MAFUNDISHO SAHIHI KUHUSU KITABU CHA UFUNUO WA YOHANA

  Рет қаралды 8,393

Mwalusambo International Ministry

Mwalusambo International Ministry

Күн бұрын

Пікірлер: 103
@StephenNdyamukama
@StephenNdyamukama 11 ай бұрын
Pole sana Mtumishi wa Mungu unaitaji kujifunza tena
@zambeckmbwagha2390
@zambeckmbwagha2390 12 күн бұрын
Baba ubarikiwe sana❤
@TabithaMalisa
@TabithaMalisa 3 ай бұрын
Amina bishop, nabarikiwa sana na mafundisho yako, mafundisho hya yaninifundisha tabia za watu wa beloya
@StephenLewanga
@StephenLewanga 11 ай бұрын
Barikiwa mtumishi kwa ufafanuzi mzuri, songa mbele.
@ZephaniaMwalusambo
@ZephaniaMwalusambo 6 ай бұрын
Nakushukuru kwa kuuelewa ukweli, ubarikiwe na Bwana!
@MjumbeAgano
@MjumbeAgano 10 ай бұрын
Ndugu nakuonya kwa jina la Bwana Yesu Kristo,Acha kutanganya Jifunze kwa Mjumbe wa agano duniani mwenye kweli yote ya Mungu angalia KZbin Mjumbe Agano upate semina ya mwisho wa Dunia na jinsi kanisa halisi linavyojengwa na kunyakuliwa barikiwa sana. Soma Mathayo 17:11, Marko 9:12.
@AdamBartholomew-op8dc
@AdamBartholomew-op8dc 8 ай бұрын
Unamuonya kwa kipi ndugu yangu? Huu ndio ukweli ndio maana hiki kitabu kinaitwa ufunuo sio unabii basi kama kitabu hiki tukikisoma kama unabii hakika mambo hayo yatafunuliwa kwa watu gani kama sio sisi?
@footballbrain74
@footballbrain74 6 ай бұрын
Ufunuo wa Yohana 1:3 [3]Heri asomaye na wao wayasikiao maneno ya unabii huu, na kuyashika yaliyoandikwa humo; kwa maana wakati u karibu. .
@footballbrain74
@footballbrain74 6 ай бұрын
Neno unabii linefata nini hapo!? Tumieni hekima na kujifunza zaidi itawasaidia
@IsayaSanga-oi2ii
@IsayaSanga-oi2ii 5 ай бұрын
@@MjumbeAgano tafadhari sana jifunze vizur na uelewe umuonye baba kama Nan wewe kama haujaelewa uliza ujibiwe na Mungu wetu wa mbingu na nch akusaidie
@RuthSoleil
@RuthSoleil 23 күн бұрын
Mungu akubariki sana baba naakuzidishiye ufunuo tena 🙏🏻
@YonaAdson-ze4wv
@YonaAdson-ze4wv Жыл бұрын
Babaangu ubarikiwe sana kwa mafundisho haya mazuri unanifungua sana ufaham wa kuielewa biblia
@fredrickgitonga1972
@fredrickgitonga1972 11 ай бұрын
Soma ufunuo 1:3
@christianremnantsda5304
@christianremnantsda5304 11 ай бұрын
Huyo ni muongo anapotosha watu na theojia yake ya ujanja ujanja tu
@ZephaniaMwalusambo
@ZephaniaMwalusambo 6 ай бұрын
Mungu akubariki kwa kupokea kweli, asante sana!
@NehemiaNzowa
@NehemiaNzowa 4 ай бұрын
uko vizuri mkuu
@AzizalucasMbiduka
@AzizalucasMbiduka 7 ай бұрын
Amina
@GraceSambula
@GraceSambula 6 ай бұрын
Ubarikiwe sana mutu wa Mungu
@pastorbensonnyalusitv.101
@pastorbensonnyalusitv.101 3 ай бұрын
Mzee wangu mimi nimesoma ufunuo 11 lakini nina maswali machache mizeitini ya ufunuo mbona walikufa wakalala siku tatu na nusu wakainuka je hao unaosema ilikuwa hivyo? Ufunuo 22:19 Biblia inasema unaabii wa kitabu hiki wewe unasemaje si unabii? Naomba pia ufafanue ufunuo 11:3 unamaanisha nini Je Yohana na Yesu walihubiri majuma 42 au siku 1260 tu? Mzee kama kweli un lengo la kutuelewesha elezea sura hiyo moja mpaka tuelewe maana tuna maswali mengi sana juu ya unachofundisha hapo jama shetani alisha fungwa twambie mwisho wa dunia itakuwaje? Na ni nadharia gani unayoitumia katika kutafsiri kitabu cha Ufunuo?
@perezakinyi6039
@perezakinyi6039 3 ай бұрын
Philosophical thougts😢
@RwelamiraPascal
@RwelamiraPascal 10 ай бұрын
Asante kwa ufafanuzi mzuri
@joshuaedward275
@joshuaedward275 10 ай бұрын
Mengi Sio kweli lakini umenifikirisha nimeingia kusoma zaidi Nakushukuru
@amelinelyimo8263
@amelinelyimo8263 8 ай бұрын
Nakupata vyema baba barikiwa sana tuongeze uwezo.
@ZephaniaMwalusambo
@ZephaniaMwalusambo 6 ай бұрын
Ubarikiwe sana ndugu Msikilizaji.
@AlexGodfrey-hs5zp
@AlexGodfrey-hs5zp 11 ай бұрын
Acha upotoshaji mzee kitabu cha ufunuo kimeandikwa kwa nyakati 3 wakati uliopo wakati ujao wakati uliokwisha kupita ufunuo 1:19 huu ndiyo ufunguo wa kitabu cha ufunuo
@joshuajohn8533
@joshuajohn8533 7 ай бұрын
Huyu Ni muongo sijui kasomea wapi theolojia mbovu hivo. Ni kipofu huyu
@footballbrain74
@footballbrain74 6 ай бұрын
Mwalimu nina Swali. Kama kitabu cha Ufunuo sio unabii wa Agano jipya. Je, (Ufunuo wa Yohana 1:3 [3]Heri asomaye na wao wayasikiao maneno ya unabii huu, na kuyashika yaliyoandikwa humo; kwa maana wakati u karibu. .) kwa nini anesena unabii!? Na kama Agano Jipya hakuna Unabii Je, Mathayo 24 yote kwa nini inaongelea Ujio wa Yesu Mara ya Pili na Mambo Yatakayokuwako kabla ya kuja kwake!?? Na vipi Yesu alitudanganya hapa!? Ufunuo wa Yohana 1:1 [1]Ufunuo wa Yesu Kristo, aliopewa na Mungu awaonyeshe watumwa wake mambo ambayo kwamba hayana budi kuwako upesi; naye akatuma kwa mkono wa malaika akamwonyesha mtumwa wake Yohana;
@CasmiryJames
@CasmiryJames 5 ай бұрын
Ukipata kitabu alichoandika Cha ufunuo utapata majibu ya maswali yako
@footballbrain74
@footballbrain74 5 ай бұрын
@@CasmiryJames kitabu cha Ufunuo alichoandika nani,??
@praisesamson2406
@praisesamson2406 2 ай бұрын
Nilitaka kuwa nakufuatilia lakini kwa hiki unayofundisha kinathibitisha hayo mengine mengi ni uongo, Sasa kwa wasiojua na wachangamke ,maana waweza lishwa vizivyoliwa na matokeo yake yakawa magumu sana,,,,,, Kitabu cha Yohana kimegawanyika seheme kuu tatu na sehumu hizi zipo Sura 1:19
@johnsonjasson2526
@johnsonjasson2526 10 ай бұрын
Mzee nimekuelewa sana ubarikiwe
@ZephaniaMwalusambo
@ZephaniaMwalusambo 6 ай бұрын
ASANTE kwa Kuelewa, maana ni rahisi kwa wengi Kuelewa uongo kuliko ukweli; ubarikiwe!
@Revelation1412.
@Revelation1412. 11 ай бұрын
Ati Yesu hakutabiri ??😂😂😂 Mzee unachekesha bana Hebu Soma hili Andiko kisha utuambie ni Unabii au Ufunuo? Mathayo 24:15-33
@costantinemihayo
@costantinemihayo 10 ай бұрын
Hapa mathayo alikuwa anadhibitisha unabii uliitabiliwa na Daniel Hakuna ambacho Mzee amejibu vibaya Yuko sahihi Mengi Sana watu mnangojea yatokee kumbe yalishatokea
@Revelation1412.
@Revelation1412. 10 ай бұрын
@@costantinemihayo MUNGU AKUSAIDIE UFUMBULIWE MACHO
@bankuwihasaimoni9981
@bankuwihasaimoni9981 2 ай бұрын
​@@costantinemihayo😢
@NanahJadili
@NanahJadili 5 ай бұрын
Mtuuu Ana unanganisha unganisha vifunguu ili awa changanyee zaidiii hao mashaid wawilii watakuja ndio na Wata uwawa na baada ya ya siku tat nanusu Wata uwaaa jamn angalien msije mkajichanganyyaaa
@AlexGodfrey-hs5zp
@AlexGodfrey-hs5zp 11 ай бұрын
Mzee umetaja ufunuo sura 11 kuhusu mizeituni miwili eti ni yohana na yesu acha kupotosha hawa atakua elia na henoko kwa sababu elia alichukuliwa hakufa 2 wafalume 2:1-11 na henoko pia hakufa wanzo 5:22- 24 wataludi wakati wa miaka 3 nanusu ya kwanza ya mpinga kristo watakua wakihubili ijili maana wanatakiwa waludi wafe ili wavae mwili wa mbinguni 1 wak 15;40
@ZephaniaMwalusambo
@ZephaniaMwalusambo 6 ай бұрын
Mimi nimekupa maandiko, wewe unakisia,
@CasmiryJames
@CasmiryJames 5 ай бұрын
😂😂kwani Eliya si alikuja tena akafa soma marko9:13
@LoshaLosha-z9s
@LoshaLosha-z9s 5 ай бұрын
Walio weng wametoa maoni yenye mashiko na maswali ndani yake lakin ndugu zetu wengine wametiwa upofu macho yao maana wanapenda kusomewa na kuhadithiwa than kutafuta ukwel wa biblia wao wenyew# binafsi nabii isaya alisema wachungaj kama hawa kwao hapana asubuh maana wananena yaliyo matakwa yao ...kwanza haelewek anachofundisha kama kuna mtu amemuelewa anieleweshe
@MichaelMathew-j3f
@MichaelMathew-j3f 2 ай бұрын
Mzee sawa nimekuelewa, tunaona kabisa kwenye hii kitabu cha ufunuo wa Yohana 16:12, kuwa mto Frati utakauka, na sasa tunapozungumza huo mto umeshakauka. Je huo sio unabii kutimia? Kwa maelezo yako bado kuna utata sana.
@Revelation1412.
@Revelation1412. 11 ай бұрын
Duuh, Mzee ungekubali kujifunza ndo usalama Wako.
@NicksonMnasa
@NicksonMnasa 9 ай бұрын
MUNGU wa mbinguni akutunze Baba ninapenda sana kujifunza kutoka kwenu nipate na Mimi kuwaachia kizazi kijacho injili halisi kabisa
@ZephaniaMwalusambo
@ZephaniaMwalusambo 6 ай бұрын
Nimefurahi kusikia kutoka kwako, pamoja na kuwa nimechelewa sana kujibu comment yako, ubarikiwe!
@RachelAbel-d4v
@RachelAbel-d4v 7 ай бұрын
Jina la Yesu na makanisa lipo kwenye ufunuo wa Yoh.) .Ufu.22 :16.Mimi Yesu nimewatuma Malaika wangu kuwashuhudia ninyi mambo hayo katika makanisa . Mimi ndimi niliye shina na Mzao wa Daudi, ile nyota yenye kung'aa ya asubuhi.
@AureaKimati
@AureaKimati 7 ай бұрын
Meambir basi ili arudie maana ananikoroga kabisa au ndo amevuviwa na roho mtakatifu
@edenparkhealingministrytz
@edenparkhealingministrytz 10 ай бұрын
Jalibu kuwaza, hawa ndio waalimu wa vyuo vya biblia. Sasa anatuambia nini kuhusu huduma 5 waefeso 4:11-14
@IsayaSanga-oi2ii
@IsayaSanga-oi2ii 8 ай бұрын
Baba jipe moyo mkuu ha yohana alipingwa na yesu alipingwa songs mbele
@TaulenMwanuke
@TaulenMwanuke 6 ай бұрын
Mungu akubariki kwa mafundisho sahihi T Mwanuke
@ZephaniaMwalusambo
@ZephaniaMwalusambo 6 ай бұрын
ASANTE sana kwa comment yako nzuri, ubarikiwe!
@IsayaSanga-oi2ii
@IsayaSanga-oi2ii 5 ай бұрын
@@ZephaniaMwalusambo Amina baba Mungu wa mbingu na nch akutumze
@perezakinyi6039
@perezakinyi6039 3 ай бұрын
Ufunuo unapoandikwa unaanzishwa hivi👇👇 Revelation 1:1 (KJV) The Revelation of Jesus Christ, which God gave unto him, to shew unto his servants things which must shortly come to pass; and he sent and signified it by his angel unto his servant John: Things which must shortly come to happen...... Spiritual things are spiritually docerbed nor carnally.Mungu wa Neema akuonekanie unaposoma neno lake
@RaphaeliSikumbi
@RaphaeliSikumbi Ай бұрын
Baba tumekuelewa
@fabianmkimbu880
@fabianmkimbu880 10 ай бұрын
Kutoongozwa na roho ni shida sana,yaani Wakati wote wanatumia akili zao wenyewe.
@GOSPELLAND.ONESMO
@GOSPELLAND.ONESMO 10 ай бұрын
Na usichangaye neno na akili ata vyuo ivi vingaliwe mitaala yao itakuwa inashida adi wapentecost hii ni hatali... kitabu cha ufunuo huo ni unabii ufunuo 1.3
@NanahJadili
@NanahJadili 5 ай бұрын
Ila wew mchungaji ni muongo saan wew na nyie mnao msikilizaa msikubali kusimewa jufunzeni kusoma na kuelewa mtu Ana kuchanganyia vifunguu vifungu ili atengenezee maana yake mwenyew jiangalien msije mkarubuniwaa
@bennymkubwa6196
@bennymkubwa6196 5 ай бұрын
Umenifanya nisome zaidi maana mh!!??
@MarryMbilinyi-h7e
@MarryMbilinyi-h7e 7 ай бұрын
Fuata bib Lia usifuat akili Yako mambo ya Mungu hayapo ivy utapotosh weng kutokana na kufwat akili yak ufunuo ni unabii kama ilivy andkw
@joshuaedward275
@joshuaedward275 10 ай бұрын
Soma ufunuo 1: 3 na Ufunuo 22: 19 Hiki ni kitabu cha UNABIII. NA KUNA ONYO LA MTU AKIONDOA UNABII WA KITABU HIKI.
@ZephaniaMwalusambo
@ZephaniaMwalusambo 6 ай бұрын
Je, unajua kwanini neno Unabii linapatikana Mwanzo na mwisho wa kitabu?Je, unataka kusema kuwa kujua tofauti ya Unabii na Ufunuo unamhitaji Mungu akufundushe?
@AureaKimati
@AureaKimati 7 ай бұрын
Je samahani kwahiyo mi sjaelewa kabisa ivi ndo kutakuwa hakuna mwisho wa. Dunia? Kama ufunuo ni rejea ya mambo yalio pita???
@josemtataofficial
@josemtataofficial 2 ай бұрын
Hiki ni chakula kigumu kwa ajili ya watu wazima watoto wadogo wanahitaji maziwa kwanza hawawezi kukuelewa mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana
@MtumishiwaWakati-c6m
@MtumishiwaWakati-c6m 9 ай бұрын
Kitabu iki kinatoa onyo kwa kupunguza au kuongeza maneno katika kitabu iki kwa Sababu ni Cha watu maarumu ACHA kabisa
@AdamBartholomew-op8dc
@AdamBartholomew-op8dc 8 ай бұрын
Ndugu hiki ni kitabu cha ufunuo. Unabii uliishia kwa Yohana mbatizaji na kama ufunuo ni unabii je kipi kilichofichwa na kitafunuliwa kwa kizazi kipi wakati unabii wote ulishatimia?
@joshuajohn8533
@joshuajohn8533 7 ай бұрын
Huyu mzee apuuzwe anapotosha watu.
@bensonmwaikuju9226
@bensonmwaikuju9226 Ай бұрын
Mpuuze wewe unayefikiri ni mafundisho potofu waache watu wajifunze na wachuje wenyewe. Kazi ya ibilisi ni kushawishi wengine. Leta hoja yako kimaandiko acha mihemko. Hakuna mtu anayezuiwa kujifunza acha uvivu wa kufikiri. Ongeza maarifa ikibidi shida iko wapi?
@TOMTOM-t3y
@TOMTOM-t3y 10 ай бұрын
Sijakubaliana na ww...kama shetani amefungwa mbona uovu bado uko
@AmosiMsema
@AmosiMsema Күн бұрын
Mchungaji naomba nisaidie kupata soft copy ya kanuni za usomaji wa biblia
@mwalusambointernationalmin9065
@mwalusambointernationalmin9065 Күн бұрын
@@AmosiMsema Wasiliana nasi: 0769007328
@AmosiMsema
@AmosiMsema Күн бұрын
@mwalusambointernationalmin9065 okay
@frankjohn8706
@frankjohn8706 10 ай бұрын
ANGESEMA MAFUNDISHO KUHUSU KITABU CHA UFUNUO.KAMA ANAFUNDISHA KITABU CHA UFUNUO. LKN KAMA ANAFUNDISHA KUHUSU UFUNUO WA YESU KWA MTUMISHI WAKE YOHANA KWAAJILI YA NYAKATI.... ANGESEMA
@AureaKimati
@AureaKimati 7 ай бұрын
Sasa baba mbona ufunuo 1:3 inasema unabii na wewe unasemaa ni ufunuo? 😱🙄
@fredrickgitonga1972
@fredrickgitonga1972 11 ай бұрын
Wataka kumfanya YESU KRISTO mwongo, wakati kasema katika ufunuo 1:3
@vicentstephensongita5209
@vicentstephensongita5209 Ай бұрын
Huyu baba mi sjamuelewa kabisa
@AureaKimati
@AureaKimati 7 ай бұрын
Sasa baba ebu sema kwahiyo tuseme wokovu ni bure kwakua kila kitu kimetimia sasa alafu na yule Montana alafu na kuhusu moto wa milele na kwa habari ya uzima wa milele je vimeshatokea na tukifa tunaendawapi??? Je hakuuna hukumu??? Ya wenye haki na wasio haki maana biblia inasema tutahukumiwa kwakadiri ya matendo na kila mtu ataendakutoa hesabu je vimetimia au???
@CasmiryJames
@CasmiryJames 5 ай бұрын
Wokovu ni bure tena ni Kwa Njia ya kumuamini Kristo Yesu tuu hakuna wokovu ulioupata Kwa kulipia gharama haupo na ungeijua gharama ya kumkomboa Mwanadamu aliyoilipa Kristo Yesu Wala usingeweza kuweka Hilo Jambo mtukuze sana Kristo na kumuheshimu wewe jiondoe kwenye kazi yake alikupa wokovu na wewe unaupokea
@AlexGodfrey-hs5zp
@AlexGodfrey-hs5zp 11 ай бұрын
Ufunuo sura 1 inaeleza wakati ulikwisha kupita na ufunuo sura 2na sura ya 3 inaeleza wakati huu uliopo tunaoenderea nao mpaka wakari wa dhiki kuu na hapa yanatajwa makanisa 7 yalio kua ASIA ndogo kwa sasa ni icnh ya utuluki sura 4 mpaka 22 inaeleza wakati ujao au wakati wa unyakuo wa kanisa sasa mbona unakichanganya hivi kitabu hiki?
@ZephaniaMwalusambo
@ZephaniaMwalusambo 6 ай бұрын
Hivi kujua tofauti ya maana ya maneno, Unabii na Ufunuo, unamhitaji ufundishwe na Mungu?
@AureaKimati
@AureaKimati 7 ай бұрын
Rudia somo
@AlexGodfrey-hs5zp
@AlexGodfrey-hs5zp 11 ай бұрын
Kaka nikusahihishe wanatheogia sio waongo muongo ni huyo na wengine kama yeye
@edenparkhealingministrytz
@edenparkhealingministrytz 10 ай бұрын
Kwakweli theology inavituko.
@AllanLyombile-r6y
@AllanLyombile-r6y 10 ай бұрын
Unabii ni jicho la kanisa sasa ukitwaambia agano jipya hakuna manabii tafsiri yake kanisa linaupofu halina macho? kama ndivyo basi hiyo itakuwa ni dini iliyokufa mara mbili.
@shadrackmussa8197
@shadrackmussa8197 Жыл бұрын
Unazeeka vibaya wewe babu huujui ufunuo acha kupotosha nakuonya Acha
@AdamBartholomew-op8dc
@AdamBartholomew-op8dc 8 ай бұрын
Usiogope kumjua Mungu. Ufunuo hauwezi kuwa unabii. Kizazi chetu hakikuja na unabii mpya basi utimilifu wa unabii ambao upo kwenye vitabu vya agano la kale
@user-mwl.marashi127
@user-mwl.marashi127 10 ай бұрын
Kwahiyo mzee 666 imeshapita ayari? Au bado?? Je vipi kuhusu uzima wa milele na adhabu ya jehanamu zilizonenwa?? Zimeshakwisha kupita au bado?? Je kuhusu mpinga kristo??, Na kama yapo tunayo sasa,, je kama siku zile yalinenwa sio unabii kuhusu ya leo ?
@enocktuza1819
@enocktuza1819 Жыл бұрын
Nimefurahi kukusikia leo. Nataraji kujifunza mengi. Naomba namba yako ya what's up.
@mwalusambointernationalmin9065
@mwalusambointernationalmin9065 Жыл бұрын
+255754041599
@peternyakio67
@peternyakio67 Жыл бұрын
Unahitaji elimu bado uko mbali hujaeliwa hata bibilia
@elishayuda4105
@elishayuda4105 11 ай бұрын
Hakka wewe mzeee theology yako bado haijakusaidia kabsa na unajiita doctor cjui ulipata wap hyo maana nakuona unazidiwa na mtoto wa aliehitimu form four
@christianremnantsda5304
@christianremnantsda5304 11 ай бұрын
Muongo tu huyo
@costantinemihayo
@costantinemihayo 10 ай бұрын
Bado neema ya kristo hamjaipata Mzee Yuko sahihi
@christianremnantsda5304
@christianremnantsda5304 Жыл бұрын
Yaani watu wa theology ni waongo sana kwakwel, kwaiyo hichi kilichoandikwa hapa ni nini👇 Ufunuo wa Yohana 1:3 Heri asomaye na wao wayasikiao maneno ya unabii huu, na kuyashika yaliyoandikwa humo; kwa maana wakati u karibu. Acha uongo ,tena acha kupotosha kabisa
@joshuaedward275
@joshuaedward275 10 ай бұрын
Asante ndugu nawe umeona hilo na la nyongeza ni Ufunuo 22:19. " NA MTU YEYOTE AKIONDOA MANENO YA UNABII WA KITABU HIKI, MUNGU ATAMWONDOLEA SEHEMU YAKE KATIKA ULE MTI WA UZIMA
@christianremnantsda5304
@christianremnantsda5304 10 ай бұрын
Ubarikiwe sana ndugu
@JosephuSwai
@JosephuSwai 8 ай бұрын
Kweli ndugu
@joshuajohn8533
@joshuajohn8533 7 ай бұрын
Huyu theology yake Wala sio Msingi wa Pentecostal sijui katoa wapi huu upofu
@CasmiryJames
@CasmiryJames 5 ай бұрын
​@@joshuajohn8533mi nilijua unasema siyo msingi wa Neno kumbe pentecostal 😂😂hakika kuwa na dini bila kuijua Neema ya Kristo ni mzigo sana ila nawaombea Kwa Mungu mzidi kukua katika Neema ya Kristo
@GOSPELLAND.ONESMO
@GOSPELLAND.ONESMO 10 ай бұрын
Na usichangaye neno na akili ata vyuo ivi vingaliwe mitaala yao itakuwa inashida adi wapentecost hii ni hatali... kitabu cha ufunuo huo ni unabii ufunuo 1.3
HIZI HAPA KANUNI ZA KUSOMA NA KUIELEWA BIBLIA
31:06
Mwalusambo International Ministry
Рет қаралды 11 М.
Mom Hack for Cooking Solo with a Little One! 🍳👶
00:15
5-Minute Crafts HOUSE
Рет қаралды 23 МЛН
Гениальное изобретение из обычного стаканчика!
00:31
Лютая физика | Олимпиадная физика
Рет қаралды 4,8 МЛН
小丑女COCO的审判。#天使 #小丑 #超人不会飞
00:53
超人不会飞
Рет қаралды 16 МЛН
Kuifahamu Lugha ya Mungu Part 6 - Kukielewa kitabu cha Ufunuo | Dr. Zephaniah Mwalusambo
28:45
SOMO: KITABU CHA UFUNUO WA YOHANA SIO UNABII NA DR MWALUSAMBO
29:51
Mwalusambo International Ministry
Рет қаралды 792
UFUNUO WA YOHANA SEHEMU YA 2
1:03:26
SAA YA NEEMA TV
Рет қаралды 308
MASWALI TATA YA WAKRISTO YAJIBIWA NA DR.MWALUSMBO
35:26
Mwalusambo International Ministry
Рет қаралды 2,6 М.
UKWELI USIOUJUA KUHUSU KITABU CHA UFUNUO NA DR MWALUSAMBO// MBEYA - PART 3
1:23:44
Mwalusambo International Ministry
Рет қаралды 2,7 М.
Mch Moses Magembe  - KITABU CHA UFUNUO NA KUTIMIA KWAKE
2:28:51
Rev Moses MagembeTv
Рет қаралды 15 М.
Fafanuzi Rahisi Ya Kitabu Cha Ufunuo Wa Yohana - Sura Ya 4 (Wazee 24 na Wenye Uhai wa 4)
36:35
Kurudi kwa Yesu Na Dr. Zephaniah Mwalusambo
54:04
Mwalusambo International Ministry
Рет қаралды 2,1 М.
UKWELI KUHUSU ASILI YA SHETANI NA DR MWALUSAMBO #kingdomphilosophy #biblestudy #video
31:24
Mwalusambo International Ministry
Рет қаралды 4,2 М.
MAARIFA 29 NDANI YA KITABU CHA MWANZO
27:40
SIRI ZA BIBLIA
Рет қаралды 10 М.
Mom Hack for Cooking Solo with a Little One! 🍳👶
00:15
5-Minute Crafts HOUSE
Рет қаралды 23 МЛН