LIFE WISDOM : AINA 7 ZA UTUMWA WA KISASA - JOEL NANAUKA

  Рет қаралды 17,642

Joel Nanauka

Joel Nanauka

4 ай бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 57
@user-sx9lq3ie1j
@user-sx9lq3ie1j 3 ай бұрын
Nalisubilia hili SoMo kwa udi na uvumba ,, hakika umekuwa ufungu0 katika maisha yangu,,, ipo siku nitakuja kutoa ushuuda mbele yako kwani nmeehapiga hatua Sana kupitia ebook ya MONEY FORMULA,,, ishi miaka mingi Sana boss joel
@afrasionpallangyo9573
@afrasionpallangyo9573 3 ай бұрын
Katika familia yetu upande wa baba na mama kulikuwa na utumwa wa ujinga i mean ule wa kutokusoma na kama mtu amisoma sana basi anaishia la saba, ilipofika kwetu Kuna mtu alikuja kutamka maneno kuwa hatutakiwi kwenda secondary lakini mama yangu alimpinga na akatamka maneno ya ushindi, wapo waliofika Hadi chuo kikuu, hivyo kushinda utumwa inawezekana kabisa Thanks brother Joel Kwa SoMo zuri
@gloriakawago6223
@gloriakawago6223 3 ай бұрын
Spiritual Slave hiyo inanirudisha nyuma saana, nimejitahid kutafuta, kufanya biashara lkn nikianza kurud nyuma utanionea huruma, had sielewi
@bernadetachari7648
@bernadetachari7648 3 ай бұрын
Asante sana mwalimu.utumwa mutu huupata pale anapokuwa hana chochote chakufanya sasa inabidi ujikaze 2 njapo umechoka ama hupendi
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 3 ай бұрын
Barikiwa zaidi kaka Joel, naanza sasa kjitoa kwenye baazi ya utumwa ,Mungu anisaidie
@RitherLivigha-blessed
@RitherLivigha-blessed 3 ай бұрын
Nimejifunza kituuuuu,,asant broo,
@brackskinyozi3280
@brackskinyozi3280 20 күн бұрын
Asante kaka Joel mungu azidi kukubariki nimejifunza...Nita share kwa ndugu n marafiki 🙏
@lucasmganga2811
@lucasmganga2811 3 ай бұрын
Da! Bro umenigusa Sana hiyo aina Ya tano utumwa wa kitabia hakika naamini umenifungua akili yangu upya MUNGU AKUJALIE MAISHA MAREFU ZAIDI Lakini pia Mimi nitaendelea kuwa barozi wako katika mafunzo yako kwa wengine 🙏🙏🙏✍️✍️✍️
@engelbertkiondo4014
@engelbertkiondo4014 3 ай бұрын
Mwl. Nanauka mungu akubariki. Watu ni watumwa kwa kiwango kikubwa hasa kidini...na kitaaluma
@user-ko1zl4ul2j
@user-ko1zl4ul2j 3 ай бұрын
God bless you so much servant of God
@lilianjoseph1144
@lilianjoseph1144 3 ай бұрын
I see me at the TOP! Kuna viwango ninakwenda kwa kujifunza kutoka kwako kaka Nanauka!
@mwanaidihassan5868
@mwanaidihassan5868 3 ай бұрын
Najifunza sana kwako kwa miaka 6 sasa nashkuru nimewavuta watu wangu wa karibu nao pia wamekuwa wakikufuatilia na kukuamini unachokisema
@glorysilayo6894
@glorysilayo6894 3 ай бұрын
Ubarikiwe sana kaka Joel ni mda sasa wa kujitoa kweny utumwa flan....
@lennydeelly3359
@lennydeelly3359 3 ай бұрын
Mungu akulinde bro….60% umenigusa now its a time to change my mind
@noelkivamba5526
@noelkivamba5526 3 ай бұрын
Kuanzia leo naondoka kwenye utumwa wa kisasa .....se me at the top
@user-cv2js2oc6g
@user-cv2js2oc6g 3 ай бұрын
Mh asilamia 70 Umenigusa Mungu anipe Neema ya kutoka katika utumwa
@issamanongi1902
@issamanongi1902 3 ай бұрын
Habar yako mwalimu nilipotea online lakini sasa nimerudi naendelea kufatilia mafundisho yako mungu akubariki 👏
@Abdulrahmanhassan18
@Abdulrahmanhassan18 3 ай бұрын
Naomba unifundishe dalili za watu wanaotaka kukutawala ahsante sana
@annakareem3753
@annakareem3753 3 ай бұрын
A very powerful message📌, thanks for sharing 🙏🏽
@user-nu6ge7rg7n
@user-nu6ge7rg7n 3 ай бұрын
Kaka mm kila siku lazima nipate SoMo lako barikiwa sana
@claracalvin5055
@claracalvin5055 3 ай бұрын
Utumwa wa kihisia 😢😢😢😢😢
@user-fk7ju3cy8n
@user-fk7ju3cy8n 3 ай бұрын
Bro Joel naona masomo yako yananifumdisha Sana Ila naomba mawasiliano yako niweze kujua jinsi ya kufanya hasa ktka swala la family asante sana
@andrew0502
@andrew0502 3 ай бұрын
The big brain "Joel Arthur Nanauka"
@justinmwenda7449
@justinmwenda7449 3 ай бұрын
Amen
@user-zy4cm7od4h
@user-zy4cm7od4h 3 ай бұрын
Kaka Joel nanauka umebadilisha sana maisha yangu mungu akutimizie hitaji la moyo wako
@mazwichannel2120
@mazwichannel2120 3 ай бұрын
Asante kaka joel leo nimejifunza sana kitu cha msingi nipo hapa nasubil somo la kesho maana najiona kila mahali nipo aisee
@HamadiRsima
@HamadiRsima 9 күн бұрын
Tuko pamoja
@user-tf5fz1sx2i
@user-tf5fz1sx2i 3 ай бұрын
Thank you,, naamini Ni mahali Mungu amekutumia kutufundisha🙏
@gilbertbaya1546
@gilbertbaya1546 3 ай бұрын
From Kenya watching...
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 3 ай бұрын
☝️✍️
@raisenpaul3228
@raisenpaul3228 3 ай бұрын
Daaaah!
@paschalmasanilo2617
@paschalmasanilo2617 2 ай бұрын
Kwenye roho hapo imegusa kwangu kwenye maeneo kadhaa
@stephanosospeter1709
@stephanosospeter1709 3 ай бұрын
Ameen
@lilianjoseph1144
@lilianjoseph1144 3 ай бұрын
Ahsante!
@user-mc8ly2mr1v
@user-mc8ly2mr1v 3 ай бұрын
Nakukubal sana brorher
@deathrow8004
@deathrow8004 3 ай бұрын
Ahsante sana
@AbubakariLigi
@AbubakariLigi 3 ай бұрын
Thanks brother ubarikiwe umenibadilisha sana
@AmanieliJeremiah-dm1im
@AmanieliJeremiah-dm1im 3 ай бұрын
Thanks God bless you
@clarasabutoke6907
@clarasabutoke6907 3 ай бұрын
Yesu akutunze
@user-rj7fg8bb4z
@user-rj7fg8bb4z 3 ай бұрын
Great
@janetmbwana553
@janetmbwana553 3 ай бұрын
Shukran
@ashangonyani7989
@ashangonyani7989 3 ай бұрын
Asante nashukuru
@julianalaly2095
@julianalaly2095 3 ай бұрын
Tunakusikiliza kaka.
@alexlucas1571
@alexlucas1571 3 ай бұрын
Good morning
@ANTONYMGANI-dh6nt
@ANTONYMGANI-dh6nt 3 ай бұрын
🙏🙏🙏
@andrew0502
@andrew0502 3 ай бұрын
Hapo kwenye behavioural slavery na Sin behavioural, emotional &mental slavery duu nahic naingia pote. I don't know how i can move from these challenges!
@EdwardSamson-uf1ee
@EdwardSamson-uf1ee 3 ай бұрын
kuna busara nyingi sana humuu
@zainabumajinji402
@zainabumajinji402 3 ай бұрын
Asante sana Mwalimu wangu professor Joel mwenyezi Mungu akutunze duniani na akhera Mm nipo zaidi kwenye utumwa wa infamily slavery huwa nasumbuka sana hapo yaani kwenye kila jambo langu jema lazima litokee jambo baya kama kuumwa , ajali yaani taarifa mbaya yeyote Ili MRADI furaha yangu inaishia njiani na hata kama nitafanya Kwa kulazimisha tu mpaka huwa nawaza kwani mwenyezi Mungu nakosea wapi au Nina makosa gani
@breakingnewstz8396
@breakingnewstz8396 3 ай бұрын
Zainabu, Mpokee Bwana Yesu awe Bwana na mwokozi wa maisha yako unapata amani
@augustinejobmkongwa7599
@augustinejobmkongwa7599 3 ай бұрын
Madini mtupu Kaka
@medlucas5686
@medlucas5686 3 ай бұрын
Bro umenidlisha Sana naendelea kukufuatlia nami nabadilisha vijana wenzangu
@starplatnumz
@starplatnumz 3 ай бұрын
Nipo hapa I'm waiting hili somo ❤🎉🎉
@zakazakazi-fn6zy
@zakazakazi-fn6zy 3 ай бұрын
Joeli naomba unitumie ebook na nielekezee n a bei zake nahtaji sana
@jesusismyeverything1630
@jesusismyeverything1630 3 ай бұрын
Hivi kaka Joel nitamwonaje??
@aminakibangu9174
@aminakibangu9174 3 ай бұрын
asante san bro nanauka
@KheirKheir-gu6tw
@KheirKheir-gu6tw 3 ай бұрын
Nina tatizo la kutetemeka mikomo, Hali hii imeniharia kwa kiasi kikubwa sana Nashindwa kufanya jambo lolote mbele za watu, Naona aibu,
@user-ys5ki8pm6z
@user-ys5ki8pm6z 3 ай бұрын
🙏🙏🙏
CHANGAMOTO YA ENEO LA FEDHA KWENYE NDOA/MAHUSIANO - JOEL NANAUKA
49:41
LIFE WISDOM : MADHARA YA KUWA NA KIBURI - JOEL NANAUKA
14:28
Joel Nanauka
Рет қаралды 8 М.
Этот Пёс Кое-Что Наделал 😳
00:31
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 3,2 МЛН
Became invisible for one day!  #funny #wednesday #memes
00:25
Watch Me
Рет қаралды 57 МЛН
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 68 МЛН
БОЛЬШОЙ ПЕТУШОК #shorts
00:21
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН
Je,Kiongozi Ni Mtu Wa Namna Gani?
21:45
Joel Nanauka
Рет қаралды 35 М.
JINSI YA KUGUNDUA KUSUDI LA MAISHA YAKO   JOEL NANAUKA EPISODE 04
10:00
Family of Praying Women
Рет қаралды 6 М.
Je,Wewe Una Maono Gani Kwenye Maisha Yako?
46:51
Joel Nanauka
Рет қаралды 177 М.
AINA ZA BIASHARA ZINAZO MFAA MWANAMKE - JOEL NANAUKA
8:58
Joel Nanauka
Рет қаралды 137 М.
LIFE WISDOM : JIFUNZE HILI ILI UPATE MSAADA - JOEL NANAUKA
13:23
Joel Nanauka
Рет қаралды 8 М.
LIFE WISDOM : KUVUKA NYAKATI NGUMU - JOEL NANAUKA
11:53
Joel Nanauka
Рет қаралды 9 М.
Jinsi ya kuweka malengo na kufanikiwa
1:05:12
Joel Nanauka
Рет қаралды 436 М.
Этот Пёс Кое-Что Наделал 😳
00:31
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 3,2 МЛН