Miraj Khan 0nline kauli yetu ni MKWELI MWAMINIFU pata kusikiliza mawaidha ya masheikh mbalimbali wasiliana nasi au tutumie tukiololote linalohusu DINI na JAMII kwa whatsap +255 713 730 907 au kwa email: buikhan21@gmail.com
Пікірлер: 145
@muhammadmuhaznun3802 жыл бұрын
Kinyogoli wew ni mkali Bana nakukubali....Mungu akuzidishie....
@cabylake2320 Жыл бұрын
Mashaallah 💓❤️💓 love Muslim 💓💓 Allah awape maisha marefu kulingania dini yake
@hubertlamlam73092 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu yohana uwahubirie waislam wamjue yesu waokolewe
@abdalaauame38632 жыл бұрын
Mashalla allbdulilai ustaz juma kinhogor 👐👐👐👐👐
@rhiophiri68572 жыл бұрын
Kinyogoli, you are a good teacher of both books, the Holly Quran and the bibles, undisputably well versed
@habibaoman243 жыл бұрын
Maashaallah mwenyezimungu awaongoze mashehe wetu
@hasinabaraka3043 жыл бұрын
Uislamu utabaki kuwa juu poleni sana kwa upotevu
@annkuya14462 жыл бұрын
Lakini hautamfikia Yesu Kristo. Yesu wetu ako juu,juu mbinguni kwa Nuru.
@luqmanimbugwa92972 жыл бұрын
MeshaAllah shekh w2 Allah Subhan w thalan awatia nguvu kw kazi nzuri
@muhammadkipangatv26742 жыл бұрын
Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yangu hapo kama hautojali
@jamilamohammed27713 жыл бұрын
Sheikh uko poa ma sha Allah
@ommy36173 жыл бұрын
Kinyogoli Allah akupatie maisha marefu uitete dini ya mwenyezimungu
@emmyndunge6406 Жыл бұрын
Yesu do njia
@rizikiyusuf22502 жыл бұрын
Mashallah Allah awalinde masheh wetu
@daudyussuf81802 жыл бұрын
Mashallah
@omanomqn43453 жыл бұрын
Mashekh wetu, Allah AWAHIFADHI na vitimbi vya SHEITWANI,,, mashekhe majibu yenu mazuri Sana na mnakwenda vizuri na mdahalo huu,, sio hao wakiristo hawana hoja,, uislamu ndio dini sahihi, na mtume muhammad ndie anafaa kufuatwa
@mchopaluka43192 жыл бұрын
Safi sana Yohana Omar kumbe umestukia jinsi wanavyoharibu film
@mauliddunia79552 жыл бұрын
Mwalimu.munguakubaliki.walikuwa.wanatuonea
@christian-jw4zb2 жыл бұрын
Jesus Christ is the Son of God. he can save us. Acts 17:30
@husseinibrahim54383 жыл бұрын
MA SHA ALLAH
@rqiyaabdallah8403 жыл бұрын
Mashallah Allah Awapenguvu
@fatumabakari14802 жыл бұрын
Yaaan wakristo Wana kashfaaa mno awajuii kuongea kwa adabuu na mtachomwa motoo 😩😩😩Allah awaongozeee
Hao si watoto wa ahadi,hivyo hawana Hekima wala maarifa.😎😂
@huseinshedrack6180 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂sishangai kuona maneno haya sababu hta mm kabla cjaslim nilikuwa km ww,asikudanganye mtu km una akil timam ukiskiliza kwa nia ya kujifunza huwez kuwa mkristo sema ttzo la nyie wakristo mlio manyumbu hamko kwa kujifunza ila mna kariri tu
@hamisimuhammad62253 жыл бұрын
Yohana omari hunajipya wew huko umefata maslahi lakini jahannam inakusubiri
@noahwamalwa43853 жыл бұрын
si ukweli kzbin.info/www/bejne/eKqXh3SKd7SlbZI
@muhammadmuhaznun3802 жыл бұрын
Omar usisome Quran na kiarabu wew ni kafiri....kaa huko huko usitusomee Quran yenyewe hujui kuisona waikufuru...
@BnoeFieldtechnicalsworks1000y2 жыл бұрын
Kristo nidjiwe limekatariwa na wadjenzi lakini kwa Mungu limecaguriwa
@fardoshnassor78473 жыл бұрын
Raha ausi Raha 💓
@saadiashariff53772 жыл бұрын
Mashaa Allah, this sheikh is eloquent , Allah amuhifadhi ,Ameen thumma Ameen
@ademisho1652 жыл бұрын
Huyu Sheikh ana hoja dhaifu sana. Hoja ni kati ya Muhammad na Yesu ni nani wa kufuatwa? Lakini yeye analeta hoja ya Musa na Haruni ambao wakati wao wala hakukuwa na Kanisa wala Sinagogi. Nilitegemea angetoa aya inayozungumzia Yesu bali anahama. Uwezo ni mdogo mdogo sana. Habari ya Muhammad kupanda farasi alidai yeye mwenyewe ilimtokea kwenye ndoto na hakuna aliyeishuhudia. Hivyo sio hoja
@rhiophiri68572 жыл бұрын
Kinyogoli is fantastically eloquent and to the point
@musasaanane27582 жыл бұрын
Kinyogoli jamani nikupe nini mm na hao wenzako allah awazishie sana kila hali
@dicksonassery50832 жыл бұрын
Duuuh someni Marko 16:15 utaelewa vzuri who is Jesus
@lisauroble312 жыл бұрын
NAWAPENDA SANA KINYOGOLI UPO VIZURI
@modestamwampashi48752 жыл бұрын
Akika kila mtu anahaki yakufuata kitu anachokiamin kuoji imani ya mwenzio kuwa ni ubatili yako nisalama uoni upofu wa macho yote anajua mungu binadam tutakufa dini zote tutaziacha. Sas apo tuache kubishania dini musiingilia majukumu yamungu
@lisauroble312 жыл бұрын
Mdahaloo endelerni kuendeleza vidyo zake
@abdulathumani51253 жыл бұрын
Allah awaokoe mana hja hawana wakrixto
@bigmanfish6346Ай бұрын
Wanatetea ukiristo dini ya uongo. Hawana hata ushahidi. Hawafati hata amri moja ya yesu. Wangemfata yesu wangeingia msikitini wakasujudu ndio yesu anavofundisha
@sebastianmanufred58552 жыл бұрын
hamna hoja za msingi waislamu
@dadamkubwa10872 жыл бұрын
Mungu alituma mwana wake wapekee, saitani alitupwa toka mbinguni?je mbona uamini yesu alifufuka na akaenda mbinguni na alikuwa mwana wapekee,?sasa tufuate Muhammad, musa, yona Samuel, matayo, Luke, Alisha, yakobo, wote wako in bible, jamani nani alisameha yesu au Muhammad mimi nafuata mwenye alifufuka akaenda mbinguni.
@joelmwirigi17413 жыл бұрын
Hakika hii mnafanya kama siasa walimu,ila amukumbuki mungu akimuahidi Abraham baraka,uzao kama mchanga.someni kwa kuelewa wala si Kwa kuzindana. mungu ni mkuu yote yawezekana kwake.
@fardoshnassor78473 жыл бұрын
Mashallah Allah
@rayaalhabsi17252 жыл бұрын
Wewe ume kwenda kutafuta pesa kwa kusema uwongo hasbiya Allah wani'mal wakiil
@witnesskefa774 Жыл бұрын
Jifunze kuelewa
@mchopaluka43192 жыл бұрын
Ukweli unajulikana sasa na waislamu wanaelewa wafanye mabadiliko tu Na la msingi ni sisi wakristo tushikamane bila kujadili umadhehebu
Masha Allah kazi ya daawa mzurii alafu huyu jamaa wakwanza ameritadi au nn 🤔
@jamilamohammed27713 жыл бұрын
S.A.w
@kazungukonde84062 жыл бұрын
Ipo siku watanzania mtakuja juta kumruhusu mazinge kupotosha imani zenu .... Najua xai yanayotokea Mozambique yalianza tu hivi ...ijueni kesho yenu sababu Ushindanishi wa dini unaleta vita
@kondesaidi57282 жыл бұрын
Ndo walivokudanganya wazungu 😆
@nganetz32513 жыл бұрын
Maashalah
@adansalah62532 жыл бұрын
Wakati kristo wanajibu Wana ongea kama Wana pigana maana hawana confidence.hata wkati wako church .
@fatumabakari14802 жыл бұрын
Adam so mtume😂😂wakristo 🙌🙌🙌
@makefirramedanabdulhab59942 жыл бұрын
Ubishi wa nini ndugu zangu,,mambo ya kidini yanahitaji hekima ya kiroho siyo ya kimwili,,,mungu awa hurumie,,ila nawa sihi tu,mtafute ufunuo wa maneno ya kiroho,,acheni kuzitamka tu,,
@angelalexalex43863 жыл бұрын
Msikate vpande bna
@MohamedAhmed-yi1yf2 жыл бұрын
Hivi huyu yohana murtadi anawezaji kumuabudu binadamu (issa bin maryam) yesu badala kumuabudu mungu mmoja hilo ni tatizo la kisaikology
@muddymuller34543 жыл бұрын
Ndacha ashindwa kujibu swali la prof:Mazinge Tanga kzbin.info/www/bejne/rYO9gHRph510fas
@newlightmoviesproduction35982 жыл бұрын
Ningekua rais wa tz nisingemrusu mazinge kupotoza wa tanzania 🇹🇿
@aminatatu56922 жыл бұрын
Nahayitotokeeya weyekuwa rahisi tuliya
@cabylake2320 Жыл бұрын
Wewe jinga kabisa naainge tokea ww kua rais
@muendokiawa94022 жыл бұрын
Yesu kasema uongo mara kadha kwa mjibu wa biblia ata ni hajabu sana waislam hawajui kwamba yesu kadanganya
@annkuya14462 жыл бұрын
Na bado ako mbinguni, waongo na wauaji hawataona mbingu LA Yesu.Na Yesu Kristo ndiye ufufuo Wa Mwisho,sasa tunafuata ufufuo Wa Mwisho ambaye ako hai milele na milele.Na bado tunafuata Nuru ya Yesu aliye Hai mbinguni.
@daudyussuf81802 жыл бұрын
Kwely haki itabaki kuwa haki
@editrudesmbonde90513 жыл бұрын
Wakristo ndo wakufuatwa,maana sifa nzuri zimetoka kwa JESUS. Maisha ya YESU ni mazuri ila Mohammad ana sifa mbaya kwanza alikuwa mpenda wanawake,alikuwa hana future,sasa unafuata vipi mtu asiye na future!!
@firo0ozdawah3783 жыл бұрын
punda wa watu Yuko wapi ? MWIZIIIIIIIII
@firo0ozdawah3783 жыл бұрын
Uislamu ndio dini ya haki mpaka KIAMA...
@editrudesmbonde90513 жыл бұрын
@@firo0ozdawah378 Mohammad was a WOMANIZER😎
@editrudesmbonde90513 жыл бұрын
@@firo0ozdawah378 What ever you say it's nothing to Christians,our JESUS is BETTER than Mohammad. That's why even when you use his name things HAPPEN😎 Thank you JESUS we Love you!!🙏🙏
@firo0ozdawah3783 жыл бұрын
May the Almighty guide you ... Aameen
@dadamkubwa10872 жыл бұрын
Akuna cha hiyo walemafu wasiende kanisani kwa nini??nana yesu alitoka wapi?pia Muhammad alitoka wapi??yesu alifufuka akaenda mbinguni, Muhammad alifufuka akazikwa kama mwanadamu mungu akilundi atafufuliwa, yesu akasema aliyeniona ameona baba, so we have one God a+Jesus the son of God, Okey the Bible says that yesu akasema siku za mwisho atarudi kama mwizi, je kuna mahali Muhammad anaandika atarudi na ako wapi mbinguni ama nduniani @£€€€₩
@editrudesmbonde90512 жыл бұрын
You are right,JESUS is everything we need now days🙏🙏
@pungopungo411 Жыл бұрын
Kuna walioandikiwa kwenda upotevuni. Mimi leo najua Yesu anarudi niache kumuamini atakaerudi nikamuamini ambae nitasimama nae kwenye foleni ya hukumu. Not make sense
@katendemmayara3723 жыл бұрын
Waislamu hawatokaa waelewe maana kitabu chao kimekuja kigeni na kitaondoka kigeni!.
@firo0ozdawah3783 жыл бұрын
Wakiristo wengi hawajui bibilia na wengi wao hawajaisoma mpaka wakaimaliza , Igeni mfano Kwa waislamu wanasoma QURAAN yote na isitoshe wanahifadhi nyie mnabaki kupayuka TU ... Soma sana kijana
@mwanahija968 Жыл бұрын
Nashkuru kuwa muslim
@pavlovdeking37253 жыл бұрын
Mohamed alikufa hajafufuka, Yesu alikufa akafufuka, sasa nitamfuata vipi asiyefufuka??, kifo kimempiga
@firo0ozdawah3783 жыл бұрын
Nenda kasome kijana uelewa wako mdogo sana na ujitahidi kutafuta ukweli kasome bibilia yote mwenyewe alaf ndo uongee na ujenge hoja sio Sasa huna tofauti na CHOKORAA ...
@issmuking39873 жыл бұрын
yaaan unajua wazi kwamba wakristo hawana hoja za msingi a b wanajua wanachokizungumza ni pumba ila wanawapotosha wanaotaka kujua dini ya haki mbele Allah kama ni uislamu tu
@farajapeasonmagota82263 жыл бұрын
Mchungaji uko fiti
@makutanochristoph28203 жыл бұрын
Hebu nambie,ikiwa ungepatiwa kuku ukachinje upate kula na ukapewa kuku aliyekufa mwenyewe yaani nyamafu, Bila shaka ungechagua asiyejifia mwenyewe, Sasa je, ikiwa watumainia uzima wa milele peponi Napo pakawa na wajumbe wawili wakwanza yeye aliyekufa kisha akafufuka, wapili yeye alikufa na hakufufuka lakini nawe watumainia uzima wa milele ungemfuata yupi kwa mafundisho yapasayo kuuingia uzima wa milele?
@moseselinisafi64253 жыл бұрын
@@makutanochristoph2820 yesu juu
@khadijeyjumar67943 жыл бұрын
Kabisa wanapotosha tu watu haoo
@mbesinghabi19942 жыл бұрын
Mbona mohammad alikunja paji la uso kipofu alipomuendea.
@mejjarsagent2272 жыл бұрын
Mazinge hauna lolote ....tulia ufunzwe
@pavlovdeking37253 жыл бұрын
Mnaweka vipande vinavyowabeba zaidi waislam, mbna mnakata ivyo 😁😁😁, weken full
@sylvesterhezron80623 жыл бұрын
Kweli kabisa
@noahwamalwa43853 жыл бұрын
mashalaah kzbin.info/www/bejne/eKqXh3SKd7SlbZI
@huseinshedrack61802 жыл бұрын
Cjakuelewa vifup vp kwan anae anza kuongea hapo ni Shekh....? Tulia dawa iwaingie
@ramadhanishabani1644 Жыл бұрын
Yohana acha kuongopea watu mdahalo wa south Africa likuwepo ulikosaga chakujibu kabisa
@egidideule72856 ай бұрын
Waislam hawana hoja polopaganda nyingii
@moseselinisafi64253 жыл бұрын
Yesu juu aruke juu uanguke chini
@hamisimzira95983 жыл бұрын
Shida sio kukata Tanzania inch huru Kama wakristo mnaona midahalo inakatwa waambien waalimu zenu nao watupie vile ambavyo wanaweka wenzao wanaona kabisa Hana hoja ndo Mana hawaweki hoja zao kwahiyo wakristo tulieni
@hamisimuhammad62252 жыл бұрын
Sana
@salehegiza33053 жыл бұрын
Sasa umesema cc ni Vipofu na mbele yetu kuna mtume na yesu halafu Moja wetu amepona sasa cc tunaona vip.wkt Cc wote ni vipofu
@ismailyussuf18052 жыл бұрын
Maskini WAGALA KILA HOJA ANASHINDAGWA NA MADA.HUYO YOHANA ni Muongo.
@bigmanfish6346Ай бұрын
Kinyogoli kiboko 😂
@kisosekatere62822 жыл бұрын
Sheik kumkataa Muhamad unaelewa kamaanisha nini? Mbona liko wazi kumkataa sio hoja yeye Muhamad alikuepo ila hali na Matendo yake yakonwazi pia, hapo bila ushabiki Waalim wa Kikristo wako juu m'no wala elim yao haiwezi kufananishwa na ya waalim wa kiislam Tatizo USHABIKI tu mbona jibu liko wazi KIPOFU Mfano mzuri sana wala hauhitaji MJADALA.
@kiaiezekiel33343 жыл бұрын
Bilali alikuwa mfungwa wapi Mohammad akamfungulia ?he kept begging for his realise
@saadiashariff53772 жыл бұрын
Bilal alikua mfugwa kabla hajakua mwislamu alinunuliwa Abu Bakr Al-Siddique, went to Bilal's master to try and put an end to the torture. He knew the master would value money more than a human soul. So, he offered to buy Bilal for a fair price. After He was bought by Abubakar Sadiq R.A he was set free ( Abu Bakar was companion of Muhammad s.a.w)
@kiaiezekiel33342 жыл бұрын
@@saadiashariff5377 then why Mohammed owned slaves ?if true he was a prophet of God
@saadiashariff53772 жыл бұрын
@@kiaiezekiel3334 please i refer you to read the legacy of Muhammad. You can get it until u read we are people of reading. Knowledge is power seek it to get the truth
@saadiashariff53772 жыл бұрын
*you cant*
@mbarakambuguni32283 жыл бұрын
unajifurahisha tu mazinge kiboko yako
@moseselinisafi64253 жыл бұрын
Waislamu wamebakia tu kuwa wabishi ila hawana hoja
@mwawekomiuda97793 жыл бұрын
Unfuatilia vizuri lkn? Hayo uliyocomment ni kinyume chenu nyie ndio hamna jipya miaka yote mnafurukuta lkn hamuwezi kuinuka mkasimama
@firo0ozdawah3783 жыл бұрын
Takwimu za Dunia Kila siku zinaonyesha dini inayokua Kwa Kasi ni uislamu japokua inapigwa vita, tunaonewa , mabalaa yote kwetu waislamu lakini Bado wanasilimu , WEWE HUJIULIZI TU MASWALI INAKUAJE ? Millie sana mola wako akuongoze kwenye haki
@bigmanfish6346Ай бұрын
Ukiristo ni upagani. Hata hawaoni haya ukweli wote wanaopewa. Makafiri hawa fy nari jahannam
@elbaricktv16322 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣mnatuchekesha kwakwel
@editrudesmbonde90512 жыл бұрын
YESU tu ndo anafaa kufuatwa,huyo Mohammed ni mtu haeleweki tu.
@@aminatatu5692 Amina hebu rudi darasani kwanza,then uje na maandishi yanayoso meka na kueleweka. We unaandika tu bila ya kufanya editing??😎😂
@jamilamohammed27713 жыл бұрын
Unapotosha watu
@amurisabiti70373 жыл бұрын
Wa kufatwa ni Muhamad s.a.w basi nyie mukatae shauri yenu
@mbesinghabi19942 жыл бұрын
Nionyeshe andiko lolote kama mtume muhammad alikufa akafufuka
@huseinshedrack61802 жыл бұрын
Hahahahahaha ndg zangu wakristo nyie kila mdaharo ni kushindwa tu, kwel Mungu ni mwema kunitoa huko
@mbarakambuguni32283 жыл бұрын
Kasome bado mazinge kiboko yako
@michaelvicem63233 жыл бұрын
Nyinyi mnaotoa comment amtak ata kuelewa ni na MASHABIKI wa Yanga, Mbwa nyinyi
@user-gi4ls3bh3l3 жыл бұрын
Mbwa niwewe kafiri mkubwa kenge wewe kombawmwiko kunguni jini wamgu moja
@iddmohammed10863 жыл бұрын
Michael unadiriki kuwaita waislamu mbwa, hivi ukristo haukatazi vitu vya kijinga kama hivyo? Basi mm ni muislamu ila cwezi kumwita mkristo mbwa maana dini yangu ni dini ya wastaarabu.
@firo0ozdawah3783 жыл бұрын
Wakiristo wengi ni MACHOKORAA kwasababu hawasomi bibilia ... Wanaburuzwa tu ndo maana wanaitwa kondoo ... Ushahidi na mfano huo hapo mbele yenu alichokiongea
@michaelvicem63232 жыл бұрын
@@firo0ozdawah378 Sawaa sisi kondoo wew Kafiri unasemaje maana ya Uislam ni Ukafili Wa Maaka mpaka Leo mnaabudu sanamu LA jiwe jeusi,,mnasema Allah Allah kumbe siri lmefichuka Allah kumbe jiwe jeusi lipo ndani ya al Kaaba,
@firo0ozdawah3782 жыл бұрын
Kweli wewe CHOKORAA wahed ... Nenda kasome ujifunze hivi wewe unaweza ukampanda yesu kimungu chenu juu ya kichwa hamuwezi hata siku moja Kwa taarifa yako Sasa we CHOKORAA wahed watu tofauti walikua wakipanda juu ya Alkaaba na wakitoa adhana kabla ya kuswali, mpaka hapo nimekupa elimu ya Bure kondoo wa kike wahed we ...
@rayaalhabsi17252 жыл бұрын
Astaghfirullah wewe unae jiita yohana wewe ni murtadi na mna fiqi mmoja, usipo rudi katika njia ya haqi uta ipata pata huko unako kwenda. Halafu una tafsiri unavyo taka wewe ama kweli huna elimu kabisa ya dini ya ki Islam nenda uka some tena
@aceofspades3728 Жыл бұрын
Muslims hawanaga hoja😅
@jamilamohammed27713 жыл бұрын
Allahu akbar
@salehegiza33053 жыл бұрын
Sasa umesema cc ni Vipofu na mbele yetu kuna mtume na yesu halafu Moja wetu amepona sasa cc tunaona vip.wkt Cc wote ni vipofu