Рет қаралды 69,135
MAGUFULI Awaonya TANESCO Hadharani "Ole WENU Asaini Kwingine"
Rais Dkt John Magufuli, leo Julai 26, anazindua mradi wa kufua umeme wa Megawati 2115..
Hafla ya uzinduzi huo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali wakiongozwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Waziri mwenyeji wa Nishati, Dkt Medard Kalemani, Waziri wa Mambo ya Nje, Prof Palamagamba Kabudi, Naibu Spika, Dkt Medard Kalemani, pamoja na Mkuu wa mkoa wa Pwani, Evaristi Ndikilo.
#StiglersGorge #RaisMagufuli
www.youtube.co.... www.youtube.co.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyh