Kk Joel nanauka umekuwa msaada mkubwa sana kwetu na tunajivunia kwa uwepo wako. Mungu akuongoze vyema na akupe afya njema ili tuendelee kujifunza zaidi na kufaidika juu ya wito wako.
@JoyceHaule-o7b2 ай бұрын
Kweli kabisa
@julianalaly20953 ай бұрын
Tunakufuatilia kaka yetu.
@FarajaMkumbo-pc3ft3 ай бұрын
Hakika kwa haya maarifa yako nimejifunza kitu kikubwa sana kwenye maisha tangu nianze kukufuatilia nimebadilisha maisha yangu mungu azid kukubariki zaid ❤❤
@Madam2553 ай бұрын
Pamoja sana kaka Joel kwa hekima hizi namimi nachoma. Meli zangu zote ili nisimame kwenye Malengo yangu
@DanielyTelesphory3 ай бұрын
Daaaah nakubaliana na wewe kiongozi
@FredyKisendi3 ай бұрын
Bro ili somo limenilenga moja kwamoja umeniongezea kitu kikubwa.....
@Zaytun-v2x3 ай бұрын
Joel 🎉🎉❤
@BobMathias-p8c3 ай бұрын
Kamanda alikua mkali aise maamuzi yakikomando hayo nimependa kilak2 ni maamuzi❤❤
@reginajoel37852 ай бұрын
umekuwa baraka kwangu,nachoma meli zangu zote kwenye mahusiano ambaye sielewi malengo yake ni yapi yanipa maswali mengi mengi
@NdalahwaLugwisha3 ай бұрын
Nakufuatilia bro
@goldiegranted55013 ай бұрын
Top Teamers 🏆
@anipherwella3 ай бұрын
Ubarikiwe kaka
@veronicamwautenga73942 ай бұрын
Ukweli mtupu Asante kutupa mbinu yakupambana nao
@mwanaidihassan58683 ай бұрын
Ngoja nichome meli zote kuanzia sasa
@lucianambalamwezi18643 ай бұрын
Nachoma now Kaka asante Sana ishi saaana
@Brunotarimo103 ай бұрын
Nisipofuatilia kipindi hiki huwa sijisikii fisuri . Kutoka nairobi kenya
@fadhilkagoma55783 ай бұрын
Ushauri mzuri
@alexlucas15713 ай бұрын
Good morning top team
@kuruthumukondo71493 ай бұрын
Shukrani kaka ❤❤
@FunguaUbongoWako3 ай бұрын
🎉🎉🎉
@oseahmbembela-gi4du3 ай бұрын
Hii lazima nitoboe
@MabalaTheson-je6bq3 ай бұрын
Nimejifunza kitu
@kishoshamisungwi3 ай бұрын
Bro Joel, asanaaa
@MusaChundu3 ай бұрын
Asante bro Jo
@muhammedwakif62163 ай бұрын
That's true
@mlingijames19173 ай бұрын
Barikiwa Sana👏
@NeemaSalanya3 ай бұрын
Mungu aendelee kuwa nawe kla hatua
@olivanooraladin54363 ай бұрын
Asante Sana
@mnyamamkali62883 ай бұрын
Kwel kaka
@WINNERBOYKE3 ай бұрын
❤❤❤
@Sumay2283 ай бұрын
❤
@عايشةتنزانيا3 ай бұрын
Shukran Sana kaka Joel insha'Allah nitalitekeleza hili biidhin Allah
@brackskinyozi32803 ай бұрын
Asante sana kaka Joel mungu azidi kukubariki sana...nitachoma meli zangu zote ili nitimize malengo yngu... asante....sana..acha niendelee kushare kwa ndugu n..marafiki🙏🙏
@SmilingLagoon-rp4cj3 ай бұрын
Naitwa Emmanuel from Bujumbura nakufuatilia sana na nafaidika sana kutoka mafundisho yako ubalikiwe sana
@AfyaLengo3 ай бұрын
Uwiiii kaka Joel ,hili somo linanilizaaa . Asante
@ShafiiMbande3 ай бұрын
Tupo pamoja sana mbaka tufanikiwe
@SherryEverest3 ай бұрын
Mungu akubariki na kukuinua zaid viwango vya juu
@nyandajustine99163 ай бұрын
I'm following from Germany
@goldiegranted55013 ай бұрын
Lazima tuchome meli zote ✊🏆✈️
@farijalakhalid55583 ай бұрын
Hicho kisa ni historia ya kiongozi wa kiislamu Aitwaye twariq ibnu Ziyad. Wakati akiivamia Hispania.