Nalisubilia hili SoMo kwa udi na uvumba ,, hakika umekuwa ufungu0 katika maisha yangu,,, ipo siku nitakuja kutoa ushuuda mbele yako kwani nmeehapiga hatua Sana kupitia ebook ya MONEY FORMULA,,, ishi miaka mingi Sana boss joel
@afrasionpallangyo95733 ай бұрын
Katika familia yetu upande wa baba na mama kulikuwa na utumwa wa ujinga i mean ule wa kutokusoma na kama mtu amisoma sana basi anaishia la saba, ilipofika kwetu Kuna mtu alikuja kutamka maneno kuwa hatutakiwi kwenda secondary lakini mama yangu alimpinga na akatamka maneno ya ushindi, wapo waliofika Hadi chuo kikuu, hivyo kushinda utumwa inawezekana kabisa Thanks brother Joel Kwa SoMo zuri
@gloriakawago62233 ай бұрын
Spiritual Slave hiyo inanirudisha nyuma saana, nimejitahid kutafuta, kufanya biashara lkn nikianza kurud nyuma utanionea huruma, had sielewi
@bernadetachari76483 ай бұрын
Asante sana mwalimu.utumwa mutu huupata pale anapokuwa hana chochote chakufanya sasa inabidi ujikaze 2 njapo umechoka ama hupendi
@shukranjulius95263 ай бұрын
Barikiwa zaidi kaka Joel, naanza sasa kjitoa kwenye baazi ya utumwa ,Mungu anisaidie
@RitherLivigha-blessed3 ай бұрын
Nimejifunza kituuuuu,,asant broo,
@brackskinyozi328020 күн бұрын
Asante kaka Joel mungu azidi kukubariki nimejifunza...Nita share kwa ndugu n marafiki 🙏
@lucasmganga28113 ай бұрын
Da! Bro umenigusa Sana hiyo aina Ya tano utumwa wa kitabia hakika naamini umenifungua akili yangu upya MUNGU AKUJALIE MAISHA MAREFU ZAIDI Lakini pia Mimi nitaendelea kuwa barozi wako katika mafunzo yako kwa wengine 🙏🙏🙏✍️✍️✍️
@engelbertkiondo40143 ай бұрын
Mwl. Nanauka mungu akubariki. Watu ni watumwa kwa kiwango kikubwa hasa kidini...na kitaaluma
@user-ko1zl4ul2j3 ай бұрын
God bless you so much servant of God
@lilianjoseph11443 ай бұрын
I see me at the TOP! Kuna viwango ninakwenda kwa kujifunza kutoka kwako kaka Nanauka!
@mwanaidihassan58683 ай бұрын
Najifunza sana kwako kwa miaka 6 sasa nashkuru nimewavuta watu wangu wa karibu nao pia wamekuwa wakikufuatilia na kukuamini unachokisema
@glorysilayo68943 ай бұрын
Ubarikiwe sana kaka Joel ni mda sasa wa kujitoa kweny utumwa flan....
@lennydeelly33593 ай бұрын
Mungu akulinde bro….60% umenigusa now its a time to change my mind
@noelkivamba55263 ай бұрын
Kuanzia leo naondoka kwenye utumwa wa kisasa .....se me at the top
@user-cv2js2oc6g3 ай бұрын
Mh asilamia 70 Umenigusa Mungu anipe Neema ya kutoka katika utumwa
@issamanongi19023 ай бұрын
Habar yako mwalimu nilipotea online lakini sasa nimerudi naendelea kufatilia mafundisho yako mungu akubariki 👏
@Abdulrahmanhassan183 ай бұрын
Naomba unifundishe dalili za watu wanaotaka kukutawala ahsante sana
@annakareem37533 ай бұрын
A very powerful message📌, thanks for sharing 🙏🏽
@user-nu6ge7rg7n3 ай бұрын
Kaka mm kila siku lazima nipate SoMo lako barikiwa sana
@claracalvin50553 ай бұрын
Utumwa wa kihisia 😢😢😢😢😢
@user-fk7ju3cy8n3 ай бұрын
Bro Joel naona masomo yako yananifumdisha Sana Ila naomba mawasiliano yako niweze kujua jinsi ya kufanya hasa ktka swala la family asante sana
@andrew05023 ай бұрын
The big brain "Joel Arthur Nanauka"
@justinmwenda74493 ай бұрын
Amen
@user-zy4cm7od4h3 ай бұрын
Kaka Joel nanauka umebadilisha sana maisha yangu mungu akutimizie hitaji la moyo wako
@mazwichannel21203 ай бұрын
Asante kaka joel leo nimejifunza sana kitu cha msingi nipo hapa nasubil somo la kesho maana najiona kila mahali nipo aisee
@HamadiRsima9 күн бұрын
Tuko pamoja
@user-tf5fz1sx2i3 ай бұрын
Thank you,, naamini Ni mahali Mungu amekutumia kutufundisha🙏
@gilbertbaya15463 ай бұрын
From Kenya watching...
@faudhiasalum72793 ай бұрын
☝️✍️
@raisenpaul32283 ай бұрын
Daaaah!
@paschalmasanilo26172 ай бұрын
Kwenye roho hapo imegusa kwangu kwenye maeneo kadhaa
@stephanosospeter17093 ай бұрын
Ameen
@lilianjoseph11443 ай бұрын
Ahsante!
@user-mc8ly2mr1v3 ай бұрын
Nakukubal sana brorher
@deathrow80043 ай бұрын
Ahsante sana
@AbubakariLigi3 ай бұрын
Thanks brother ubarikiwe umenibadilisha sana
@AmanieliJeremiah-dm1im3 ай бұрын
Thanks God bless you
@clarasabutoke69073 ай бұрын
Yesu akutunze
@user-rj7fg8bb4z3 ай бұрын
Great
@janetmbwana5533 ай бұрын
Shukran
@ashangonyani79893 ай бұрын
Asante nashukuru
@julianalaly20953 ай бұрын
Tunakusikiliza kaka.
@alexlucas15713 ай бұрын
Good morning
@ANTONYMGANI-dh6nt3 ай бұрын
🙏🙏🙏
@andrew05023 ай бұрын
Hapo kwenye behavioural slavery na Sin behavioural, emotional &mental slavery duu nahic naingia pote. I don't know how i can move from these challenges!
@EdwardSamson-uf1ee3 ай бұрын
kuna busara nyingi sana humuu
@zainabumajinji4023 ай бұрын
Asante sana Mwalimu wangu professor Joel mwenyezi Mungu akutunze duniani na akhera Mm nipo zaidi kwenye utumwa wa infamily slavery huwa nasumbuka sana hapo yaani kwenye kila jambo langu jema lazima litokee jambo baya kama kuumwa , ajali yaani taarifa mbaya yeyote Ili MRADI furaha yangu inaishia njiani na hata kama nitafanya Kwa kulazimisha tu mpaka huwa nawaza kwani mwenyezi Mungu nakosea wapi au Nina makosa gani
@breakingnewstz83963 ай бұрын
Zainabu, Mpokee Bwana Yesu awe Bwana na mwokozi wa maisha yako unapata amani
@augustinejobmkongwa75993 ай бұрын
Madini mtupu Kaka
@medlucas56863 ай бұрын
Bro umenidlisha Sana naendelea kukufuatlia nami nabadilisha vijana wenzangu
@starplatnumz3 ай бұрын
Nipo hapa I'm waiting hili somo ❤🎉🎉
@zakazakazi-fn6zy3 ай бұрын
Joeli naomba unitumie ebook na nielekezee n a bei zake nahtaji sana
@jesusismyeverything16303 ай бұрын
Hivi kaka Joel nitamwonaje??
@aminakibangu91743 ай бұрын
asante san bro nanauka
@KheirKheir-gu6tw3 ай бұрын
Nina tatizo la kutetemeka mikomo, Hali hii imeniharia kwa kiasi kikubwa sana Nashindwa kufanya jambo lolote mbele za watu, Naona aibu,