanny-150722 күн бұрын
Mnyiramba mwenzetu unatuangushaaaaaa.
@CristinLyanga24 күн бұрын
Wa kwetu mama nimekupata' mwana wane' songela zigizigi.
@darajalakidatukilomgi236225 күн бұрын
Babu amekuja kama hakuna baya alilofanya kutoroka na mtoto
@taturajabukhalfani795321 күн бұрын
😂
@KAHINDITV9 күн бұрын
😅😅😅😅😅
@samuelmuhindosivamwanza498817 күн бұрын
Mbarikiwe sana. Mnafanya kazi nzuri. Ila ikiwezekana ule mziki unasumbua. Kama ikiwezekana, usitishwe wakati watu wanaongea.
@halimamremi537522 күн бұрын
MM NILIONA SURA TANGU MWANZO NI WA KATI SURA KAFANANA NA MAMA YAKE JAMANI WANAUME WENGINE NI SHIIDAA TUU😂😢😅
@jaliamkubilasidi13 күн бұрын
Ooooo jomoni hongeraaa sana mama rozi kwa kumpata mwana nani kama maaaamaaaa
@Teresa-25519 күн бұрын
Bibi hajafurahia huyu mzee😂😂😂😂
@janneferisaya8318 күн бұрын
Bibi wanyumbani kabisa 🙏🏼 wasongela zigizigi
@fathimamct23218 күн бұрын
Buie ni watangazaji hqlafu mnaharibu lugha Heahima Yako ndio.nn na mama Ako myumbani unamsalimia hivyo heahima Yako mama hujui mzazi wa mwezio ni mzazi wako piya Acheni manjonjo yenu bwana
@GetrudeRashid-be8bs20 күн бұрын
Mtu na mtt wake,cheki alivyomjua m wanae,,,mtu chake bwaaa🎉🎉🎉
@halimaoman872625 күн бұрын
Kipindi hiki cha laha leo huwa kinatowa machozi sana kwa jinsi watoto walivyotengana na wazazi wao wa kike na hii yote wanatusababishia awa waume tulizaa nao ndio wanatusababishia tusiwaone watto wetu
@user-yd6xh1mr1k25 күн бұрын
Mungu azidi kuwakutanisha na wengine jamani😢
@sleeprelaxation843125 күн бұрын
Bibi bado ana maumivu
@asiansky976724 күн бұрын
Kweli
@user-xd9ye7wk6c22 күн бұрын
Kabisaa yaani Kama ni mm ntakalo mfanya huyo mbaba
@user-ii1tc7gt9r24 күн бұрын
Kama ningekua mm ningempiga na kiatu huyo baba
@eggysulle798822 күн бұрын
😂😂😂
@GladnessJohnLewis6 күн бұрын
Namtafuta mdogo anaitwa frenk tarimo alitoroshwa na baba yake huko rombo baada ya mama yetu kufariki
@Moscow92421 күн бұрын
Jamani mi namtafuta wifiyangu anaitwa Hindu Husen Hajji waliachana na kakayangu na aliondoka na mtoto mdogo anaitwa Sada na alimwacha mtoto mmoja anaitwa selemani naomba kamayupo hai mwanae sele anamtafuta aje Tabora
@user-rm9iz3yi5c21 күн бұрын
Hongera sana
@ruthmuja779225 күн бұрын
Bibi ana kinyongo 😂
@nancyg866424 күн бұрын
😂😂😂
@user-ck3sj6ni4z21 күн бұрын
Mwenyewe nisingemsalimia 😏
@Allygibison7 күн бұрын
Put the music off or down a bit as you guys telk
@matridamwalyoyo173525 күн бұрын
Katokea kwetu
@SuzanFelix-mo8fq22 күн бұрын
Daah dadangu angejalibu iki kipindi uwenda angemuona baba yake au mdogo wake imani😢
@mussanangumi17349 күн бұрын
Mimi Nina mtoto wa marehem Dada yangu ananisumbua anamtafuta baba yake anaitwa seif nimtu wa pemba
@fatmamohammed834621 күн бұрын
hiki kipindi ni kizuri lonnmie kila nikikiangalia huwa nalia kuna uchungu fulani hivi naupata🎉🎉🎉
@user-bz6ru7sk7u9 күн бұрын
Hivi Hawa wazazi wanakuaga wap miaka 30 kweli alafu mama hasaaa jamani
@aziza909325 күн бұрын
❤❤❤
@halimaoman872625 күн бұрын
Bibi mmempotezea furaha yake yote baada ya kutokea katika kipindi kutokea bibi mudi yote imepotea
@eggysulle798822 күн бұрын
😂😂😂anawaza mbal
@rehemaabdy283023 күн бұрын
Nimelia
@magrethmathayo280025 күн бұрын
mtu kashakwambia hawezi kumtambua hivyo mpaka alama unamlazimisha
@abdulkhalim947510 күн бұрын
Bibi kamaindi kbsaaaa hahaha dah
@ruthmuja779225 күн бұрын
❤
@user-qg2sw9bj2i18 күн бұрын
Nawaza ivi kuna mtu atamchukua mwanangu akiwa na miaka 2 namm namuangalia
@rehemakanyere41887 күн бұрын
Sijui yaaani basi tu
@ruthmuja779225 күн бұрын
🎉
@hashakishabani489618 күн бұрын
Daaa kafanana na mamaake sana
@leokamil628424 күн бұрын
Acheni kuweka huo mziki
@MonaJuma-cp3jg22 күн бұрын
Kimeniliza kweli hikikipindi😭😭😭
@ellahjonas4881Күн бұрын
Acheni kuniliza jamani
@user-ml8jd5xg1r20 күн бұрын
❤❤❤❤🎉🎉
@Wilbadi17 күн бұрын
Sis sio milima tutakutan
@user-th9nc2om2x21 күн бұрын
Acheni muziki
@user-ky2do8fn1w18 күн бұрын
Mama znaongea kibembe
@user-lx8nl8hh3f20 күн бұрын
Ila inauma
@GetrudaChagu13 күн бұрын
Dada Kaka shkamoni mm ninamtafuta Dada yangu mariamu juma shabani yupo dare Salam naomba mnisaidie kutafuta mana tuliachana wadogo sana
@user-sy4wf5ll4o16 күн бұрын
😅😅 nimefrai mama ana Lia anaweka maik mdomon
@hyacintagugu79 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂mama Ni nomaaaa
@HawaAhmed-yj8wo24 күн бұрын
Sasa kwanini hilo libaba liliiba mtoto?
@MsAggie523 күн бұрын
Ndo zao! Wengi waliopo hapo wababa waliwaiba wakafa. Inauma wakiwa wakubwa Kwa nini wasiwaambie ukweli? Ukatili huu, seri
@FloraMarinyo23 күн бұрын
Tabia mbayaaa sana yakumpokonya mtoto kwa mama yk
@michaelthobias996723 күн бұрын
Ila mama akikaa na mtt ndio sawa acheni ubinafsi mtt ni wazazi wote
@michaelthobias996723 күн бұрын
Kaka mtt ni WA mwanamke peke yake mwanaume wa Nini ktk upatikanaji wake
@HawaAhmed-yj8wo23 күн бұрын
@@michaelthobias9967 huyo Baba alitakiwa kufanya jitihada watoto wawe wanaenda kumsalimia mama yao japo wakati wa likizo
@mariyamsalalah820422 күн бұрын
Weee nalia bas tu
@aminaabdalla994924 күн бұрын
katikati
@aziza909325 күн бұрын
Safuy san kwakipidi
@user-do1ug7de3g18 күн бұрын
Inakuwaje hembu tuambieni ili tusiwe na maswali ya kwanini
@ReginaThomasLongwe-qf4qs19 күн бұрын
Rose anafanana na mama yake
@hyacintagugu79 күн бұрын
Sana
@TeleziaSimbeye-fm3zw12 күн бұрын
Ilikuwaje wakapotezana???
@ghhhhy181224 күн бұрын
Uyo mtot kafany ni Chek 😂😂kama mazim
@user-pn7qg8jb1e23 күн бұрын
Jamani nimesikia mma kaqoqa kiluqa nimemwelewa
@HOLINESSPIUSE-gv8ud19 күн бұрын
Nakwambia udadisi Wa redioni NI kujitoa mno
@FloraMarinyo23 күн бұрын
Geita inaonekana mnatabia zakuwapokonya wamama watoto
@mouldykomba185222 күн бұрын
Saana sio tabia nzur hao wababa wana tabia mbaya
@georgedaniel496224 күн бұрын
Mama miyeyusho kinoma unalia unasogeza maik ili sauti isikike
@Aminahlamranl420-hw2ie24 күн бұрын
😂😂😂
@MsAggie523 күн бұрын
Labda alifikiri ndo inavyotakiwa 😂
@MsAggie523 күн бұрын
Mama ana hasira ona anatazama pembeni hataki hata kumuangalia. Baba anashindwa hata kuomba msamaha?