🔴

  Рет қаралды 28,341

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

🔴#Live: RAIS SAMIA AMUAPISHA KIKWETE - SILAA NA VIONGOZI WENGINE ALIOWATEUA... | IKULU
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 47
@globaltv_online
@globaltv_online 2 ай бұрын
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@nenenongi66
@nenenongi66 2 ай бұрын
Hivyo viapo mnavyoapa na kuhusisha Mungu,kushika vitabu vitakatifu,nikumaanisha mnaweka agano na Mungu,pale mnapojua mmekiuka hicho kiapo nivizuri kukiri kosa na kutubu nakuachia wengine wafanye kazi,amini cheo ni dhamana.Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿
@ManenoJaka-l5h
@ManenoJaka-l5h 2 ай бұрын
Big up Mh Dr Samia kwa kuchagua watu making na wapya kwenye baraza la mawaziri.
@ManenoJaka-l5h
@ManenoJaka-l5h 2 ай бұрын
Vetting inafanyakazi, Mh Dr Samia kuibua watu wapya kama Mh Denis Londo. Huyu ni mchapakazi kweli kweli tunashuhudia kule Jimboni wake Mikumi
@julianapeason6254
@julianapeason6254 2 ай бұрын
Hongera Jerry, discipline is everything . Unawakilisha Moshi yetu vizuri. Congrats
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 ай бұрын
Punguza ukanda,,,
@farajaMezza-qn4be
@farajaMezza-qn4be 2 ай бұрын
Acha ukabila wewe
@julianapeason6254
@julianapeason6254 2 ай бұрын
@@farajaMezza-qn4be sawa nimeacha, basi huyu ni mtanzania
@julianapeason6254
@julianapeason6254 2 ай бұрын
@@jumakapilima7295 😏😏😏😏😏
@julianapeason6254
@julianapeason6254 2 ай бұрын
@@jumakapilima7295 😏😏😏😏😏
@BaloonMacheni
@BaloonMacheni 2 ай бұрын
Kila nikuonapo jerr moyo wangu ufurai sana kaka Mungu akutunze na mbinguni akuwekee kitichako
@StivinWambuto-zy5ft
@StivinWambuto-zy5ft 2 ай бұрын
MUNGU azidi kukulinda sana na kukutunza mama yetu na rais wetu na zaidi sana Mungu akupe hekima ktk kazi zako nzito za kuliongoza taifa letu, kazi yako ni kubwa sana mama yetu, kuongoza watu zaidi milioni 60, inamwitaji MUNGU.
@patrickkalengela7125
@patrickkalengela7125 18 күн бұрын
Hongereni Wateule Wa President 4:08
@amneahmed9791
@amneahmed9791 2 ай бұрын
Hongera Mheshimiwa Jerry Slaa ila bado tulikuwa tunakuhitaji Wizara ya ardhi.
@MagdalenaMazinge
@MagdalenaMazinge 2 ай бұрын
Mungu awatangulie
@BaloonMacheni
@BaloonMacheni 2 ай бұрын
Ilove my kaka jerr
@RajabuLuhendama
@RajabuLuhendama 2 ай бұрын
Hivi vitabu vya neno la Mungu mnavyotumia kutoa viapo kwa mtazamo wangu yani msingeruhusiwa kuvitumia,mngekuwa mnatumia hata katiba tu inatosha. Ila hapo mnajitafutia laana tu na ndomana hamuwi waadilifu hata kidogo,Mungu anangalia mioyo sio maneno mnayotoa
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 ай бұрын
The country with sixty million people but always,the same faces, the same names in leadership,,,,,,,, how should we expect changes?
@AfricaQueen
@AfricaQueen 2 ай бұрын
🤝🤝🤝🤝
@gmaemba22
@gmaemba22 2 ай бұрын
@@AfricaQueenjiulize sasa wahuni ndio wanapewa kulinda nchi na wanaandaliwa Kua maraisi wajao hii nchi tunachezewa sana
@AfricaQueen
@AfricaQueen 2 ай бұрын
@@gmaemba22 💯💯💯💯🤝😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭wanamwisho wao tutaamka Africa kila kona asante mkenya kutufungua macho😭😭😭
@suleimanbalemba3348
@suleimanbalemba3348 2 ай бұрын
Hizo Siri ni Siri Gani au serikali na yenyewe ni freemason
@AliAhmed-m1o2u
@AliAhmed-m1o2u 2 ай бұрын
Asante sana mama maneno kuntu wamekuelewa kwa wenye kuelewa mwenyezimungu akulinde na uzidi kuiongoza nchi kwa ufanisi❤❤❤
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 2 ай бұрын
ukafanye kaz nzuri kama ya silaa bila kupepesa macho hasa wanyonge kwenye hiyo wizara yako ya Ardhi
@RBMBAKARI-bv6wn
@RBMBAKARI-bv6wn 2 ай бұрын
Tunataka mawaziri wetiifu kwa mama ili inchi isonge mbele na wachapakaxi kama Hawa slaa Jerry na ridhwan wanaweza sana
@nenenongi66
@nenenongi66 2 ай бұрын
Naheshimu mabadiliko aliyofanya Rais kwa kubadilisha nafasi za mawaziri,lakini naomba kama itawezekana huyu Jerry Slaa😭😭natamani angebaki wizara ya ardhi,hata miaka miwili.ili tufike pale tunapotaka kufika.
@abdallahally842
@abdallahally842 2 ай бұрын
Mkuu wa mkoa dsm umemsikia mabosi wako waliokuweka ni wananchi sasa endelea na dharau na kiburi na kudhihaki wananchi ambao ni mabosi kwako kua makini ukijichanganya usilaumu watu jilaumu ujeuri wako
@tinershayo6191
@tinershayo6191 2 ай бұрын
Mama mrudishe Jerry pale kwenye kile kitongo cha Ardhi umekosea sana mama
@eugenemtaza201
@eugenemtaza201 2 ай бұрын
Jerry alikua ana fanya vizuri ardhi sasa una mtoa tena .
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 ай бұрын
Kikokotoo bado ni tatizo,,,,
@AmadeMbezy
@AmadeMbezy 2 ай бұрын
Tujitaidi kuwa waaminifu mama anaweza sema tunamyumbisha
@dinocastico8495
@dinocastico8495 2 ай бұрын
Huyu jerry slaa ile wizara ya ardhi aliitendea haki sana kama ningeweza kumshauri rais ningemshauri amuache pale pale.
@Unclerammaschannel
@Unclerammaschannel 2 ай бұрын
Mkisha apiswa mwende mka ibe kama kawa
@abdulomari4932
@abdulomari4932 2 ай бұрын
Mnaapa kwa vitabu,kisha mnakiuka viapo,ndo mambo yanapobadilika
@kelvinimasagasi7398
@kelvinimasagasi7398 2 ай бұрын
Silaha angebaki kwenye nafasi yake ileile natoa ushauli nawapata nikiwa maputo
@gmaemba22
@gmaemba22 2 ай бұрын
Hivi hawa watu wanaoapa kweli wanajua maana ya kuapa Na huyu Ridhione kweli anewapita ujuzi wote akachaguliwa kwa vigezo au ndio ndio Asante kikwete hii?
@suleimanbalemba3348
@suleimanbalemba3348 2 ай бұрын
Leo ndo nimeona vzr kumbe hivi ni vitabu vitakatifu mm nilikuwa najua ni katiba Leo baada ya kuona ridhiwani kashika Quran ndo nikakodoa vzr pale silaa kumbe bible sio katiba dah miaka 60 ya uhuru ndo macho yanafunguliwa kumbe ni kiapo kigumu hivo dah!!
@FransisLaurenti
@FransisLaurenti 2 ай бұрын
Uyo jama wa pesa mama e
@mr.yahzadochuno7914
@mr.yahzadochuno7914 2 ай бұрын
Sio balaza ni baraza 😮
@MAPETEE
@MAPETEE 2 ай бұрын
Kwanini uka muondosha doktar silaa
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 ай бұрын
Huyo sio doctor
@KaburuKimath-eu5nf
@KaburuKimath-eu5nf 2 ай бұрын
Bado wizara ya pesa mama yetu huku mtaani pesa haionekani tra wanasumbia hizi gari mpya za tra ni usumbufu na Zina t n Ted yaani hata hawaonekani.
@MatokeoJoseph.Fonkol
@MatokeoJoseph.Fonkol 2 ай бұрын
Sraa mung akuongoze uwe yure yure mtetez wa haki siku zote
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 2 ай бұрын
Nape by by kwa sasa anaangalia tuu kwenye luninga wenzie
@tinershayo6191
@tinershayo6191 2 ай бұрын
Kikwete hatumtaki
@Unclerammaschannel
@Unclerammaschannel 2 ай бұрын
Wizi mtupuu!!!!
Le parcours d'un roi - Le Maroc de Mohammed VI
56:03
Public Sénat
Рет қаралды 545 М.
Кәсіпқой бокс | Жәнібек Әлімханұлы - Андрей Михайлович
48:57
Officer Rabbit is so bad. He made Luffy deaf. #funny #supersiblings #comedy
00:18
Funny superhero siblings
Рет қаралды 19 МЛН
How I Turned a Lolipop Into A New One 🤯🍭
00:19
Wian
Рет қаралды 10 МЛН
Good teacher wows kids with practical examples #shorts
00:32
I migliori trucchetti di Fabiosa
Рет қаралды 12 МЛН
ALIYEMPIGA RISASI TUNDU LISSU ABAINIKA
37:08
SHEIKH MWAIPOPO TV
Рет қаралды 9 М.
RAIS DKT. MAGUFULI AWASIMAMISHA TBA KUJENGA NYUMBA ZA MAGEREZA UKONGA
3:00
PART 1: MZEE MAKAMBA AMVUNJA MBAVU KIKWETE HADI MACHOZI YAMEMTOKA...
20:48
Кәсіпқой бокс | Жәнібек Әлімханұлы - Андрей Михайлович
48:57