Ni kweli kabisa kaka. Kiburi ni miongoni mwa vikwazo (miba,) vya mtu kuendelea kusonga mbele. Natamani watu wote tungekuwa na ufahamu huu. Neno la Mungu limeweka wazi kwamba Mungu huwapinga wenye kiburi na anawapa wanyenyekevu neema. Asante kwa somo zuri mtaalam🙏
@RamadhaniMpwatile3 ай бұрын
Na unyenyekevu pia ukizidi sana. Unaonekana unajipendekeza. Kilakitu Kwa kiasi. Unyenyekevu Kwa kiasi kiburi Kwa kiasi
@user-uj3ld6ni1s3 ай бұрын
MUNGU MUNGU....MUNGU WANGU ASANTE
@shukuranirebecca48773 ай бұрын
Ubalikiwe sana
@jamilaathumani54813 ай бұрын
Mwenyezimungu pia hampendi mtu mwenye kiburi..na mwenye kibuli mungu kamuahidi moton..Kuna lafiki zangu walikuwaga ivyo nimewablok na kufuta namba zao
@devothasimbi64953 ай бұрын
Niko huru kwa Yale uliyoyaelezea simo nashukuru Mungu.
@EmayNgayda-in9gx3 ай бұрын
Vita mbalimbali katika maisha huwafanya maadui kuwatuhumu wahanga wao kuwa 'wenye kiburi'.
@user-eg5nc4po2n3 ай бұрын
Barikiwa mtu WA Mungu nimefatilia nikaona sain nyingi zipo ndani yangu bila kujua ila nimechukua hatua ya maombi
@EDMUNDSOSPETER3 ай бұрын
Ila binafsi najitahidi kukiepuka kiburi huwa nashindwa Mr Joel naomba ushauri kitu gani bado hakijakaa sawa hapo #joelnanauka
@khalifanoti69743 ай бұрын
Mwenye kuvaa joha la kiburi ni mwenyezi.mungu tu.na atakaevaa joha hilo ni motoni tu.
@user-wg4xd8cn8d3 ай бұрын
Nakuelewa sana kaka Joel. Mungu nisaidie ktk jitihada nifanyazo kuondoa Kiburi
@mazwichannel21203 ай бұрын
Kaka @joelnanauka yan leo unenigusa mimi aisee,mtu wa aina hii ninae naishi nae yani ni shida sifa zote apo anazo yan kuna muda mpaka unamuurumia maana kuna vitu ananjifanya anajua kumbe ajui ila kwakuwa ataki ushirikiano wala ushauri ye kilakitu anahisi anaweza.Daaah ni hatari sana
@bernadetachari76483 ай бұрын
Kwakweli kiburu nimbaya sana na hufanya ukakosa baraka.na piakijifunghia hata watu wakakuonghopa pia
@MSHINDICLEMENCE3 ай бұрын
Mungu akubaliki kwa hii kazi yako inanisaidia sn
@EmayNgayda-in9gx3 ай бұрын
Kiburi ni ukinzani dhidi ya dharau na maumivu ya kihisia dhidi ya watu wengine.
@charletsada87793 ай бұрын
Uzuri nimejifunza mengi sana toka nikujue na sikitambo huu mwezi tu watu 2024 lkn nimepona aliyo kuwa yananisumbua na bado,ee MUNGU mbariki huyu mtumishi wako
@kuruthumukondo71493 ай бұрын
Exactly kaka uko sahihi ❤❤
@charletsada87793 ай бұрын
MUNGU nisaidie mimi mwanadamu nione kila mtu akiwa na thamani.
@NTC-LIMITED3 ай бұрын
Boss kama boss😊
@tsongokauta59113 ай бұрын
Unyenyekevu ni Siri kubwa ya kuenda mbali maishani
@jacksontumaini91083 ай бұрын
See you at the top JAN 🇹🇿
@khajirmussa3 ай бұрын
Ubarikiwe xanaaa , xomo nzuri sanaaaa
@mohammedrashid29063 ай бұрын
Ahsante
@cutieprecious78093 ай бұрын
Mmh
@oscarj....59793 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉
@azizabakarimsologoni.493 ай бұрын
Thanks a lot
@shidashida6060Ай бұрын
Kuna maisha yanatulazimisha kutumia kiburi kama silaha,mfano huku uarabuni bila kuwa na kiburi hutoboi 😂😂
@tawakaliramadhani13523 ай бұрын
Kaka swadacta..
@user-yq4uw4ps6p3 ай бұрын
See you at the top
@andrew05023 ай бұрын
I'm not i the first!
@veronicawangari80893 ай бұрын
Ak Mimi Niko na kiburi tena sungu kira siku najaribu itoke Dani yangu sai Niko na 29 years. Cjawai ingia Kwa usiano na mtu tukaa mezi ata miwili . Nifunze jisi kiburi itatoka Dani yangu Niko tayari kujifuza juu ni kitu nayaribu itoke Dani yangu paka nimeshindwa sazingine na kaa mbali na watu
@lizybethpeter61243 ай бұрын
Jitahidi na maombi ukiona kitu unajaribu kukiacha na unashindwa jitihada Kama binadamu unashindwa ...inaitaji msaada wa Mungu kwa sababu linakuwa Jambo la kiroho zaidi
@SamKanono3 ай бұрын
Nimekuelewa kaka ila naomba namna ya kutoka kwa kiburi
@paulmayombe43363 ай бұрын
Nikwel kabsa kuna muda mtu anakuwa na kiburi kwa kutotaka majadiliano hii nimeliona kabsa kwa mtu Flani
@IbrahimDaudi-bo7ke3 ай бұрын
Shukran kaka ila ni namna gani yakutoka kwa kiburi?????
@janetmbwana5533 ай бұрын
🙏🙏🙏 shukran sana kwa somo zuri sana Acha nijichunguze kiburi changu kipo wapi
@mohamededdi75273 ай бұрын
Kiburi chako wewe ni ukishiba tu ndio unakiburi.
@janetmbwana5533 ай бұрын
@@mohamededdi7527 😅😅😅jamn em nihakikishe kwanza baada ya ftari nitakuwa nacho au lah
@mohamededdi75273 ай бұрын
@@janetmbwana553 wee jiangalie baada ya ftari utakiona kiburi.
@janetmbwana5533 ай бұрын
@@mohamededdi7527 sio kweli bhana acha nikague maeneo mengine 😁