Mbowe alikuwa akizungumza kwenye kikao kilichoandaliwa na Tanzania Centre For Democracy (TCD) kilichofanyika katika ukumbi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam leo Mei 08,2024.
Пікірлер: 75
@bukurunestory35405 ай бұрын
Mh Mbowe ni Kichwa very detailed presentatiob
@namsifubwana21525 ай бұрын
Asante sana Mh Mbowe📌📌📌📌
@AbdallaMwagora-sm1rj5 ай бұрын
Action speak louder than words,,CCM NI SAWA NA MBURU KENGE WANA MACHO HAWAONI WANA MASIKIO LAKINI HAWASIKII ILA KWA KIGONGO.
@wakwetu24445 ай бұрын
Ni kweli. Kwa sababu sisi ni waoga Sana.
@phillipmasungwa73655 ай бұрын
SAHIHI KABISA MBOWE.
@juliuszakayo67715 ай бұрын
Yaani mwenyekiti wangu mbowe Kama ulivyosema wasaini waandikishaji ni walewale watendaji wa CCM walioharibu uchaguzi mwanangu akiomba nafasi ya kuandikisha kijijini kwetu Wanajua Mimi ni kiongozi wa CHADEMA walikua na kigugumizi ya kusajili mwanangu ,, hawa wasanii wa CCM wanaiharibu nchi
@aloycesingano13525 ай бұрын
Huyu anazungumza kilichopo na uhalisia na anaongea yakweli kabsa japo sisi watanzania wengi ni watu wakufata mkumbo na kuto kujitambua hawa ccm siyo chama cha kifalme lakin watanzania walio wengi wenye kukosoa chama cha chadema huwa hatuna akili zautambuzi juu ya siasa kiukweli
@aloycesingano13525 ай бұрын
Ccm 2025 mtajua maana ya Siasa huru mjipange kwakweli
@willymgaya76185 ай бұрын
CCM ACHENI UKIRITIMBA , WANANCHI TUNACHOHITAJI, NI TUME HURU YA UCHAGUZI NA KATIBA MPYA. WATANZANIA TUNATAKA MABADILIKO AMBAYO YATALETA UWAJIBIKAJI. KUIBIWA FEDHA ZA UMMA NA KULINDANA TUMECHOKA.
@adkajisi45365 ай бұрын
Kwa kweli
@ezekieldeus60225 ай бұрын
Wakati wowote ukifika wakati wa mabadiriko wewe mtawala, au mwenye mamlaka, huwezi kupingana na wakati huo, hapo Jambo la musingi nikukubaliana na upepo, au, uvumi unao vuma. Nikiwa na maana kuwa huu ndiyo wakati sahihi, wa mabadiriko ya katiba, na kuwepo tume huru ya uchaguzi, ili nchi na raia wake viweze kustawi.
@petersilas42345 ай бұрын
Pana jambo moja ambalo Chadema hamulioni, Mwalimu alisema siku CCM ikigawanyika kutatokea upinzani wa kweli. Lowasa alipotoka CCM aliwapa umaarufu kwa kiasi kikubwa. 2015 msingechukua kama yard stick yenu. Jengeni chama chenu, you have room to grow, Wananchi wasiporidhika Wala hawana haja ya kusubiria katiba, wataikataa serikali tu.
@juliusjohnii78235 ай бұрын
Mbowe kazana,,,Endelea kushauliana nao mpaka tutakapokuwa tunakaribia mahara pake!!!
@alphoncehanura32555 ай бұрын
Wasomi Chenge,wasira na the whole group of akina prof Mkumbo ,Kabudi na wenzao.ni wachumia tumbo tu.... hawataki reforms za kweli.
@MathewNathan-yb2bz5 ай бұрын
Mfumo bora na demokrasia imara na tume huru ya uchaguzi itakayotenda HaKI ndio msingi mkuu wa utu wetu na ubinadamu wetu katika nchi hii.
@stevenialbert50335 ай бұрын
Tupo pmj chadema
@natafutamatatizo43825 ай бұрын
CCM NI MISUKULE ISIYOJITAMBUA KAZI MAMA, MAMA MAMA MIJITU MIZIMA NA AKILI ZAO ZINAMTUKUZA MWANAADAMU MWENZAO!
@yonassngonye37595 ай бұрын
Hivi ni lazima kuwatusi watu ili kutoa maoni?
@Expedito25125 ай бұрын
Nani kamtusi nani?
@yonassngonye37595 ай бұрын
Mburukenge
@aliykamaga41745 ай бұрын
Yani dawayao nikuamua yani munawaomba tripuhii kitukitaonekana
@mutalemwajohanes-kx9dj5 ай бұрын
Watu wapumbavu na wajinga watadharau maneno ya Mboe , huyu kaongea kwa hoja muhimu za kitaifa
@stanslausbernard59505 ай бұрын
Mpumbavu ni wewe unayedhani kuwa mbowe hakosei
@frankminga93075 ай бұрын
I hoe ccm wameipata msg hii
@eatlawe5 ай бұрын
Ila ninyi vyama vya siasa kwa miaka 30 bado hamjifunzi tu? Bado mnatumia njia hizo hizo ambazo zimekuwa zinawakandamiza. Mmekuwa ombaomba miaka yote ndio maana mnadarauliwa kwa sababu hamna madhara ya kelele zenu! Hamjifuzi hata kwa majirani hasa Kenya?
@elinamilyatuu73375 ай бұрын
Unataka wafanyaje sasa
@OmmyJames-xn7ji5 ай бұрын
@@elinamilyatuu7337 wajiuzulu hawo wala RUZUKU tu kazi yao MATUSI na UDINI
@dionismutayoba35425 ай бұрын
Wewe uliyecomment uko upande UPI? Au ww sio mtanzania?
@OmmyJames-xn7ji5 ай бұрын
@@dionismutayoba3542 NDIO NYIE MKIAMBIWA NA MCHUNGAJI KULENI NYASI MNAKULA HATA BILA KUHOJI 🤧🤧🤧🤧🤧
@Ushauri2355 ай бұрын
Wape solution wafanyeje acha kejeli
@andrewkissava91845 ай бұрын
Katika comments hizi utaona mgawanyiko wa uchawa wa udini comments imekaa kidini hebu amgalieni mwone
@abuuramadhan80935 ай бұрын
Mbowe ni mbaguz san mwishoe utasema kwann wachaga hawajapata urais hata siku moja
@AlphaxardMRusweka-jr1wi5 ай бұрын
Huo ndo ubaguzi,unataka kuniambia Kila kabila lilishatoa mtu wa kuwa rais, ?
@juliusjohnii78235 ай бұрын
Abuu ni mbaguzi sana.
@aliyageorge67945 ай бұрын
Mbaguzi nambari moja ni wewe! Achana na mh mbowe!
@aliyageorge67945 ай бұрын
Endeleeni kukaa na maisha magumu. Hamtaki mabadiliko...
@ezekielmatinya83145 ай бұрын
Shida ya kununuliwa bando na shemejiyo
@abuuramadhan80935 ай бұрын
Mbowe Hai uliifanyia nn mpaka muda huu
@WinfridaFabian5 ай бұрын
Kizmkaz Kuna nn?
@SelemanMohamedi-l8l5 ай бұрын
Tanzania jee
@geraldgedi46575 ай бұрын
Acha upumbavu rudi nao nyumbani kwenu.
@SelemanMohamedi-l8l5 ай бұрын
Miaka 60
@OmmyJames-xn7ji5 ай бұрын
CHADEMA HATA tume itoke mbinguni hamtoboi sababu HAMNA sera bali ni UBAGUZI NA MATUSI NA KUSUBIRI MATUKIO 😢😢😢😢
@elinamilyatuu73375 ай бұрын
Brain za peanut hua mpo active sana kujidhalilisha
@MathewNathan-yb2bz5 ай бұрын
Sera wanayo ila tunahitaji kuwa na mfumo bora na demokrasia imara nchini na tume huru ya uchaguzi itakayotenda Haki.
@ezekielkiduge87305 ай бұрын
Wewe ni CCM kindakindaki hayo ndiyo maneno tunayoyategemea kutoka kwako
@OmmyJames-xn7ji5 ай бұрын
@@ezekielkiduge8730 SIASA HAZINA RAFIKI WALA ADUI 🥳🥳🥳🥳🥳NIMEANGALIA NCHI HII HAINA UPINZANI IKO NA WAHUNI 🥳🥳🥳🥳🥳
@aloycesingano13525 ай бұрын
Sasa wewee jamaangu unaelewa kweli siasa?
@MohamedRashid-py7ro5 ай бұрын
Mbowe wewe unaleta polojo tu hapo wamuzi ni wapiga kura tu hata wazimamizi wa kura wawe wapya ni vile vile tu wapiga kura wanafata huja na utendaji wa chama au Serikali na neno kusema kupigwa sio Chadema tu hata CCM wamepigwa
@FrankJaphet-l8t5 ай бұрын
Ww mohamed nichawatu
@PaulinaSinyanya5 ай бұрын
Ya uyo Mohamed sio chawa uyo ni kichupi 👙
@MiriamAbdallah5 ай бұрын
Ni kunguni
@danielkanso5 ай бұрын
Mmmh watu wengine basi tu
@clemencemkondya85615 ай бұрын
Mbowe huna lolote ulikaa miaka 15 kama mbunge wa Hai ulifanya nini jimboni.Maendeleo yaawamu tano yalikuwa safi safi .Mbowe wewe ndiye unayalalamika
@eatlawe5 ай бұрын
Wewe una manufaa na mfumo kwa hiyo lazima umwone Mbowe ni adui wenu. Ila usifikiri hana mwisho!
@SuleimanEdward-f1n5 ай бұрын
Ulitaka akuletee chakula nyumbani kwako ama
@hajihassan54335 ай бұрын
Mbunge wa upinzani hawajibiki kufanya lolote kwa sababu inayofanyakazi ni Ilani ya uchaguzi ambayo kwa Mbunge wa upinzani haipo kazini.
@WinfridaFabian5 ай бұрын
Ni kawaida yenu hata jina la baba take mbowe kusema alishiriki kwenye uhuru wa hii nchi uliona wap wakt yy ndo alikua mwezeshaji wa safar za mwalimu nyerere