Mbowe: Tusilishane Maneno Malaini, CCM Wana Kiburi. Ni Kuhusu Sheria za Uchaguzi

  Рет қаралды 15,413

The Chanzo

The Chanzo

Күн бұрын

Mbowe alikuwa akizungumza kwenye kikao kilichoandaliwa na Tanzania Centre For Democracy (TCD) kilichofanyika katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam leo Mei 08,2024.

Пікірлер: 75
@bukurunestory3540
@bukurunestory3540 5 ай бұрын
Mh Mbowe ni Kichwa very detailed presentatiob
@namsifubwana2152
@namsifubwana2152 5 ай бұрын
Asante sana Mh Mbowe📌📌📌📌
@AbdallaMwagora-sm1rj
@AbdallaMwagora-sm1rj 5 ай бұрын
Action speak louder than words,,CCM NI SAWA NA MBURU KENGE WANA MACHO HAWAONI WANA MASIKIO LAKINI HAWASIKII ILA KWA KIGONGO.
@wakwetu2444
@wakwetu2444 5 ай бұрын
Ni kweli. Kwa sababu sisi ni waoga Sana.
@phillipmasungwa7365
@phillipmasungwa7365 5 ай бұрын
SAHIHI KABISA MBOWE.
@juliuszakayo6771
@juliuszakayo6771 5 ай бұрын
Yaani mwenyekiti wangu mbowe Kama ulivyosema wasaini waandikishaji ni walewale watendaji wa CCM walioharibu uchaguzi mwanangu akiomba nafasi ya kuandikisha kijijini kwetu Wanajua Mimi ni kiongozi wa CHADEMA walikua na kigugumizi ya kusajili mwanangu ,, hawa wasanii wa CCM wanaiharibu nchi
@aloycesingano1352
@aloycesingano1352 5 ай бұрын
Huyu anazungumza kilichopo na uhalisia na anaongea yakweli kabsa japo sisi watanzania wengi ni watu wakufata mkumbo na kuto kujitambua hawa ccm siyo chama cha kifalme lakin watanzania walio wengi wenye kukosoa chama cha chadema huwa hatuna akili zautambuzi juu ya siasa kiukweli
@aloycesingano1352
@aloycesingano1352 5 ай бұрын
Ccm 2025 mtajua maana ya Siasa huru mjipange kwakweli
@willymgaya7618
@willymgaya7618 5 ай бұрын
CCM ACHENI UKIRITIMBA , WANANCHI TUNACHOHITAJI, NI TUME HURU YA UCHAGUZI NA KATIBA MPYA. WATANZANIA TUNATAKA MABADILIKO AMBAYO YATALETA UWAJIBIKAJI. KUIBIWA FEDHA ZA UMMA NA KULINDANA TUMECHOKA.
@adkajisi4536
@adkajisi4536 5 ай бұрын
Kwa kweli
@ezekieldeus6022
@ezekieldeus6022 5 ай бұрын
Wakati wowote ukifika wakati wa mabadiriko wewe mtawala, au mwenye mamlaka, huwezi kupingana na wakati huo, hapo Jambo la musingi nikukubaliana na upepo, au, uvumi unao vuma. Nikiwa na maana kuwa huu ndiyo wakati sahihi, wa mabadiriko ya katiba, na kuwepo tume huru ya uchaguzi, ili nchi na raia wake viweze kustawi.
@petersilas4234
@petersilas4234 5 ай бұрын
Pana jambo moja ambalo Chadema hamulioni, Mwalimu alisema siku CCM ikigawanyika kutatokea upinzani wa kweli. Lowasa alipotoka CCM aliwapa umaarufu kwa kiasi kikubwa. 2015 msingechukua kama yard stick yenu. Jengeni chama chenu, you have room to grow, Wananchi wasiporidhika Wala hawana haja ya kusubiria katiba, wataikataa serikali tu.
@juliusjohnii7823
@juliusjohnii7823 5 ай бұрын
Mbowe kazana,,,Endelea kushauliana nao mpaka tutakapokuwa tunakaribia mahara pake!!!
@alphoncehanura3255
@alphoncehanura3255 5 ай бұрын
Wasomi Chenge,wasira na the whole group of akina prof Mkumbo ,Kabudi na wenzao.ni wachumia tumbo tu.... hawataki reforms za kweli.
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 5 ай бұрын
Mfumo bora na demokrasia imara na tume huru ya uchaguzi itakayotenda HaKI ndio msingi mkuu wa utu wetu na ubinadamu wetu katika nchi hii.
@stevenialbert5033
@stevenialbert5033 5 ай бұрын
Tupo pmj chadema
@natafutamatatizo4382
@natafutamatatizo4382 5 ай бұрын
CCM NI MISUKULE ISIYOJITAMBUA KAZI MAMA, MAMA MAMA MIJITU MIZIMA NA AKILI ZAO ZINAMTUKUZA MWANAADAMU MWENZAO!
@yonassngonye3759
@yonassngonye3759 5 ай бұрын
Hivi ni lazima kuwatusi watu ili kutoa maoni?
@Expedito2512
@Expedito2512 5 ай бұрын
Nani kamtusi nani?
@yonassngonye3759
@yonassngonye3759 5 ай бұрын
Mburukenge
@aliykamaga4174
@aliykamaga4174 5 ай бұрын
Yani dawayao nikuamua yani munawaomba tripuhii kitukitaonekana
@mutalemwajohanes-kx9dj
@mutalemwajohanes-kx9dj 5 ай бұрын
Watu wapumbavu na wajinga watadharau maneno ya Mboe , huyu kaongea kwa hoja muhimu za kitaifa
@stanslausbernard5950
@stanslausbernard5950 5 ай бұрын
Mpumbavu ni wewe unayedhani kuwa mbowe hakosei
@frankminga9307
@frankminga9307 5 ай бұрын
I hoe ccm wameipata msg hii
@eatlawe
@eatlawe 5 ай бұрын
Ila ninyi vyama vya siasa kwa miaka 30 bado hamjifunzi tu? Bado mnatumia njia hizo hizo ambazo zimekuwa zinawakandamiza. Mmekuwa ombaomba miaka yote ndio maana mnadarauliwa kwa sababu hamna madhara ya kelele zenu! Hamjifuzi hata kwa majirani hasa Kenya?
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 5 ай бұрын
Unataka wafanyaje sasa
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 5 ай бұрын
@@elinamilyatuu7337 wajiuzulu hawo wala RUZUKU tu kazi yao MATUSI na UDINI
@dionismutayoba3542
@dionismutayoba3542 5 ай бұрын
Wewe uliyecomment uko upande UPI? Au ww sio mtanzania?
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 5 ай бұрын
@@dionismutayoba3542 NDIO NYIE MKIAMBIWA NA MCHUNGAJI KULENI NYASI MNAKULA HATA BILA KUHOJI 🤧🤧🤧🤧🤧
@Ushauri235
@Ushauri235 5 ай бұрын
Wape solution wafanyeje acha kejeli
@andrewkissava9184
@andrewkissava9184 5 ай бұрын
Katika comments hizi utaona mgawanyiko wa uchawa wa udini comments imekaa kidini hebu amgalieni mwone
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 5 ай бұрын
Mbowe ni mbaguz san mwishoe utasema kwann wachaga hawajapata urais hata siku moja
@AlphaxardMRusweka-jr1wi
@AlphaxardMRusweka-jr1wi 5 ай бұрын
Huo ndo ubaguzi,unataka kuniambia Kila kabila lilishatoa mtu wa kuwa rais, ?
@juliusjohnii7823
@juliusjohnii7823 5 ай бұрын
Abuu ni mbaguzi sana.
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 5 ай бұрын
Mbaguzi nambari moja ni wewe! Achana na mh mbowe!
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 5 ай бұрын
Endeleeni kukaa na maisha magumu. Hamtaki mabadiliko...
@ezekielmatinya8314
@ezekielmatinya8314 5 ай бұрын
Shida ya kununuliwa bando na shemejiyo
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 5 ай бұрын
Mbowe Hai uliifanyia nn mpaka muda huu
@WinfridaFabian
@WinfridaFabian 5 ай бұрын
Kizmkaz Kuna nn?
@SelemanMohamedi-l8l
@SelemanMohamedi-l8l 5 ай бұрын
Tanzania jee
@geraldgedi4657
@geraldgedi4657 5 ай бұрын
Acha upumbavu rudi nao nyumbani kwenu.
@SelemanMohamedi-l8l
@SelemanMohamedi-l8l 5 ай бұрын
Miaka 60
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 5 ай бұрын
CHADEMA HATA tume itoke mbinguni hamtoboi sababu HAMNA sera bali ni UBAGUZI NA MATUSI NA KUSUBIRI MATUKIO 😢😢😢😢
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 5 ай бұрын
Brain za peanut hua mpo active sana kujidhalilisha
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 5 ай бұрын
Sera wanayo ila tunahitaji kuwa na mfumo bora na demokrasia imara nchini na tume huru ya uchaguzi itakayotenda Haki.
@ezekielkiduge8730
@ezekielkiduge8730 5 ай бұрын
Wewe ni CCM kindakindaki hayo ndiyo maneno tunayoyategemea kutoka kwako
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji 5 ай бұрын
@@ezekielkiduge8730 SIASA HAZINA RAFIKI WALA ADUI 🥳🥳🥳🥳🥳NIMEANGALIA NCHI HII HAINA UPINZANI IKO NA WAHUNI 🥳🥳🥳🥳🥳
@aloycesingano1352
@aloycesingano1352 5 ай бұрын
Sasa wewee jamaangu unaelewa kweli siasa?
@MohamedRashid-py7ro
@MohamedRashid-py7ro 5 ай бұрын
Mbowe wewe unaleta polojo tu hapo wamuzi ni wapiga kura tu hata wazimamizi wa kura wawe wapya ni vile vile tu wapiga kura wanafata huja na utendaji wa chama au Serikali na neno kusema kupigwa sio Chadema tu hata CCM wamepigwa
@FrankJaphet-l8t
@FrankJaphet-l8t 5 ай бұрын
Ww mohamed nichawatu
@PaulinaSinyanya
@PaulinaSinyanya 5 ай бұрын
Ya uyo Mohamed sio chawa uyo ni kichupi 👙
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 5 ай бұрын
Ni kunguni
@danielkanso
@danielkanso 5 ай бұрын
Mmmh watu wengine basi tu
@clemencemkondya8561
@clemencemkondya8561 5 ай бұрын
Mbowe huna lolote ulikaa miaka 15 kama mbunge wa Hai ulifanya nini jimboni.Maendeleo yaawamu tano yalikuwa safi safi .Mbowe wewe ndiye unayalalamika
@eatlawe
@eatlawe 5 ай бұрын
Wewe una manufaa na mfumo kwa hiyo lazima umwone Mbowe ni adui wenu. Ila usifikiri hana mwisho!
@SuleimanEdward-f1n
@SuleimanEdward-f1n 5 ай бұрын
Ulitaka akuletee chakula nyumbani kwako ama
@hajihassan5433
@hajihassan5433 5 ай бұрын
Mbunge wa upinzani hawajibiki kufanya lolote kwa sababu inayofanyakazi ni Ilani ya uchaguzi ambayo kwa Mbunge wa upinzani haipo kazini.
@WinfridaFabian
@WinfridaFabian 5 ай бұрын
Ni kawaida yenu hata jina la baba take mbowe kusema alishiriki kwenye uhuru wa hii nchi uliona wap wakt yy ndo alikua mwezeshaji wa safar za mwalimu nyerere
@nicholausmramu
@nicholausmramu 5 ай бұрын
Ww klemency ww sio wahai una washwa nilisha kuambia ww nichawa
The Contempt in Replacing Gachagua
22:12
Herman Manyora
Рет қаралды 5 М.
Mbowe na  Lissu Watema Cheche Kuhusu Sheria za Uchaguzi
12:43
The Chanzo
Рет қаралды 47 М.
Synyptas 4 | Арамызда бір сатқын бар ! | 4 Bolim
17:24
What's in the clown's bag? #clown #angel #bunnypolice
00:19
超人夫妇
Рет қаралды 16 МЛН
MBOWE ATWANGA MASWALI MAZITO,KUHUSU KANUNI ZA UCHAGUZI MBELE YA KABUDI
14:14
Tundu Lissu Amjibu Fatma Karume Sakata la "Ubaguzi"
16:37
The Chanzo
Рет қаралды 159 М.
ANGA LA MTANDAO LA TANZANIA LIPO SALAMA: WAZIRI SILAA
2:31
Wizarahmth TV
Рет қаралды 421