Lissu Apigilia Msumari Sakata la Rushwa Uchaguzi wa Ndani CHADEMA, Amjibu Kinana na Halima Mdee

  Рет қаралды 16,870

The Chanzo

The Chanzo

Күн бұрын

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu ameshangaa baadhi ya wanachama wa CHADEMA na wanasiasa nje ya chama hiko wanaomkosoa kwa kitendo chake cha kutangaza hadharani kuwa kuna rushwa inaendelea kwenye uchaguzi wa ndani wa CHADEMA unaofanyika katika ngazi tofauti tofauti.
Akizungumza na wananchi wa Mpwapwa kwenye mkutano wa hadhara Lissu amesema kuwa haelewi wanaokosoa kitendo chake hiko wana lengo gani CHADEMA maana chama hiko kimekuwa mstari wa mbele katika mapambano dhidi ya rushwa kwa miaka mingi sana.

Пікірлер: 58
@safiyaalharthy6382
@safiyaalharthy6382 5 ай бұрын
Tundu Lisu is a gentleman Keep up for your country na Mungu akubariki sana
@selestinej.g.mallyarabbo1444
@selestinej.g.mallyarabbo1444 5 ай бұрын
Daaah respect man, The Beam of Africa
@kisarikisari534
@kisarikisari534 5 ай бұрын
Lissu for presidency
@karushakamusa5525
@karushakamusa5525 5 ай бұрын
Respect mkuuu
@FredrickSwai-m2s
@FredrickSwai-m2s 5 ай бұрын
Nakuelewa sana kiongozi wangu. Even Lowassa Chadema ilikuwa Rushwa.
@azavelilwaitama1975
@azavelilwaitama1975 5 ай бұрын
Asante mwanangu mpendwa Tundu Lissu kwa ufanafanunuzi huu wa kauli zako kuhusu muundo wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar pamoja na kukemea kwako hatari ya kuendekeza rushwa katika chaguzi za ndani ya chama chetu. Endelea kutoa elimu ya uraia kuhusu maswala haya na wenye nia njema na kuitakia mema nchi yetu na chama chetu cha Chadema tunajua kuwa huna ubaya na mtu bali unakitakia chama chetu cha Chadema mafanikio ya kisiasa chini ya uongozi imara na mahili wa Mwenyakiti wetu na mwanangu mpendwa kama wewe Freeman Mbowe. Wanao ombea chama chetu cha Chadema mafarakano yatakayokidhoofisha "washindwe na kulegea".
@richardmwandanji65
@richardmwandanji65 5 ай бұрын
Wambie TU yawaingie sema kweli uzidi kupendwa na aliekufanya uendelee kuwepo japo walipenda usiishi wayapokee ni makusudi ya Mungu siku hizi ni zamu ya mzanzibar dhidi ya mtanganyika sasahawajui kama wamasai hata iweje watasema huyu mtoto wa wazanzibari anatufukuza kwenye urisi wetu kwani yanatuhusu Nini sisi wa mikoa mingine hawa ni ndugu zetu lazima tuungane na wanao hujumiwa nilazima tukemee lushwa ni wajibu wetu na ndio wajibu wa chama chetu tutapambana na rushwa hata ikibidi kufa Mungu ametuamru kukemea rushwa
@HusenNdwata-yb6nw
@HusenNdwata-yb6nw 5 ай бұрын
Mungu akubariki san rais wang
@warrenmgode1837
@warrenmgode1837 5 ай бұрын
Lisuu safii
@MmbagaMmbaga
@MmbagaMmbaga 5 ай бұрын
Waizi sana wanataka tusemeje, kwanza wshaanza kuzitumia
@RamadhaniAbdallah-oi7vm
@RamadhaniAbdallah-oi7vm 5 ай бұрын
S😮😮
@simonchristian6319
@simonchristian6319 5 ай бұрын
Ila viongozi wa Tanzania acheni kuthamini wageni kuliko wazawa Hawa maskini
@mr_kajomba_og5719
@mr_kajomba_og5719 5 ай бұрын
Tundu tundu tundu lissu wewe ni mtu wa maana kabsa
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 5 ай бұрын
Hujaelewa hoja ya Lissu
@SaidHamoud-h9t
@SaidHamoud-h9t 5 ай бұрын
Bingwa wa poropaganda hongera
@janeshija6638
@janeshija6638 5 ай бұрын
Sema sema baba RUSHWA imekwisha ingia CHADEMA. Bila fedha huwezi kuchaguliwa. Uhonge nfipo uchaguliwe. Kwa sasa CHADEMA iko kwenye kipindi kigumu sana. Wameachwa wazoefu wamechaguliwa viongozi ambao hawana uzoefu.
@ChristerKoku
@ChristerKoku 5 ай бұрын
Hivi ni kosa gani kukemea rushwa? Huwezi kukemea maovu nje,ukaacha ndani mwako yanaota mizizi.
@richardmwandanji65
@richardmwandanji65 5 ай бұрын
Kamatakukuru wanachunguza waanzie kwa kina mdee na wenzake walipewa rushwa nanani
@EliyaMbosore-yv3zx
@EliyaMbosore-yv3zx 5 ай бұрын
Nimemwelewa wew ni kiongozi jasili sana
@ChristerKoku
@ChristerKoku 5 ай бұрын
Ukweli utakuweka huru.
@JosiaWmela
@JosiaWmela 5 ай бұрын
We ndio mwamba ulionaki tanzania
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 5 ай бұрын
chadema mnatakiwa kutoa na nyinyi rushwa kwa wana ccm ili ngoma iwe drooo
@cosmaswilliam3805
@cosmaswilliam3805 5 ай бұрын
Mungu nimwema.atatupigania wewe chapa kazi lissu,watanzania wapo wanaojitambua usiofu .
@happyjeremiahmhuli4043
@happyjeremiahmhuli4043 5 ай бұрын
Wanaokushambulia ni vibaraka wa CCM , Vibaraka hao hata wanachohongwa ni kipesa kidogo sana kulinganisha na hao wanaowagawia.
@GabrielDaniel-lv7ut
@GabrielDaniel-lv7ut 5 ай бұрын
Pamoja mzee wenye akili chana tumekuelewa watanzania tumelimika sasa
@sponsor7882
@sponsor7882 5 ай бұрын
Mbowe kahongwa na CCM
@sizorstartv6168
@sizorstartv6168 5 ай бұрын
rushwa iligonga mwamba kwa watu wawili tu mbowe na lissu
@danielkanso
@danielkanso 5 ай бұрын
Unaeleweka kiongozi wetu shida hata siyo kusema shida kubwa ni nani kasema na unaposema wakubwa tumbo inapata joto kwa sababu watu wengi wanakusikiliza
@GiftKayuki
@GiftKayuki 5 ай бұрын
President Lissu💯🔥
@halimamasai2234
@halimamasai2234 5 ай бұрын
Ni ndoto tahira kuja kwa Raisi wa tz 🤣🤣
@ShamteMohmed-ed2kk
@ShamteMohmed-ed2kk 5 ай бұрын
Huyu chizi nani hampe nchi
@AhmedHassan-vl5zf
@AhmedHassan-vl5zf 5 ай бұрын
Kkkkk kweli watanzania tumefikia kumsikiliza huyu amesema rushwa ndani ya chadema hatoi maelezo kamili ikijadiliwa na wengine NI taharuki wao kina lisu NI Sawa na watu wanamfurahia
@ezekielkiduge8730
@ezekielkiduge8730 5 ай бұрын
Huon ni uchawa kama mwingine
@LeonardUpunda-m6v
@LeonardUpunda-m6v 5 ай бұрын
Big up,Baba Mungu akutie nguvu zaidi na zaidi.
@ChristerKoku
@ChristerKoku 5 ай бұрын
Waitara.
@IsayaMedot
@IsayaMedot 5 ай бұрын
Nakumbenda Kwa moyo tundu lisu
@LwidikoLwenge
@LwidikoLwenge 5 ай бұрын
Lisu piga hapo hapo tupo pamoja na ww kamanda 😅
@thomaskiponda6079
@thomaskiponda6079 5 ай бұрын
SO NILIWAAMBIA?HUYU MWAMBA HAMUNG'UNYI MANENO❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂
@fahadomar5809
@fahadomar5809 5 ай бұрын
Mm nachukia sana muungano wa Tanganyika na Zanzibar
@HamzaHeri
@HamzaHeri 5 ай бұрын
WEWE SIO UKOHAUPO KWA AJILI YA WATANZANIA WEWE UNATAKA WATU WAMWAGE DAMU ALAFU UKIMBILIE HUKO UBELGIGI KWA MABWANA ZAKO KIMASLA
@cosmaswilliam3805
@cosmaswilliam3805 5 ай бұрын
Hamza Heri tunata Tanganyika yetu kabla hatujauana
@ShamteMohmed-ed2kk
@ShamteMohmed-ed2kk 5 ай бұрын
Hamna kitu hapo porojo tu,
@ramadhanchenga4606
@ramadhanchenga4606 5 ай бұрын
Damu inatoka wapi nyerere aliwafukuza wanzunfu na damu haikumwagika ije leo watu weusi
@albinusmkono5887
@albinusmkono5887 5 ай бұрын
Wewe hamza acha ujinga kwani kumwaga damu kwa ajili ya kutafuta haki
@fredysiwale5413
@fredysiwale5413 5 ай бұрын
Mbona Makonda alipokelewa rushwa hadharani mlimponda
@godfreycharles2731
@godfreycharles2731 5 ай бұрын
Makonda ni comedian
@MmbagaMmbaga
@MmbagaMmbaga 5 ай бұрын
Ambayaye yupo,ccmz, asiteseke, asome tu cement atazimia lissu mwamba
@KassimKhalaid
@KassimKhalaid 5 ай бұрын
Mzee wa kuleta chuki tz na family yako umeificha us ati ni mzalendo wacha umbea plz
@George-jz3jg
@George-jz3jg 5 ай бұрын
We ndo mpumbavu sana
@KassimKhalaid
@KassimKhalaid 5 ай бұрын
@@George-jz3jg ukweli ndo uwo uwezi sema muafrica ni mgeni ndani ya africa kweli
@ramadhanchenga4606
@ramadhanchenga4606 5 ай бұрын
Ww ni mjinga kabisa
@geraldstanslaus2984
@geraldstanslaus2984 5 ай бұрын
uko timamu kweli
@sizorstartv6168
@sizorstartv6168 5 ай бұрын
tulieni kama huna akili unakaa kimya wewe
@halimamasai2234
@halimamasai2234 5 ай бұрын
Hee kumbe chadema kuna rushwa nilidhani CCM peke yake 🤣🤣🤣
@albinusmkono5887
@albinusmkono5887 5 ай бұрын
Sikiliza vzr wewe mbuzi.ccm imeleta Hela za rushwa chadema itumike kuchagua viongozi dhafu watakaoua chadema. Sio Hela za chadema.umeelewa sasa.??na Hela waliozitoa amewataja
@prospermalala6636
@prospermalala6636 5 ай бұрын
Mungu mkubwa akulinde daima ktk ulimwengu huuuu haramu unaofanywa na familia ya CCM, hakika IQ yako IPO juuuu Kwa kuifundisha hiiiiiiii jamiiii iliyopo mbele yetu na Dunia nzima, elimu ya kisheria unaitendea Haki 😭😭😭😭😭😭😭😭 ninatoa machozi Kwa uchungu Kwa unavyotufundisha watanganyika, lkn hakuna anakuelewa, nchi inaangamia Kwa kuwa na viongozi wasiokuwa na huruma na Taifa letu, Mungu akuongoze kwenye hili janga
@nashnene6326
@nashnene6326 5 ай бұрын
Umenchekesha 😂😂eti umelia kwa uchungu 😅😅
@fahadomar5809
@fahadomar5809 5 ай бұрын
Bora muungano uvunjwe
Don't look down on anyone#devil  #lilith  #funny  #shorts
00:12
Devil Lilith
Рет қаралды 46 МЛН
Friends make memories together part 2  | Trà Đặng #short #bestfriend #bff #tiktok
00:18
Human vs Jet Engine
00:19
MrBeast
Рет қаралды 46 МЛН
MBOWE ATWANGA MASWALI MAZITO,KUHUSU KANUNI ZA UCHAGUZI MBELE YA KABUDI
14:14
Charles Hilary wa Ikulu Zanzibar afunguka Kuhusu kwao na makuzi yake
4:00
Zanzibar Kamili TV
Рет қаралды 83 М.
LISSU AMJIBU FATMA KARUME SAKATA LA SIASA ZA UBAGUZI....
16:10
Don't look down on anyone#devil  #lilith  #funny  #shorts
00:12
Devil Lilith
Рет қаралды 46 МЛН