Hivi hii nchi kuwa mchaga ni kosa? Kama unataka kutuaminisha kuwa meza kuu wote ni wachaga then what? Niseme tu ww unayepanda chuki dhidi ya wachaga huna tofauti na waliokuwa makaburu wa south afrika, ushindwe na ulegee na unahitaji Tiba ya namba ya kufikiria kwako.
@Deoathanasmbongo2 ай бұрын
Kwani kuwa wachaga ni dhambi?
@MickyMgeri2 ай бұрын
Kawalete na wajomba zako waha 😂😂
@SaidiLuvedelo2 ай бұрын
Hiii nchi wahalifu namba moja ni jeshi la police
@elizeusstambuli34312 ай бұрын
Kichwa cha habari na habari yenyewe ni vitu tofauti
@JaphetMwasenga-p6u2 ай бұрын
Demokrasia Tanzania haipo
@walidmgonja36442 ай бұрын
Makamanda wamekamatwa na makamanda wenzao kwahiyo hapo hakuna shida
Kwaiyo sauti ya wanachadema na jumuia za nje ndo zimefanya wanachama na viongozi kuachiliwa au kauli ya katibu wa CCM Nchimbi ndo imefanya kuachiliwa hebu tuekeni sawa makamanda 😂
@husseinkonz51922 ай бұрын
Hapo naona uhun tuu unafanyika
@febronialyimo85852 ай бұрын
Bado wewe bado una ukabila badala ya u Tanzania?😮
@samwelgabriel21752 ай бұрын
Kama viongozi wa ccm hawajawahi kukamatwa na polisi na wa wapinzani wanakamatwa na kuteswa basi ccm ndo wanaokqmata wapinzani,kuwaibia kura, kuwatesa, kuwaumiza, na kwa sababu ni ndugu zetu, baba zetu, mama zetu,dada zeta na watoto wetu, wananchi inatakiwa tauwambie haha ndugu zetu polisi watched taboa mbaya, watched kutumika