Da Flora nakupenda sana unaongea point Mungu akubariki
@theresiamwandara79902 жыл бұрын
Hongera sana kua hapo.Kiukweli watu tulisema mengi, kiukweli umesimama sawa sawa na kile uliamini, ndoa ikifika mwisho Haina suluhu ni kuachana tu.
@jescajulius80232 жыл бұрын
Exactly hupaswi kulazimisha muda wake ukiisha
@junuferjinu14442 жыл бұрын
Mkiwa mnaoji watu jitaidini kuweka maji au juic plz
@elizabethjeremiah832311 ай бұрын
Nakupenda sana dadaangu naomba kujiunga nawe
@mtanzaniahalisimungunimwem6732 жыл бұрын
Hongera Sana Flora.naomba kujiunga nawe kufikia watoto yatima natamani sana
@happyfihavango4151Ай бұрын
Yaani mimi kama hutaki kuniamkia acha kabisa heshima yako maana yake nini acha kaa na salam yako
@nyamizikuhaba72592 жыл бұрын
I love madam Flora
@IreneMwanaa-zo2wz3 ай бұрын
Nakupenda sana kipenzi songa mbele
@xkingx80412 жыл бұрын
Kweli tupu Madam. Kila moja ana mapito yake. Tuache kuhukumu
@kimsamespa84902 жыл бұрын
Kazi nzuri my sister may God add more
@noelkabaila32842 жыл бұрын
Nikweri madame mungu azidi kukulinda na naendelea na moyo huo
@RamazaniMulongeca Жыл бұрын
@7:24 hivi album vipi, nafikiri nimwaka sasa ....😢😢😢😂😂😂😂
@khadijamalifedha47862 жыл бұрын
Hapo ndo utagunduwa nani alikuwa mtata kwenye ndoa yao huyu dada hakuwa na makosa kabisaa
@jacquelinemwakasala95632 жыл бұрын
Flora naomba unishirikishe japo kakipande ka kuitikia kusolo nk.na mm nitoke napenda sana kuimba na kuwa mwimbaji bora
@bosslilyg43902 жыл бұрын
Mama eee, wallah Rick Ross kaleta balaa, Esco umekuwa kama madevu rick Ross 🤣🤣🤣🤣 mama Dylan njoo huku umuone Esco 🤣🤣🤣🤣
@florameza10282 жыл бұрын
Flora alimwacha mchumba wa kwanza kijana alikuwa anampenda YESU dakika za mwisho kabisa mpaka akawa frustrated akaolewa na mbasha nae kamuacha kaenda kuoa yeye kakola katoa mahali kagharamia harusi huyu Mungu atatuhukumu kwa jinsi ajuavyo
@furahasanga25342 жыл бұрын
Unaweza ukawatamani lakini Mungu anasubiri ghadhabu ijaye na kufulika ndipo tuataelewa kwamba amaesema anapatiliza wana Maovu ya baba zao kizazi cha tatu Na cha nne.
@elizabethopere27842 жыл бұрын
Acha kukurupuka humjui mtu kiundani sana huyo mchumba unaye msema alikuwa muathirika wa ukimwi kipindi cha 2001 hata madawa ya kurefusha maisha ilikuwa bado sana kupatikana lakn pia watu walikuwa wanaogopa sana kipindi hicho vile ugonjwa ulikuwa unatisha so ulitaka akubali kuolewa tu ili wewe ufurahi au ..na kama angekuwa mtoto wako kwa kipindi hicho ungemkubalia mtoto wako
@vickydan28692 жыл бұрын
@@elizabethopere2784 watu wanakurupuka mambo hawayajui
@elizabethjeremiah832311 ай бұрын
Mmmh
@upendohalisi57632 жыл бұрын
Kazi iendelee
@christinangimba4062 Жыл бұрын
Frola naomba namba yako mimi tina
@warrenhenrick55652 жыл бұрын
💓💓💓💓
@williamkavuta80662 жыл бұрын
Kww kwel mahusiano ni dude gumu
@devotamsemwa77342 жыл бұрын
Atitizo waimbaji wa nyimbo za injiri kwa upande wa wanawake mnatutia aibu sana shetan kawavaa bila wenyewe kujijua asilimia kubwa waimbaji kwa nn mnavunja ndoa zenu? Halafu mkiulizwa hoo mwanaume alikuwa ananinyanyasa kumbe uongo badala ya kuwa mfano mmekuwa gumzo na mnaonekana ni malaya yaan mnaharibu sifa ya uimbaji kwa sababu mkiachana tu tayari mnaenda kufunga ndoa na mwanamme mwingine.Mkae mjitathimin sana waimbaji wakike.Mkiinuka tu basi ndoa lazima isumbue nikwamba hampo kiroho zaidi bali mpo kibiashara maana matendo yenu hayaendani na ujumbe mnaotoa kupitia uimbaji
@janetsemahimbo80832 жыл бұрын
Usihukumu ndugu yangu anayejua Florah ni muongo au Mbasha ni muongo ni Mungu tu. Kama Florah ameamua kuolewa na mwingine na mume alikuwa mzinzi, ana haki zote duniani na mbinguni. Na Mbasha pia kama ameona Florah amsingizia basi ana haki ya kuoa. Hivyo Mungu ndiye anayejua Kati ya hawa wawili.
@hidayaswai31192 жыл бұрын
Acha kuropoka wanaojua sababu ni wao wawili. Ww wa mitandao acha ku comment
@vickydan28692 жыл бұрын
Hawa nibinadamu tu c malaika tatizo waoaji wanafikiri ukimuoa mwimbaji wanahic wameoa malaika so amfanyie chcht tyu na akae kmy haiwezekani mbn sasa kaolewa na katulia
@marympochela7903 Жыл бұрын
Vicky unafurahishs Kama Si kuchekesha, YESU Hana option, yeye anataka utakatifu tu, habari ya malaika au ubinadamu hiyo Ni yako wewe, ndiyo maana anasema mbinguni hakitaingia kinyonge, take care
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
@jasperjackson88712 жыл бұрын
Mependa hekima yako hasa pale ulipokazia *ISHI MAISHA YAKO UNAYOAMINI YANAYOKUPA AMANI* Maana bindamu ukifanya mema au mabaya wataongea tu.
@happinessshirima32792 жыл бұрын
♥️♥️🙏🙏
@victoriaamosi84302 жыл бұрын
We dada umemuumiza mwenzio jaman nikosa gan lisilo sameheka? We mbona ulisamehewa a mungu una roho ngumu wewe
@bethdominic1991 Жыл бұрын
Mambo ya ndoa n mazito sana usiropoke ikiwa hujui chanzo Kuachana kupo TU,usiombe yakukute ila alipigania amani yake
@ericmiles20362 жыл бұрын
Dada Wa Mchongo Huyu
@margarethpolepole74382 жыл бұрын
Uongo mtupu wewe muhuni tu
@mtoshauri91832 жыл бұрын
Hacha zako malaya mkubwa wewe
@preciousrobson33942 жыл бұрын
Wewe ni wivu huo tunakujua ni mbasha group imetoka hiyo harudi tena inaonekana unamtaka madam
@timothmwakakusyu45632 жыл бұрын
Unatukana wenzako malaya ina maana ww unakuwa kuwadi wake anapofanya huo umalaya. Acha mambo ya kishamba hakuna mkamilifu chini ya jua, dada wa watu katulia zake wkt mwenzake kala mitama jukwaani 😕😕😕😕😕
@annalyimo84622 жыл бұрын
Uko vizuri dada MUNGU wa Mbinguni aendelee kukubariki