No video

INASIKITISHA! MBASHA ADAI KUKOMBWA KILA KITU NA FLORA

  Рет қаралды 399,394

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Mfanyabiashara na mwimbaji Injili Bongo, Emmanuel Mbasha amesikitishwa na kitendo cha mkewe, Flora Mbasha anayedaiwa kwenda nyumbani na kukomba vitu vya ndani na kuvipeleka kusikojulikana wakati mumewe akisota kwa kesi ya ubakaji.

Пікірлер: 175
@user-bs3gx1kc9i
@user-bs3gx1kc9i 3 ай бұрын
Yooo maskini mbasha nilikwa napenda sanakuskiliza nyimbo zako pole sana na matatizo uliyo pata inaumwa
@andrewmwilungu8419
@andrewmwilungu8419 10 жыл бұрын
Maandiko yanasema, Alichokiunganisha Mungu mwanadamu asikitenganishe. Nimeguswa sana na maelezo yako Mbasha. Ple sana lakini Mungu anayaona haya yote na ndiye pekee anaweza akatenda miujiza na maisha yakarudi kama zamani. Shetani hapendi watu wa Mungu waishi kwa upendo furaha na amani, atafanya kila hila kuchafua amani iliyopo. Piga magoti umwambie Mungu atende lile alipendalo juu ya kusalimisha ndoa yako na hasa kuandaa maisha ya baadaye ya motto wenu, ambaye sasa atapata shida ya kukosa upendo wa Baba na Mama aliouzoea tangu azaliwe. Mwombee mkeo na wala usimlaumu kwani sio yeye na wala sio akili yake. Omba toba ili Mungu asafishe pale ulipomkosea na kukusamehe kwani sote tu wenye dhambi, tunahitaji toba kila saa. Mungu akutie nguvu na kulisimamia hili na kwa Jina la Yesu lipitalo majina yote litakwisha. Amen
@amaninaupendo.3539
@amaninaupendo.3539 4 жыл бұрын
Amen amen. Pole Mbasha. Hao ndiyo walivyo. Wengi wametugeuza atm. Wote tumeumizwa . lakini nilibaki na Mungu. Sikuizi akuna ndoa ni wizi mtupu na tamaa ya mali .(bora kuchangia elim na matibabu na wenye maitaji kuliko harusi)Mungu akupe mwelekeo mpya na moyo wa ushujaa.Mungu akusaidie. Amen.
@sammykashama833
@sammykashama833 10 жыл бұрын
Mg uliye Mtakatifu muumba wa mbingu na inchi na mwanzilishi wa ndoa na wa familia ,Na kusihi nikiomba saidia wana ndoa hawa, warejeshee tena nakwenda kinyume na nguvu za shetani muhusika mkuu katika kvunja ndoa, katika jina la ys kristo na kwa damu yako ya upatanisho naomba nakuamini Amen.
@yussuphmgodoka7142
@yussuphmgodoka7142 10 жыл бұрын
Pole kaka mbasha, mwenyezi mungu yu pamoja nawe ktk kila jaribu linalokukuta
@1464254
@1464254 10 жыл бұрын
Mnahitaji maombi, kuna roho ya uharibifu imewaandama, Ingia kwenye maombi ya kufunga nakuomba na uombe rehema, Mungu anaweza kukusaidia, mali zinapatikana kaka, ila amani ni kitu cha muhimu. Uwe na amani, na Pole sana.
@loycegina3970
@loycegina3970 7 жыл бұрын
umenitoa machozi ....Muombe Mungu atakusimamia kaka
@janethshem5782
@janethshem5782 10 жыл бұрын
Ana dhiki sana flora mbasha,vitu vtamsaidia nn sasa,kakayangu tulia mungu hachezewi, atakujibia,usilipize lolote,we mshukuru mungu, kumbe mkeo alikuwa mshamba tu na mlia njaa,ndomaana kakomba kila kitu
@kwelikwepuno2217
@kwelikwepuno2217 5 жыл бұрын
Janeth Shem
@stanleyjohn6498
@stanleyjohn6498 8 жыл бұрын
brother Mungu ni mwema wakati wote piga goti omba mungu akuoneshe njia kila kitu ninawezekana pole sana
@richardboaz-mashagospel2346
@richardboaz-mashagospel2346 3 жыл бұрын
Achana na hizo mali anza moja tu, wala usishindane naye, wala usitafute kitu kwake....anza moja utafika mbali sana.
@jescajulius8023
@jescajulius8023 2 жыл бұрын
Kabsa MTU akikuacha na kuchukua Mali zote muache,japo inaumiza miaka kadhaa,dah.
@wenderoserie1538
@wenderoserie1538 9 жыл бұрын
Here in London we are praying for you man of God Emmanuel Mbasha. God will protect and restore you. Keep believing . Do go back to your old church the Assemblies of God one.
@lucasalickmbila7748
@lucasalickmbila7748 10 жыл бұрын
Ukiona ya hawa ndg wewe zama kwa Yesu. Haya ndiyo mambo ya ulimwengu huu. Yesu warehemu hawa vijana watubu na kuendelea na maisha. Vitu si chochote bali maisha yao mbele za Bwana
@zuuniece6635
@zuuniece6635 7 жыл бұрын
pole sana kk mungu akutie nguvu
@allmightynimore9151
@allmightynimore9151 10 жыл бұрын
Sasa tusubiri flora kutoa album take nyingine kumtangaza mungu.
@emmanuelgilbert7003
@emmanuelgilbert7003 10 жыл бұрын
pole sana kaka Mungu atakupigania wala usihofu haki ya mtu haipotei kamwe
@aspenasmafuru6428
@aspenasmafuru6428 10 жыл бұрын
japo tunaishi kimwili lakini hatupigani kimwili,hongera kaka kwa moyo wa kusamehe wala machozi yako si bure yatalipwa na mungu wala si muda mrefu mkumbuke ayubu
@sarahsesa8851
@sarahsesa8851 Жыл бұрын
Msikin nilikua sijasikiliza hii kitu pole mbasha mwanaume akisema anakupenda paka atoa machozi kwel anakupenda pole mbasha mungu akutie nguvu
@rebeccahkathoka9966
@rebeccahkathoka9966 3 ай бұрын
Loving someone who doesn't love you is a plaque in waiting.
@reachthegoal7624
@reachthegoal7624 5 жыл бұрын
Mungu hashindwi kutubariki ila anauliza, akitubariki, arudipo, ataikuta imani ingalipo duniani? Tukibarikiwa TUSISAHAU AU KUACHA KUOMBA!
@sophiacolman1130
@sophiacolman1130 10 жыл бұрын
Pole na mitihani maisha ni sawa na miamba mungu yu pamoja nawe ila la muhimu usikate tamaa
@richardboaz-mashagospel2346
@richardboaz-mashagospel2346 3 жыл бұрын
Pole sana brother mbasha, nimegundua wanawake wa kizazi cha leo ni tatizo. Nimejifunza kwamba anayeweza kutunza au kuvunja ndoa ni mwanamke......biblia inasema mwanamke "mpumbavu" huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe.
@jescajulius8023
@jescajulius8023 2 жыл бұрын
Hata wanaume mpo hivo hivo mm nimekuta mwanaume kachukua kila kitu aiseeee ilininiumiza japo nmeshasamehe japo ctak kurudiana naye ck zote
@kidagodbless6001
@kidagodbless6001 7 жыл бұрын
pole sana brooh..... u show.d much lv 2 her dat y she z doing 4 u dat way jifunze kupenda kiasi and if she doesn't want u just live her god will look upon d.c
@andrewsailen7628
@andrewsailen7628 10 жыл бұрын
poleee braza mbasha God b with yu
@amosnyalema1645
@amosnyalema1645 4 жыл бұрын
Pole sana kaka
@grnifamgeni1309
@grnifamgeni1309 5 жыл бұрын
Mungu wangu mbona watu wanapendwa watu wasio jua dhamani mungu njooo kwangu mbasha
@estherbenedictor3240
@estherbenedictor3240 4 жыл бұрын
Umenifurahisha
@millekamafa4110
@millekamafa4110 5 жыл бұрын
Huyo Mama Mungu atamjibu
@yonamunene1372
@yonamunene1372 6 жыл бұрын
Wanawake hawachezeeagi nage,usisubutu kusema unampenda kwakua hakueshimu pambana maisha yako
@naimashaaban8525
@naimashaaban8525 10 жыл бұрын
duuu pole xana xana mungu bado yupo nawe uxkate tamaa
@shirowairimu6623
@shirowairimu6623 10 жыл бұрын
pole sana.labda huyu bb alikuwa amempenda mbasha ju ya dooo.anyway no woman no cry,am a lady but shetani hupitia wanawake::eve,debra,delila na wengi
@danielnyantory5132
@danielnyantory5132 9 жыл бұрын
Kwan kaka nn chanzo hasa mbaka wife wako anakimbia nyumba au wewe ndio una matatizo na mbona ungea sana na wadishi wa udaku hawana lolote zaidi ya kukucholesha wewe we fanya mambo yako kwan mshara wa dhambi ni mauti kama kweli ni kujirudi atarudi na kama karubuniwa itajulikana tu fanya ibada sana omba Mungu sana
@azizihamisi8372
@azizihamisi8372 10 жыл бұрын
Kaka mbasha,pole kwa yote yaliyokusibu hiyo ni mitihani ya maisha, amini itakwisha na maisha yataendelea japo kwa sasa unapaswa kutuliza akili na kutafakari nini ufanye ili uweze kupata hali zako,ila amini haki ya mtu haipotei bure
@bahatymzuri9981
@bahatymzuri9981 10 жыл бұрын
Jmn dunia imekwisha mume wa ndoa si wakumfanyia ivi hata kdg amefika mbal mwanamke mwenzangu na hapo naisi kuna kitu katikai sio bure
@sam2014pin
@sam2014pin 10 жыл бұрын
thats true mama
@arnoldmwenda5971
@arnoldmwenda5971 10 жыл бұрын
pole sana ndg yangu ni mapito tu yataisha
@italkitalk2216
@italkitalk2216 7 жыл бұрын
pole kk mungu yupo nawe
@anjelaluvinga5746
@anjelaluvinga5746 8 жыл бұрын
pole sana mbasha,mungu akupiganie
@SESYADAMEXPRESS
@SESYADAMEXPRESS 10 жыл бұрын
Pole ndugu. Mola atakufungulia njia
@mercysamuel4368
@mercysamuel4368 10 жыл бұрын
Pole sana mbasha
@monicasiardes5819
@monicasiardes5819 2 жыл бұрын
Nimechelewa Emma,njoo 🇲🇿 nikupende
@ashamohammedashamohammed7401
@ashamohammedashamohammed7401 8 жыл бұрын
aisee mimi hizi habari ndio nazipata, mbona yaniumiza sana jamani
@nathankulola8348
@nathankulola8348 10 жыл бұрын
Pole sana bwana shemeji
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 4 жыл бұрын
😂😂😂
@erickkishimbo4341
@erickkishimbo4341 10 жыл бұрын
poleeee mbasha mwanamke mwalimu wake kipofu...usijali
@manaseh
@manaseh 10 жыл бұрын
Jamani Tanzania , hata sasa Waandishi wa habari wanatoka hivyo ?huyo Mwandishi wa habari anaonekana kama "omba omba" . Yaani ni aibu tupu !!!!! Hao Global Publishers wawe na misingi ya uvalishaji , siyo usela sela !
@loiseadero5572
@loiseadero5572 8 жыл бұрын
hahahaha!!!
@asimaismail5559
@asimaismail5559 8 жыл бұрын
hahahahahaha wallah hahahahaha wale c uongo
@tatuiddy6206
@tatuiddy6206 7 жыл бұрын
QUEZAI Hahaha jamani nacheka mimi
@btzdom7733
@btzdom7733 7 жыл бұрын
stivin kanumba
@ireenleonard3700
@ireenleonard3700 5 жыл бұрын
QUEZAI tehetehee
@dudytgufht6156
@dudytgufht6156 9 жыл бұрын
Pole kaka mungu yko nawe
@angelntandu4648
@angelntandu4648 5 жыл бұрын
Wewe mbasha ni muongo kwani ullimkosea nini mpaka afikie hapo?utakuwa una makosa na kuna jambo na Flora ahojiwe
@fadhililihinda6491
@fadhililihinda6491 5 жыл бұрын
Angel Ntandu Du, sina hakika kama unaweza kurudia maneno haya tena
@mariachahe7077
@mariachahe7077 7 жыл бұрын
pole sana Mpendwa
@tinagibe5997
@tinagibe5997 7 жыл бұрын
kaka mbasha Mungu akutie nguvu
@zamdahasan6042
@zamdahasan6042 5 жыл бұрын
Mhhhhh pole saaan m.mbasha
@emmaculatemarataninabwala5635
@emmaculatemarataninabwala5635 9 жыл бұрын
Pole sana bwana Mbasha.
@fransiscarwillaasinta6008
@fransiscarwillaasinta6008 7 жыл бұрын
Mungu akusaidie kakangu daaah huo mtian
@raymondjoseph1148
@raymondjoseph1148 4 жыл бұрын
Pole sana broo
@johnhallstrom4577
@johnhallstrom4577 10 жыл бұрын
maskini ema,pole mwaya mungu atakusimamie
@pamelanabokolweojuma1964
@pamelanabokolweojuma1964 4 жыл бұрын
mungu akusaidie
@asnathmwaipopo6877
@asnathmwaipopo6877 4 жыл бұрын
Hahahahaha jamani wasoma comment kama Mimi mpooooo? Yani Mimi nacheka tu. Kama na wewe msoma coment kama Mimi gonga like
@joellarry71
@joellarry71 3 жыл бұрын
A trick : you can watch movies on Flixzone. Been using it for watching a lot of movies lately.
@wyattmaximus2684
@wyattmaximus2684 3 жыл бұрын
@Joel Larry definitely, I have been watching on Flixzone} for since december myself =)
@everyneelias2449
@everyneelias2449 7 жыл бұрын
kaka mbasha pole sana kwa matatizo mungu atakuongoza
@emmilianacharles5067
@emmilianacharles5067 5 жыл бұрын
Everyne Eli
@rechommbaga7910
@rechommbaga7910 5 жыл бұрын
acha uhuni kuna vitu vywkuvumilia lkn vingine havivumiliki mbasha badilika
@Rgawile
@Rgawile 10 жыл бұрын
maisha ndivyo yalivyo kaza moyo
@helpers10
@helpers10 10 жыл бұрын
Bob najua umempenda lakini hapo ilipofikia ni afadhali uachane nae. She has already gone na uking'ang'ania atakufa na ukimwi. Watu wanakula mzigo huo we mezea tu bob. Ndio life we jipange tu na iko siku utatoka kivyako. You are still young my brother and I am sure you will make it happen on your own moves. Ukisikiliza mkasa mzima kwa akili ndogo utaona kabisa kuna jamaa wanakula mambo. Sasa mshkaji hata kama mkeo ndio umempenda ndio ato***she wazi wazi eti kisa umempenda??? Babu usipojifunza utafunzwa na kaburi. Angalia dharau anazowafanyia wazazi wako!!! sasa hata akirudi atawaface vipi wakwe zake. Babu we mchane tutazame usawa mwingine. Demu hajatulia wala nini!!!
@dianaketegwe8147
@dianaketegwe8147 9 жыл бұрын
God will make a way relax God is in control
@augustinokaoneka7371
@augustinokaoneka7371 10 жыл бұрын
kama ndoa ndo hvyo duh.....................!!!!
@tinagibe5997
@tinagibe5997 7 жыл бұрын
flora utadhubutu kuendelea na uimbaji kweli,
@gerumanaanatoly1355
@gerumanaanatoly1355 5 жыл бұрын
Pole sana
@ziadasalim8807
@ziadasalim8807 5 жыл бұрын
radhi ya mume inamuandama
@pamelanabokolweojuma1964
@pamelanabokolweojuma1964 4 жыл бұрын
my bro ni uchungu sana
@faithfelix7816
@faithfelix7816 10 жыл бұрын
oooooh challengessssss
@lydiahbhoke2284
@lydiahbhoke2284 4 жыл бұрын
Pole ndoa ni ngumu sana
@jacquelinosmond221
@jacquelinosmond221 4 жыл бұрын
Like movie ooohhh,u have to write your history
@maidamwaipopo7645
@maidamwaipopo7645 4 жыл бұрын
Huyu mtangazaji hilo shati ama limechakaa duu
@mwalimunanabiinelsonmwakik5542
@mwalimunanabiinelsonmwakik5542 4 жыл бұрын
Polemno
@pamelahezron8326
@pamelahezron8326 2 жыл бұрын
Ila wanaume badilikine utamfanyia vituko mwanamke weeee atavumilia lakini siku akisema Basi hata utie huruma vipi hageuki nyuma mwanamke.
@ibrahimrukundo3064
@ibrahimrukundo3064 5 жыл бұрын
mwenyezimung awakutanishe haraka na muelewane:
@emmanuelmwamlima1143
@emmanuelmwamlima1143 9 жыл бұрын
Pole sana kaka
@fransiscarwillaasinta6008
@fransiscarwillaasinta6008 7 жыл бұрын
florah Mungu anakuona
@festomatongo
@festomatongo 9 жыл бұрын
sorry brother
@magynzioka1122
@magynzioka1122 7 жыл бұрын
pole sana mungu ata kusanya machozi yako kungeuza gura.mke mjinga atavuja nyumba yake kwa mikono yake
@newasddong5865
@newasddong5865 8 жыл бұрын
huyo muandishi wahabar maskini yuasikitisha kwel hata mbasha anaafadhal japo anamatatizo
@tatuiddy6206
@tatuiddy6206 7 жыл бұрын
Newasd Dong hahaha mbavuzangu
@lizybabyface7750
@lizybabyface7750 5 жыл бұрын
Newasd Dong Niko na huzuni usinichekeshe
@ziadasalim8807
@ziadasalim8807 5 жыл бұрын
yaani sijui hana Mke na kama anamke utakuwa huyo Mke hajielewi duh. njoo nioe Mimi nikuweke smart nikupigie pasi uko rafu sana
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 4 жыл бұрын
Newasd Dong 😂😂😂
@gracejohn886
@gracejohn886 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@johnmacha2194
@johnmacha2194 9 жыл бұрын
elimu ndogo wewe jamaa you don'nt need to publicize you life there is right to privacy! who care? unachoreka too!
@babyyshayo3633
@babyyshayo3633 5 жыл бұрын
Jamani mwacheni kaka wa watu,huo ni Mwanzo wa Maisha Siku Moja atavaa smart tu
@saudamlete3045
@saudamlete3045 9 жыл бұрын
pole
@angelinaelishachisongela7859
@angelinaelishachisongela7859 4 жыл бұрын
Pole mwaya
@nicoloustwesamwakalengela9794
@nicoloustwesamwakalengela9794 7 жыл бұрын
Hawa akaina hawa ni shida kweli, Hawaaminiki, Hawapendeki, Hawabembelezeki, Hawashauriki!!!!!!!!
@estherleonard9635
@estherleonard9635 7 жыл бұрын
Jamani huyu dada nyimbo zake nilizipenda lkn sasa kanitoka roho, hiv nyimbo zake zitaniongoa kweli! ebu Ona mwanaume anavyolalamika
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 10 жыл бұрын
Huyu mwanamke ni mpumbavu...biblia inasema ' mwanamke mjinga hubomoa nyumba kwa mikono yake mwenyewe' Umhim wa.mtu akiwa hayupo. Tym ll tel Tuone akitoa nyimbo km atauza tena...jamii ipo very sensitive
@grecehuyukibanishida5595
@grecehuyukibanishida5595 5 жыл бұрын
pole kaka
@yusuphmkapa5302
@yusuphmkapa5302 4 жыл бұрын
HAKIKA MIMI NISHAHIDI WENIWATOFAUTI POLE SANA WAMAMA HAWA NDIVYOWALIVYO MUNGU ATAKUPA VINGI KAKA
@isaacsimiyu9621
@isaacsimiyu9621 9 жыл бұрын
Pole kaka
@winnieshiroo1068
@winnieshiroo1068 8 жыл бұрын
I'm really sorry derl take hrt
@bezestwangu4436
@bezestwangu4436 10 жыл бұрын
Jamani anatia huruma, Dada flora msamehe Emma jamani msamehe kashakiri
@pudelwanzali955
@pudelwanzali955 5 жыл бұрын
Mh hata kama mbasha Ana makosa hawa wameokoka hii ni aibu flora Mungu wetu utamtangazaje tena utapata wap ujasr
@sibawayhisalum2707
@sibawayhisalum2707 8 жыл бұрын
jmni mnataka habar au mnataka kumkashifu muandishi sikila mtu na anavyopenda
@charlesfimbo7026
@charlesfimbo7026 10 жыл бұрын
huyu jamaa ni mhuni miaka mingi sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
@allymlagha8384
@allymlagha8384 10 жыл бұрын
it pain
@patricklorry3404
@patricklorry3404 5 жыл бұрын
Daaaah ajabu kweli
@jojojo7956
@jojojo7956 9 жыл бұрын
Mbasha huyo mwandishi wa habari kachoka kushinda wewe. Flora no chill. Dhiki nyingi
@ahmedhamis5982
@ahmedhamis5982 8 жыл бұрын
Pole sana kaka
@loiseadero5572
@loiseadero5572 8 жыл бұрын
mwandishi anasikitisha!
@husnauthman7609
@husnauthman7609 7 жыл бұрын
malaya huyoooo
@fotinata7181
@fotinata7181 7 жыл бұрын
Alishajiandaa sk nyingi eti anaimba nyimbo za dini loo hana ata imani kaka jaribu tu ilo ipo sk litakwisha
@BarakaAndrew
@BarakaAndrew 10 жыл бұрын
em angalia mwandishi wa habari alivochoka, haha! hakukua na sababu yoyote kumuonyesha
@dakinnie
@dakinnie 10 жыл бұрын
hahaha.. Hoi taaban..
@twatowaclothing8490
@twatowaclothing8490 10 жыл бұрын
HAHAHA ur right lol,
@azizakondo6675
@azizakondo6675 9 жыл бұрын
Baraka Andrew
@user-nt8xi4sg9g
@user-nt8xi4sg9g 8 жыл бұрын
Mambo
@user-nt8xi4sg9g
@user-nt8xi4sg9g 8 жыл бұрын
Mambo
@florasamuel9860
@florasamuel9860 5 жыл бұрын
Napenda watanzania wanaongea ukweli kama mambo hayaendi vizuri wanasema sio mazuri
@salmamasoud6055
@salmamasoud6055 8 жыл бұрын
kumbe hana imanii hata muungu hapendii
@maggymm7302
@maggymm7302 10 жыл бұрын
duh
@sivlestermathias4415
@sivlestermathias4415 10 жыл бұрын
wajina pole kwa yaliyo kukuta kwani ujue Mungu ypo pamoja wewe pia umbuka wanawake ni hawa kama yule was kwanza alivyo itwa
@salmamasoud6055
@salmamasoud6055 8 жыл бұрын
huyo dada kazidi anajifanya kashiba dini
@jacklinemushi4936
@jacklinemushi4936 4 жыл бұрын
usipende kukashifu ndoa za watu binadamu wote tuna kasoro na wala hujui nani chanzo hapo fikiria kabla hujazungumza.
Flora Mbasha - Usife Moyo
8:00
Swahiliwood
Рет қаралды 24 М.
Flora Mbasha kaolewa tena... Tazama ndoa ilivyofungwa
25:17
Millard Ayo
Рет қаралды 814 М.
Can This Bubble Save My Life? 😱
00:55
Topper Guild
Рет қаралды 77 МЛН
Prank vs Prank #shorts
00:28
Mr DegrEE
Рет қаралды 8 МЛН
Emmanuel Mbasha: Flora amethibitisha kuzaa nje ya ndoa
21:27
EastAfricaTV
Рет қаралды 147 М.
EXCLUSIVE: MASHAMBA YA MSTAAFU MIZENGO PINDA NI GUMZO!
26:20
Global TV Online
Рет қаралды 305 М.
Mkasi - SO5E05 With Wolper
29:11
MkasiTV
Рет қаралды 304 М.
Mkasi - SO5E12 With Majuto
28:26
MkasiTV
Рет қаралды 691 М.
Mpaka Home: Haya Ndiyo Maisha Halisi ya Bambo, Global TV Yamuibukia Usiku
19:25
BABA MBASHA: FLORA ALICHOKA KUISHI NA MWANANGU
12:15
Global TV Online
Рет қаралды 276 М.