Fuatilia Mwanzo TV Plus SUBSCRIBE KZbin Channel yetu Follow us on X, Facebook and Instagram
Пікірлер: 5
@desiderihugo57042 ай бұрын
Asanteni sana mawakili wasomi. Viongozi wa ncni hii wamejibafsishia nji hii .Wamfanya nchi mali yao na kila wanachotaka kifanyike Pambaneni kuikomboa nchi hii kwenye utumwa wa ccm .
@TallTallmysha2 ай бұрын
Safi sana mpina
@Yussuf-b3b2 ай бұрын
Hongera mpina ,,MA ccm wameligeuza BUNGE MLANGO WAO WA DUKA NA VILE VILE WAMELIGEUZA NI BARAZA LA CCM SIO LA WANANCHI ,,,,UKOMBOZI WA WATANZANIA UNANUKIA
@SimonDiagi2 ай бұрын
Poa sana,hii nchi kuna watu wanaifanya yao sana hii,na sisis wananchi wanatuona Kama waalikwa tu,Mara watutukane Mara watuumize
@bakermusa90332 ай бұрын
Manyang’au ya kijani kiwichi sasa hivi ni mwendo wa mahakama mpaka yaombe poo 😊