Hongera sana sana Mwenyezi Mungu AKUTUNZE VIONGOZI WA DINI WANAENDELEA KUCHANGA ILI MCHANGO WAO UKUFIKIE. ...Mimi ni Askofu William Mwamalanga
@user-le7ek2zs4t2 ай бұрын
Mr Lisu tuko tayari kukuchangia Mungu akubariki
@binsherbal60892 ай бұрын
Tunaomba Namba ya kuchangia na sie tuchangie pia.
@LazaroMwakasege-bh5en2 ай бұрын
Kamanda mungu akubaliki Sana kwajitiada zako
@nelxonsingaile33012 ай бұрын
You are real man
@prospermalala66362 ай бұрын
Dawa imewaingia wanaogopa michango ya mh Lisu
@humphreymkony89152 ай бұрын
Kwani hao waliotaka kumuua watapona basi?
@gowekogoweko58032 ай бұрын
WATANZANIAA SHIME TUMCHANGIE HUYU SHUJAA ALIYECHAGULIWA NA MUNGU
@ChristerKoku2 ай бұрын
Adam ajili huna unacheka kovu kwa kuwa hukufikwa jeraha ajili huna hujalazimishwa kuchangia watanzania wanajitambua sio mbumbu.
@johngibson30892 ай бұрын
Mwenye jero, buku, elfu 10, laki, millions TUTACHANGA KAMA TULIVYOCHANGA WAKATI UKIHITAJI MATIBABU. Usikatishwe tamaa na wasiokuelewa. Wenye akili tunakuelewa vzr na tunakupenda.
@edsonkahesi8603Ай бұрын
Ni jambo jema chama kupata vitendeakazi kwa ajili angalau ya kurahisisha utendakazi na kuzungukia nchi kwa ajili ya kukiimarisha zaidi. Niko tayari kuchangia. Naongezea kwa upande wa vijana, inabidi BAVICHA iimarishwe zaidi kwaajili yakuwaandikisha na kuwahimiza vijana wengi wakapige kura maana mustakabali wa taifa hili uko mikononi mwao, CDM kwasasa ni chama kinachokubalika sana kwa wananchi ila hii isiishie tu mitandaoni bali hata kwenye daftari la kudumu.
@Samweli-ij3im2 ай бұрын
Wewe kama humpendi lisu hakika utakuwa ni adui wa haki wacha tumchangie kiongozi wetu wewe fisadi nyamaza hatuna shida na mia yako nyie ccm ndio man njaa mnaiba mpaka makaburi mmelaaniwa na mungu damu ya lisu na wengine utakuwa juu yenu na watoto wenu wanao shabikia mauaji na dhulma pita handeni tanga
@rebekakulwa61592 ай бұрын
Jibwa la fisiyemu halijitambui linamtukana hapa watanganyika halisi tunamwelewa mbeba maono tunachanga ili apiganie huru wetu kutoka mikononi mwa mkoloni mweusi fisiyemu
@user-bq4tk6yq2q2 ай бұрын
Usiogope baba tuko pamoja nawewe
@prospermalala66362 ай бұрын
MH Lisu Kwa kazi unayoifanya ndani ya Taifa letu, kuielimisha, kuifundisha hiiiiiiii jamiiii iliyopo mbele yetu, ondoa hofu kabisa tunachanga ili watanganyika wafahamu Haki zao zilizofichwa ndani ya Taifa letu kupitia haramu CCM, huo mwanga unaomulika maisha ya watanganyika waliowengi wameanza kuona mwanga unaomulika maisha huko mbele yetu
@adamlubawa12812 ай бұрын
USILOLIJUA NI USIKU WA KIZA LAKINI IPO SIKU AKILI ITAWAKAAA SAWA TU ETI KUMCHANGIA LUSSU MNASHINDWA KUWACHANGIA WAGONJWA WATOTO WENYE UHITAJI MAALUM PEPO HAMTOIONA MILELE LISSU HANA SHIDA ILA ANAWANYONYA MSIOJITAMBUA
@user-vl4rz6lf6dАй бұрын
Anamaono gani zaidi yanjaa inayomsumbua AMA kweli wajinga ndio waliwao
@adamlubawa12812 ай бұрын
Tapeli unatembelea fursa ya ulemavu Kuchangiwa ili ulipie watoto wako Ada
@khamisjuma85012 ай бұрын
Nex week na changia dollars Mia
@ceciliamagalabajimmy43912 ай бұрын
Amekuomba weweee?
@rogathesarwatt2 ай бұрын
Inakuuma sana Sisi tutachanga we katapeliwe na Betting, mikopo mitandao Nia CCM yako iliyojaa dhuluma
@MonicaBeni2 ай бұрын
tapeli ni ww ambaye huwezi kuamka Kwene fikra zako mwenyewe umbaye unajitapeli uwelewa wako mwenyewe pole sana
@MonicaBeni2 ай бұрын
@@ceciliamagalabajimmy4391 hahaha jibu Zuri Sana ulilompa