They never lose their somali identify. Thats beautiful ❤️😍
@murimikaburu13762 жыл бұрын
America is really a welcoming country. I pray Somali can also allow others do so in their country. We are all one from the same creator
@zaddysenemy22912 жыл бұрын
Go to somalia at your own risk
@pilimusa32172 жыл бұрын
@@zaddysenemy2291 🤣🤣🤣🤣🤣
@raelchepchirchir47282 жыл бұрын
What in God's name would you going to Somalia to do?Are you the only one who has never heard what happens to
@zeinabibrahim60802 жыл бұрын
@@raelchepchirchir4728 na hatujakualika stay in your lane😏
@diascookout82702 жыл бұрын
Ma"Sha"ALLAH i am Proud of All Somale
@fawziaabdurrahman22512 жыл бұрын
Mashallah utadhani upo marikiti mombasa. Allah abariki biashara zao waendelee kuuzia waislamu nguo za stara hata wakiwa ulaya. Mashallah
@ramadhanissabura21872 жыл бұрын
allah ibarik.
@carenselemani30192 жыл бұрын
Hapa Afrika kuna nchi nne ambazo ni Nigeria, Kenya, Somalia na Rwanda ndio wanajua kushirikiana wakiwa nje ya nchi yao. Na Moja ya nchi Africa ambayo watu wake hawana ushirikiano ndani na nje ya nchi ni Tanzania. Roho mbaya ndio katiba yao
@nicedavid85362 жыл бұрын
Uko sahii kabisa
@saidibrahim59312 жыл бұрын
Kweli kabisa
@husseinmahad55762 жыл бұрын
Poleni sana waTanzania jirani yetu Sisi waKenya. Kumbe ule ndugu na dada ni ya mdomo tu. Jameni jikomboeni na uhasidi.
@johel8822 жыл бұрын
we umeishi na watu wa nchi hizo zote ndani na nje ya nchi?
@PaulsenMgema Жыл бұрын
Ungekuwa uko karibu ningekununulia soda
@D-Man.B-Free2 жыл бұрын
Minnesota ni state ya wasomalia,yaani halal food is everywhere na nikama somalia 🇸🇴,I like it,Sala 5 muhimu
@zaddysenemy22912 жыл бұрын
What about alshabaab?
@zebusdaughter81582 жыл бұрын
@@zaddysenemy2291 you should ask urself story za alshabab na pia watu wanakubaliwa kuingiaarekani na kwengineko hata hapa nilipo wasomali kibaaao. Wee jifungie tu sebleni kwako utizame BBC na usisome chochote. Halaf siku roho yako ikitolewa ndo utajua kama ni Alshababu au Alshabibi.
@pilimusa32172 жыл бұрын
@@zebusdaughter8158 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mohamedyusuf94162 жыл бұрын
@@zaddysenemy2291 I'm not gonna respond your question because you're cheap quality material maybe you're jealous with others success be happy with your monthly food card enjoy tax payers money 💰
@ibrahimjama20532 жыл бұрын
@@zebusdaughter8158 umetisha👊👊
@georgedamas70972 жыл бұрын
Safi sana Kitenge kazi nzuri sana iyo....
@ChoroTesla2 жыл бұрын
wabongo wengi roho mbaya sana na hili linasababishwa na ubinafsi wenzetu wana umlja sana ndo mana wanaweza kutoboa.
@hamidaalhabsi85682 жыл бұрын
Maashallah kwetu watazania tukiwa na moli kama hiyo basi Tutasema Raisi Samia Suluhu anatumia pesa za WANAINCHI kama anavyo taka sisi tutabaki hivi hivi tu wenzetu wanakwenda EXTRA MAIL SIO WAKUTAKA KAMA WENZETU BRO😭😭😭😭
@elizabethkaranja5702 жыл бұрын
I used to come to this mall years back for very good food. 🔥🔥🔥it has really grown.
@edwinkarani55932 жыл бұрын
Beautiful.
@KIM-xl6zs2 жыл бұрын
Almost everyone understands swahili, thoss who understand it are mainly kenyan somalis
@ramadhanissabura21872 жыл бұрын
swadacta
@ndukulusudikucho_2 жыл бұрын
Tukiwa Nje ya Tanzania hakuna mtu anae itwa mtanzania, kuna mZanzibara na Watanganyika, roho zetu huku tunazijua wenyewe, Mwenyezi atunusuru, alafu hao jamaa dini imewasaidia kuinuana
@Jojo-princess-x1z2 жыл бұрын
Tatizo Mungano hapa huku pia kuna Wazanzibar na Tanzania ukiacha uko Nje Mtihaniii
@ndukulusudikucho_2 жыл бұрын
@@Jojo-princess-x1z Muungano ndio unapelekea Wazanzibar wakiwa Nje nchi kumchukia kila mtanzania sio? Nani alikuwepo wakati Nyerere na Karume wanasaini ,ndugu zetu hamjali kama mtu Ni muumini mwenzenu au lah mnachoangalia Ni Uzanzibar sehem yeyote mlioko, MNA Kibri, Kibri ni nini? Kukataa haki na kuwadharau na kuwabagua wengine, tabia ya kijahiri ya Waarabu wajinga
@Jojo-princess-x1z2 жыл бұрын
@@ndukulusudikucho_ hizo hisia zako hata huku bongo watu wanabaguana hata hao wazungu wanabaguana swala la kubaguwana kote duniani lipo kama ujanifahamu nimekusudia nini ungeuliza Mfumo wa Mungano ndio sababu y kupelekea kuwa n makundi mawili unafahamu mfumo wa Mungano ulivo???
@hanschuma77342 жыл бұрын
Wasomali wanahatar ndio maana hawatak kuwapa Aman katika nchi yao...wenzetu wanaweza sio ss watanzania kaz rohombaya tuuu Chefuuuuuuu
@spreadlove53002 жыл бұрын
Sio wabongo tuuu, asilimia kubwa sie weusi roho mbaya na majungu ndo tunaweza
@spreadlove53002 жыл бұрын
@Mohamed Elmi Tena huku UK ndo balaa umaskini upo kwa sehem kubwa wengi kazi porojo hawawezi hata kukupa connection mtu anakwambia kaishi huku 20 years ila hana mbele wala nyuma, Mungu atusaidie kwa kweli
@Globalsportschannel-ca2 жыл бұрын
@@spreadlove5300 hata Canada wabongo wanaroho mbaya sana angalau watz wanaoishi Calgary wanaumoja
@pilimusa32172 жыл бұрын
@Mohamed Elmi are you somalian
@ramadhanissabura21872 жыл бұрын
mashaallah.
@namangatecnoenterprises19152 жыл бұрын
Warya Mr kitenge serekali ya kwenu inawabagua wasomali sana...
@hassanh19782 жыл бұрын
Wasomali wenyewe wanabagua wasomali wenzao juu ya qabiil
@georgedamas70972 жыл бұрын
Ubaguzi ni asili ya binadamu, sema inatofautiana kulingana maeneo uliyokulia Warya.
@ramadhanissabura21872 жыл бұрын
sas maca!!
@edwardouma16302 жыл бұрын
Tanzania tunaongoza kwa amani Africa mashariki lakini naushikamano lakini tukiwa inje ya inchi hatuna ushirikiano by Fosill nikiwa jijini Nairobi Kenya east Afraca
@exploresouthsudan46642 жыл бұрын
Video nzuri sana.....wa Somalia wakona umoja sana..
@zakach00182 жыл бұрын
mashallah my family
@nadrahassan52412 жыл бұрын
Masha Allah wana umaja 😍
@ayshamahariq66652 жыл бұрын
Maa shaa Allah
@abdulwahababdulkadir99652 жыл бұрын
Watazania ukitukuta ulaya tuko na roho zetu za korosho yaani mtu anaweza kuona umefungua mgahawa basi ni bora wazungu wanaweza kukuungisha kuliko mt mwenzio
@kabwelasutiviraka47652 жыл бұрын
Sio WaTanzania wote mkuu usiongee kwa ujumla hata hao wasomali wote wanapendana
@anordelias2 жыл бұрын
Naomba KUKUTANA na MAULIDI KITENGE
@bintuomar31142 жыл бұрын
us somalis where we go we will ever be somali. kenya is our second country
@omaryteddy622 жыл бұрын
Good good 👍
@kwisa48992 жыл бұрын
This Askari is so lovely
@OsmanK6992 жыл бұрын
This is good, really good.
@bakarisuleiman4342 жыл бұрын
wow i love that❤
@alimwakasidi76802 жыл бұрын
Ukija ubelgiji nitafute nikuonyeshe mitaa ya matonge huku Brussels hapo ukiingia ni kama huko Africa kabisa ukitaka muhogo yuko ndiozi mkono tembo papa sangara omena hata kambare
@guzomc2 жыл бұрын
Mwakasidi digo moja hiyo😅😅
@omnsultan3832 жыл бұрын
Hadi raha
@marrypius5762 жыл бұрын
Wabongo tupeaneni makonnection asee ya majob kam vip sio unaenda mambele unaon fursa zipo unastay queit sio poa toen hat detail za maagent huk tuwasilian nao hiy inatosha kabisa maan tutapat full information then we are going to work on it. Tupendan wabongo
@eaglecrown11012 жыл бұрын
Amina 🙏🇹🇿🤔
@reubentv29482 жыл бұрын
Those are Kenyan Somali. 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@adamhashim33522 жыл бұрын
RIP hamza
@pilimusa32172 жыл бұрын
Huyo jamaa kafa?
@mwamudmohamed55662 жыл бұрын
Wasomali wakenya haya
@faridashisia94092 жыл бұрын
Proud kenys
@liverpoolfootballclub99852 жыл бұрын
Mtangazaji waache wasomali na maisha Yao huko kwenu Tanzania mnawabagua.
@nguvuyafikramedia12022 жыл бұрын
Hacha uongo
@shantalismailhassan98782 жыл бұрын
Sio kweli Tz hawana ubaguzi wa aina hiyo. Wasomali wanaishi vizuri sana ndani ya Tz na wanashirikiana vizuri na wa Tz. Ukiongelea wahamiaji ambao hawana kibali chochote najua kila nchi ina sheria zake katika kulinda Amani ya nchi huwezi kuingiza watu kiholela Tu na ulinzi uko kila nchi duniani kote. Nawajua wasomali wengi wanaoishi bongo ambao wana enjoy maisha na hawataki hata kurudi nchi Yao.
@mgasaemanuel532 жыл бұрын
Wabaguliwe vip wakat na wao ni waafrika acha ujinga sote ni ndugu au wasomali wanajiona waarabu wakat ni weus tu
@farikkaqueen23672 жыл бұрын
right 😂😂
@adamhashim33522 жыл бұрын
Hamza
@maghanighanichali95192 жыл бұрын
Wabongo unoko mwingi
@jamalmuadhin44603 жыл бұрын
Nice
@juma2979 Жыл бұрын
Hata pale Dubai kuna mtaa wa wasomali
@anordelias2 жыл бұрын
BRO KITENGE NAOMBA KUONANA NA WEW
@abduljabbarmohammed41882 жыл бұрын
Maulid kitenge usishangae na sisi wasomali. Tabia ya biashara sisi hurithi kutoka kwa wazazi.
@ramadhanissabura21872 жыл бұрын
hahahahaha. cabty
@ahmuhally44302 жыл бұрын
Nimekubali hii
@japhetmoshi84842 жыл бұрын
maulid . Nakuona unaupg mwing hko ulayaa
@issamkombo7300 Жыл бұрын
Bila vita Somalia ingekuwa mbali sana kiuchumi hawa watu ni wachapakazi sana Na shida kubwa Somalia ni mafuta na hili watu wengi hawalijui
@malelabmalela50162 жыл бұрын
Ok
@anordelias2 жыл бұрын
Plz nimejaribu Sana kukutafuta lakn bado sijafanikiwa
@awesosaladi36383 жыл бұрын
MashaAllah Good life
@miriammuller28452 жыл бұрын
Oyo
@diolindanativo72682 жыл бұрын
Wasomari wako vizuri wakitoka nje ya kwao
@farikkaqueen23672 жыл бұрын
what’s your point?❓❓
@MusaYusuphu-y2l Жыл бұрын
Tupe mawasiliano ya huyo ndugu yetu msomali
@ezekielwatson99262 жыл бұрын
Safi habari
@flavianchuwa43703 жыл бұрын
Noma sana
@sharonyclement94572 жыл бұрын
Safi kwa kuutupa vitu wa bongo
@alextercisio Жыл бұрын
Tanzania shinda Yao ni wivu na ubinafsi
@levinaringoma2 жыл бұрын
Utadhani ni marikiti Mombasa
@farikkaqueen23672 жыл бұрын
💯😂😂😂😂🙌🏿
@mvungijuma20252 жыл бұрын
Mwembe tayari
@shebyrasta28332 жыл бұрын
Tutaweza vip ikiwa tunaanza kukwamishwa na serikali yetu ya tanzania, kwa mfano ukitoka nje na kurudishwa unafungwa jela
@pilimusa32172 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@sulaimsameer26682 жыл бұрын
Somalis ni wachapakazi wherever they are@ Kitenge sio wasomali wote wametoka mogadishu wengine wamezaliwa marekani halafu pia jifunze ngeli upige kotekote
@williamkeita15192 жыл бұрын
Hao wanakadi ya kijani nadhan kuipewa ile lazma uchunguzwe na USA vizuri,wakirud somali alshababu watawachukulia kama Vibaraka
@paulvimbamvula95082 жыл бұрын
American inchi yakila kabila duniani....maisha Kama haya hakuna China...hakuna Urusi
@menalikechildren88362 жыл бұрын
kwel bro
@beatbyrich28912 жыл бұрын
Ni miji yote? mana marekani kubwa sana.
@allyissa79812 жыл бұрын
watanzania tuna roho za kichoyo
@jumamofu95732 жыл бұрын
Jambo
@mosesptallah39332 жыл бұрын
Wa ndugu zetu, na ishi jamhuri Somalia na Jamhuri ya Kenya, So you can't geographically position them. The whiteman divided our motherland Africa. Hutujui mipaka sisi Wa Afrika.
@kevinochieng64582 жыл бұрын
Hao ni Wasomali kutoka Kenya sio Somali
@afropanorama47302 жыл бұрын
mbona unajizonga
@mwamudmohamed55662 жыл бұрын
@@afropanorama4730 kwani wewe hauskii kiswahili Chao ni Cha kenya
@afropanorama47302 жыл бұрын
@@mwamudmohamed5566 ata watokee wp bado ni wasomalia
@mwamudmohamed55662 жыл бұрын
@@afropanorama4730 Sasa what is your point of argument nkt!
@FeisalMNoor2 жыл бұрын
Nyanyako na nyanyake ndio wa kenya ... Siku zote jua kwamba msomali ni msomali.
@isayagabriel52792 жыл бұрын
Roho za wazungu tafauti na na waarabu sure
@muhammadsalim13012 жыл бұрын
fafanua kaka
@hamisimuhammad62252 жыл бұрын
Kivipi
@charleskamau57182 жыл бұрын
Do they have Al shabab there?
@maina29242 жыл бұрын
Kamati ya roho chafu
@reubentv29482 жыл бұрын
Tumia akili kidogo.
@aliaden55122 жыл бұрын
WASOMALI SIKAMA WAKIKUYU MUNACHUKIANA HATA HAMUSAIDIANI HUKU USA
@missnellytv21492 жыл бұрын
Al shabab is Arabic word meaning youths..
@saadhussein54662 жыл бұрын
No there's on single of them we should kick their ass. Lakini wunba miingi Sana don't worry either we should kill or capture them soon.