#LEOTENA

  Рет қаралды 48,055

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

27 күн бұрын

#LEOTENA MAMA AWEKWA MTEGONI, YUPI NI MTOTO WAKO KATI YA HAWA, ''HATUJAONANA KWA MIAKA 30''

Пікірлер: 106
@user-fz1ph3cn4s
@user-fz1ph3cn4s 16 күн бұрын
Baba kamtunza mtoto vizuri sana. Happy fathers' day.
@user-eu6ql9zl7n
@user-eu6ql9zl7n 3 сағат бұрын
Nashukuru Mungu Kwa mbeba maono wa kipindi hik watangazaj wote Kwa ujumla na mmilik wa hii clouds Fm
@user-lm8ji4tz2r
@user-lm8ji4tz2r 24 күн бұрын
Nipo mozambiq nakipenda sana hiki kpindi kwa sababu Mimi ni muhanga nilipotezana na mama miaka 25 nikiona hua ninalia hongereni sana kwa kazi mzuri🎉🎉🎉❤❤❤❤
@masterhptv4065
@masterhptv4065 25 күн бұрын
Hongera Rose rafiki yangu kumpata mama, ntakuja nyumbani kukupongeza
@enockmaige8936
@enockmaige8936 25 күн бұрын
Utabarikiwa
@aminaomary5567
@aminaomary5567 25 күн бұрын
Bibi amechukia sana rohoni furaha yake ndogo sana:sio kama akina MAMA Mwita. Ongeren sana akina dada Gea❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@floraflora5964
@floraflora5964 21 күн бұрын
hee umenikumbusha baba mwita
@user-rn9lk1ck7m
@user-rn9lk1ck7m 9 күн бұрын
​@@floraflora5964kkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkk
@SharifaOman-bf1bn
@SharifaOman-bf1bn 25 күн бұрын
Kipindi. Ķimetulia. Vizuri. Mwijaku. Hayupo. Wamekelele. Aende. Salama. Kwakweli. Kipndi. Kimependeza. ❤❤
@enockmaige8936
@enockmaige8936 25 күн бұрын
😂😂😂😂
@bahatibushiri1610
@bahatibushiri1610 24 күн бұрын
Umewaza kama mimi simpendi misifa mingi
@scholamodestus9386
@scholamodestus9386 23 күн бұрын
😂😂😂 akawapigie kelele huko mbele kwa mbele
@user-xd9ye7wk6c
@user-xd9ye7wk6c 22 күн бұрын
😂😂😂 yupo Dubai anakula bata
@user-xc4or2vp6l
@user-xc4or2vp6l 24 күн бұрын
Dada Gea napenda, anavyoongea kwa staha/ kwa kutulia. Yaan taratibu. Vipindi vingi yuko hivi. Maua yako hayo🎉🎉🎉🎉🎉
@ansifridmkongoja3337
@ansifridmkongoja3337 24 күн бұрын
Hongereni kwa kipindi kizur sema Mama yuko vizuri kwenye kutumia kipaza
@christaoman8890
@christaoman8890 20 күн бұрын
Kwa kweli hiki kipindi huwa kinanitoa machozi sana hongera sana mama kumpata mtt wako Rose mauwa yako❤❤❤
@user-ii1tc7gt9r
@user-ii1tc7gt9r 24 күн бұрын
Ila sisi wakerewe na wajita ndo zetu kuwatenganisha watoto na mama zo tunaongoza
@anenragnesmunis8490
@anenragnesmunis8490 13 күн бұрын
Anafana na mama yake 😊
@user-xh7xf2ki3r
@user-xh7xf2ki3r 16 күн бұрын
Allah awabark sana hakika mnawasaidia na azidi kiinua zaidi hii clouds na wafanyakazi wake Allahumma Aamiyn
@solomondanny-1507
@solomondanny-1507 22 күн бұрын
Mnyiramba mwenzetu unatuangushaaaaaa.
@CristinLyanga
@CristinLyanga 24 күн бұрын
Wa kwetu mama nimekupata' mwana wane' songela zigizigi.
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 25 күн бұрын
Babu amekuja kama hakuna baya alilofanya kutoroka na mtoto
@taturajabukhalfani7953
@taturajabukhalfani7953 21 күн бұрын
😂
@KAHINDITV
@KAHINDITV 9 күн бұрын
😅😅😅😅😅
@samuelmuhindosivamwanza4988
@samuelmuhindosivamwanza4988 17 күн бұрын
Mbarikiwe sana. Mnafanya kazi nzuri. Ila ikiwezekana ule mziki unasumbua. Kama ikiwezekana, usitishwe wakati watu wanaongea.
@halimamremi5375
@halimamremi5375 22 күн бұрын
MM NILIONA SURA TANGU MWANZO NI WA KATI SURA KAFANANA NA MAMA YAKE JAMANI WANAUME WENGINE NI SHIIDAA TUU😂😢😅
@jaliamkubilasidi
@jaliamkubilasidi 13 күн бұрын
Ooooo jomoni hongeraaa sana mama rozi kwa kumpata mwana nani kama maaaamaaaa
@Teresa-255
@Teresa-255 19 күн бұрын
Bibi hajafurahia huyu mzee😂😂😂😂
@janneferisaya83
@janneferisaya83 18 күн бұрын
Bibi wanyumbani kabisa 🙏🏼 wasongela zigizigi
@fathimamct232
@fathimamct232 18 күн бұрын
Buie ni watangazaji hqlafu mnaharibu lugha Heahima Yako ndio.nn na mama Ako myumbani unamsalimia hivyo heahima Yako mama hujui mzazi wa mwezio ni mzazi wako piya Acheni manjonjo yenu bwana
@GetrudeRashid-be8bs
@GetrudeRashid-be8bs 20 күн бұрын
Mtu na mtt wake,cheki alivyomjua m wanae,,,mtu chake bwaaa🎉🎉🎉
@halimaoman8726
@halimaoman8726 25 күн бұрын
Kipindi hiki cha laha leo huwa kinatowa machozi sana kwa jinsi watoto walivyotengana na wazazi wao wa kike na hii yote wanatusababishia awa waume tulizaa nao ndio wanatusababishia tusiwaone watto wetu
@user-yd6xh1mr1k
@user-yd6xh1mr1k 25 күн бұрын
Mungu azidi kuwakutanisha na wengine jamani😢
@sleeprelaxation8431
@sleeprelaxation8431 25 күн бұрын
Bibi bado ana maumivu
@asiansky9767
@asiansky9767 24 күн бұрын
Kweli
@user-xd9ye7wk6c
@user-xd9ye7wk6c 22 күн бұрын
Kabisaa yaani Kama ni mm ntakalo mfanya huyo mbaba
@user-ii1tc7gt9r
@user-ii1tc7gt9r 24 күн бұрын
Kama ningekua mm ningempiga na kiatu huyo baba
@eggysulle7988
@eggysulle7988 22 күн бұрын
😂😂😂
@GladnessJohnLewis
@GladnessJohnLewis 6 күн бұрын
Namtafuta mdogo anaitwa frenk tarimo alitoroshwa na baba yake huko rombo baada ya mama yetu kufariki
@Moscow924
@Moscow924 21 күн бұрын
Jamani mi namtafuta wifiyangu anaitwa Hindu Husen Hajji waliachana na kakayangu na aliondoka na mtoto mdogo anaitwa Sada na alimwacha mtoto mmoja anaitwa selemani naomba kamayupo hai mwanae sele anamtafuta aje Tabora
@user-rm9iz3yi5c
@user-rm9iz3yi5c 21 күн бұрын
Hongera sana
@ruthmuja7792
@ruthmuja7792 25 күн бұрын
Bibi ana kinyongo 😂
@nancyg8664
@nancyg8664 24 күн бұрын
😂😂😂
@user-ck3sj6ni4z
@user-ck3sj6ni4z 21 күн бұрын
Mwenyewe nisingemsalimia 😏
@Allygibison
@Allygibison 7 күн бұрын
Put the music off or down a bit as you guys telk
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 25 күн бұрын
Katokea kwetu
@SuzanFelix-mo8fq
@SuzanFelix-mo8fq 22 күн бұрын
Daah dadangu angejalibu iki kipindi uwenda angemuona baba yake au mdogo wake imani😢
@mussanangumi1734
@mussanangumi1734 9 күн бұрын
Mimi Nina mtoto wa marehem Dada yangu ananisumbua anamtafuta baba yake anaitwa seif nimtu wa pemba
@fatmamohammed8346
@fatmamohammed8346 21 күн бұрын
hiki kipindi ni kizuri lonnmie kila nikikiangalia huwa nalia kuna uchungu fulani hivi naupata🎉🎉🎉
@user-bz6ru7sk7u
@user-bz6ru7sk7u 9 күн бұрын
Hivi Hawa wazazi wanakuaga wap miaka 30 kweli alafu mama hasaaa jamani
@aziza9093
@aziza9093 25 күн бұрын
❤❤❤
@halimaoman8726
@halimaoman8726 25 күн бұрын
Bibi mmempotezea furaha yake yote baada ya kutokea katika kipindi kutokea bibi mudi yote imepotea
@eggysulle7988
@eggysulle7988 22 күн бұрын
😂😂😂anawaza mbal
@rehemaabdy2830
@rehemaabdy2830 23 күн бұрын
Nimelia
@magrethmathayo2800
@magrethmathayo2800 25 күн бұрын
mtu kashakwambia hawezi kumtambua hivyo mpaka alama unamlazimisha
@abdulkhalim9475
@abdulkhalim9475 10 күн бұрын
Bibi kamaindi kbsaaaa hahaha dah
@ruthmuja7792
@ruthmuja7792 25 күн бұрын
@user-qg2sw9bj2i
@user-qg2sw9bj2i 18 күн бұрын
Nawaza ivi kuna mtu atamchukua mwanangu akiwa na miaka 2 namm namuangalia
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 7 күн бұрын
Sijui yaaani basi tu
@ruthmuja7792
@ruthmuja7792 25 күн бұрын
🎉
@hashakishabani4896
@hashakishabani4896 18 күн бұрын
Daaa kafanana na mamaake sana
@leokamil6284
@leokamil6284 24 күн бұрын
Acheni kuweka huo mziki
@MonaJuma-cp3jg
@MonaJuma-cp3jg 22 күн бұрын
Kimeniliza kweli hikikipindi😭😭😭
@ellahjonas4881
@ellahjonas4881 Күн бұрын
Acheni kuniliza jamani
@user-ml8jd5xg1r
@user-ml8jd5xg1r 20 күн бұрын
❤❤❤❤🎉🎉
@Wilbadi
@Wilbadi 17 күн бұрын
Sis sio milima tutakutan
@user-th9nc2om2x
@user-th9nc2om2x 21 күн бұрын
Acheni muziki
@user-ky2do8fn1w
@user-ky2do8fn1w 18 күн бұрын
Mama znaongea kibembe
@user-lx8nl8hh3f
@user-lx8nl8hh3f 20 күн бұрын
Ila inauma
@GetrudaChagu
@GetrudaChagu 13 күн бұрын
Dada Kaka shkamoni mm ninamtafuta Dada yangu mariamu juma shabani yupo dare Salam naomba mnisaidie kutafuta mana tuliachana wadogo sana
@user-sy4wf5ll4o
@user-sy4wf5ll4o 16 күн бұрын
😅😅 nimefrai mama ana Lia anaweka maik mdomon
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 9 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂mama Ni nomaaaa
@HawaAhmed-yj8wo
@HawaAhmed-yj8wo 24 күн бұрын
Sasa kwanini hilo libaba liliiba mtoto?
@MsAggie5
@MsAggie5 23 күн бұрын
Ndo zao! Wengi waliopo hapo wababa waliwaiba wakafa. Inauma wakiwa wakubwa Kwa nini wasiwaambie ukweli? Ukatili huu, seri
@FloraMarinyo
@FloraMarinyo 23 күн бұрын
Tabia mbayaaa sana yakumpokonya mtoto kwa mama yk
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 23 күн бұрын
Ila mama akikaa na mtt ndio sawa acheni ubinafsi mtt ni wazazi wote
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 23 күн бұрын
Kaka mtt ni WA mwanamke peke yake mwanaume wa Nini ktk upatikanaji wake
@HawaAhmed-yj8wo
@HawaAhmed-yj8wo 23 күн бұрын
@@michaelthobias9967 huyo Baba alitakiwa kufanya jitihada watoto wawe wanaenda kumsalimia mama yao japo wakati wa likizo
@mariyamsalalah8204
@mariyamsalalah8204 22 күн бұрын
Weee nalia bas tu
@aminaabdalla9949
@aminaabdalla9949 24 күн бұрын
katikati
@aziza9093
@aziza9093 25 күн бұрын
Safuy san kwakipidi
@user-do1ug7de3g
@user-do1ug7de3g 18 күн бұрын
Inakuwaje hembu tuambieni ili tusiwe na maswali ya kwanini
@ReginaThomasLongwe-qf4qs
@ReginaThomasLongwe-qf4qs 19 күн бұрын
Rose anafanana na mama yake
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 9 күн бұрын
Sana
@TeleziaSimbeye-fm3zw
@TeleziaSimbeye-fm3zw 12 күн бұрын
Ilikuwaje wakapotezana???
@ghhhhy1812
@ghhhhy1812 24 күн бұрын
Uyo mtot kafany ni Chek 😂😂kama mazim
@user-pn7qg8jb1e
@user-pn7qg8jb1e 23 күн бұрын
Jamani nimesikia mma kaqoqa kiluqa nimemwelewa
@HOLINESSPIUSE-gv8ud
@HOLINESSPIUSE-gv8ud 19 күн бұрын
Nakwambia udadisi Wa redioni NI kujitoa mno
@FloraMarinyo
@FloraMarinyo 23 күн бұрын
Geita inaonekana mnatabia zakuwapokonya wamama watoto
@mouldykomba1852
@mouldykomba1852 22 күн бұрын
Saana sio tabia nzur hao wababa wana tabia mbaya
@georgedaniel4962
@georgedaniel4962 24 күн бұрын
Mama miyeyusho kinoma unalia unasogeza maik ili sauti isikike
@Aminahlamranl420-hw2ie
@Aminahlamranl420-hw2ie 24 күн бұрын
😂😂😂
@MsAggie5
@MsAggie5 23 күн бұрын
Labda alifikiri ndo inavyotakiwa 😂
@MsAggie5
@MsAggie5 23 күн бұрын
Mama ana hasira ona anatazama pembeni hataki hata kumuangalia. Baba anashindwa hata kuomba msamaha?
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 9 күн бұрын
Yaani😂😂😂
@Aminahlamranl420-hw2ie
@Aminahlamranl420-hw2ie 24 күн бұрын
Bib amemkwepa babu jamaniii huruma
@MsAggie5
@MsAggie5 23 күн бұрын
Mie ningemtia ngumi 😂😂
@MaryCaroly-zl1ei
@MaryCaroly-zl1ei 20 күн бұрын
😂😂😂😂
@rashidkishk8726
@rashidkishk8726 13 күн бұрын
Kwann natoa machozi Sasa.. 😢
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 9 күн бұрын
Huzuni jamani
@rehemaabdy2830
@rehemaabdy2830 23 күн бұрын
Kampatia mtu chake jaman
@user-vv3et8xy2x
@user-vv3et8xy2x 23 күн бұрын
Ila babu
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 8 күн бұрын
❤❤❤
World’s Deadliest Obstacle Course!
28:25
MrBeast
Рет қаралды 149 МЛН
Каха ограбил банк
01:00
К-Media
Рет қаралды 10 МЛН
Luck Decides My Future Again 🍀🍀🍀 #katebrush #shorts
00:19
Kate Brush
Рет қаралды 8 МЛН
VITUKO VYA KWENYE DALADALA STEVE KIMEMLAMBA NDARO
8:00
Steve Mweusi
Рет қаралды 339 М.
DC ARUMERU ATOA TAMKO DHIDI YA SOKO LA TENGERU ARUSHA
10:22
MERU DISTRICT COUNCIL
Рет қаралды 4,5 М.
Waliniambia Mama Amefariki | nimefurahi Kumuona Mwanangu
8:08
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 28 М.
Он сильно об этом пожалел...
0:25
По ту сторону Гугла
Рет қаралды 8 МЛН
тгк: Логово FRIENDS
0:23
АлексДан
Рет қаралды 10 МЛН
Такие сладости мама точно разрешит
0:22
Даша Боровик
Рет қаралды 1,3 МЛН
Он сильно об этом пожалел...
0:25
По ту сторону Гугла
Рет қаралды 8 МЛН