Рет қаралды 16,019
Ni dhahiri kabisa Kiboko ya wachawi kakumbuka shuka kukiwa kumekucha kwa aina ya mafundisho aliyokua akiyafundisha kanisani kwake Buza Moja kati ya kauli zinazomhukumu hata Leo wachungaji, mitume,Manabii,maaskofu wamenyamaza kimya huku minong'ono ya baadhi ikisikika kwa mbali kulingana na kauli zake chafu ya kukejeli makanisa mengine na kuyaita Vibanda
"Mwache atetewe na kanisa Catholic sisi wachungaji wa Vibanda tuko bize na Vibanda vyetu alinukuliwa mtumishi mmoja .
"Alisema Hana mpango wa maombi ya kufunga ni kujichosha tu yeye anazo mbinu je hizo mbinu zimeshindwa kumsaidia alizungumza Mchungaji ambaye hakutaka jina lake litambulike
Mpaka Sasa kiboko ya wachawi na familia yake wanasubiri majibu ya ombi lao kwa Rais Samia Suluhu Hassan